Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanaume wa kiMassai. . .

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 100
    1. #1
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Wanaume wa kiMassai. . .

      Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu.

      Nwy siku zote tunasikia na kuambizana kwamba mwanaume ni yule anaeweza kujali,lisha na kulinda familia yake (provide for them). Miongoni mwa watu wanaoonekana wanaume kwenye jamii yetu ni waMassai kwa uhodari wa kuwinda na hata kuua simba kwa mikono, tena wakiwa na mikuki/sime zao ndo kabisa wanaonekana wa ukweliii.

      Pamoja na kwamba nimewahi kuishi nao miaka ya nyuma, sikuwahi kujua baadhi ya mila zao juu ya maisha ya kila siku na namna yanavyoendeshwa ila sasa nimejua na ndio nikapata maswali kadhaa juu ya wanaume hao.

      Kwanza kabisa hawajengi. Anaejenga ni mwanamke (mke/wake zake), na ole wao mvua inyeshe alafu bwana anyeshewe. . . lazima mama aambulie kibano na aeleze kwanini 'bwana inyeshewe'( in a Massai accent).
      Pili chakula anatafuta mama.
      Kutwa nikiangalia naona wanawake ndio wanaopita na punda + madumu kwenda kutafuta maji na kuni wanakokujua wao.

      Wanaume utawaona wanapita fimbo zao + mbuzi na ng'ombe kupeleka machungani tu BASI. Wakija dukani wanaume wengi ni wanaulizia kiroba na beer. . . wachache sana watataka chumvi, sukari, mafuta, mchele au hata pipi za watoto kuashiria anakumbuka na kujali familia.
      Mashine (kusaga na kukoboa) wanaokuja ni wanawake. . .
      Kukamua wao. . .
      Kupika wao. . .
      Malezi wao. . .
      Yani wanaume wao ni machungani kwenda kupiga soga huko wakati wamama wanapanda na kushuka na barabara. Kwa ufupi. . .wanalelewa na kutunzwa na wake zao.

      Je nao ni wanaume? Au ndo sawa na wale wanaoitwa 'MARIO' mjini? Au yeye sio muAfrika hivyo ule utamaduni wa 'mwanaume wa kiAfrika ni provider' hauwahusu?

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,555
      Rep Power : 5614
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      lizzy,
      mijanaume ....oopphs sorry
      wanaume wa kiafrica wengi ndivyo walivyo...
      kazi yao kusugua miguu mwaname ndo atafute...
      alime, apike, alee
      yaani taabu tupu....

      usishangae kwa makabila ya walimaji, mume na mke wakitoka shamba(kama mume siku hiyo kaenda kulima) mke atabeba jembe, mtoto, na atapita kuchuma mboga na kuokota kuni, mume atarudi nyumbani asubiri mke apike ale aende kilabuni.... jioni mke na watoto wende shamba........................ ....



      Kipipi likes this.
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    4. #3
      fazaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2009
      Posts : 2,985
      Rep Power : 1106
      Likes Received
      971
      Likes Given
      770

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Acheni kuchunguza chunguza kila mtu ana mila yake.
      Roulette and Meritta like this.

    5. #4
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      hili ni kama tusi kwa jamii ya kimasai.u r totaly wrong..na ninawasiwasi kama umeichunguza vyema hii jamii ya kimasai..labda umesikia hadithi tu..kutoka kwa watu..

    6. #5
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By mkaliwakitaa
      hili ni kama tusi kwa jamii ya kimasai.u r totaly wrong..na ninawasiwasi kama umeichunguza vyema hii jamii ya kimasai..labda umesikia hadithi tu..kutoka kwa watu..
      Nimeona mwenyewe maana niko katikati yao. Wewe kama unaona niliyoona sijayaona vizuri basi jaribu kunipa picha tofauti.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By BADILI TABIA
      lizzy,
      mijanaume ....oopphs sorry
      wanaume wa kiafrica wengi ndivyo walivyo...
      kazi yao kusugua miguu mwaname ndo atafute...
      alime, apike, alee
      yaani taabu tupu....

      usishangae kwa makabila ya walimaji, mume na mke wakitoka shamba(kama mume siku hiyo kaenda kulima) mke atabeba jembe, mtoto, na atapita kuchuma mboga na kuokota kuni, mume atarudi nyumbani asubiri mke apike ale aende kilabuni.... jioni mke na watoto wende shamba........................ ....



      BT kama ulikuwepo vile. . .
      Alafu bado utakuta nao wanajiita kichwa cha familia, wakati utendaji wao sawa na wa mkia!!!

