Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 38
    1. #1
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,963
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Tangu tukiwa na umri wa siku moja,tunataka kukubaliwa,kupokelewa na kulindwa.Haya ni kama mambo ya kimaumbile kwa mwanadamu.Unapogundua kuwa watu wote hawakupendi utababaika na kuchanganyikiwa na maisha kwako yanaweza kupoteza maana.Wengi tunafanya tunayofanya au kuacha kufanya katika kutafuta kupendwa.Kwahiyo kila mmoja wetu ana kiu kubwa ya kupendwa.(hapa nazungumzia kupenda kuliko zaidi ya ule wa ngono)Hapa ndipo linapochipuka tatizo kubwa linalofanya wengi kushindwa kujua kupenda ni nini.Hushindwa kwa sababu hakuna anaejali kupenda,karibu wote tunajali kupendwa,siyo kupenda.Kama nguvu zetu zote tumeziweka kwenye kupendwa,kupenda kunakuwa na nafasi gani kwetu?Ndiyo maana wengi hatujui kupenda,tunangoja kupendwa.Mume anasubiri mkewe ampende,mke nae anasubiri mume ampende!Ni kitu gani kinatokea?Kulalamika kusikoisha.Tumewekeza kwenye kupendwa ambako hakutuhusu.Jambo linalokuhusu ni kupenda,kwani wewe ndo unaamua upende ama la.Kupendwa ni jambo unalofanyiwa,halikuhusu.Yanini uhangaike na jambo lisilokuhusu?Unaposubiri na mbaya zaidi kudai kupendwa,unapoteza muda wako bure kwani unaemtaka akupende nae anataka jambo hilo kwako.Ni jambo ambalo huwezi kulipanga wala kulidhibiti kwa sababu linamhusu mtu mwingine.Inawezekana vp umlazimishe mtu mwingine akupende?Haiwezekani.Lakini tunafanya jambo lisilowezekana.Lakini unaweza kupend kwani ni jambo linalotoka kwako,fanya hivyo maisha yako yote.Mtu akikuambia hakupendi huna haja ya kupandwa presha,au kumnunia na kuwmuwekea bifu,halikuhusu hilo wewe toa upendo tu,hili ndo linalokuhusu!
      MSUMALI and Bei Mbaya like this.


    2. #2
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,688
      Rep Power : 47344
      Likes Received
      8331
      Likes Given
      7748

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      love conquers all na ndio maana maji hupasua miamba.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    3. #3
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 978
      Rep Power : 5304
      Likes Received
      369
      Likes Given
      712

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Nimependa kila neno katika uzi wako.
      Okay,kuanzia sasa mimi ni kugawa mapendo tu,ni kupenda tu.

      Nilichojifunza hapa ni,

      UKIPENDA WENZIO NA WENZIO WATAKUPENDA.
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    4. #4
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,963
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Bishanga View Post
      love conquers all na ndio maana maji hupasua miamba.
      Kuanzia leo mpende L. . .tu,usiangalie kwingine!

    5. #5
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,963
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      qeenkami,kanuni ya maumbile inasema unachotoa ndicho unachopata.So ukitoa upendo unapata upendo!


    6. #6
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Sikupi like, kwasababu nimekupa sana lakini wewe hutoi!

      Ila uzi mzuri, jamani mimi napenda sana lkn nmmh!
      Ni vigumu kujua kuwa unapendwa au unatamaniwa.
      Na shida kuu ya wanaume hamjui kuonesha mapenzi kwa wenzenu, unaassume tu kwa vile niko naye anapaswa kujua anapendwa ndio maana niko naye.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    7. #7
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 9,064
      Rep Power : 17576
      Likes Received
      5015
      Likes Given
      5763

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      ubarikiwe Eiyer, me hupenda kwa kiwango kikubwa!

    8. #8
      Mapi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 571
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      141

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Ni kwel uyasemayo LAKINI nitatoaje nischokuwa nacho?

    9. #9
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,608
      Rep Power : 2547
      Likes Received
      614
      Likes Given
      769

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Quote By Kaunga View Post
      Sikupi like, kwasababu nimekupa sana lakini wewe hutoi!

      Ila uzi mzuri, jamani mimi napenda sana lkn nmmh!
      Ni vigumu kujua kuwa unapendwa au unatamaniwa.
      Na shida kuu ya wanaume hamjui kuonesha mapenzi kwa wenzenu, unaassume tu kwa vile niko naye anapaswa kujua anapendwa ndio maana niko naye.
      Kweli Kaunga nami pia nilikuwa nimempa LIKE lakini imebiedi ni UNLIKE, uzi wake umeeleza vizuri kuhusu kupenda lakini yeye binafsi hajui kupenda ie ku LIKE
      Kaunga likes this.
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    10. #10
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,963
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Kaunga,haya bana we nibanie tu . . .Tupo wanaume wengi sana tunaoweza kuonesha upendo kwa kiwango kikubwa.Pole inaonekana umekutana na wanaume vimeo!. . . . . Nigongee LIKE bana!

