Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Anachotaka ni mimba tu!

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 70 of 70
    1. #1
      SnowBall's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Amsterdam, Nertherlands
      Posts : 2,628
      Rep Power : 24024
      Likes Received
      2399
      Likes Given
      3298

      Default Anachotaka ni mimba tu!

      Heshima mbele wanaMMU

      Ninayoiweka hapa ni mada ya ukweli ambayo rafiki yangu aliniletea tuidisscus..sasa katika kuidiscuss kuna mawazo ambayo nilimpa na of course kuna mengine ambayo tulishindwa kuafikiana. Lakini kwa sababu kisima cha JF hakikaukiwi maji nimeona kabla hajafikia uamuzi rasmi basi niwashirikishe nanyinyi hapa ili nione kama mnaweza kuchangia kitu gani katika huu mpango mzima!

      Iko hivi..Jamaa yangu huyu alishawahi kuwa na rafiki wa kike kama miaka kumi iliyopita maeneo ya huko Mwanza. Na kama mnavyojua raha ya maisha kuhangaika, baada ya muda mrefu kila mtu kuwa kwenye mihanjo yake mawasiliano yalikatika na kila mtu kupata uhusiano mpya. Jamaa yangu alioa na kwenye ndoa yake kajaaliwa kupata mtoto mmoja, halikadhalika bibie naye aliolewa na kubahatika kupata mtoto mmoja pia. Kwa kipindi cha miaka ya karibuni kama miaka mitatu iliyopita marafiki hawa wa zamani walijikuta wameonana na wakawa wamebadilishana mawasiliano na wakaanza kuwa wanajuliana hali na vitu kama hivyo. Kwa mujibu wa huyu jamaa yangu, ilionekana kama mwanamke alikuwa anapenda wakumbushiane na jamaa yangu kwa mujibu wa alivyoniambia alimwambia waheshimu ndoa zao na wabaki kuwa 'friends'. Kwa mujibu wa mshkaji, mwanamke aliliafiki kwa shingo upande tu.

      Sasa, tatizo limekuja,Mume wa yule mama alifariki..na mshkaji wangu hajui kilichomuua japo inasemekana ni 'pressure' na ofcourse ni kama mwaka mmoja uliopita na jamaa kwa mila na desturi baada ya siku nyingi za kutokwenda Mwanza alienda kwao na akaamua kwenda kumpa pole huyu mama. Cha ajabu huyu mama aliipokea pole yake lakini pia akamwambia angependa azae naye kwa sbb anahisi anahitaji mtoto na hayuko tayari kuolewa tena coz umri umeenda. Mshkaji wangu anadai alimchomolea, lakini yule mama alimwambia..'wewe nipe mimba tu hayo ya ulezi niachie mimi'!.

      Sasa ili kufupisha habari hapo ndio kesi ilipo..Jamaa alifanikiwa kuchomoa kwa mara ya kwanza lakini huyu mama kaja hapa Dar na kampata jamaa na madai yake yamesimama vilevile!!..Naomba ushauri hapa 'Je? ampe tu hiyo mimba au asepe mazima!!..

      NB: Matusi na Kejeli sio kitu cha maana hapa, na kama huna la kuchangia please ukimbie huu uzi!!
      Last edited by SnowBall; 24th May 2012 at 16:31. Reason: minnor error
      ..''I wasted time, and now those time waste me''...Shakespear

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,832
      Rep Power : 17526
      Likes Received
      4869
      Likes Given
      5277

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      ucjali SnowBall umesomeka. hebu fuata ushauri wa Mr.Rock...

    4. #62
      Mr Rocky's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th October 2007
      Location : Hungumalwa
      Posts : 9,166
      Rep Power : 46184
      Likes Received
      6479
      Likes Given
      5321

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Quote By CUTE
      umeona eeh mtu unaanza kuwaza kumbe walioko ktk ndoa siku akikutana na wakale wake akiomba msaada wa kimapenz atasaidiwa ingawa sio woote wanawaza ivo ila wanaharibia wale ambao hawawazi ivo
      na pili anaonesha hampendi sana mkewe mana angekua anampenda sana wala isingefikia hatua ya kumpa huyo mama nafasi ktk moyo wake kumuwaza mchana kutwa mpaka kuja kuomba ushauri kwa rafiki yake hapo inaonesha yuko fifty fifty
      Kweli kabisa
      Tusema mambo mengine huwa tunatayataka wenyewe na yanafikia kututesa
      Ni maamuzi kuamua kuw asawa tulikuwa marafiki na kila mmoja ana familia yake
      heshimu hili la mwenzako analokuambia ana familia yake na hapendi hilo unalotaka kumwambia
      Inaonekana hata jamaa mwenyewe hana msimamo na hajajua kama aende au aache na anapokumbuka what happens in those old good days anaona mhhh ngoja nisikilizie ushauri
      Ila ushauri wa maana ni kwamba aheshimu ndoa yake
      SnowBall likes this.
      When you are in Love you can't fall asleep because reality is better than your dreams

    5. #63
      MERCYCITY's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 84
      Rep Power : 385
      Likes Received
      25
      Likes Given
      8

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Wana JF nawapongeza kwa ushauri mzuri kwa huyu jamaa wa kumwkoa kwenye janga maanake angekuja juta. Na si yeye tu mliyemshauri kwani tupo wengi wenye haya matatizo na ni ushauri mzuri wa kuachana na hayo mambo na kulinda ndoa zetu
      SnowBall likes this.

