Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Anachotaka ni mimba tu!

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 70
    1. #1
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Anachotaka ni mimba tu!

      Heshima mbele wanaMMU

      Ninayoiweka hapa ni mada ya ukweli ambayo rafiki yangu aliniletea tuidisscus..sasa katika kuidiscuss kuna mawazo ambayo nilimpa na of course kuna mengine ambayo tulishindwa kuafikiana. Lakini kwa sababu kisima cha JF hakikaukiwi maji nimeona kabla hajafikia uamuzi rasmi basi niwashirikishe nanyinyi hapa ili nione kama mnaweza kuchangia kitu gani katika huu mpango mzima!

      Iko hivi..Jamaa yangu huyu alishawahi kuwa na rafiki wa kike kama miaka kumi iliyopita maeneo ya huko Mwanza. Na kama mnavyojua raha ya maisha kuhangaika, baada ya muda mrefu kila mtu kuwa kwenye mihanjo yake mawasiliano yalikatika na kila mtu kupata uhusiano mpya. Jamaa yangu alioa na kwenye ndoa yake kajaaliwa kupata mtoto mmoja, halikadhalika bibie naye aliolewa na kubahatika kupata mtoto mmoja pia. Kwa kipindi cha miaka ya karibuni kama miaka mitatu iliyopita marafiki hawa wa zamani walijikuta wameonana na wakawa wamebadilishana mawasiliano na wakaanza kuwa wanajuliana hali na vitu kama hivyo. Kwa mujibu wa huyu jamaa yangu, ilionekana kama mwanamke alikuwa anapenda wakumbushiane na jamaa yangu kwa mujibu wa alivyoniambia alimwambia waheshimu ndoa zao na wabaki kuwa 'friends'. Kwa mujibu wa mshkaji, mwanamke aliliafiki kwa shingo upande tu.

      Sasa, tatizo limekuja,Mume wa yule mama alifariki..na mshkaji wangu hajui kilichomuua japo inasemekana ni 'pressure' na ofcourse ni kama mwaka mmoja uliopita na jamaa kwa mila na desturi baada ya siku nyingi za kutokwenda Mwanza alienda kwao na akaamua kwenda kumpa pole huyu mama. Cha ajabu huyu mama aliipokea pole yake lakini pia akamwambia angependa azae naye kwa sbb anahisi anahitaji mtoto na hayuko tayari kuolewa tena coz umri umeenda. Mshkaji wangu anadai alimchomolea, lakini yule mama alimwambia..'wewe nipe mimba tu hayo ya ulezi niachie mimi'!.

      Sasa ili kufupisha habari hapo ndio kesi ilipo..Jamaa alifanikiwa kuchomoa kwa mara ya kwanza lakini huyu mama kaja hapa Dar na kampata jamaa na madai yake yamesimama vilevile!!..Naomba ushauri hapa 'Je? ampe tu hiyo mimba au asepe mazima!!..

      NB: Matusi na Kejeli sio kitu cha maana hapa, na kama huna la kuchangia please ukimbie huu uzi!!
      Last edited by SnowBall; 24th May 2012 at 16:31. Reason: minnor error
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      majany's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2008
      Location : IKULU
      Posts : 1,050
      Rep Power : 1699
      Likes Received
      426
      Likes Given
      831

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      aachane naye.....atulie na ndoa yake.....

    4. #3
      mkonowapaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Posts : 740
      Rep Power : 618
      Likes Received
      291
      Likes Given
      203

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      ampe imekua nyanya iyo.........mimba zenyewe za siku hizi hivyo vizazi sijui vimeingiwa pepo gani.....unat[neno baya]ba weee miaka mitano ndo inaingia.....ampotezee tu uyo!
      FirstLady1 and papag like this.
      promiseme is offlinestyle="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/misc/progress.gif" alt="" /> Reply With Quote

    5. #4
      promiseme's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2010
      Posts : 1,083
      Rep Power : 683
      Likes Received
      306
      Likes Given
      12

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Huyo rafiki yako anatakiwa awe na msimamo,na asijifanye kidume yatamtokea puani,kwani mkewe hana uwezo wakuzaa au yeye peke yake nfio mwenye mbegu salama? amuache kama alivyo na aheshimu ndoa yake sababu asicho kipenda yeye asimfanyie mwenzie pindi mkewe akija kujua patakua hapatoshi.
      "It is better to be hated for what you are then to be loved for what you are not."