    11. #11
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,963
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By charminglady View Post
      ubarikiwe Eiyer, me hupenda kwa kiwango kikubwa!
      Endelea na moyo huohuo!. . . .

    12. #12
      Babuyao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2009
      Posts : 1,720
      Rep Power : 855
      Likes Received
      177
      Likes Given
      148

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Je, pendo lako lisipopokelewa na umpendaye unafikiri kupenda kwako kutakuwa na maana sana?
      God writes straight with crooked lines.

    13. #13
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,963
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Mapi View Post
      Ni kwel uyasemayo LAKINI nitatoaje nischokuwa nacho?
      Kipi ambachohuna Mapi?

    14. #14
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Quote By Eiyer View Post
      Kaunga,haya bana we nibanie tu . . .Tupo wanaume wengi sana tunaoweza kuonesha upendo kwa kiwango kikubwa.Pole inaonekana umekutana na wanaume vimeo!. . . . . Nigongee LIKE bana!
      LIKE hiyo chukua
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    15. #15
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,963
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Kunta Kinte View Post
      Kweli Kaunga nami pia nilikuwa nimempa LIKE lakini imebiedi ni UNLIKE, uzi wake umeeleza vizuri kuhusu kupenda lakini yeye binafsi hajui kupenda ie ku LIKE
      Kaunga,unaona unayonisabishia?Sijui utanibebea mbeleko gani. . .

    16. #16
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,963
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Babuyao View Post
      Je, pendo lako lisipopokelewa na umpendaye unafikiri kupenda kwako kutakuwa na maana sana?
      Ili upendo uwe na maana sio mpaka upokewe!Wenyewe umejitosha!

    17. #17
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,963
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Kaunga View Post
      LIKE hiyo chukua
      Wakora. . . . . . . . .

    18. #18
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,163
      Rep Power : 25448
      Likes Received
      14878
      Likes Given
      15822

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      simpendi Bishanga

    19. #19
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 978
      Rep Power : 5304
      Likes Received
      369
      Likes Given
      712

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Quote By Kaunga View Post
      Sikupi like, kwasababu nimekupa sana lakini wewe hutoi!

      Ila uzi mzuri, jamani mimi napenda sana lkn nmmh!
      Ni vigumu kujua kuwa unapendwa au unatamaniwa.
      Na shida kuu ya wanaume hamjui kuonesha mapenzi kwa wenzenu, unaassume tu kwa vile niko naye anapaswa kujua anapendwa ndio maana niko naye.
      Dearest Kaunga naona wewe na baadhi ya wachangiaji hamjaelewa eiyer anaongelea upendo gani.
      Haongelei mapenzi ya mwanamke na mwanaume.
      Mi nimeelewa kuwa anaongelea upendo wa binadamu kwa binadamu wenzake kama jirani,rafiki,ndugu.
      Kwamba kuna watu wanajiona wanadamu ya kunguni kutopendwa na hata mtu mmoja lakini wao wenyewe hawatimizi wajibu wao wa kuwapenda wengine wao wanataka wao wapendwe tu.
      Cheki alivyosema hapa chini namquote

      "(hapa nazungumzia kupenda kuliko zaidi ya ule wa ngono)"
      Kaunga likes this.
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    20. #20
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Hivi ndivyo ilivyo. . . . .!

      Quote By queenkami View Post
      Dearest Kaunga naona wewe na baadhi ya wachangiaji hamjaelewa eiyer anaongelea upendo gani.
      Haongelei mapenzi ya mwanamke na mwanaume.
      Mi nimeelewa kuwa anaongelea upendo wa binadamu kwa binadamu wenzake kama jirani,rafiki,ndugu.
      Kwamba kuna watu wanajiona wanadamu ya kunguni kutopendwa na hata mtu mmoja lakini wao wenyewe hawatimizi wajibu wao wa kuwapenda wengine wao wanataka wao wapendwe tu.
      Cheki alivyosema hapa chini namquote

      "(hapa nazungumzia kupenda kuliko zaidi ya ule wa ngono)"
      Nimekuelewa queenkami na nilimuelewa Eiyer pia, just wanted to be specific kwa aina hiyo ya upendo (mapenzi ya wapenzi aka mume na mke) coz huko ndiko ninapopata tatizo mimi.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...