Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: mtumwa hauawi jamani......

    Report Post
    Page 6 of 13 FirstFirst ... 45678 ... LastLast
    Results 101 to 120 of 241
    1. #1
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default mtumwa hauawi jamani......

      Nimepokea ombi maalum toka kwa mama chanja wangu mtarajiwa ,anasema kuna mtu kamwomba ushauri,katika hili naye anaomba mchango wenu.
      Ni hivi:
      Kuna mdada mmoja (tumwite Cindy), Cindy aliolewa na akaachika.Alipata watoto wawili kwenye ndoa yake na anaishi mwenyewe na wanae.Majuzi kuna baba mmoja aliingia kwenye ofisi ya dada yake Cindy (tumwite Brenda) na hapo ofisini huyo baba aliona picha ya Cindy na akamtunuku. Alijitahidi kuomba contact za Cindy lakini Brenda akawa anakataa.Jamaa king'ang'anizi pamoja na Cindy kumwambia dada yake asitoe contact zake lakini tokana na presha yajamaa mwisho Brenda alimpa jama namba ya Cindy.Zikanza simu na sms zisizoisha mpaka Cindy akakubali akutane na jamaa.Wakakutana,wakala,wakany wa,in the process Cindy akamweleza jama ukweli kuwa yeye ni divorcee with two kids.Kuanzia siku hiyo hajamsikia wala kumwona jamaa tena.
      Cindy anajiuliza hivi jamaa kakimbia kisa ana watoto? Au kisa ni u divorcee?apparently dada yake kumbe hakumweleza jamaa kuwa cindy aliwahi kuolewa na ana watoto.
      Hivi wanaume mnakerwa kuwa na mwanamke mwenye watoto/divorcee,kwa nini?


    2. #101
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,978
      Rep Power : 6907
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default Re: mtumwa hauawi jamani......

      Babu DC nakubaliana na wewe maana kama bint akizaa inamletea matatizo ni bora atulie kwanza mpaka aone upepo unaelekea kusini au vinginevyo!
      Dark City likes this.

    3. #102
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,782
      Rep Power : 23601
      Likes Received
      7157
      Likes Given
      11581

      Default Re: mtumwa hauawi jamani......

      Quote By Eiyer View Post
      Babu DC nakubaliana na wewe maana kama bint akizaa inamletea matatizo ni bora atulie kwanza mpaka aone upepo unaelekea kusini au vinginevyo!

      I wish wangetusikiliza.....

      Tena hawa wa dotcom ndio macharuko kabisa...

      Kuna kabinti kamezaa juzi, mtoto ana miezi kama 4 hivi. Majuzi kamempigia baba wa mtoto kumweleza kuwa mtoto anaumwa (anaharisha) na kwa hiyo kanataka kumpeleka hospitali. Baba wa mtoto akajibu kuwa kwa sasa hana pesa....Kapo nyumbani kanaendelea kuwasumbua wazazi na mzigo wake!

      Babu DC!!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    4. #103
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default

      Quote By ruttashobolwa View Post
      mwambie cindy hasihofu ni upepo tu utapita, atapata anayempenda,japo wanaume weng hawapendi wanawake wenye watoto, ukiongezea na kuachika huo ni upepo mkubwa.
      In other words nimwambie aishi kwa matumaini?
      Sawa mkuu nitafikisha ujumbe.

    5. #104
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default

      Quote By Lizzy View Post
      Nisiamini kwanini?Hilo jitambi unadhani ni pambo?
      Nimeanza kwenda gym.
      (Just for you).

    6. #105
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default

      Quote By OLESAIDIMU View Post
      Kaunga my sis..how are you

      Lakini mko tofauti mind you as wengine ukimpa ukweli aweza lia mpaka ukaanza kujisikia vibaya.....sasa its better to quit than telling it at the opening and leave a psychological scar and a permanent attitudinal depression......

      Hili kwa mwanaume yeyote mwenye busara ni kukaa kimya unless the second side atake maelezo na pia inabidi kupima sana kbla ya ku burst open kwa sababu tajwa hapo juu
      Well said mkuu.nakupa 'like'.


