Jamani mimi ni kijana wa kiume nimeoa miezi mitatu iliyopita, naomben wadau mnisaidie kina jambo linanitatiza. Mimi kwetu ni Dar es Salaam na wazazi wangu wanakaa Dar es Salaam. Lakini mke wangu yeye kwao ni mkoani na wazazi wake wanaishi huko mkoani. Swali langu ni hili, hivi naweza kwenda nyumbani kuwasalimia wazazi wangu bila kuwa na mke wangu mfano nimetoka kazini halafu nikapitia nyumbani then nikamwambia mke wangu kuwa nimepitia kwetu, hiyo itakua mbaya au inatakiwa kila nikienda nyumbani niwe na mke wangu au nimfahamishe mapema kabla ya safari? Naombeni ushauri wenu na namna ya kuhandle hili suala maana mimi bado mchanga kwenye ndoa.
There is a saying in aviation "You haven't crashed until you've crashed. Until then, keep flying the plane".
duuu, hapa sina la kuongea kwani sijaoa, lakini kwa mtazamo wangu haina shida unaweza kupitia ukamwambia mkeo kuwa umepita nyumbani, ila angalizo safari za nyumbani kwenu zipungue sasa, unaenda kwenu kufanya nini tena, kusalimu?? tumia simu bana, usimtenge mkeo, kwenda nae ndio vizuri zaidi na atajisikia furaha na amani, kuliko kwenda alone
duuu, hapa sina la kuongea kwani sijaoa, lakini kwa mtazamo wangu haina shida unaweza kupitia ukamwambia mkeo kuwa umepita nyumbani, ila angalizo safari za nyumbani kwenu zipungue sasa, unaenda kwenu kufanya nini tena, kusalimu?? tumia simu bana, usimtenge mkeo, kwenda nae ndio vizuri zaidi na atajisikia furaha na amani, kuliko kwenda alone
Kwani anavyokwenda si halali kama ni kupita tu mimi sioni kama kuna ubaya
Me cjaolewa ila kwa upeo wng mdogo naona:Cku moja moja c mbaya ila ucjenge mazoea sasa...but wekeends ni vizur zaid ukaenda na mkeo,mnawapelekea chochote kitu n mkipata nafac pia mnapanga mnaenda mkoan kwa wazaz wa mkeo ili kuonesha pande zote mbili ni muhimu kwako n unazijali...
Me cjaolewa ila kwa upeo wng mdogo naona:Cku moja moja c mbaya ila ucjenge mazoea sasa...but wekeends ni vizur zaid ukaenda na mkeo,mnawapelekea chochote kitu n mkipata nafac pia mnapanga mnaenda mkoan kwa wazaz wa mkeo ili kuonesha pande zote mbili ni muhimu kwako n unazijali...
Aendae kwao ahagi. Mimi wazazi wako Dar na kama baba ndio njia ya kwenda kwangu. Si mimi wala hubby anayesema in advance akipita kwa Mzee. Nii baba yangu lakini mume wangu mara kadhaa amekuwa akipita kumpa Hi na kunipa taharifa tu.
Unless kuna kitu hujatuambia lakini naona kama ni odd question kuuliza kama ni sawa au si sawa kwenda kwenu. Hizo ndoa si zitakuwa jela sasa
Unajua kipindi hiki cha mwanzo wa ndoa si cha kupretend. Mtajajuta kwa masheria mnayojiwekea bila kujua. Be yourselves (ila with limits ofcourse).
Hakuna formula katika hilo ila jua wewe ni kiongozi wa familia yako na ni mtoto kwa wazazi wako yet ni mkwe upande wa mkeo so yu have to strike a very fine balance hapo otherwise utaonekana a double standard man na kupoteza heshima yako.
Mawasiliano ndo uti wa mgongo wa ndoa mkuu so wasilianeni as much as possible na discuss as much as you can hata issues ambazo zinaonekana kama trivial......... kila kitu kitakaa sawa with time.....kwa imani yako muombe muumba akupe busara sana juu ya maisha ya ndoa
Bornagain,we ndo kichwa cha nyumba mjengee mkeo mazingara kungali mapema ajue si kila unapokwenda lazima umuage.
........samaki mkunje angali mbichi......fuata ushauri wa nyumbakubwa hapo juu.
Mwanaume ndio kichwa, mke ni wakumpa taarifa tu, ukimsikiliza sana mwanamke huwezi kumkotloo mambo wanayotaka huwa ni mengi sana, mfano: sitaki ufanye urafiki na fulani, nataka ukitoka kazini uje moja kwa moja home, mimi nimechoka kuishi hapa tafuta nyumba nyingine na mengine mengi tu.
Follow Us Here