Re: Kwa walioko kwenye ndoa, mawazo yenu please
Mimi nadhani unamtafutia balaa mke wako. Majukumu ya familia yako yakiaanza kubana ukisha pata mtoto automatically hizo safari kwa wazazi zitapungua kwa asilimia kubwa sana. Then results zake zinaweza kuwa mbaya itasemekana kwamba mke wako ameanza kuzuia then kitakacho fuata mke wako hatokuwa in good terms na wakwe zake. Pangilia safari zako you have to get used to it ndio maana ukawaacha wazi wako ukambatana na mkeo. Also kumbuka wazi wako pia waliwaacha wazazi wao.
Our regrets in life are not those decisions we took and they turned out wrong, but rather those we did not take.
Follow Us Here