Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 85
    1. #1
      Paul mathew's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 393
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default Reply With Quote


    2. #61
      gforum's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 373
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Nakuonea huruma, anatakiwa kama hayupo kwenye period na aumwi, kila mnara unapopata net anatakiwa apokee mawasiliano nasii vinginevyo, ila akikuzingua mfanye encuberter yakutotoa watoto alafu plan njia nyingine ya hiyo kitu kadiri utakavyoona inafaa, ingekuwa mara moja kwa siku poa ila moja kwa mwezi, kama ni mimi ninavyopenda tunda la mke wangu ningekuwa kila siku nalia kama mtoto mdogo hadi anipe,, ,,,, ushaona mtoto anadai nyonyo/ fanya hivyo

    3. #62
      Godlisten shoo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 359
      Likes Received
      6
      Likes Given
      5

      Default

      Kama nayeye kweli hachakachui pengine basi hiyo ni nzuri ifanye kuwa lifestyle

      sing JamiiForums
      mawazo mawazo

    4. #63
      Mtalingolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 1,924
      Rep Power : 971
      Likes Received
      324
      Likes Given
      43

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Kwenyendoa kunamambo jamani, kaseme kwa Baba Paroko ndugu...

    5. #64
      Paul mathew's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 393
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      Naombeni msaada zaid wa kisaikoloji, coz ninapoomba wakati huo mnara unakuwa uko active hata akiniona ananiambia nenda kaoge mnara utapoteza network tu, najiuliza au ni mimi ndo nna matatizo na je ningekuwa sisimamishi pia si angenikimbia? UNAJUA NIMEKUWA NA TATIZO LA KUKOSA USINGIZI SIJUI KWA NINI. Msinichoke wajameni nisaidieni vinginevyo ntafute substitution. Uwezo huo ninao coz am still payable and handsome.

    6. #65
      Aine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : Tz
      Posts : 1,127
      Rep Power : 658
      Likes Received
      257
      Likes Given
      503

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Ebu mtoe outing moja kali mkae huko the whole day, jitahidi umfurahishe kadiri uwezavyo, na jitahidi kufanya hivyo mara kwa mara katika maeneo tofauti ili kubadilisha mazingira. Kama ameanza kuchoka na ndoa atabadilika. Pengine anachoka sana na kazi ingawa anatakiwa kuwa na hekima zaidi ili kulinda ndoa, sasa nawe jitahidi kuangalia tatizo ni nini, aidha ombea ndoa yenu na muombee na yeye ili pendo la kwanza lirudi, pole sana na Mungu atakusaidia

    7. Study Abroad

    8. #66
      Idimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2007
      Location : Ikwiriri
      Posts : 4,646
      Rep Power : 13618
      Likes Received
      833
      Likes Given
      318

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Quote By Paul mathew
      Habari zenu wana jf, nimeoa na nina miaka 4 ya ndoa yangu, kadri siku zinavyokwenda napunguziwa dozi ya mapenz, zilizopita ilikuwa 5 mpaka 6 per month sasa hivi ni 1per month na anakua mkali yaani mpaka nibembeleze kama naomba employment ukipewa unaambiwa utapata tarehe kama hi next month nampenda sitaki kumsaliti naheshim ndoa yangu. Naombeni ushauri nifanyaje walau niongeze doz.
      Pole sana mkubwa.
      Maoni yangu hayana tofauti na ya wenzangu hapo juu, wanaosema kwamba mkae mzungumzie tatizo hilo na mkeo. Kwa kuwa wahusika wakuu wa kadhia hiyo ni nyie wawili, then kaa na mkeo muulize shida ilipo ili mjua namna ya kutanzua shida hiyo.
      A successful man is one who makes more money than his wife can spend. A successful woman is one who can find such a man!
      [email protected]

    9. #67
      wiseboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 539
      Likes Received
      169
      Likes Given
      29

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      je huko nyuma b4 ndoa alikuaje? je mlido wakat hamjafunga ndoa, dozi ilikuaje? hiyo background itanipa mwanga wa kukushauri...je ni mlokole? maana kuna watu hufika mda hupata idea conflict kwamba tendo la ndoa ndo dhambi kubwa....pia kuna 7bu kibao zisabishazo bt background inamata zaidi