    9. #7
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,306
      Rep Power : 13761
      Likes Received
      5150
      Likes Given
      4535

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Lizzy hii sikuwahi kuijua wala kuifikiria ingawa nilikuwa ninaona maisha ya aina hii ndani ya jamii hii ya kimasai. Ila kama ni mila zao sidhani kama ni kitu cha ajabu pengine ni kutaka kugeneralize maisha yawe mamoja. hahah yaani tutake atakavyoishi John Mkilanga ndivyo anavyotakiwa kuishi Laizer Alaileyoo huko Mang'ati!

      By the way ninasikia kuwa hawa wanajua kupenda teh teh teh
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    10. #8
      BARRY's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st October 2009
      Posts : 154
      Rep Power : 517
      Likes Received
      15
      Likes Given
      4

      Default

      Masai ni jamii ya binadamu lakini siyo watu
      Quote By Lizzy
      Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu.

      Nwy siku zote tunasikia na kuambizana kwamba mwanaume ni yule anaeweza kujali,lisha na kulinda familia yake (provide for them). Miongoni mwa watu wanaoonekana wanaume kwenye jamii yetu ni waMassai kwa uhodari wa kuwinda na hata kuua simba kwa mikono, tena wakiwa na mikuki/sime zao ndo kabisa wanaonekana wa ukweliii.

      Pamoja na kwamba nimewahi kuishi nao miaka ya nyuma, sikuwahi kujua baadhi ya mila zao juu ya maisha ya kila siku na namna yanavyoendeshwa ila sasa nimejua na ndio nikapata maswali kadhaa juu ya wanaume hao.

      Kwanza kabisa hawajengi. Anaejenga ni mwanamke (mke/wake zake), na ole wao mvua inyeshe alafu bwana anyeshewe. . . lazima mama aambulie kibano na aeleze kwanini 'bwana inyeshewe'( in a Massai accent).
      Pili chakula anatafuta mama.
      Kutwa nikiangalia naona wanawake ndio wanaopita na punda + madumu kwenda kutafuta maji na kuni wanakokujua wao.

      Wanaume utawaona wanapita fimbo zao + mbuzi na ng'ombe kupeleka machungani tu BASI. Wakija dukani wanaume wengi ni wanaulizia kiroba na beer. . . wachache sana watataka chumvi, sukari, mafuta, mchele au hata pipi za watoto kuashiria anakumbuka na kujali familia.
      Mashine (kusaga na kukoboa) wanaokuja ni wanawake. . .
      Kukamua wao. . .
      Kupika wao. . .
      Malezi wao. . .
      Yani wanaume wao ni machungani kwenda kupiga soga huko wakati wamama wanapanda na kushuka na barabara. Kwa ufupi. . .wanalelewa na kutunzwa na wake zao.

      Je nao ni wanaume? Au ndo sawa na wale wanaoitwa 'MARIO' mjini? Au yeye sio muAfrika hivyo ule utamaduni wa 'mwanaume wa kiAfrika ni provider' hauwahusu?

    11. #9
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,054
      Rep Power : 14519
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Quote By BADILI TABIA
      lizzy,
      mijanaume ....oopphs sorry
      wanaume wa kiafrica wengi ndivyo walivyo...
      kazi yao kusugua miguu mwaname ndo atafute...
      alime, apike, alee
      yaani taabu tupu....

      usishangae kwa makabila ya walimaji, mume na mke wakitoka shamba(kama mume siku hiyo kaenda kulima) mke atabeba jembe, mtoto, na atapita kuchuma mboga na kuokota kuni, mume atarudi nyumbani asubiri mke apike ale aende kilabuni.... jioni mke na watoto wende shamba........................ ....



      na bado akirudi kutoka kilabu usiku, anataka mchezo, tena game heavy! tufiakwa, najitemea mate kifuani, its beter to stay single!
      BADILI TABIA likes this.

    12. #10
      mtu chake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : Kivu
      Posts : 2,159
      Rep Power : 1761
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      1327

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Quote By Lizzy
      Dah. . . kumbe waMassai nao wanajua kuFLIRT ehhhh?Hehehe. . nilidhani hayo ni mambo ya watu wa mujini tu.

      Nwy siku zote tunasikia na kuambizana kwamba mwanaume ni yule anaeweza kujali,lisha na kulinda familia yake (provide for them). Miongoni mwa watu wanaoonekana wanaume kwenye jamii yetu ni waMassai kwa uhodari wa kuwinda na hata kuua simba kwa mikono, tena wakiwa na mikuki/sime zao ndo kabisa wanaonekana wa ukweliii.

      Pamoja na kwamba nimewahi kuishi nao miaka ya nyuma, sikuwahi kujua baadhi ya mila zao juu ya maisha ya kila siku na namna yanavyoendeshwa ila sasa nimejua na ndio nikapata maswali kadhaa juu ya wanaume hao.