    6. #5
      dmatemu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Location : Mbeya
      Posts : 284
      Rep Power : 627
      Likes Received
      44
      Likes Given
      6

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      sasa kuna haja ya kuomba ushauri hapo kwa situation kama hiyo? Huyo jamaa yako ana tamaa na anataka ndo maana anajiuliza uliza wkt jibu ni rahisi tu, NO. Amwambie haiwezekani bse ye ni mume wa mtu tayari.
      Rose1980 likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Quote By majany
      aachane naye.....atulie na ndoa yake.....
      Ahsante mkuu kwa ushauri..umezingatiwa
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    9. #7
      samstevie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2011
      Posts : 195
      Rep Power : 419
      Likes Received
      31
      Likes Given
      14

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Wala hakuitaji hata ushauri kwako kuamua, kama anaiheshimu ndoa yake asithubutu pili anauhakika gani kama huyo mama mumewe alikufa kwa maradhi gani. Yeye ni mtu mzima asithubutu kujaribu ni hatari sana kwani akishashawishika kwenye swala la mimba litahamia kwenye malezi na kisha atataka waretain mapenzi. Hivi na mkewe akitaka kukumbushia aliyemtoa bikra na habari zikimfikia rafiki yako atajisiaje?
      '' The socialism I believe in is everyone working for each other, everyone having a share of the rewards. It's the way I see football, the way I see life.'' By Bill Shankly

    10. #8
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Quote By mkonowapaka
      ampe imekua nyanya iyo.........mimba zenyewe za siku hizi hivyo vizazi sijui vimeingiwa pepo gani.....unat[neno baya]ba weee miaka mitano ndo inaingia.....ampotezee tu uyo!
      Mkuu mkonowapaka unamaanisha ingekuwa inaingia kwa wepesi sio issue??..yaan taabu ni kwa sbb inachelewa kuingia??..Funguka bro!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    11. #9
      steveachi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 800
      Rep Power : 541
      Likes Received
      140
      Likes Given
      56

      Default

      kwa nini analazimisha wazae tu,mmmh,kuna k2 hapa anakificha huyo mwanamke,,isije ikawa anataka kujaribisha kuzaa aone kama atazaa salama ajiridhishe kuwa hana ngwengwe manake hv ndo vipimo vya huku kwe2 uswazi,amchomolee tu ukizingatia ana mke ampendae,ajitahidi asimkaribie kwani atamtia vishawishini sana
      Lokissa likes this.

    12. #10
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Quote By promiseme
      Huyo rafiki yako anatakiwa awe na msimamo,na asijifanye kidume yatamtokea puani,kwani mkewe hana uwezo wakuzaa au yeye peke yake nfio mwenye mbegu salama? amuache kama alivyo na aheshimu ndoa yake sababu asicho kipenda yeye asimfanyie mwenzie pindi mkewe akija kujua patakua hapatoshi.
      Umesomeka bro!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    13. #11
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Quote By mkonowapaka
      ampe imekua nyanya iyo.........mimba zenyewe za siku hizi hivyo vizazi sijui vimeingiwa pepo gani.....unat[neno baya]ba weee miaka mitano ndo inaingia.....ampotezee tu uyo!
      Eeeh..haya weee
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    14. #12
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Quote By samstevie
      Wala hakuitaji hata ushauri kwako kuamua, kama anaiheshimu ndoa yake asithubutu pili anauhakika gani kama huyo mama mumewe alikufa kwa maradhi gani. Yeye ni mtu mzima asithubutu kujaribu ni hatari sana kwani akishashawishika kwenye swala la mimba litahamia kwenye malezi na kisha atataka waretain mapenzi. Hivi na mkewe akitaka kukumbushia aliyemtoa bikra na habari zikimfikia rafiki yako atajisiaje?
      Nimekusoma mkuu!..kweli za kuambiwa changanya na za kwako!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    15. #13
      HorsePower's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 2,649
      Rep Power : 3795
      Likes Received
      1667
      Likes Given
      1485

