Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: mkome wake za watu!

    Report Post
    Page 5 of 8 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 154
    1. #1
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default mkome wake za watu!

      Hii nimeinyaka kwenye gazeti la 'mwananchi' la leo uk 11:
      AUAWA BAADA YA KUFUMANIWA
      Joseph Lyimo,Kiteto
      mkazi wa kijiji cha Weza wilayani Kiteto mkoani Manyara ameuawa kwa kuchomwa visu mwili mzima baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.....
      Last edited by Bishanga; 25th May 2012 at 15:19.
      Chauro, sweetlady, Kipipi and 1 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #81
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,220
      Rep Power : 13077
      Likes Received
      14123
      Likes Given
      14986

      Default Re: mkome wake za watu!

      Bishanga huu uoga umeanza lini?

      Yanii tangu E wa T akuache unaweweseka.

    4. #82
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,220
      Rep Power : 13077
      Likes Received
      14123
      Likes Given
      14986

      Default

      ndio, mba ninazo.

      Unataka?

      Quote By Bishanga
      una mb.... wewe?

    5. #83
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By klorokwini
      hehehe halaf kuna ile waifu yuko yurop hazbendi yuko afrika, halaf jamaa kule afrika eti linajipa moyo kwamba waifu wake ni mtakatifu.
      heheeh wapi Nyani Ngabu atuwekeee ule wimbo wa babu jinga.
      kloro unasema?
      halafu juu ya nini unamsifia mbaya wangu?
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    6. #84
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By Lizzy
      Kloro unajua kabisa mimi mke wa mtu. .yakikukuta ya kukukuta usinilaumu.
      since when?
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    7. #85
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By klorokwini
      Halaf hii slogan ya mke wa mtu kwako mbona imeanza ghafla? mimi siielewi unajua, nakutaftia muda tu ukuje kunifafanulia. Si umekiona kiangazi kimeanza? sasa beach niende na nani?
      kloro!
      hujipendi?
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    8. RukaaJuu Final

    9. #86
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10089
      Likes Given
      14003

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By Asprin
      Dah! Aisee!
      sasa wewe aisee ya nini? mke na mume wa mtu wote ni sumu. au huwaga unachakachua babuuuuuu!

    10. #87
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By asprin
      hahahaha......... Unaweza kukuta wakati jamaa linaongea na mkewe huku na lenyewe kuna binti ananyonya sterengo yake ya kumwagia mkojo.... Akishakata simu anamwambia, nshaongea na kile kidubwashika kilichokuzibia nafasi yako ya kulala na mimi kijumlajumla...., afu wanaendelea na kazi.

      Mimi bana mimi naamini mke wangu anakuwa wangu napokuwa nae kitandani. Hata akienda msibani nahisi kuna mjanja atakuwa ananimegea. Ndo maana namimi nikipata nafasi naitumia vizuri....

      Fellow tablet umenielewa? Haya nipm namba ya binti aliyeko unga ltd ambaye mme wake mko naye huko singapore.
      usimpe hiyo namba tafadhali!
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    11. #88
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10089
      Likes Given
      14003

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By Asprin
      Ewaaaa.... cha msingi ni kuiba responsibly, siyo?
      Asprin khaaa! ................ siamin kwamba hata wewe na uzee huo unasapoti. Anyway kumbe huwaga unaiba responsibly eeh!

    12. #89
      Mapi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 571
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      141

      Default Re: mkome wake za watu!

      Asprin, kuiba unresponsbly ni kama chafya mkuu.

    13. #90
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By klorokwini
      Halaf hii slogan ya mke wa mtu kwako mbona imeanza ghafla? mimi siielewi unajua, nakutaftia muda tu ukuje kunifafanulia. Si umekiona kiangazi kimeanza? sasa beach niende na nani?
      klorokwini muulize Bishanga anajua kila kitu, ndo maana hapo juu kahamaki eti umemtaja mbaya wake.

    14. #91
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,055
      Rep Power : 14521
      Likes Received
      6418
      Likes Given
      5004

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By Bishanga
      kloro!
      hujipendi?
      bishanga mbona kama una uoga, au joka la kibisa, lenyewe naturally lina ant - vernom!? sem tujue kuwa una ukoo na cameroon, ama la usishtuke ukisikia habari za beach.