    7. #106
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Bishanga hili swali ni wewe umelianzisha yule njemba hakutoa sababu ya kwanini kakimbia. Kumbuka ya kuwa alilia simu ya Cindy kutokana na taswira ya picha tu aliyoiona na alipokutana naye na kukaa naye kitako hatujui alipata picha ipi.................yawezekana majukumu tajwa yalimtibua au aliona hawataeza kuelewana na Cindy.............
      Poor cindy,njemba ilimpandisha juu ya mnazi kisha ikamwachia pwaaaa

    8. #107
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Amwagee wa nini naye ni married? Kama mumewe bado yupo hai huyo bado kaolewa tu.................njemba haina sababu ya kumkashifu Mwenyezi Mungu kwa kuzini na mke wa mtu....lol.................... .Kaunga you are better than this nonsense
      Kwa hiyo talaka za mahakamani hazina maana mwanamke anaendelea kuwa mke wa mtu tu? I wonder........

    9. #108
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,978
      Rep Power : 6907
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default Re: mtumwa hauawi jamani......

      Kiukweli Babu DC haya mambo watu wanaweza kuyachukulia kawaida lakini ni sirious,wazazi wengi wameingia kwenye usumbufu na mahangaiko ya kulea wajukuu pamoja na mama wa wajukuu hao,yaani wanawe.Hili ni tatizo kubwa,mabinti wanatakiwa waepuke ujauzito usiokua na tija.Kuna binti alizalishwa watoto wa3 midume mi3 tofauti,binti akatelekezewa watoto,miezi miwili iliyopita binti ametangulia mbele wa haki midume iko mtaani haina habari na watoto,bibi ya watoto wale anahangaika nao kila uchao!
      Dark City likes this.

    10. #109
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default

      Quote By Dark City View Post
      Umeona ndugu Rutta,

      Huyu Bishanga mchokozi sana...

      Anajua fika, jinsi jamii (na especially huko kwao) inavyomchukulia mwanamke mwenye mtoto/watoto na pia ambavyo watu walivyo na uvumilivu mdogo (near zero tolerance) kwa mwanamume ambaye anaamua kumuoa mwanamke kama huyo.

      Ninafahamu kuwa Wahaya wameenda mbali, na wana majina yanayotumiwa kuwaita wanawake wa namna hiyo (nasikia wanaitwa enyailya) na yanaonesha level ya juu kabisa ya unyanyapaa kwa mwanamke mwenye mtoto. Na sasa huyo Candy ana mzigo mwingine wa kuachika.....

      No way, inabidi apate mwanamume mwenye mizigo pia..Vinginevyo, siwezi kumshauri kijana wa watu amvae mama kama huyo....

      Samahani kama ninaandika mambo yanayokera wadau wengine ila kwa bahati mbaya mie naona kuwa hizo ni facts na si vinginevyo!

      Babu DC!!
      You are absolutely right,uhayani kijana akioa mwanamke mwenye mtoto (achila mbali divorcee) basi haruhusiwi 'kuramya' ie kuitwa mwanaume na akifa kwenye kaburi lake anawekewa kipande cha mgomba kuashiriakafa bila 'kuoa'.
      Is it fair lakini?
      Dark City likes this.

    11. #110
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default

      Quote By Eiyer View Post
      Now nimejua namna wanawake wenye watoto wanavyoteseka na jamii kuwanyanyapaa kwa sababu wana watoto,jambo hili litaongeza maumivu sana kwa wanawake ambao tayari wako kwenye ndoa zenye mateso!Watahofia kuondoka kwa kujua after that hakuna mwanaume atakua anashida nae kwa sababu ya watoto au mtoto unless awe na vitu vya kuwavuta wanaume kama fedha n.k.To my opinion mwanamke wa aina hii ni mwanamke bora kuliko asiyekuwa na mtoto!
      Too sad Eiyer,lakini jamii zetu ndivyo zilivyo.Ila huyu mama akipata fellow divorcee it might work.
      Dark City likes this.

