Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 110
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!

      sipendi kuwa mchoyo wa elimu kwa hiyo acha niwapashe khabari kidogo..........lakini huyu bibi kule Kenya anapenda vijana wadogo wadogo wa kiume wampige mtama wa uhakika na huwalipa vizuri sana kama kazi yao imemridhisha na baadaye huwakinai na kuwatimua. Yupo tayari kufunga biashara zake akipata huduma stahiki...................na wakati mwingine huwafungia ndani waathrika wake kwa kipindi hivi akipata huduma ya uhakika....................... ....hata alisababisha kijana mmoja amkimbie mkewe kwa kuona mgawo wa mipesa ya huyu bi kizee........................

      nisiwamalizie utamu wenye kuujua umombo someni kwa furaha na wale ambao hawaujui basi ridhikeni na hii dibaji yangu...............

      Amorous granny with a love for young studs

      baada ya kusoma hivi ukipata kizee au bibi au babu na ana mipesa ya kumwaga je utafukuzia ugali au utachunga heshima yako hata kama ni kulala na njaa?

      hebu mnjibu nami nitaweelezea kilichoko moyoni mwangu kama ningelikuwa nimebanwa na huyu Bi kizee...........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      GAZETI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Location : ILALA
      Posts : 1,622
      Rep Power : 1303
      Likes Received
      647
      Likes Given
      1173

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Duh, mambo hayo!
      Rutashubanyuma likes this.
      NI SISI TWAWEZA

    4. #3
      M-bongotz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Location : Kwa Mtogole
      Posts : 1,521
      Rep Power : 780
      Likes Received
      245
      Likes Given
      13

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Itabidi niende nikatembelee huko Nakuru, naweza nikabahatika kumlamba mtama
      Rutashubanyuma, Nivea and Nawai like this.
      Huwezi kumshawishi nyani mzee kwamba asali ni tamu kuliko ndizi mbivu.

    5. #4
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Duh, mambo hayo!
      Hivi GAZETI ukimpata Bi Kizee wa kukumwagia minoti utampapatikia au utainiga mitini?
      MziziMkavu and GAZETI like this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    6. #5
      Ms Judith's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 2,542
      Rep Power : 968
      Likes Received
      849
      Likes Given
      584

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      mpendwa,

      kwani tatizo ni nini hasa?

      i am sorry, brother Ruta, i am doing my research, please indicate your research problem!!

      God Bless you!

      Glory to God!
      Rutashubanyuma likes this.
      Mtu awaye yote asiyempenda BWANA, na awe amelaaniwa. MARAN ATHA!!!
      (1 Wakorintho 16:22)

    7. Miaka 50

    8. #6
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Itabidi niende nikatembelee huko Nakuru, naweza nikabahatika kumlamba mtama
      @............kwahiyo uko njia moja kuelekea nakuru lakini kumbuka akikuchoka anakutimua bila ya huruma hata chembe...........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    9. #7
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      mpendwa,

      kwani tatizo ni nini hasa?

      i am sorry, brother Ruta, i am doing my research, please indicate your research problem!!

      God Bless you!

      Glory to God!
      Ms Judith ukimpata babu atayekusheheni vilivyo utaacha mbachao kwa msala upitao?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    10. #8
      Losambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Katikati
      Posts : 2,346
      Rep Power : 850
      Likes Received
      688
      Likes Given
      296

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Kabibi kaho Ruta kana pepo inabidi kaombewe,miaka sabini bado kanahitaji mtama!!!!!
      Rutashubanyuma likes this.

    11. #9
      GAZETI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Location : ILALA
      Posts : 1,622
      Rep Power : 1303
      Likes Received
      647
      Likes Given
      1173

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Quote By Rutashubanyuma
      Hivi GAZETI ukimpata Bi Kizee wa kukumwagia minoti utampapatikia au utainiga mitini?
      Mkuu niko vizuri sana sina shida ya noti ni juzi tu nimepata jiwe la
      dhahabu gram 500, kule Msumbiji bado sijatafuta mteja kwani sijui
      soko liko wapi, hivi nikiuza unafikiri nitawaza tena juu ya mabibi wenye
      fedha?
      Rutashubanyuma and Nawai like this.
      NI SISI TWAWEZA

    12. #10
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,732
      Rep Power : 5462
      Likes Received
      1961
      Likes Given
      2652

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Quote By Rutashubanyuma
      Ms Judith ukimpata babu atayekusheheni vilivyo utaacha mbachao kwa msala upitao?
      Rutashubanyuma duh huyu bibi ni noumer, ana mapepo si bure..............
      Kibabu anayesheheni..............mi moyo wangu mwepesi, i'll definitely pass mapenzi ya kulazimika nayaona magumu
      Rutashubanyuma likes this.

