Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

    Report Post
    Page 1 of 10 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 198
    1. #1
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Sina shida ya kumuwaza mtu kila mara sababu huwa nawaza watu 7 ama 8 kwa mpigo.
      Yaani naweza mkumbuka mmoja kwa ucheshi, hapo hapo nikamkumbuka mwingine jinsi alivo handsam,
      huku nikimkumbuka mwengine kwa utalaamu wake wa kunikuna n.k. Au wakati mwingine
      naguswa moyoni hata mara 10 na watu 10 tofauti kwa siku, kutembelewa na watu kama 7 katika
      ubongo wangu ama kama 13 rohoni kwangu.

      Sasa ya leo kali, nina siku ya 4 namuwaza huyu mmoja tu! Sipendi na wala sijawahi maishani mwangu
      kuwaza mtu mmoja, sioni mantiki na naona nikiwaza mmoja wengine nitawapoteza sababu huwa nakuwa
      nao na kuwatafuta sababu nao nawawaza. Sasa amekuja huyu kawa king’ang’anizi ndani ya moyo wangu,
      akiwa kama ganda kwenye ubongo wangu na kajenga kivuli cha muonekano wake machoni pangu.
      Kila saa ni yeye hapishi wengine. Ananiboa na ananiharibia mood maeneo mengine ya mwili.
      Na kubwa kuliko ananiharibia mipango yangu ya kuwa mama wa watoto mapacha.
      Uzuri yupo hapa hapa jf kwahio msg sent! Kaka tafadhali nikome!

      Kaunga my sweetest I need you now more than ever! wea ar u my love?

      Nisaidieni wapendwa katika bwana, ni ugonjwa gani huu? mwenzenu Ero haujawahi nipata!
      Dr. Mzizi Mkavu na wengineo msaada plz. Am I sick? Na kama naumwa dawa yake nini?


      No mwaaaaah. I think am Sick.
      Ndahani, M'Jr and cacico like this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    2. Miaka 50

    3. #2
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,055
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      erotika pole! hayo ni ya kawaida, inaelekea ana vigezo ningi vilivyowazidi wenzie, hebu mpe nafasi uone moyo wako kama utaridhia.
      Erotica likes this.

    4. #3
      biggirl's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th May 2012
      Posts : 66
      Rep Power : 365
      Likes Received
      10
      Likes Given
      4

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      huyo ni yule anayekukunaga au ni stranger?
      Erotica likes this.
      For I know the plans I have for you,” declares the LORD, You will seek me and find me when you seek me with all your heart.Jeremiah 29: 11-13

    5. #4
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Kazi ipo,tena kubwa sana ngoja waje wengine huenda wakachangia coz am speechless this moment!

    6. #5
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5028
      Likes Given
      5752

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Erotica hauishi vituko! Kama yuko hapa JF jaribu kuongea nae, maybe you will stop thinking about him. careful, don't fall...
      Erotica likes this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By cacico
      erotika pole! hayo ni ya kawaida, inaelekea ana vigezo ningi vilivyowazidi wenzie, hebu mpe nafasi uone moyo wako kama utaridhia.

      Nimeshamuua. Imebaki tu maiti hapa rohoni. nashindwa kutoa hiyo maiti.
      cacico likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    9. #7
      kadoda11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : planet earth
      Posts : 1,385
      Rep Power : 702
      Likes Received
      355
      Likes Given
      183

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By Erotica
      Sina shida ya kumuwaza mtu kila mara sababu huwa nawaza watu 7 ama 8 kwa mpigo.
      Yaani naweza mkumbuka mmoja kwa ucheshi, hapo hapo nikamkumbuka mwingine jinsi alivo handsam,
      huku nikimkumbuka mwengine kwa utalaamu wake wa kunikuna n.k. Au wakati mwingine
      naguswa moyoni hata mara 10 na watu 10 tofauti kwa siku, kutembelewa na watu kama 7 katika
      ubongo wangu ama kama 13 rohoni kwangu.

