Re: mtumwa hauawi jamani......

By
Eiyer
Bishanga hakuna anaewakataza mabinti kuzaa,but wanapopanga kuzaa wazae wakiwa wamejiandaa wasitarajie wazazi wenzao au wazazi wao,hao wawafanye kama extra tu.I use to tell my sister,asidhani kuwa nitakuja gombana nae kisa nimemkuta na mwanaume.Nilimwambia ajifunze kujilinda na kujiamulia mambo yake mwenyewe bila kututegemea sisi.Nikamwambia akiharibu atakua anaharibu maisha yake mwenyewe wala sio ya mtu mwingine!So binti yoyote anataki aelewe hivyo.Wapo ambao wamejikuta wanafanya kazi za ajabu kama vile ukahaba ili wakidhi mahitaji ya watoto wao,matokeo yake wanaishia kupoteza maisha yao,what a shame!
Nimeipenda hii Eiyer........Jipange sawasawa Binti/mdada/Mwanamke. Ishi leo bwana, kesho waijua wewe? Dah life ni wewe tu jinsi unavyolitengeneza. Ukijikuta umefikia hapo pakuwa na mtoto basi SIMAMA kwa miguu yako, na Mungu atakusaidia, kwa nini kujitesa nafsi kwa uamuzi uliouamua mwenyewe?
Imeandikwa Amelaaniwa amtegemea mwanadamu, Wajibika katika yale yanayokuhusu wala huyo mtu wakudhani kuwa mtoto wako ni mzigo hatajitokeza. Manake mwenyewe akikuangalia atashangaa umewezaje? Nanyi wakaka bwana dah mmezidi kutunyanyapaa!!!!
Who knows what tomorrow has to offer?
Follow Us Here