Hii nimeinyaka kwenye gazeti la 'mwananchi' la leo uk 11:
AUAWA BAADA YA KUFUMANIWA
Joseph Lyimo,Kiteto
mkazi wa kijiji cha Weza wilayani Kiteto mkoani Manyara ameuawa kwa kuchomwa visu mwili mzima baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.....
Hii nimeinyaka kwenye gazeti la 'mwananchi' la leo uk 11:
AUAWA BAADA YA KUFUMANIWA
Joseph Lyimo,Kiteto
mkazi wa kijiji cha Weza wilayani Kiteto mkoani Manyara ameuawa kwa kuchomwa visu mwili mzima baada ya kufumaniwa na mke wa mtu.....
Last edited by Bishanga; 25th May 2012 at 15:19.
Bishanga huu uoga umeanza lini?
Yanii tangu E wa T akuache unaweweseka.
Asprin khaaa! ................ siamin kwamba hata wewe na uzee huo unasapoti. Anyway kumbe huwaga unaiba responsibly eeh!
Asprin, kuiba unresponsbly ni kama chafya mkuu.
klorokwini muulize Bishanga anajua kila kitu, ndo maana hapo juu kahamaki eti umemtaja mbaya wake.
huyo mwanaume aliyeua hana akili kabisa .............
Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).
Dah! Hii imenishtua sana. Nilikuwa na mpango na mke wa mtu jioni ya leo lakini nimefuta mpango kabisa huo.
duuh! hivi kumbe waume zetu hamtuamini kias hiki? Lol mara nyingi sana huwa namuonea sana huruma mwanamke anayetoka nje ya ndoa yake kwa sababu ya vitu anavyovikosa, ikiwa ni upendo, hela nk. Lakin kamwe simuonei huruma mwanamme anayetoka nje eti kwasababu ni tabia yake.
Unajua tutatetea tu lakin ukweli ni kwamba tabia haina dawa hasa hii ya wanaume kutoka nje. Mwanamke wa mtu maskini kajeruhiwa but naamin kama angekuwa anapata kila alichohitaj asingalitoka nje ya ndoa yake.
Unaona sasa Asprin na @klorokwin mnataka kutumanisha kuwa ninyi mnatoka kwasababu sisi wake zenu tunatoka lakin ukweli ni kwamba mwanamke aliyeolewa akipata anachotaka anaweza kuish maisha yake yote akiwa ana fanya tendo la ndoa na mumewe tu. Hisia za kumdhani mwenzio ni mdhambi ni dhambi sana.
Pia ninyi mnatoka nje kwasababu ya tabia yenu tu na siyo vinginevyo.labda Bishanga utuambie kwanini wanaume wanatoka nje ya ndoa zao.
Follow Us Here