      Sasa ya leo kali, nina siku ya 4 namuwaza huyu mmoja tu! Sipendi na wala sijawahi maishani mwangu
      kuwaza mtu mmoja, sioni mantiki na naona nikiwaza mmoja wengine nitawapoteza sababu huwa nakuwa
      nao na kuwatafuta sababu nao nawawaza. Sasa amekuja huyu kawa king’ang’anizi ndani ya moyo wangu,
      akiwa kama ganda kwenye ubongo wangu na kajenga kivuli cha muonekano wake machoni pangu.
      Kila saa ni yeye hapishi wengine. Ananiboa na ananiharibia mood maeneo mengine ya mwili.
      Na kubwa kuliko ananiharibia mipango yangu ya kuwa mama wa watoto mapacha.
      Uzuri yupo hapa hapa jf kwahio msg sent! Kaka tafadhali nikome!

      Kaunga my sweetest I need you now more than ever! wea ar u my love?

      Nisaidieni wapendwa katika bwana, ni ugonjwa gani huu? mwenzenu Ero haujawahi nipata!
      Dr. Mzizi Mkavu na wengineo msaada plz. Am I sick? Na kama naumwa dawa yake nini?


      No mwaaaaah. I think am Sick.
      mi hapo hapotu
      Erotica likes this.
      "The only true wisdom is in knowing you know nothing"

    10. #8
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By biggirl
      huyo ni yule anayekukunaga au ni stranger?
      Nikiskia bint amesema haya huwa nahisi baridi!

    11. #9
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By biggirl
      huyo ni yule anayekukunaga au ni stranger?

      ndoto za stranger ziliisha zimebaki tu ndoto na Ndahani. ila uzuri sie,

      anayenikunaga nimempa livu mana ananitia tu uvivu, mzuks hamna kabitha.
      Ndahani likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    12. #10
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By RussianRoulette
      Erotica hauishi vituko! Kama yuko hapa JF jaribu kuongea nae, maybe you will stop thinking about him. careful, don't fall...

      kufall ndio kufanyaje RussianRoulette? siwezi kuongea nae, kanisababishia ugonjwa nimfuate? No way!
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    13. #11
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,055
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By Erotica
      Nimeshamuua. Imebaki tu maiti hapa rohoni. nashindwa kutoa hiyo maiti.
      basi mpe za uso, ila take care asijepata mtikisiko wa ubongo! coz amependa asipopendwa! have u ever fallen kwake?? kiukweli or its just matamanio?
      Erotica likes this.

    14. #12
      Mwana Mtoka Pabaya's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 3,078
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1398
      Likes Given
      403

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Moja kati ya mambo ambayo nitakazania yaingie kwenye katiba mpya ni kuhalalisha TOHARA YA WANAWAKE. Jamani eeh, hako kakidude nako kakiwa karefu hujisugua kwenye mapaja na matokeo yake ndio mada za namna hii ambazo MMP nikitoa maoni yangu tu, one of the female mods ananiPM kwa mikwara.

      Dawa ya tatizo lako ni kurudia mila
      cacico and Erotica like this.

    15. #13
      Roulette's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,473
      Rep Power : 35629
      Likes Received
      5028
      Likes Given
      5752

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By Erotica
      kufall ndio kufanyaje RussianRoulette? siwezi kuongea nae, kanisababishia ugonjwa nimfuate? No way!
      Kua utayaona. Never say never.
      Erotica likes this.
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    16. #14
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,740
      Rep Power : 27104
      Likes Received
      10093
      Likes Given
      14015

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Erotica binafsi leo nimekuwaza sana nilikaa mahali nikakumbuka post zako nikajikuta nasema hivi erotica mbona tangu jf irudi hewani simuoni? nikaongezea labda katingwa na majukumu lol! kumbe nilikuwa nakuita shostito wangu.

