Hilo ni tatizo la wanawake wengi sana kwenye ndoa. Nasema hivi sababu hata mie yalianza kutokea, nikampa yellow card aende kwao mamake aliponiuliza nikamuelezea aliona aibu kubwa na kumsema mwanae aliporudi mashine naikamua kwa raha zangu! In short wanawake hujisahau pia, hiyo ndo maana huleta nyumba ndogo, yani hajiulizi we mwanaume wake mwezi mzima unapuchua wapi? Huyo anakutafutia lawama au maukimwi tu. Ila mchunguze anaweza akawa anamtu anampuchua nae wanawake wakinogewa husahau mazee, nasema hivi kwani yote yanawezekana mkuu, chunguza sana, haiwezekani mwezi! Du!
Follow Us Here