Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 38
    1. #1
      bornagain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Location : Nyakanazi - Biharamulo
      Posts : 1,606
      Rep Power : 690
      Likes Received
      435
      Likes Given
      318

      Default Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Jamani mimi ni kijana wa kiume nimeoa miezi mitatu iliyopita, naomben wadau mnisaidie kina jambo linanitatiza. Mimi kwetu ni Dar es Salaam na wazazi wangu wanakaa Dar es Salaam. Lakini mke wangu yeye kwao ni mkoani na wazazi wake wanaishi huko mkoani. Swali langu ni hili, hivi naweza kwenda nyumbani kuwasalimia wazazi wangu bila kuwa na mke wangu mfano nimetoka kazini halafu nikapitia nyumbani then nikamwambia mke wangu kuwa nimepitia kwetu, hiyo itakua mbaya au inatakiwa kila nikienda nyumbani niwe na mke wangu au nimfahamishe mapema kabla ya safari? Naombeni ushauri wenu na namna ya kuhandle hili suala maana mimi bado mchanga kwenye ndoa.
      There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".

    2. Miaka 50

    3. #2
      gango2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2011
      Location : From Moshi
      Posts : 682
      Rep Power : 526
      Likes Received
      197
      Likes Given
      166

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      duuu, hapa sina la kuongea kwani sijaoa, lakini kwa mtazamo wangu haina shida unaweza kupitia ukamwambia mkeo kuwa umepita nyumbani, ila angalizo safari za nyumbani kwenu zipungue sasa, unaenda kwenu kufanya nini tena, kusalimu?? tumia simu bana, usimtenge mkeo, kwenda nae ndio vizuri zaidi na atajisikia furaha na amani, kuliko kwenda alone
      mjasiria and BlackBerry like this.
      "Kama tunalipa wabunge sitting allowances, basi tulipe walimu standing allowance!"- Dr.Slaa

    4. #3
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,131
      Rep Power : 2418
      Likes Received
      936
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By gango2
      duuu, hapa sina la kuongea kwani sijaoa, lakini kwa mtazamo wangu haina shida unaweza kupitia ukamwambia mkeo kuwa umepita nyumbani, ila angalizo safari za nyumbani kwenu zipungue sasa, unaenda kwenu kufanya nini tena, kusalimu?? tumia simu bana, usimtenge mkeo, kwenda nae ndio vizuri zaidi na atajisikia furaha na amani, kuliko kwenda alone
      Kwani anavyokwenda si halali kama ni kupita tu mimi sioni kama kuna ubaya

    5. #4
      Qt B's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 383
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Me cjaolewa ila kwa upeo wng mdogo naona:Cku moja moja c mbaya ila ucjenge mazoea sasa...but wekeends ni vizur zaid ukaenda na mkeo,mnawapelekea chochote kitu n mkipata nafac pia mnapanga mnaenda mkoan kwa wazaz wa mkeo ili kuonesha pande zote mbili ni muhimu kwako n unazijali...

    6. #5
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,131
      Rep Power : 2418
      Likes Received
      936
      Likes Given
      377

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Kwa upande wangu hata mwanamke nae anaweza kujipitia nae anapojisikia na ni vyema mnapokuwa na muda mkaenda kwa pamoja na mkawasabahi!
      nyumba kubwa likes this.

    7. Study Abroad

    8. #6
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2725
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      punguza safari za kwenda kwa wazazi na utenge muda zaidi kwa mkeo... mwisho utaanza kulinganisha msosi anaopika mama na mkeo sasa
      MERCIFUL likes this.

    9. #7
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24024
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Quote By Qt B
      Me cjaolewa ila kwa upeo wng mdogo naona:Cku moja moja c mbaya ila ucjenge mazoea sasa...but wekeends ni vizur zaid ukaenda na mkeo,mnawapelekea chochote kitu n mkipata nafac pia mnapanga mnaenda mkoan kwa wazaz wa mkeo ili kuonesha pande zote mbili ni muhimu kwako n unazijali...
      Zingatia huu ushauri ndugu..ni mzuri!
      bornagain likes this.
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    10. #8
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,555
      Rep Power : 5613
      Likes Received
      6210
      Likes Given
      2281

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      hakuna ubaya, mradi isiwe kila siku ukitoka job unapita kwenu,

    11. #9
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Kwanza siko kwenye ndoa so sidhani kama naweza ruhusiwa changia hapa!