      turudi kwenye topic, huyu aliyeubeba moyo wako kwa kias kikubwa kwanza kabisa anakitu tofauti sana na wengine wote, ambacho wewe @ first site hujakiona. Pia kuna kitu ambacho huwa kinakuwaga kwa yule wakwako kiukweli ambacho that thing can speak inside your heart.

      sasa fanya hivi, kwanza muweke umlinganishe na wengine 10 ndani ya akili yako, ukiona haondoki jua huyo ni wako ila akiondoka jua upendeleo ulikudanganya. Tena wakati unamlinganisha yeye mweke akilini na 5 hivi halafu mbadilishie chumba mwingize moyoni na wengine 7 uone. this is the only medication
      Erotica likes this.

    17. #15
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      jamani mwacheni erotica aitwe erotica.
      Erotica likes this.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    18. #16
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By cacico
      basi mpe za uso, ila take care asijepata mtikisiko wa ubongo! coz amependa asipopendwa! have u ever fallen kwake?? kiukweli or its just matamanio?

      Umekosea. simpendi hata kidogo. namchukia.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    19. #17
      Paxman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2010
      Location : MIT
      Posts : 1,067
      Rep Power : 1130
      Likes Received
      383
      Likes Given
      598

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Ni hali ya kawaida kwa binadamu inafika sehemu akili inatawaliwa na mtu mmoja tu....
      Ajabu ni pale ambapo mie nakutwa na hali kama hiyo kwa Erotica lakini yeye anakutwa na hali kama hiyo kwa Kaunga
      aisee!
      Erotica likes this.
      "....It was dawning on me that I was giving my son the same advice my parents had given me. The world around us has changed, but the advice hasn't...."
      ...Robert T. Kiyosaki

    20. #18
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By Mwana Mtoka Pabaya
      Moja kati ya mambo ambayo nitakazania yaingie kwenye katiba mpya ni kuhalalisha TOHARA YA WANAWAKE. Jamani eeh, hako kakidude nako kakiwa karefu hujisugua kwenye mapaja na matokeo yake ndio mada za namna hii ambazo MMP nikitoa maoni yangu tu, one of the female mods ananiPM kwa mikwara.

      Dawa ya tatizo lako ni kurudia mila
      Mwana Mtoka Pabaya inaonesha waijua dawa. kurudia mila ni dawa gani?

      alafu huyo mod umemkosea nini na hali ni post yako ya kwanza au mmetoka mbali wayaleta kwangu nikupoze?
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    21. #19
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By RussianRoulette
      Kua utayaona. Never say never.

      unanitisha mod. tafadhali nieleweshe naumwa mwenzio.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    22. #20
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: HELP!!!!! I think am sick. And it is not about SEX!!

      Quote By gfsonwin
      Erotica binafsi leo nimekuwaza sana nilikaa mahali nikakumbuka post zako nikajikuta nasema hivi erotica mbona tangu jf irudi hewani simuoni? nikaongezea labda katingwa na majukumu lol! kumbe nilikuwa nakuita shostito wangu.

      turudi kwenye topic, huyu aliyeubeba moyo wako kwa kias kikubwa kwanza kabisa anakitu tofauti sana na wengine wote, ambacho wewe @ first site hujakiona. Pia kuna kitu ambacho huwa kinakuwaga kwa yule wakwako kiukweli ambacho that thing can speak inside your heart.

      sasa fanya hivi, kwanza muweke umlinganishe na wengine 10 ndani ya akili yako, ukiona haondoki jua huyo ni wako ila akiondoka jua upendeleo ulikudanganya. Tena wakati unamlinganisha yeye mweke akilini na 5 hivi halafu mbadilishie chumba mwingize moyoni na wengine 7 uone. this is the only medication

      omg. this is a lot of hard work, naona ka siwezi.

      gfsonwin i feel beta kuwa ulinikumbuka. mwaaaaaah 2 u.
      Paxman and gfsonwin like this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    Page 1 of 10 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...