    10. #68
      Dr.kapama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Posts : 156
      Rep Power : 411
      Likes Received
      22
      Likes Given
      15

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Sijaingia kwenye ndoa,ila kwa experience yangu ya mahusiano,naona hakuna kitu kikubwa baina ya watu wawili,wenye fikra tofauti,kama mawasiliano.
      Na mawasiliano yakiharibika basi maelewano yatapotea.
      Jaribu kutengeneza mawasiliano mazuri na mkeo ili aweze kuwa muwazi kwako.
      Maana asipokuwa muwazi kwako,ni vigumu kutambua tatizo kwa haraka.
      Jitahidi kuwa mvumilivu baba eeh,utasolve tu hilo tatizo...

    11. #69
      Paul mathew's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 393
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      [QUOTE=wiseboy;3973404]je huko nyuma b4 ndoa alikuaje? je mlido wakat hamjafunga ndoa, dozi ilikuaje? hiyo background itanipa mwanga wa kukushauri...je ni mlokole? maana kuna watu hufika mda hupata idea conflict kwamba tendo la ndoa ndo dhambi kubwa....pia kuna 7bu kibao zisabishazo bt background inamata zaidi. BEFORE MAMBO YALIKUA MAZURI NA UNYUMBA ILIKUWA SAFI. SIJUI NI SHETANI GANI KAINGILIA NDOA YANGU.

    12. #70
      Bosi Michembe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Location : Sengerema
      Posts : 213
      Rep Power : 442
      Likes Received
      52
      Likes Given
      33

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Quote By Paul mathew
      Habari zenu wana jf, nimeoa na nina miaka 4 ya ndoa yangu, kadri siku zinavyokwenda napunguziwa dozi ya mapenz, zilizopita ilikuwa 5 mpaka 6 per month sasa hivi ni 1per month na anakua mkali yaani mpaka nibembeleze kama naomba employment ukipewa unaambiwa utapata tarehe kama hi next month nampenda sitaki kumsaliti naheshim ndoa yangu. Naombeni ushauri nifanyaje walau niongeze doz.
      Jifunze kula mua aisee itapunguza presha.. Kwa maelezo zaidi watafute CHAWAPUTA..

    13. #71
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 601
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Hilo ni tatizo la wanawake wengi sana kwenye ndoa. Nasema hivi sababu hata mie yalianza kutokea, nikampa yellow card aende kwao mamake aliponiuliza nikamuelezea aliona aibu kubwa na kumsema mwanae aliporudi mashine naikamua kwa raha zangu! In short wanawake hujisahau pia, hiyo ndo maana huleta nyumba ndogo, yani hajiulizi we mwanaume wake mwezi mzima unapuchua wapi? Huyo anakutafutia lawama au maukimwi tu. Ila mchunguze anaweza akawa anamtu anampuchua nae wanawake wakinogewa husahau mazee, nasema hivi kwani yote yanawezekana mkuu, chunguza sana, haiwezekani mwezi! Du!

    14. #72
      Samkyjr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Posts : 319
      Rep Power : 476
      Likes Received
      40
      Likes Given
      20

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Inawezekana mwanamke ndiye mwenye uwezo wa kuiendesha familia kifedha wewe huna kitu, ila kama wewe ndiye mwezeshaji inatakiwa mkeo afundwe, malezi ya siku hizi hawa wanawake hawafundwi kwahiyo hawajui majukumu yao kinyumba hawajui kwa mwanaume mapenzi ni physical needs and is determined by biological factor tofauti kabisa na wao.

    15. #73
      Nawai's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 35
      Rep Power : 358
      Likes Received
      10
      Likes Given
      103

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Quote By Bigirita
      kama unabembeleza kama unaomba emplyment na unanyimwa basi hau-qualify kwenye hiyo position!!!
      hahahahaaaaa!!!............pol e sana, katafute kazi inayokufaaa.........!!!!

      Ahhaaaa hii nayo kali!!
      Duh!