    6. #64
      mzee wa njaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Posts : 1,340
      Rep Power : 669
      Likes Received
      194
      Likes Given
      107

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      kwani UUME wa huyo jamaa ni mtamu sana nini? kwanini asitafute mwanaume mwingine? aachane nae tu.

    7. #65
      Barraza's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th October 2011
      Posts : 117
      Rep Power : 408
      Likes Received
      21
      Likes Given
      23

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Bora lawama kuliko fedheha, anaweza kumpa hiyo mimba leo lakini huko mbeleni yakaja kutokea ya kutokea akajikuta ameiweka rehani ndoa yake, namshauri aendelee kumkwepa tu

    8. Miaka 50

    9. #66
      The secretary's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 2,721
      Rep Power : 19052
      Likes Received
      1451
      Likes Given
      129

      Default

      Quote By SnowBall
      Heshima mbele wanaMMU

      Ninayoiweka hapa ni mada ya ukweli ambayo rafiki yangu aliniletea tuidisscus..sasa katika kuidiscuss kuna mawazo ambayo nilimpa na of course kuna mengine ambayo tulishindwa kuafikiana. Lakini kwa sababu kisima cha JF hakikaukiwi maji nimeona kabla hajafikia uamuzi rasmi basi niwashirikishe nanyinyi hapa ili nione kama mnaweza kuchangia kitu gani katika huu mpango mzima!

      Iko hivi..Jamaa yangu huyu alishawahi kuwa na rafiki wa kike kama miaka kumi iliyopita maeneo ya huko Mwanza. Na kama mnavyojua raha ya maisha kuhangaika, baada ya muda mrefu kila mtu kuwa kwenye mihanjo yake mawasiliano yalikatika na kila mtu kupata uhusiano mpya. Jamaa yangu alioa na kwenye ndoa yake kajaaliwa kupata mtoto mmoja, halikadhalika bibie naye aliolewa na kubahatika kupata mtoto mmoja pia. Kwa kipindi cha miaka ya karibuni kama miaka mitatu iliyopita marafiki hawa wa zamani walijikuta wameonana na wakawa wamebadilishana mawasiliano na wakaanza kuwa wanajuliana hali na vitu kama hivyo. Kwa mujibu wa huyu jamaa yangu, ilionekana kama mwanamke alikuwa anapenda wakumbushiane na jamaa yangu kwa mujibu wa alivyoniambia alimwambia waheshimu ndoa zao na wabaki kuwa 'friends'. Kwa mujibu wa mshkaji, mwanamke aliliafiki kwa shingo upande tu.

      Sasa, tatizo limekuja,Mume wa yule mama alifariki..na mshkaji wangu hajui kilichomuua japo inasemekana ni 'pressure' na ofcourse ni kama mwaka mmoja uliopita na jamaa kwa mila na desturi baada ya siku nyingi za kutokwenda Mwanza alienda kwao na akaamua kwenda kumpa pole huyu mama. Cha ajabu huyu mama aliipokea pole yake lakini pia akamwambia angependa azae naye kwa sbb anahisi anahitaji mtoto na hayuko tayari kuolewa tena coz umri umeenda. Mshkaji wangu anadai alimchomolea, lakini yule mama alimwambia..'wewe nipe mimba tu hayo ya ulezi niachie mimi'!.

      Sasa ili kufupisha habari hapo ndio kesi ilipo..Jamaa alifanikiwa kuchomoa kwa mara ya kwanza lakini huyu mama kaja hapa Dar na kampata jamaa na madai yake yamesimama vilevile!!..Naomba ushauri hapa 'Je? ampe tu hiyo mimba au asepe mazima!!..

      NB: Matusi na Kejeli sio kitu cha maana hapa, na kama huna la kuchangia please ukimbie huu uzi!!
      Asijaribu kabisa inawezekana mwenzie ana nia ya kumwambukiza au kumwaribia ndoa ili wawe wote

    10. #67
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,949
      Rep Power : 752
      Likes Received
      281
      Likes Given
      146

      Default

      Quote By dmatemu
      sasa kuna haja ya kuomba
      ushauri hapo kwa situation kama hiyo? Huyo jamaa yako ana tamaa na
      anataka ndo maana anajiuliza uliza wkt jibu ni rahisi tu, NO. Amwambie
      haiwezekani bse ye ni mume wa mtu tayari.
      mimba maana yake ngono bila kinga. hatari zake sote tunazijua!

    11. #68
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      mianamke mingine mh
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    12. #69
      msnajo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 665
      Rep Power : 555
      Likes Received
      75
      Likes Given
      92

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      ..Jamaa
      alifanikiwa kuchomoa kwa
      mara ya kwanza lakini huyu
      mama kaja hapa Dar na
      kampata jamaa na madai yake yamesimama
      vilevile!!..Naomba ushauri
      hapa 'Je? ampe tu hiyo mimba
      au asepe mazima!

      Jambo kama hulitaki unalipa nafasi ya nini kwenye akili yako? Yeye kama mwanaume hakupashwa kutafuta ushauri, maamuzi yake binafsi yanatosha!! Mambo mengine yanakua kama "sitaki nataka", huku nikutokujitambua!!

    13. #70
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Anachotaka ni mimba tu!

      Akili zako changanya na za jirani yako kisha chukua hatua......

    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...