      Kwanza kabisa hawajengi. Anaejenga ni mwanamke (mke/wake zake), na ole wao mvua inyeshe alafu bwana anyeshewe. . . lazima mama aambulie kibano na aeleze kwanini 'bwana inyeshewe'( in a Massai accent).
      Pili chakula anatafuta mama.
      Kutwa nikiangalia naona wanawake ndio wanaopita na punda + madumu kwenda kutafuta maji na kuni wanakokujua wao.

      Wanaume utawaona wanapita fimbo zao + mbuzi na ng'ombe kupeleka machungani tu BASI. Wakija dukani wanaume wengi ni wanaulizia kiroba na beer. . . wachache sana watataka chumvi, sukari, mafuta, mchele au hata pipi za watoto kuashiria anakumbuka na kujali familia.
      Mashine (kusaga na kukoboa) wanaokuja ni wanawake. . .
      Kukamua wao. . .
      Kupika wao. . .
      Malezi wao. . .
      Yani wanaume wao ni machungani kwenda kupiga soga huko wakati wamama wanapanda na kushuka na barabara. Kwa ufupi. . .wanalelewa na kutunzwa na wake zao.

      Je nao ni wanaume? Au ndo sawa na wale wanaoitwa 'MARIO' mjini? Au yeye sio muAfrika hivyo ule utamaduni wa 'mwanaume wa kiAfrika ni provider' hauwahusu?
      ..aisee hii..ni Documentary tosha...umenipa idea . Lizzy
      @@

    13. #11
      Pharaoh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Posts : 748
      Rep Power : 563
      Likes Received
      121
      Likes Given
      201

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Miaka 100 iliyopita hata Ulaya walikuwa hivi hivi ndio dunia ya zamani ilivyokuwa. Hapa Pemba wanaume wanalazimisha wake zao wajamiiane na Muarabu ili azaliwe mtoto mweupe, walio weusi wanajutia kwa nini bibi zao nao hawajabakwa na Waarab enzi hizo, Mashehe usiku kucha na ngazi kupiga chabo
      BADILI TABIA likes this.

    14. #12
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,141
      Rep Power : 13061
      Likes Received
      14087
      Likes Given
      14889

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Nitarudi kutofautiana na Lizzy kwa asilimia fulani.
      Nitafanya comparison na wasukuma, yote yakiwa makabila ya wafugaji japo wasukuma na ukulima upo.

      Kwa kifupi, wanamme haswa!

      Nimerudi Lizzy kama nilivyokuahidi.

      Kwanza kabisa kila jamii ina mgawanyo wake wa kazi kulingana na mahitaji yake na kazi hizo zimegawanyika kulingana na vipaumbele.
      Sijakaa umasaini lakini kwa mtizamo wa kifugaji na ukizingatia kwamba wamasai kwa asili ni wafugaji tu kwwa hiyo kwao mifugo ndio ilikuwa 'resource' kubwa ya familia.

      Na nikiangalia jiografia ya maeneo ambayo wamasai wanaishi ni maeneo yaliyo karibu na mbuga za wanyama. Nikizidi kuaangalia ufugaji wa kimasai ni ule wa kuhama hama na si wa kutulia eneo moja ili kutafuta malisho na maji kutokana na wingi wa mifugo waliokuwa nayo.

      Basi kulingana na sababu hizo hapo juu jukumu kbwa la mwanamme wa kimasai ilikuwa ni kulinda mifugo kati ya wanyama wakali pamoja na kuwinda, nadhani ndio maana wao wana courage hata ya kupambana na simba. Kwa hiyo majukumu mabayo kwao yalionekana marahisi kama kusaga, pika, jenga nyumba waliachiwa wanawake.

      Nikiwalinganisha na wasukuma kidogo kuna utofauti sababu hawa ni wafugaji na wakulima.
      Nadhani ndio maana wao wana makazi ya kudumu, na kwa kuangalia jiografia hawako mbugani kwa hiyo nguvu iliyo kwenye ulinzi ni ya wastani.

      Hii imefanya kazi za kuchunga, kujenga nyumba(permanent) ni za wanamme. Kilimo ni 50/50 japo napo kuna mazao ambayo ni jukumu la baba(nafaka na pamba) na ambayo ni jukumu la mama(viazi na mboga) japo wanafanya kazi kwa pamoja

      Wasukuma hao hao, walio mpakani na wamasai na wakurya mara nyingi walikuwa wanajikuta wanapigania mifugo, katika maeneo hayo (nadhani maeneo ya Bariadi) utakuta jukumu la kuchunga ni la na kukamua waliachiwa akina mama. Hii nadhani ilitokana na wanamme hao hao wa kisukuma kugawa nguvu zao zingine katika ulinzi wa mifugo uliotokana na wizi wa wakurya na wamasai.