    16. #74
      Young Master's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd December 2008
      Location : Arusha, Tanzania.
      Posts : 6,100
      Rep Power : 7416
      Likes Received
      2061
      Likes Given
      1476

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Quote By cacico
      Young_Master wangu, nitakupa each our bby wangu, mpaka ukinai mwenyewe! lolest! pole kaka mwaya mi no comment kwako jamani kha!
      Kwa jinsi tunda lako lilivyo sidhani kama nitaishiwa hamu ya kulila cacico. Nitalila kila siku hadi pale kifo kitakapotutenganisha.
      cacico likes this.
      Advertise your products, business & services with us 100% free |www.globaladverts.biz

    17. #75
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4997

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      Quote By Young_Master
      Kwa jinsi tunda lako lilivyo sidhani kama nitaishiwa hamu ya kulila cacico. Nitalila kila siku hadi pale kifo kitakapotutenganisha.
      always YM karibu ma' luv. mwahhhhhhhh!
      Young Master likes this.

    18. #76
      andishile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 592
      Rep Power : 477
      Likes Received
      144
      Likes Given
      276

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      utarudisha wangapi?inabidi huyo mwanaume akae chini ajiulize kulikoni mwanamke ambae awali walikuwa wanapeana mara tano au sita ,sasa hivi ni mara moja tu kwa mwezi,mimi nakuomba safari ijayo mkiwa mnaduuu mpe tofauti na aivyozoea,badilisha jinsi ya kufanya mapenzi ili akuone mpya kidogo,tafuta wajuzi wakusaidie katika hili,au soma vitabu,utaona mikao mbalimbali.utaona mabadiiko!
      Quote By fazaa
      Huyo mwanamke angekuwa mke wangu ningeisha mrudisha kwao, bora nikae bila mke kuliko kukaa na mke kama huyo.

    19. #77
      andishile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 592
      Rep Power : 477
      Likes Received
      144
      Likes Given
      276

      Default re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      mwe au mimi naova duu!mbona hata hiyo tano ya awali kama pia ilikuwa chache kwa mwezi!kweli kuwa uyaone!

    20. #78
      MOYO WA GLORY's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 157
      Rep Power : 387
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Bondpost
      Hilo ni tatizo la wanawake wengi sana kwenye ndoa. Nasema hivi sababu hata mie yalianza kutokea, nikampa yellow card aende kwao mamake aliponiuliza nikamuelezea aliona aibu kubwa na kumsema mwanae aliporudi mashine naikamua kwa raha zangu! In short wanawake hujisahau pia, hiyo ndo maana huleta nyumba ndogo, yani hajiulizi we mwanaume wake mwezi mzima unapuchua wapi? Huyo anakutafutia lawama au maukimwi tu. Ila mchunguze anaweza akawa anamtu anampuchua nae wanawake wakinogewa husahau mazee, nasema hivi kwani yote yanawezekana mkuu, chunguza sana, haiwezekani mwezi! Du!
      Kunw wanawake wengne nyumba ndogo wana ham nazo

    21. #79
      Bondpost's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Posts : 1,090
      Rep Power : 601
      Likes Received
      246
      Likes Given
      540

      Default

      Quote By MOYO WA GLORY
      Kunw wanawake wengne nyumba ndogo wana ham nazo
      Its true mamie, kama kweli ni mpenzi wako how could u be such selfish? Hata kama unafanya kazi, hiyo sababu maana kazi ina nafasi yake na mapenzi yana muda wake. Mwanamke anajisingizia uchovu mwezi mzima? Huyo inabidi kumuangalia kwa jicho la tatu. Ukimwi na nyumba ndogo zinakuja kirahisi sana katika ndoa kama hizi.

    22. #80
      Capital's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : SIRTE, LIBYA
      Posts : 315
      Rep Power : 499
      Likes Received
      52
      Likes Given
      62

      Default Re: Kupewa mara moja tu kwa mwezi...

      huyo si mke kitu. tangaza mgogoro kwanza, na usiishie hapo, mpige sanctions, then ndoa iishie hapo. imedhihirishwa kitabibu kuwa mwnume wa kuanzia miaka 30 yafaa apate tendo la ndoa walau mara moja kwa wiki ili kupunguza uwezekano wa kupatwa na kansa ya kizazi inaitwa prostate cancer. sasa wewe unaremba nini? utateseka peke yako hadi lini?

    23. Miaka 50
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...