Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: nahitaji ushauri wenu wana mmu

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 56
    1. #1
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,292
      Rep Power : 34408
      Likes Received
      10503
      Likes Given
      14586

      Default nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Mimi ni kijana wa kiume (39) niliye anza kuoa miaka tisa iliyopita. Mpaka sas nina wake wawili na kwakuwa inmani yangu inaruhusu basi sikuona kwanini niwe na mmoja ili hali dunia imejaa wanawake wazuri na warembo na kila mmoja anamvuto wa pekee.

      Nilimuoa bi mdogo miaka 4 iliyopita, nikiwa tayari nina watoto 2 kwa bi mkubwa. Mungu kanibariki sasa ninao 3 yaani bi mkubwa 2 na mdogo 1 na sina mpango wa kuendelea tena kuzaa. Kuna tatizo moja ambalo limejitokeza ndio maana nimeamua kuja hapa kutaka ushauri wenu.

      Wake zangu hawa bi mkubwa na bi mdogo wanapendana sana, kiasi kwamba napata raha kuish nao, mdogo kwa sheria zetu basi anamwita mkubwa dada. Kila mtu ana mji wake wa maana kwamba nimewajengea ila siyo maeneo ya karibu kiasi kwamba wakitaka kutembeleana lazima wapande gari.

      Mimi ninayepanga zamu kwangu hainipi shuda kwani yote ni miji yangu so nikiwa kwa dada mtu mdogo mtu najuaa na kinyume chake. Sikuwahi hata siku moja kuchukia urafiki wa wake zangu na nilipendezwa sana wala sikujua nini kimo kati yao wao nisichokijua.

      Kumbe wote wawili wana vidumu (mabuzi) katika kuchunguza nikajua kuwa dada na mdogo wake huwa wana vibuzi maringo na nikiwa zamu basi asiye kuwa na zamu anatoka na kibuzi chake. Kiasi kwamba siyo wao tu wenye zamu kumbe hata mimi napangiwa zamu.

      kwa kweli nimechukizwa na hali hii na sijui nifanyeje manake sitaki kuongeza mke mwingine hawa nilio nao naona nawamudu isitoshe sitaki kuzaa tena watoto tulio nao wanatosha.
      Naombeni ushauri juu ya hili nifanyeje au wewe ungefanyeje kama mwanaume mwingine anakuja kulala nyumbani kwako na kula vyakula mpaka wake zako? kila mmoja anakibuzi chake na hivi vibuzi vinafahamiana.

      Nawasilisha

      tafadhali kashfa na matusi usinitumie ukiona huwez kushaur basi pita tu. ushauri wa hekima utapokelewa na kufanyiwa kazi


    2. #2
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Mkuki kwa nguruwe......
      Sioni kama kuna tatizo we endelea tu na mapenzi kwa wake zako,kuoa mke mwingine sio solution na hata yy atakua na kidumu tu. Kwaheri
      Kaunga and gfsonwin like this.

    3. #3
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Ahhh well, kama we unaona unastahili kuwa na wawili na wao wameona isiwe tabu. Wenzio nao wana mahitaji ambayo pengine wanahitaji kuyatimiza kila siku kama ufanyavyo wewe kwahiyo wanafanya lile linalowapa wanachohitaji.

      Naomba nisichangie zaidi maana mimi naona kuwa na wake wawili au zaidi ni tabia ya kibinafsi hivyo naweza nisikupe ushauri unaotaka wewe.
      Kaunga and gfsonwin like this.

    4. #4
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,961
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Duh!Nilikuwa najua wewe mwanamke,ngoja nisome halafu nichangie!
      Asprin, mjasiria and gfsonwin like this.

    5. #5
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,292
      Rep Power : 34408
      Likes Received
      10503
      Likes Given
      14586

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Quote By Yummy View Post
      Mkuki kwa nguruwe......
      Sioni kama kuna tatizo we endelea tu na mapenzi kwa wake zako,kuoa mke mwingine sio solution na hata yy atakua na kidumu tu. Kwaheri
      asante sana Yummy ila kumbuka mimi sijaoa kuwakomoa bali naruhusiwa na wao ni wanawake wanapaswa wawe na mume mmoja tu.


    6. #6
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,292
      Rep Power : 34408
      Likes Received
      10503
      Likes Given
      14586

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Quote By Lizzy View Post
      Ahhh well, kama we unaona unastahili kuwa na wawili na wao wameona isiwe tabu. Wenzio nao wana mahitaji ambayo pengine wanahitaji kuyatimiza kila siku kama ufanyavyo wewe kwahiyo wanafanya lile linalowapa wanachohitaji.

