Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 52
    1. #1
      zilakina's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th September 2011
      Posts : 122
      Rep Power : 416
      Likes Received
      26
      Likes Given
      10

      Default Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      Hivi kuna mapenzi ya dhati au ni kudanganyana?maana mtu akiona picha anachanganyikiwa wakati picha hizo wanaendaga kupiga photopoint.


    2. FP is offline
      FP
      #21
      FP's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 8,110
      Rep Power : 46526
      Likes Received
      7978
      Likes Given
      7766

      Default

      Quote By Tarlisha View Post
      yaani wewe unashangaa,hio picha tu,watu humu wanazimia avatar na maandishi?

      nimempenda sababu tunawasiliana kny simu baada ya facebook,ktk maongezi anaonekana ni charming na mpole kisha anajali maaana ananipigia/text siku nzima,baby umeamkaje,siku njema mke wangu na ulale salama ni maneno yake....lol kitu ukikipenda hata kama kiko mbali unajua,kama humpendi hata akiwa karibu unajua tena siku ya kwanza unajua.
      Kabla hajakupata hizo text na simu ni mpaka utakimbia simu yako, subiri akupate.....msg unapata kwa mgao

      Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
      Don't wait for the Perfect Moment,
      Take the Moment and make it Perfect


    3. #22
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,931
      Rep Power : 16839
      Likes Received
      2650
      Likes Given
      2034

      Default

      Quote By My prince View Post
      Huko fb madada wanatisha sana!
      Wanatisha kivipi??

    4. #23
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,070
      Rep Power : 17578
      Likes Received
      5018
      Likes Given
      5776

      Default

      Quote By Fixed Point View Post
      Kabla hajakupata hizo text na simu ni mpaka utakimbia simu yako, subiri akupate.....msg unapata kwa mgao

      Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
      mkuu umeongea point bila chenga. asilimia kubwa ya wanaume kabla ya kumpata mwanamke hutumia njia zote fake azijuazo, akimpata tu ndo huanza excuse nyiingi,mara vikao,mara safar zisizoisha mara cm ilikuwa mbali,mara nlipitiwa na ucngz ckuckia. kha wanaume bana c wenzetu!
      FP likes this.

    5. #24
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default

      Quote By cartura View Post
      fb ni shamba la bibi... mtu akipewa 'like' tu kabebwa
      Hivi huko nako kuna ma 'like'?
      Bishanga vya fesibuku sivijui,wanangu ndo naona wako bize huko.

    6. #25
      Comi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 1,031
      Rep Power : 596
      Likes Received
      164
      Likes Given
      2

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      Quote By zilakina View Post
      Hivi kuna mapenzi ya dhati au ni kudanganyana?maana mtu akiona picha anachanganyikiwa wakati picha hizo wanaendaga kupiga photopoint.
      kwanza kudanganyana then ndiyo mapenzi ya kweli yafuate
      "YOU IMAGINE WHAT YOU DESIRE,YOU WILL WHAT YOU IMAGINE AND AT LAST YOU CREATE WHAT YOU WILL"
      GEORGE B. SHAW


    7. #26
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,994
      Rep Power : 16313
      Likes Received
      3404
      Likes Given
      4356

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      wana jamii forum nilishindwa kulileta hili huku jamvini dhidi ya balaa lililowakuta wanafunzi wa chuo cha st AGUSTINE MWANZA ,WALIVYOPOTEA ,MMOJA ALIOZA MWILI KISHA AKAPOTEA NI LAST WEEK JAMANI.KISA NI HIKI HAPA HAWA WDADA ZETU UNAJUA NA TAMA ZETU TENA WALIPATA WAPENZU HUKU FACEBOOK WAKAANZA USWEEET,source inasema wakiomba10000 bumu limeisha wanapewa millioni moja ,ukiomba 50000 unapewa 900,000/= yule bwana kaja siku ya kwanza wakakutana guest huko mwanza mjini,kutoka pale yule msichana kaanza kuumwa tumbo alipomwambia swit wake ila siuku ya pili ile alikuta sio mtu wa kawaida kabisa bali ni jini akamwambia asiende hosptali wala asimwambie mtu akaanza kuoza sehemu za siri akiwa hospitali akatoweka haijulikani alipo yyte .na huyo mwingine naye kapotea tena .KUWENI MAKINI NDUGU ZANGU NA FACEBOOK SIO WOTE NI BINADAMU JAMANI HAO NDUGU WAMEPOTEA KABISA.[/QUOTE][/QUOTE]
      Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.

