Hivi kuna mapenzi ya dhati au ni kudanganyana?maana mtu akiona picha anachanganyikiwa wakati picha hizo wanaendaga kupiga photopoint.
Hivi kuna mapenzi ya dhati au ni kudanganyana?maana mtu akiona picha anachanganyikiwa wakati picha hizo wanaendaga kupiga photopoint.
wana jamii forum nilishindwa kulileta hili huku jamvini dhidi ya balaa lililowakuta wanafunzi wa chuo cha st AGUSTINE MWANZA ,WALIVYOPOTEA ,MMOJA ALIOZA MWILI KISHA AKAPOTEA NI LAST WEEK JAMANI.KISA NI HIKI HAPA HAWA WDADA ZETU UNAJUA NA TAMA ZETU TENA WALIPATA WAPENZU HUKU FACEBOOK WAKAANZA USWEEET,source inasema wakiomba10000 bumu limeisha wanapewa millioni moja ,ukiomba 50000 unapewa 900,000/= yule bwana kaja siku ya kwanza wakakutana guest huko mwanza mjini,kutoka pale yule msichana kaanza kuumwa tumbo alipomwambia swit wake ila siuku ya pili ile alikuta sio mtu wa kawaida kabisa bali ni jini akamwambia asiende hosptali wala asimwambie mtu akaanza kuoza sehemu za siri akiwa hospitali akatoweka haijulikani alipo yyte .na huyo mwingine naye kapotea tena .KUWENI MAKINI NDUGU ZANGU NA FACEBOOK SIO WOTE NI BINADAMU JAMANI HAO NDUGU WAMEPOTEA KABISA.[/QUOTE][/QUOTE]
Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.
Don't wait for the Perfect Moment,
Take the Moment and make it Perfect
I don't wantcha number ha we can meet on facebook uh dabliyu dabliyu dabliyu hamia facebook dot com!
Dhambi mbaya sana na tamaa nayo mbaya sana kimsingi hakuna mapenzi katika fb ni uchafu tu wa kawaida na kudanganyana
Hahahaha Remmy hujui mapenzi?
Mbona wapo walioonana kwa style hiyo na wameoana...!
Lol
Kujipenda ni Pamoja na Kuutunza Mwili wako!
Acha Ngono,UKIMWI unaua!
Mimi ninao kama kumi ninaowaandikia hayo maneno, kutoka Facebook......!!!!, Kuwa mwangalifu....!!!, mbona kila siku masomo yanatolewa hapa.....kwanini hamjifunzi....???; hizo ndio style zetu tukiwa hatujapata........!!!, usimkabidhi mtu moyo wako kabla hujamfahamu vyema, utakuja kupata jeraha ambalo litachukua muda kupona.
katika FB si kuna video calling,as such si mnaonana-sasa mara mimi mnene,mara wa kawaida hayo yote si yanatatuliwa na video call?????
methali mpya kabisa inasema: YANAYOANZIA FESIBUKU HUISHIA HUKOHUKO.
Akili mukichwa.
hebu tupen movie kwa yeyote aliwah anza mwanzo hadi mwisho...mlianzaje? mlikutanaje? je cku ya kwanza kukutana ilikuaje? then nini kiliendelea hadi leo.....tupeni hizo weekend love story.
Me binafsi naona hakuna kupendana huko jaman m2 anaku2mia friend req,ukiconfirm 2 anakuinbox "thanx 4add my love,i love u ma dia what do u say mamaa?am dying to hear ur answ plz ucniumize mpenzi"............jamni anakupamba na majina hayo ambayo hata mumeo au bf wako hakuit sasa ukiwa na moyo mwepes ndo umemezwa.
sasa mbona unamkimbia akikwambia muonane? si ni kwa vile unajua kwamba picha ulizoweka haziendani na jinsi ulivyo kiuhalisia, so anaweza asi-appreciate atakachoona?
let's not be so naive... jamaa anaweza kusema au kuandika maneno kama hayo kwa watu hata mia... bado haikuthibitishii kwamba kuna mapenzi hapo... subiri tu apate anachotaka ndiyo utaisoma nambanimempenda sababu tunawasiliana kny simu baada ya facebook,ktk maongezi anaonekana ni charming na mpole kisha anajali maaana ananipigia/text siku nzima,baby umeamkaje,siku njema mke wangu na ulale salama ni maneno yake....lol kitu ukikipenda hata kama kiko mbali unajua,kama humpendi hata akiwa karibu unajua tena siku ya kwanza unajua.![]()
Follow Us Here