      Naomba nisichangie zaidi maana mimi naona kuwa na wake wawili au zaidi ni tabia ya kibinafsi hivyo naweza nisikupe ushauri unaotaka wewe.
      well said Lizzy. lakin siyo ubinafsi kama unavyodhani ww

    7. #7
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,292
      Rep Power : 34408
      Likes Received
      10503
      Likes Given
      14586

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Quote By Eiyer View Post
      Duh!Nilikuwa najua wewe mwanamke,ngoja nisome halafu nichangie!
      Eiyer, swala la jisia nafikiri halina mashiko sana kwa hapa ila nahitaj zaid ushauri wako

    8. #8
      Joseph's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2007
      Location : Zanzibar
      Posts : 2,805
      Rep Power : 1235
      Likes Received
      736
      Likes Given
      474

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Balaa limeingia ndani ya nyumba zako na usipoangalia basi siku zako zipo mashakani,fuata moyo wako baada ya kuwa umejiridhisha kuwa wanakuendea kinyume na kama uliweza kuoa basi pia kwa sheria za dini yako unaweza kuacha maana wanachokufanyia wake zako ni dhambi na una haki zote kuwaacha na kuoa wake wengine.
      gfsonwin likes this.
      You can never have someone praise you,nor will anyone condemn you,never in the past,not at present and never will be in the future.

    9. #9
      Wizzo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Arusha
      Posts : 440
      Rep Power : 522
      Likes Received
      82
      Likes Given
      34

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      sheria nyingine bana,kwanini wanawake wao wasiruhusiwe kua na zaid ya mmja.we piga kimya tu
      gfsonwin likes this.

    10. #10
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,961
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Kwanza pole.Matatizo yako yanaanzia kwako mwenyewe.Sidhani kama ulijiuliza unataka nini kwa mkeo mpaka ulipooa ukagundua hana ukaoa mwingine na mwingine mpaka wa4.Pia wake zako wana mahitaji kwako sidhani kama unayatimiza,hebu zungumza nao kwa upendo uwaulize halaeu uone watakujibu kitu gani.Najua wanaume huwa tuna mambo ya ubabe lakini sio kila mahali ni ubabe,busara inahitajika hapo!
      BADILI TABIA and gfsonwin like this.

    11. #11
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,341
      Rep Power : 13772
      Likes Received
      5164
      Likes Given
      4565

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      gfsonwin pole sana kaka kwa maswahibu yaliyokukuta. Ninaamini kabisa kuwa hao wakezo ni wadini moja na wewe na wanaelewa na kukubaliana na dini isemavyo juu ya ndoa za aina hiyo. Kama ni hivyo basi wanakukosea na wanamkosea MUNGU wanayemuabudu. Hakuna justification ya wanachokifanya kwa sababu hawakulazimishwa kuingia katinda ndoa na wewe.

      Cha kufanya, waketishe chini ukiwa na ushahidi wenye vielelezo vya kutosha na uongee nao kama marafiki zako, wakueleze sababu za wao kufanya hivyo kisha mkubaliane way forward!

      Chini ya kapeti: Jaribu hata mkuyati ..............
      Kaunga, mjasiria and gfsonwin like this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    12. #12
      promiseme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2010
      Posts : 1,104
      Rep Power : 691
      Likes Received
      314
      Likes Given
      16

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Hayo unayo yaongea umeyaona kwa macho yako au umeyasikia au unahisi? sababu dhana mbaya na hata kama wanapenda kama mtu na dada yake lakini kila mtu anaakili yake haiwezekani kuwana kibuzi mwenzie akajua,ebu fanya uchunguzi tena, jaribu kukaa nae uwaulize nini kimepungua jee ni umepunguza majambozi au malezi na mapenzi umepunguza? ebu kaa nao chini kila mmoja kwa wakati wake...inshallah utalipata jibu...
      "It is better to be hated for what you are then to be loved for what you are not."

    13. #13
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 11,292
      Rep Power : 34408
      Likes Received
      10503
      Likes Given
      14586

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Quote By Eiyer View Post
      Kwanza pole.Matatizo yako yanaanzia kwako mwenyewe.Sidhani kama ulijiuliza unataka nini kwa mkeo mpaka ulipooa ukagundua hana ukaoa mwingine na mwingine mpaka wa4.Pia wake zako wana mahitaji kwako sidhani kama unayatimiza,hebu zungumza nao kwa upendo uwaulize halaeu uone watakujibu kitu gani.Najua wanaume huwa tuna mambo ya ubabe lakini sio kila mahali ni ubabe,busara inahitajika hapo!
      Eiyer umesema vizuri sana labda nikwambie hivi mimi binafsi ni mfanyabiashara mzuri nina maduka ya hardwares ya kwangu binafsi 4. ila pia kila bi mkubwa anabiashara yake mwenyewe ambayo mtaji nimempa mimi mwenyewe. Na wakati nafanya hayo niliwauliza kila mtu aseme anataka nini nisije nikaforce so walivyochagua ndivyo nilivyo watimizia.

      Istoshe maisha ya ndani siku nyinine huwa naenda nao shopping wote wawili, za vyakula na hata nguo na mapambo ya kike kwa mujibu wa sheria za kiislam. Panapo matatizo huwa najitoa ukweni kote pasi ubaguzi na wao wote wanashirikiana vizuri sana.

      mpaka sasa hawajasema kwa nini huwa wanatoka nje ya ndoa, na mimi niliwaambia sitokaa nitoke ndio maana ninao wao wawili na nawapenda sana. nimefika mahali nimehisi hata mambo mabaya juu yao inshalla Mungu anisamehe.

