Nadhani kila mtu anajua namna "flirting" inavyoweza kurahisisha siku au hata maisha kwa ujumla. I'ts fun, relaxing, can turn a bad day into a good one and so so.
Swali. . .utajisikiaje kumuona mpenzi/mume/mke wako akiflirt na wanawake/wanaume wengine?! Na kwa hapa JF ambapo watu wanaflirt saaaaana tena waziwazi (I suppose ndo sababu watu wengine wanaogopa wenzi wao kufahamu ID zao humu) ukiwa unaifahamu ID ya mwenzio na ukawa unaona anavyoflirt (wanavyoitana majina matam tam ambayo wewe hajawahi kukuita) na wadada/wakaka wa humu utajisikiaje?!Vibaya/vizuri/hutojali?!
Binafsi nisingependa/furahia wala mimi nisingefanya. Ningependa tuflirt sisi kwa sisi bila kushirikisha watu wengine.
Alafu kumbe na wewe ni ka'bad boi' in disguise ehhhhh? Nimeona kule kwa MM mpaka nikaahirisha thread nlotaka kurusha leo. Ngoja nikutafutie mwenye mwanya na namba nane uanze kuflirt na wewe.
mleta maada ni nzuri sana upande wangu naona hebu tufike sehemu tuheshimu ndoa zetu si hapa jamvini tu maananashangaa hata wakati mwingne unaoa watu wanaanza kuandikiana maneno ya kimahaba kabisa kiasi kana kwamba hawana wapenzi may be nilikuwa nafikiria ni watu ambao hawana wapenzi au hawajaoa kumbe wameoa tumuongope MUNGU na wala si binadamu.
Alafu kumbe na wewe ni ka'bad boi' in disguise ehhhhh? Nimeona kule kwa MM mpaka nikaahirisha thread nlotaka kurusha leo. Ngoja nikutafutie mwenye mwanya na namba nane uanze kuflirt na wewe.
Flirting ya RR na Smile hii inaelekea kwenye tongozo .............. So tunapata jibu kuwa si vema kuflirt na mwingne kama unaye mpenzi wa moyo kwani flirt can lead to mahusiano!
wanakuwa wakali hao!!!
Lakini wao ndo mafundi.....
By Lizzy
Nadhani kila mtu anajua namna "flirting" inavyoweza kurahisisha siku au hata maisha kwa ujumla. I'ts fun, relaxing, can turn a bad day into a good one and so so.
Swali. . .utajisikiaje kumuona mpenzi/mume/mke wako akiflirt na wanawake/wanaume wengine?! Na kwa hapa JF ambapo watu wanaflirt saaaaana tena waziwazi (I suppose ndo sababu watu wengine wanaogopa wenzi wao kufahamu ID zao humu) ukiwa unaifahamu ID ya mwenzio na ukawa unaona anavyoflirt (wanavyoitana majina matam tam ambayo wewe hajawahi kukuita) na wadada/wakaka wa humu utajisikiaje?!Vibaya/vizuri/hutojali?!
Binafsi nisingependa/furahia wala mimi nisingefanya. Ningependa tuflirt sisi kwa sisi bila kushirikisha watu wengine.
Flirting ya RR na Smile hii inaelekea kwenye tongozo .............. So tunapata jibu kuwa si vema kuflirt na mwingne kama unaye mpenzi wa moyo kwani flirt can lead to mahusiano!
Hivi mahusiano huwa yanaombwa?
Wanaume wanatongoza wanawake ili wapate MAHUSIANO? au FIRIGISI.
Nadhani kila mtu anajua namna "flirting" inavyoweza kurahisisha siku au hata maisha kwa ujumla. I'ts fun, relaxing, can turn a bad day into a good one and so so.
Swali. . .utajisikiaje kumuona mpenzi/mume/mke wako akiflirt na wanawake/wanaume wengine?! Na kwa hapa JF ambapo watu wanaflirt saaaaana tena waziwazi (I suppose ndo sababu watu wengine wanaogopa wenzi wao kufahamu ID zao humu) ukiwa unaifahamu ID ya mwenzio na ukawa unaona anavyoflirt (wanavyoitana majina matam tam ambayo wewe hajawahi kukuita) na wadada/wakaka wa humu utajisikiaje?!Vibaya/vizuri/hutojali?!
Binafsi nisingependa/furahia wala mimi nisingefanya. Ningependa tuflirt sisi kwa sisi bila kushirikisha watu wengine.
Nakubaliana na wewe Lizzy, na zaidi ya hapo hizi flirt zingeendekezwa pia huzaa mambo mengine!
Don’t judge each day by the harvest you reap but by the seeds that you plant.
Flirting ya RR na Smile hii inaelekea kwenye tongozo .............. So tunapata jibu kuwa si vema kuflirt na mwingne kama unaye mpenzi wa moyo kwani flirt can lead to mahusiano!
Flirting ya RR na Smile hii inaelekea kwenye tongozo .............. So tunapata jibu kuwa si vema kuflirt na mwingne kama unaye mpenzi wa moyo kwani flirt can lead to mahusiano!
Sasa MwanajamiiOne siwezi kumtongoza ambaye nishamtolea kondoo na blanketi....hii ni pure flirt...100%
Bunge: Upuuzi unaolindwa na sheria...kwa kutumia hela za Watz!
Follow Us Here