re: Nimeharibiwa week-end yangu.... lol!

By
dubu
umetokea kijiji gani?. wenzako wanalegeza jicho na sauti kwenye nafasi kama hizo. fomu unasaidiwa kusign na nauli unapewa. vile vile na pesa za kuanzia maisha unapewa.
kila ikija kukuchoma unampiga kalenda hadi anasizi mwenyewe. mbona wanaume ni rahisi kudanganya?.
kwani mtu akikutongoza lazima umpe au lazima unune kana kwamba hutongozwi? kama ndivyo mlaumu Mungu aliyekupa uzuri. mi mwenyewe nikikuta unalipa nakutongoza aisee.
Mkuu kunawengine vizizi bwana huwa hawakataliwi!
Freedom consists not in doing what we like, but in having the right to do what we ought. by John Paul II
Follow Us Here