    12. #111
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default

      Quote By Eiyer View Post
      Babu DC nakubaliana na wewe maana kama bint akizaa inamletea matatizo ni bora atulie kwanza mpaka aone upepo unaelekea kusini au vinginevyo!
      Tatizo muda huwa haumsubiri binadamu,imagine mdada wa watu anamaliza chuo at 25,anaanza kusubiria mr right,huyo ana hit 30 hajampata,at 35 unadhani ataamua nini?
      Dark City likes this.

    13. #112
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Bishanga View Post
      Nimeanza kwenda gym.
      (Just for you).
      Nanii alianza zamaniiii.Wewe tafuta kitoroli cha kubebea tu.

    14. Mbu is online now
      Mbu
      #113
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,834
      Rep Power : 9995
      Likes Received
      4713
      Likes Given
      6220

      Default

      Quote By Bishanga View Post
      You are absolutely right,uhayani kijana akioa mwanamke mwenye mtoto (achila mbali divorcee) basi haruhusiwi 'kuramya' ie kuitwa mwanaume na akifa kwenye kaburi lake anawekewa kipande cha mgomba kuashiriakafa bila 'kuoa'.
      Is it fair lakini?
      .....kha? Maskini wajane..... Ama hizi mila na desturi zilikuwa na lengo la kuwanyanyapaa wajane. Labda ziliwekwa kuwahofisha wanawake waogope madhara ya kuachika.

      Namshukuru mw'mungu imani yangu inaniruhusu kuoa mjane, na haijalishi ni tasa au ana wanawe. Huyo baba huenda amekimbia 'majukumu'.....hakumpenda, alimtamani tu. Love is above all the customs and traditions (incl. Taboos)
      Bishanga, Dark City and LD like this.

    15. Mbu is online now
      Mbu
      #114
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,834
      Rep Power : 9995
      Likes Received
      4713
      Likes Given
      6220

      Default

      Quote By Purple View Post
      Kakimbia majukumu,kaona watoto wawili watakua mzigo kwake..
      ......halafu mume wa aina hii mke asipojaaliwa uzazi pia shida! yaani yeye bendera fata upepo unapoelekea.
      Dark City and LD like this.

    16. #115
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,193
      Rep Power : 25454
      Likes Received
      14890
      Likes Given
      15864

      Default

      Bishanga, hizo ngozi unazitetemeshaje?

      Quote By Bishanga View Post
      Nimeanza kwenda gym.
      (Just for you).
      Bishanga likes this.

    17. #116
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,978
      Rep Power : 6907
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default Re: mtumwa hauawi jamani......

      Bishanga hakuna anaewakataza mabinti kuzaa,but wanapopanga kuzaa wazae wakiwa wamejiandaa wasitarajie wazazi wenzao au wazazi wao,hao wawafanye kama extra tu.I use to tell my sister,asidhani kuwa nitakuja gombana nae kisa nimemkuta na mwanaume.Nilimwambia ajifunze kujilinda na kujiamulia mambo yake mwenyewe bila kututegemea sisi.Nikamwambia akiharibu atakua anaharibu maisha yake mwenyewe wala sio ya mtu mwingine!So binti yoyote anataki aelewe hivyo.Wapo ambao wamejikuta wanafanya kazi za ajabu kama vile ukahaba ili wakidhi mahitaji ya watoto wao,matokeo yake wanaishia kupoteza maisha yao,what a shame!
      Bishanga, Dark City and LD like this.

    18. #117
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,978
      Rep Power : 6907
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Bishanga View Post
      Too sad Eiyer,lakini jamii zetu ndivyo zilivyo.Ila huyu mama akipata fellow divorcee it might work.
      Maybe maybe,maybe not!!
      Bishanga likes this.

    19. #118
      FirstLady1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2009
      Location : Mama Mwenye Nyumba
      Posts : 15,052
      Rep Power : 3723
      Likes Received
      3621
      Likes Given
      5885

      Default Re: mtumwa hauawi jamani......