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Aache tamaa maana tayari yeye ana mke. Hilo la kusema ampe mimba tu ni mtego wa kumrudisha tena kwenye kukumbushia enzi ambayo itamsababishia huyo kaka aje aharibu ndoa yake. Mwambie asimamie ule ule msimamo wake wa awali ...
      Kupewa mimba ni lazima ku-do, na ukisha do mara moja, wenyewe wanasema safari moja huanzisha nyingine, take care!
      Akimzingua sana, amuwekee mambo kwenye chupa akajitilie mwenyewe huko, shauri yake, alaaah !!! <Hapa am joking!...>
      Don’t judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant.

    16. #14
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Quote By dmatemu
      sasa kuna haja ya kuomba ushauri hapo kwa situation kama hiyo? Huyo jamaa yako ana tamaa na anataka ndo maana anajiuliza uliza wkt jibu ni rahisi tu, NO. Amwambie haiwezekani bse ye ni mume wa mtu tayari.
      Unajua unapokuwa kwenye eneo la tukio kuna mengi yanajitokeza mkuu na nadhani kuna mengineyo ambayo hakuniambia huenda ndo yamepelekea yeye kushindwa kutoa jibu la moja kwa moja kama 'YES' ama 'NO'. Na kwa sababu hiyo sioni kama alifanya vibaya kuja kuomba ushauri mkuu!!..Anyway ushauri wako umezingatiwa!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    17. #15
      Ennie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Location : DAR ES SALAAAM
      Posts : 1,594
      Rep Power : 817
      Likes Received
      498
      Likes Given
      539

      Default

      Quote By SnowBall
      Heshima mbele wanaMMU

      Ninayoiweka hapa ni mada ya ukweli ambayo rafiki yangu aliniletea
      tuidisscus..sasa katika kuidiscuss kuna mawazo ambayo nilimpa na of
      course kuna mengine ambayo tulishindwa kuafikiana. Lakini kwa sababu
      kisima cha JF hakikaukiwi maji nimeona kabla hajafikia uamuzi rasmi basi
      niwashirikishe nanyinyi hapa ili nione kama mnaweza kuchangia kitu gani
      katika huu mpango mzima!

      Iko hivi..Jamaa yangu huyu alishawahi kuwa na rafiki wa kike kama miaka
      kumi iliyopita maeneo ya huko Mwanza. Na kama mnavyojua raha ya maisha
      kuhangaika, baada ya muda mrefu kila mtu kuwa kwenye mihanjo yake
      mawasiliano yalikatika na kila mtu kupata uhusiano mpya. Jamaa yangu
      alioa na kwenye ndoa yake kajaaliwa kupata mtoto mmoja, halikadhalika
      bibie naye aliolewa na kubahatika kupata mtoto mmoja pia. Kwa kipindi
      cha miaka ya karibuni kama miaka mitatu iliyopita marafiki hawa wa
      zamani walijikuta wameonana na wakawa wamebadilishana mawasiliano na
      wakaanza kuwa wanajuliana hali na vitu kama hivyo. Kwa mujibu wa huyu
      jamaa yangu, ilionekana kama mwanamke alikuwa anapenda wakumbushiane na
      jamaa yangu kwa mujibu wa alivyoniambia alimwambia waheshimu ndoa zao na
      wabaki kuwa 'friends'. Kwa mujibu wa mshkaji, mwanamke aliliafiki kwa
      shingo upande tu.