    13. #11
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,975
      Rep Power : 1218
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Habari nzuri kwa Almasi tena ukifikiria kidoti kamtema utasikia kesho kaenda kupiga show pande za huko
      Rutashubanyuma likes this.

    14. #12
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,332
      Rep Power : 2001
      Likes Received
      2116
      Likes Given
      7811

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      sijafungua hiyo link hivyo sijajua akipigwa mtama analipa kiasi gani, labda ningekata tiketi fasta.
      Rutashubanyuma likes this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    15. #13
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,542
      Rep Power : 6990
      Likes Received
      1166
      Likes Given
      580

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      si kimeumbwa kitumike na hakuna expiry date so sioni tatizo bb enjoy mitama
      Rutashubanyuma likes this.
      ASIYEUMBA HAUMBUI

    16. #14
      mashambaJr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Location : Loading....
      Posts : 368
      Rep Power : 425
      Likes Received
      58
      Likes Given
      27

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Huyo Mzee anaelekea akufaidi Ujana wake ndio sababu ya kutusumbua Masheni zetu.
      Hata hivyo natakakufanya safari ya Kwenda Kenya sababu nahisi kifaa changu kinakutu.
      Last edited by mashambaJr; 30th May 2012 at 21:53.
      Rutashubanyuma likes this.

    17. #15
      Ms Judith's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 2,542
      Rep Power : 968
      Likes Received
      849
      Likes Given
      584

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Quote By Rutashubanyuma
      Ms Judith ukimpata babu atayekusheheni vilivyo utaacha mbachao kwa msala upitao?
      mpendwa Ruta,

      huyo babu kama ni mume, basi hakuna tatizo. akinisheheni "vilivyo" kwa mujibu wa maelezo yako, tutasema kwa pamoja "Glory to God" na sioni kwa nini niache mbachao kwa msaala upitao! siioni sababu kwa kweli.

      kutoshelezwa haja ya ashiki ya mwili ni suala la kibinadamu na sioni "umaalum" wake. ni suala la kawaida kama ilivyo kula au kukaa kitini. acheni kuyatukuza mambo ya kawaida. call a spade by its name and it will be a spade for the rest of its life!

      ubarikiwe,

      Glory to God!
      Rutashubanyuma likes this.
      Mtu awaye yote asiyempenda BWANA, na awe amelaaniwa. MARAN ATHA!!!
      (1 Wakorintho 16:22)

    18. #16
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Kabibi kaho Ruta kana pepo inabidi kaombewe,miaka sabini bado kanahitaji mtama!!!!!
      Losambo hata wanawe wamemkimbia kwa kuona aibu ya vurugu zake nakubalina nawe kuwa pengine ana pepo mahaba...........na maombi ndiyo muarobaini wake
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    19. #17
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,572
      Rep Power : 5617
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2283

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      chezeya damu moto wewe.... Bibi anataka kuoashaaaa

    20. #18
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      mpendwa Ruta,

      huyo babu kama ni mume, basi hakuna tatizo. akinisheheni "vilivyo" kwa mujibu wa maelezo yako, tutasema kwa pamoja "Glory to God" na sioni kwa nini niache mbachao kwa msaala upitao! siioni sababu kwa kweli.

      kutoshelezwa haja ya ashiki ya mwili ni suala la kibinadamu na sioni "umaalum" wake. ni suala la kawaida kama ilivyo kula au kukaa kitini. acheni kuyatukuza mambo ya kawaida. call a spade by its name and it will be a spade for the rest of its life!

      ubarikiwe,

      Glory to God!
      Ms Judith you sound very wise and i feel am blessed already through your concerted prayers towards....me..............my cup is runs over from now onwards till the end of the ages................
      Ms Judith likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    21. #19
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Huyo bibi atakua na kiu-mshindo
      Rutashubanyuma likes this.
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    22. #20
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!!!!!!!

      Huyo Mzee anaelekea akufaidi Ujana wake ndio sababu ya kutushumbua Misheni zetu.
      Hata hivyo natakakufanya safari ya Kwenda Kenya sababu nahisi kifaa changu kinakutu.
      elly_black kwa hiyo washauri ujana utumike ipasavyo kuepuka balaa za kuchangamkia ujana uzeeni?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...