      Quote By Dark City View Post
      FL1,

      Siyo kila jaribio linafaa kujaribiwa.....Hata kama ningependa vipi boga, mara nyingi napenda kubaki na uhuru wangu wa kuamua kama nipende na ua lake au la!! Tatizo boga halitakuwa na raha wa amani tena, kama halina hakika kwamba ua lake linapendwa pia!

      Nigejaribu kila njia kutojiingiza kwenye biashara ya namna hiyo!! Ndiyo maana nasema kuwa huyo mwanamue alifanya uamuzi wa busara sana!

      Babu DC!!
      Babu Dark City hapa huyu jamaa alikosea
      Alichotakiwa kufanya sio kukata mawasiliano namna hiyo angemweleza tu ukweli you never no tommorow bwana..
      Bishanga, Dark City and LD like this.
      No one is in charge of your happiness except you...
      God time is the best..
      Hadi tufike 2015 tutakuwa tumekoma

    20. LD is offline
      LD
      #119
      LD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Location : Hapa
      Posts : 2,954
      Rep Power : 1054
      Likes Received
      471
      Likes Given
      867

      Default Re: mtumwa hauawi jamani......

      Quote By Eiyer View Post
      Bishanga hakuna anaewakataza mabinti kuzaa,but wanapopanga kuzaa wazae wakiwa wamejiandaa wasitarajie wazazi wenzao au wazazi wao,hao wawafanye kama extra tu.I use to tell my sister,asidhani kuwa nitakuja gombana nae kisa nimemkuta na mwanaume.Nilimwambia ajifunze kujilinda na kujiamulia mambo yake mwenyewe bila kututegemea sisi.Nikamwambia akiharibu atakua anaharibu maisha yake mwenyewe wala sio ya mtu mwingine!So binti yoyote anataki aelewe hivyo.Wapo ambao wamejikuta wanafanya kazi za ajabu kama vile ukahaba ili wakidhi mahitaji ya watoto wao,matokeo yake wanaishia kupoteza maisha yao,what a shame!
      Nimeipenda hii Eiyer........Jipange sawasawa Binti/mdada/Mwanamke. Ishi leo bwana, kesho waijua wewe? Dah life ni wewe tu jinsi unavyolitengeneza. Ukijikuta umefikia hapo pakuwa na mtoto basi SIMAMA kwa miguu yako, na Mungu atakusaidia, kwa nini kujitesa nafsi kwa uamuzi uliouamua mwenyewe?

      Imeandikwa Amelaaniwa amtegemea mwanadamu, Wajibika katika yale yanayokuhusu wala huyo mtu wakudhani kuwa mtoto wako ni mzigo hatajitokeza. Manake mwenyewe akikuangalia atashangaa umewezaje? Nanyi wakaka bwana dah mmezidi kutunyanyapaa!!!!
      Bishanga and Dark City like this.
      Who knows what tomorrow has to offer?

    21. #120
      Dark City's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2008
      Location : Roaming
      Posts : 11,782
      Rep Power : 23601
      Likes Received
      7157
      Likes Given
      11581

      Default Re: mtumwa hauawi jamani......

      Quote By Bishanga View Post
      You are absolutely right,uhayani kijana akioa mwanamke mwenye mtoto (achila mbali divorcee) basi haruhusiwi 'kuramya' ie kuitwa mwanaume na akifa kwenye kaburi lake anawekewa kipande cha mgomba kuashiriakafa bila 'kuoa'.
      Is it fair lakini?
      Fair or not, but it is a reality....

      Tunatakiwa kuhangaika ili tuone jinsi ya kukabiliana nayo ndipo tuanze kujadili kama kweli ni halali!!

      Babu DC!!
      "WE ALWAYS DON'T CHANGE UNTIL THE COST OF STAYING THE SAME EXCEEDS THE COST OF CHANGE....LOOKING BEYOND THE 31 OKTOBA 2010 LANDMARK"

      Retired Maj Gen DC (1947)...[email protected]

    Page 6 of 13 FirstFirst ... 45678 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...