    8. FP is offline
      FP
      #27
      FP's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 30th September 2009
      Posts : 8,110
      Rep Power : 46526
      Likes Received
      7978
      Likes Given
      7766

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      Quote By charminglady View Post
      mkuu umeongea point bila chenga. asilimia kubwa ya wanaume kabla ya kumpata mwanamke hutumia njia zote fake azijuazo, akimpata tu ndo huanza excuse nyiingi,mara vikao,mara safar zisizoisha mara cm ilikuwa mbali,mara nlipitiwa na ucngz ckuckia. kha wanaume bana c wenzetu!
      ndo maana na sisi kama unavutiwa na mastori yake dawa huwa ni kumzungusha tu............................ ... unamvuna weeeeeeeeeeeeeeeee maana anakuwa hana choice ni kukuvuta tu. ukiona umesharidhika unafanya amuzi sasa, kukubali au kumwambia ukweli kuwa humtaki, LOL!
      Don't wait for the Perfect Moment,
      Take the Moment and make it Perfect


    9. Lis is offline
      Lis
      #28
      Lis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 131
      Rep Power : 381
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Vaislay View Post
      si bora Fb mi wangu tulikutana mlango wa kuingilia gest na tunapendana kweli
      hahahahahaha,umenichekesha
      vaislay
      Vaislay likes this.

    10. #29
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,421
      Rep Power : 5166
      Likes Received
      3347
      Likes Given
      2738

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      I don't wantcha number ha we can meet on facebook uh dabliyu dabliyu dabliyu hamia facebook dot com!

    11. #30
      MTU WA VITA's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 358
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      Dhambi mbaya sana na tamaa nayo mbaya sana kimsingi hakuna mapenzi katika fb ni uchafu tu wa kawaida na kudanganyana

    12. #31
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,388
      Rep Power : 7781
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1827

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      Quote By Erickb52 View Post
      Mapenzi ya kweli yanatoka moyoni....
      Hata kama hujamuona wala humjui unahisi kumpenda tu, lahaula....God forbid!!!

    13. #32
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,388
      Rep Power : 7781
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1827

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      Quote By charminglady View Post
      mkuu umeongea point bila chenga. asilimia kubwa ya wanaume kabla ya kumpata mwanamke hutumia njia zote fake azijuazo, akimpata tu ndo huanza excuse nyiingi,mara vikao,mara safar zisizoisha mara cm ilikuwa mbali,mara nlipitiwa na ucngz ckuckia. kha wanaume bana c wenzetu!
      Huwa wanasahau kuwa pengine wadada waliwapenda kwa kujali kwao, simu zao.

    14. #33
      Erickb52's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Location : Chit-Chat
      Posts : 16,740
      Rep Power : 50885
      Likes Received
      9611
      Likes Given
      14855

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      Quote By Remmy View Post
      Hata kama hujamuona wala humjui unahisi kumpenda tu, lahaula....God forbid!!!
      Hahahaha Remmy hujui mapenzi?
      Mbona wapo walioonana kwa style hiyo na wameoana...!
      Lol
      Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
      Acha Ngono,UKIMWI unaua!