      Sasa, tatizo limekuja,Mume wa jamaa alifariki..na mshkaji wangu hajui
      kilichomuua japo inasemekana ni 'pressure' na ofcourse ni kama mwaka
      mmoja uliopita na jamaa kwa mila na desturi baada ya siku nyingi za
      kutokwenda Mwanza alienda kwao na akaamua kwenda kumpa pole huyu mama.
      Cha ajabu huyu mama aliipokea pole yake lakini pia akamwambia angependa
      azae naye kwa sbb anahisi anahitaji mtoto na hayuko tayari kuolewa tena
      coz umri umeenda. Mshkaji wangu anadai alimchomolea, lakini yule mama
      alimwambia..'wewe nipe mimba tu hayo ya ulezi niachie mimi'!.

      Sasa ili kufupisha habari hapo ndio kesi ilipo..Jamaa alifanikiwa
      kuchomoa kwa mara ya kwanza lakini huyu mama kaja hapa Dar na kampata
      jamaa na madai yake yamesimama vilevile!!..Naomba ushauri hapa 'Je? ampe
      tu hiyo mimba au asepe mazima!!..

      NB: Matusi na Kejeli sio kitu cha maana hapa, na kama huna la
      kuchangia please ukimbie huu uzi!!
      Mwambie akaombe ushauri kwa mkewe.

    18. #16
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,863
      Rep Power : 17532
      Likes Received
      4889
      Likes Given
      5322

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      haa! mbna kitu iko open kabisa. huyo mama anataka kurudisha mapenzi tena ya muda mrefu. sa kaona ili kumtia kitanzi hyo baba ni kutaka abebeshwe mimba. mwambie jamaa ako huo ni mtego tena kitanzi ambacho anakikaribisha kwa mikono miwili. kama kaichoka ndoa yake akubali upuuzi wa huyo mama! aheshimu ndoa yake yalopita yashapita, na huo wema utamgharimu...

    19. #17
      TaiJike's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2011
      Posts : 1,156
      Rep Power : 607
      Likes Received
      387
      Likes Given
      347

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Kama shida ni mtoto tu si wapo wakupandikiza? huyo mama akanunue mbegu.
      * Nitashangaa kama hawa Watanzania watakataa kuasi. Kwanini wasiasi? * - Julius Kambarage Nyerere


    20. #18
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24025
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Quote By Charminggirl
      haa! mbna kitu iko open kabisa. huyo mama anataka kurudisha mapenzi tena ya muda mrefu. sa kaona ili kumtia kitanzi hyo baba ni kutaka abebeshwe mimba. mwambie jamaa ako huo ni mtego tena kitanzi ambacho anakikaribisha kwa mikono miwili. kama kaichoka ndoa yake akubali upuuzi wa huyo mama! aheshimu ndoa yake yalopita yashapita, na huo wema utamgharimu...
      Nimekusoma dada/kaka Charminggirl..message received!
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    21. #19
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,585
      Rep Power : 5620
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2288

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      rafiki yako anamtamani huyo "mpenzi" wake wa "zamani?'
      kama hamtamani mbona iko wazi kabisa?
      amkatalie
      na avunje mawasiliano ya aina zote....
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    22. #20
      stephot's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2012
      Location : DSM
      Posts : 777
      Rep Power : 586
      Likes Received
      212
      Likes Given
      589

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Hiyo tabia ya wanawake kusema nipe mimba siju huwa ni wanawake wote wanapopagwa na mapenzi ndio huwazia hayo au ni baadhi tu,utampa hiyo mimba na kintakachokuja kuzaliwa ni kiumbe kinachoishi na kitakuwa kina mahitaji ya lazima kama kuwa na Baba na Mama,na mengine ambayo yatamfanya aishi,sasa unapokubali hayo ujue atakapozaliwa lazima hivyo vitu avipate na huyo anaesema we nipe mimba halafu uniachie nitatunza mtoto nakuhakikishia hakuna ukweli kwenye hilo bro,moto utakaokuwakia utajuta kwanini ulifanya huo ujinga kwani mkeo ujue ni lazima atakuja ajue kwani hakuna siri kwenye hayo mambo na ndoa yako itakuwa tayari imeingia mahali pabaya sana,nakushauri uachane na hivyo vishawishi vyake vya kijinga na kama anahitaji sex use a Condom.
      SnowBall likes this.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...