      Kwa hiyo kwa wanawake wa kimasai kufanya kazi hizo sioni kama wanamme wao si wanamme sababu kwao kipaumbele kilikuwa kwenye ulinzi.

      Nikupe tu mfano: Maeneo ya pwani kuchinja kitu chochote si kazi ya mwanamke hata kuku, wakati kwa wasukuma kuku anachinjwa na watoto wa kiume au mwanamke anayepika sababu kuku hakuwa kupaumbele naye kuwa ni mnyama wa kushughulikiwa na mwanamme mkubwa. (warining: ukija kwangu ukala kuku jua nimenchinja mwenyewe)
      Last edited by Kongosho; 29th May 2012 at 19:17.
      Ndahani and Kipipi like this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    15. #13
      mashambaJr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Location : Loading....
      Posts : 368
      Rep Power : 425
      Likes Received
      58
      Likes Given
      27

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Wamasai wamegawa majukumu kwa kila mtu wa jamii zao,hivyo kuona shughuli za mwanamke ni nyingi sio kweli kwani Mwanaume wa kimasai kwa shughuli ya uchungaji wa wanyama ni ngumu kweli kweli sababu huko porini mara wakutane na wanyama hatari.
      Hivyo usidharau mila na utamaduni kwa niwatu wazima walio anzisha Mila hizi.

    16. #14
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,396
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Ndahani likes this.
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    17. #15
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,396
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      [IMG]http://api.ning.com/files/hvRMUrKu9CTfCcM2rvPf88I1cxqbSa XUipiHANyWh5MttagBHFsady1DrjK0 6rkqYhhmSkBIBA74qMCrG5yqDmY*U* cz1TjN/IMG_1564.JPG[/IMG]
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    18. #16
      Zinduna's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Location : Mzizima
      Posts : 1,239
      Rep Power : 11041
      Likes Received
      1441
      Likes Given
      2026

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Huku ZNZ ni kinyume chake.

    19. #17
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By MwanajamiiOne
      Lizzy hii sikuwahi kuijua wala kuifikiria ingawa nilikuwa ninaona maisha ya aina hii ndani ya jamii hii ya kimasai. Ila kama ni mila zao sidhani kama ni kitu cha ajabu pengine ni kutaka kugeneralize maisha yawe mamoja. hahah yaani tutake atakavyoishi John Mkilanga ndivyo anavyotakiwa kuishi Laizer Alaileyoo huko Mang'ati!

      By the way ninasikia kuwa hawa wanajua kupenda teh teh teh
      Hhhmmm. . .kama kupenda kwenyewe ndo huko kwakufanyishana kazi kama punda I think i'll pass.

    20. #18
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By mtu chake
      ..aisee hii..ni Documentary tosha...umenipa idea . Lizzy
      Usisahau tu kunitaja kwenye hiyo Documentary mtu chake .

    21. #19
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Kongosho
      Nitarudi kutofautiana na Lizzy kwa asilimia fulani.
      Nitafanya comparison na wasukuma, yote yakiwa makabila ya wafugaji japo wasukuma na ukulima upo.

      Kwa kifupi, wanamme haswa!
      We Kongosho juzi tena ulisema utarudi sikukuona.

      Pharaoh . . .duh. . .kweli kazi wanayo.


      Quote By elly_black
      Wamasai wamegawa majukumu kwa kila mtu wa jamii zao,hivyo kuona shughuli za mwanamke ni nyingi sio kweli kwani Mwanaume wa kimasai kwa shughuli ya uchungaji wa wanyama ni ngumu kweli kweli sababu huko porini mara wakutane na wanyama hatari.
      Hivyo usidharau mila na utamaduni kwa niwatu wazima walio anzisha Mila hizi.
      Pori gani wakati wanachunga mi nawaona? Kungekuwa na wanyama wakali hapa karibu hata mimi ningekua hatarini. Kwenye wanyama ni hukoo mashambani, sehemu ambayo hawawezi kuchunga maana wanyama wataharibu mazao ya watu.

    22. #20
      Kipaji Halisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 606
      Rep Power : 2648
      Likes Received
      452
      Likes Given
      686

      Default Re: Wanaume wa kiMassai. . .

      Quote By Lizzy
      Usisahau tu kunitaja kwenye hiyo Documentary mtu chake .
      ....ucjari..nitakutaja...ni kijiji gani hiko..nipate kwa kuanzia..

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...