    15. #34
      HAKUNA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 390
      Likes Received
      41
      Likes Given
      45

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      Quote By Tarlisha View Post
      yaani wewe unashangaa,hio picha tu,watu humu wanazimia avatar na maandishi?

      nimempenda sababu tunawasiliana kny simu baada ya facebook,ktk maongezi anaonekana ni charming na mpole kisha anajali maaana ananipigia/text siku nzima,baby umeamkaje,siku njema mke wangu na ulale salama ni maneno yake....lol kitu ukikipenda hata kama kiko mbali unajua,kama humpendi hata akiwa karibu unajua tena siku ya kwanza unajua.
      Mimi ninao kama kumi ninaowaandikia hayo maneno, kutoka Facebook......!!!!, Kuwa mwangalifu....!!!, mbona kila siku masomo yanatolewa hapa.....kwanini hamjifunzi....???; hizo ndio style zetu tukiwa hatujapata........!!!, usimkabidhi mtu moyo wako kabla hujamfahamu vyema, utakuja kupata jeraha ambalo litachukua muda kupona.

    16. #35
      Son of Alaska's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2008
      Location : london
      Posts : 2,568
      Rep Power : 1077
      Likes Received
      655
      Likes Given
      262

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      katika FB si kuna video calling,as such si mnaonana-sasa mara mimi mnene,mara wa kawaida hayo yote si yanatatuliwa na video call?????

    17. #36
      kichwat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2010
      Posts : 1,112
      Rep Power : 710
      Likes Received
      227
      Likes Given
      26

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      methali mpya kabisa inasema: YANAYOANZIA FESIBUKU HUISHIA HUKOHUKO.
      Akili mukichwa.

    18. #37
      wiseboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 671
      Rep Power : 552
      Likes Received
      183
      Likes Given
      29

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      hebu tupen movie kwa yeyote aliwah anza mwanzo hadi mwisho...mlianzaje? mlikutanaje? je cku ya kwanza kukutana ilikuaje? then nini kiliendelea hadi leo.....tupeni hizo weekend love story.

    19. #38
      JOJEETA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Posts : 160
      Rep Power : 397
      Likes Received
      46
      Likes Given
      64

      Default Re: Mahusiano ya kimapenzi kupitia facebook

      Me binafsi naona hakuna kupendana huko jaman m2 anaku2mia friend req,ukiconfirm 2 anakuinbox "thanx 4add my love,i love u ma dia what do u say mamaa?am dying to hear ur answ plz ucniumize mpenzi"............jamni anakupamba na majina hayo ambayo hata mumeo au bf wako hakuit sasa ukiwa na moyo mwepes ndo umemezwa.

    20. #39
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2729
      Likes Received
      748
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By JOJEETA View Post
      Me binafsi naona hakuna kupendana huko jaman m2 anaku2mia friend req,ukiconfirm 2 anakuinbox "thanx 4add my love,i love u ma dia what do u say mamaa?am dying to hear ur answ plz ucniumize mpenzi"............jamni anakupamba na majina hayo ambayo hata mumeo au bf wako hakuit sasa ukiwa na moyo mwepes ndo umemezwa.
      kwa style hii vilio vya kumegwa na kutoswa tutaendelea kuvisikia sana

    21. #40
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2729
      Likes Received
      748
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By Tarlisha View Post
      yaani wewe unashangaa,hio picha tu,watu humu wanazimia avatar na maandishi?
      sasa mbona unamkimbia akikwambia muonane? si ni kwa vile unajua kwamba picha ulizoweka haziendani na jinsi ulivyo kiuhalisia, so anaweza asi-appreciate atakachoona?

      nimempenda sababu tunawasiliana kny simu baada ya facebook,ktk maongezi anaonekana ni charming na mpole kisha anajali maaana ananipigia/text siku nzima,baby umeamkaje,siku njema mke wangu na ulale salama ni maneno yake....lol kitu ukikipenda hata kama kiko mbali unajua,kama humpendi hata akiwa karibu unajua tena siku ya kwanza unajua.
      let's not be so naive... jamaa anaweza kusema au kuandika maneno kama hayo kwa watu hata mia... bado haikuthibitishii kwamba kuna mapenzi hapo... subiri tu apate anachotaka ndiyo utaisoma namba

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...