    15. #92
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1525

      Default Re: mkome wake za watu!

      huyo mwanaume aliyeua hana akili kabisa .............
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    16. #93
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By Kongosho
      Bishanga huu uoga umeanza lini?

      Yanii tangu E wa T akuache unaweweseka.
      uzee tu umeniandama ndo mana makeke kushne.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    17. #94
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default

      Quote By Bishanga
      na watoto pia ambao baba yuko jela mama kalazwa hoi hospitali na aliyeuawa labda na yeye ana watoto.
      Watoto nawapa pole!!

    18. #95
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By Kongosho
      ndio, mba ninazo.

      Unataka?
      badala ya a weka o.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    19. #96
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,220
      Rep Power : 13077
      Likes Received
      14123
      Likes Given
      14986

      Default

      kama huwezi tafuna hata kulamba mhogo huwezi?

      Quote By Bishanga
      uzee tu umeniandama ndo mana makeke kushne.

    20. #97
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By Lizzy
      klorokwini muulize Bishanga anajua kila kitu, ndo maana hapo juu kahamaki eti umemtaja mbaya wake.
      ushaachika wewe unaona aibu tu kusema.
      sweetlady likes this.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    21. #98
      MzeePunch's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2009
      Posts : 1,294
      Rep Power : 851
      Likes Received
      121
      Likes Given
      34

      Default Re: mkome wake za watu!

      Dah! Hii imenishtua sana. Nilikuwa na mpango na mke wa mtu jioni ya leo lakini nimefuta mpango kabisa huo.

    22. #99
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,397
      Rep Power : 33554
      Likes Received
      8062
      Likes Given
      7565

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By Kongosho
      kama huwezi tafuna hata kulamba mhogo huwezi?
      we mtambo kweli.....bishanga alambe mhogo? we wapenda kulamba hogo la jang'ombe sio?
      sweetlady likes this.
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    23. #100
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,729
      Rep Power : 27101
      Likes Received
      10089
      Likes Given
      14003

      Default Re: mkome wake za watu!

      Quote By Asprin
      Hahahaha......... unaweza kukuta wakati jamaa linaongea na mkewe huku na lenyewe kuna binti ananyonya sterengo yake ya kumwagia mkojo.... akishakata simu anamwambia, nshaongea na kile kidubwashika kilichokuzibia nafasi yako ya kulala na mimi kijumlajumla...., afu wanaendelea na kazi.

      Mimi bana mimi naamini mke wangu anakuwa wangu napokuwa nae kitandani. Hata akienda msibani nahisi kuna mjanja atakuwa ananimegea. Ndo maana namimi nikipata nafasi naitumia vizuri....

      Fellow tablet umenielewa? Haya niPM namba ya binti aliyeko bongo ambaye mme wake mko naye huko Singapore.
      duuh! hivi kumbe waume zetu hamtuamini kias hiki? Lol mara nyingi sana huwa namuonea sana huruma mwanamke anayetoka nje ya ndoa yake kwa sababu ya vitu anavyovikosa, ikiwa ni upendo, hela nk. Lakin kamwe simuonei huruma mwanamme anayetoka nje eti kwasababu ni tabia yake.

      Unajua tutatetea tu lakin ukweli ni kwamba tabia haina dawa hasa hii ya wanaume kutoka nje. Mwanamke wa mtu maskini kajeruhiwa but naamin kama angekuwa anapata kila alichohitaj asingalitoka nje ya ndoa yake.

      Unaona sasa Asprin na @klorokwin mnataka kutumanisha kuwa ninyi mnatoka kwasababu sisi wake zenu tunatoka lakin ukweli ni kwamba mwanamke aliyeolewa akipata anachotaka anaweza kuish maisha yake yote akiwa ana fanya tendo la ndoa na mumewe tu. Hisia za kumdhani mwenzio ni mdhambi ni dhambi sana.

      Pia ninyi mnatoka nje kwasababu ya tabia yenu tu na siyo vinginevyo.labda Bishanga utuambie kwanini wanaume wanatoka nje ya ndoa zao.
      Asprin likes this.

    Page 5 of 8 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...