    12. #10
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 490
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      unaweza kwenda bila tatizo,ila mfahamishe mwenzio akisema twende sote sio mbaya.

    13. #11
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2305
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3969

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Aendae kwao ahagi. Mimi wazazi wako Dar na kama baba ndio njia ya kwenda kwangu. Si mimi wala hubby anayesema in advance akipita kwa Mzee. Nii baba yangu lakini mume wangu mara kadhaa amekuwa akipita kumpa Hi na kunipa taharifa tu.

      Unless kuna kitu hujatuambia lakini naona kama ni odd question kuuliza kama ni sawa au si sawa kwenda kwenu. Hizo ndoa si zitakuwa jela sasa

      Unajua kipindi hiki cha mwanzo wa ndoa si cha kupretend. Mtajajuta kwa masheria mnayojiwekea bila kujua. Be yourselves (ila with limits ofcourse).
      mjasiria and bornagain like this.

    14. #12
      Eng. Y. Bihagaze's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Czech(but now in DAR)
      Posts : 764
      Rep Power : 5115
      Likes Received
      579
      Likes Given
      111

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Ah .. Nimejikwaa tu.. Nilikua napitapita tu..ila.....

      nijioneleavyo mimi baada ya ndoa kwako kunakuwa kwake Na kwake kunakuwa kwako.. Ila ni mpitaji tu Mie..

      Ansnt

    15. #13
      OLESAIDIMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 1,241
      Rep Power : 732
      Likes Received
      494
      Likes Given
      468

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Hakuna formula katika hilo ila jua wewe ni kiongozi wa familia yako na ni mtoto kwa wazazi wako yet ni mkwe upande wa mkeo so yu have to strike a very fine balance hapo otherwise utaonekana a double standard man na kupoteza heshima yako.

      Mawasiliano ndo uti wa mgongo wa ndoa mkuu so wasilianeni as much as possible na discuss as much as you can hata issues ambazo zinaonekana kama trivial......... kila kitu kitakaa sawa with time.....kwa imani yako muombe muumba akupe busara sana juu ya maisha ya ndoa

      All best
      bornagain likes this.
      Hegemony is unlikely ever to be complete (A. Gramsci)

    16. #14
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,104
      Rep Power : 13052
      Likes Received
      14067
      Likes Given
      14838

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      dunia ina mambo!

    17. #15
      Jestina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 3,622
      Rep Power : 1446
      Likes Received
      842
      Likes Given
      337

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      mie nahisi umeoa ukiwa mdogo sana,maswala mepesi kama hayo yanakushinda kufanya maamuzi,je yakija mazito si utakufa kwa pressure?

    18. #16
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,314
      Rep Power : 33537
      Likes Received
      7965
      Likes Given
      7506

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Bornagain,we ndo kichwa cha nyumba mjengee mkeo mazingara kungali mapema ajue si kila unapokwenda lazima umuage.
      ........samaki mkunje angali mbichi......fuata ushauri wa nyumbakubwa hapo juu.
      bornagain likes this.

    19. #17
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,314
      Rep Power : 33537
      Likes Received
      7965
      Likes Given
      7506

      Default

      Quote By Jestina
      mie nahisi umeoa ukiwa mdogo sana,maswala mepesi kama hayo yanakushinda kufanya maamuzi,je yakija mazito si utakufa kwa pressure?
      Wazazi wake wapo....na mmu ipo......

    20. #18
      Edoedward1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th April 2012
      Posts : 314
      Rep Power : 419
      Likes Received
      54
      Likes Given
      142

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Mmh hvi mzaz au mke wako akiskia una0mba ushaur kitu ordinary kama hvi c utharaulika wew? Kuwa na c0nfidenc bhana aah
      mjasiria likes this.

    21. #19
      Bra-joe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 584
      Rep Power : 475
      Likes Received
      182
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      Mwanaume ndio kichwa, mke ni wakumpa taarifa tu, ukimsikiliza sana mwanamke huwezi kumkotloo mambo wanayotaka huwa ni mengi sana, mfano: sitaki ufanye urafiki na fulani, nataka ukitoka kazini uje moja kwa moja home, mimi nimechoka kuishi hapa tafuta nyumba nyingine na mengine mengi tu.

    22. #20
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,825
      Rep Power : 17524
      Likes Received
      4864
      Likes Given
      5183

      Default Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please

      napita tu. cjaolewa!

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...