    14. #14
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Quote By Eiyer View Post
      Duh!Nilikuwa najua wewe mwanamke,ngoja nisome halafu nichangie!
      Eiyer mwenzangu sio peke yako....kuna siku huyu mtu alisema amejifungua jamani au mimi ndio nachanganya madawa hapa???
      gfsonwin likes this.
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    15. #15
      biggirl's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th May 2012
      Posts : 66
      Rep Power : 369
      Likes Received
      10
      Likes Given
      4

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Quote By gfsonwin View Post
      asante sana Yummy ila kumbuka mimi sijaoa kuwakomoa bali naruhusiwa na wao ni wanawake wanapaswa wawe na mume mmoja tu.
      imani imechakachuliwa hiyo..nani asiyependa kuwa one husband &one wife?imekula kwako sorry to say bt chekecha kaka hiyo imani itakuumiza
      For I know the plans I have for you,” declares the LORD, You will seek me and find me when you seek me with all your heart.Jeremiah 29: 11-13

    16. #16
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By gfsonwin View Post
      Eiyer umesema vizuri sana labda nikwambie hivi mimi binafsi ni mfanyabiashara mzuri nina maduka ya hardwares ya kwangu binafsi 4. ila pia kila bi mkubwa anabiashara yake mwenyewe ambayo mtaji nimempa mimi mwenyewe. Na wakati nafanya hayo niliwauliza kila mtu aseme anataka nini nisije nikaforce so walivyochagua ndivyo nilivyo watimizia.

      Istoshe maisha ya ndani siku nyinine huwa naenda nao shopping wote wawili, za vyakula na hata nguo na mapambo ya kike kwa mujibu wa sheria za kiislam. Panapo matatizo huwa najitoa ukweni kote pasi ubaguzi na wao wote wanashirikiana vizuri sana.

      mpaka sasa hawajasema kwa nini huwa wanatoka nje ya ndoa, na mimi niliwaambia sitokaa nitoke ndio maana ninao wao wawili na nawapenda sana. nimefika mahali nimehisi hata mambo mabaya juu yao inshalla Mungu anisamehe.
      Kwahiyo we hujui kabisa nini wanachopewa na vidumu vyao? Ni hiyo huduma usiyoweza kuwapa wote kila siku.

    17. #17
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1899
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Quote By Joseph View Post
      Balaa limeingia ndani ya nyumba zako na usipoangalia basi siku zako zipo mashakani,fuata moyo wako baada ya kuwa umejiridhisha kuwa wanakuendea kinyume na kama uliweza kuoa basi pia kwa sheria za dini yako unaweza kuacha maana wanachokufanyia wake zako ni dhambi na una haki zote kuwaacha na kuoa wake wengine.
      Ama kweli za JF, changanya na zako
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    18. #18
      Nivea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,985
      Rep Power : 16312
      Likes Received
      3401
      Likes Given
      4342

      Default

      Quote By Joseph View Post
      Balaa limeingia ndani ya nyumba zako na usipoangalia basi siku zako zipo mashakani,fuata moyo wako baada ya kuwa umejiridhisha kuwa wanakuendea kinyume na kama uliweza kuoa basi pia kwa sheria za dini yako unaweza kuacha maana wanachokufanyia wake zako ni dhambi na una haki zote kuwaacha na kuoa wake wengine.
      hebu chukua akili zako changanya na za mbayuwayu then mshauri mtoa mada unapotosha watu still sio solution.

    19. #19
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,635
      Rep Power : 32119
      Likes Received
      14717
      Likes Given
      22280

      Default Re: nahitaji ushauri wenu wana mmu

      Kumbe gfsonwin ni kidume kama mimi........???

      Nimekoma kutongoza kwa PM.

      Ngoja niende zangu facebook nikajaribu bahati yangu kule.

      Ila kiukweli: We umetaka wawili na wao wametaka wawili.......... Bahati mbaya sana na hivyo vidumu vyao navyo vina wawili....... Sasa ushauri wa kibabubabu. OA WA TATU ili uwakomoe wao wawe na wawili we uwe na watatu.

      HITIMISHO: Kuoa mke zaidi ya mmoja si suluhisho la kupambana infidelity. Infidelity is inevitable.
      Ukiamua kucheat, cheat responsibly.

      Sawa eh?
      BADILI TABIA, Yummy and gfsonwin like this.
      ....Shimo La Panya Halizibwi Kwa Mkate.....

    20. #20
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,961
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Lizzy View Post
      Kwahiyo we hujui kabisa nini wanachopewa na vidumu vyao? Ni hiyo huduma usiyoweza kuwapa wote kila siku.
      Hii inaweza kuwa moja ya sababu,lakini inaweza isiwepo kabisa.Sio kila anaetoka nje hatimiziwi,hapa kuna mambo mengi sana ndo maana nimemwambia azunguze nao kwa upendo!
      mjasiria likes this.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...