Mara kwa mara nasikia mnasema 'kuolewa ni bahati',hivi mnamaanisha nini hasa?
Mara kwa mara nasikia mnasema 'kuolewa ni bahati',hivi mnamaanisha nini hasa?
Kuolewa ni bahati kama uko nyumbani unasubiri kuolewa,kama unakazi yako sidhani kama ni bahati manake huwi tegemezi kwa mume.
The hunger for love is much more difficult to remove than the hunger for bread - Mother Teresa
Kuolewa ni Bahati??? Bahati ya nini sasa!!!
Mpango mzima ni kumpata mume/mke bora na si mradi ndoa tu
Bishanga una kesi ya kujibu
A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"
Sijakwepa Bishanga bahati ya nini sasa? inaweza kuwa nuksi tuuu
God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.
kuolewa sio bahati Bishanga, bahati ni kumpata wa kufa na kuzikana. kuna dada 1 ye anasema me nataka kuolewa ndio. ila naolewa ili niachike ili niondoe nuksi kwetu. so kuolewa sio bahati kuna wanaoolewa kusafisha jina na kupata michango miingi ilhali mind set zao hazipo kabisaaaa ktk ndoa. ....
"Binafsi siamini wala sioni ni kwa namna gani "kuolewa ni bahati". Kwangu mimi bahati ipo kwenye kumpata mtu ambae anaelewa nini maana ya ndoa na kuiheshimu ndoa yake, anaempenda mwenzi wake, anaemheshimu mwenzi wake pamoja na mawazo yake, anaemsikiliza mwenzake, anaejielewa na kujitahidi kumwelewa mwenzake, aliye tayari kujitoa kwa mwenzake, anaejua na kutimiza majukumu yake, anaejitahidi kumfurahisha mwenzake kwa maneno na matendo. Vivo hivyo kwa wanaume. . . . wenye bahati sio waliooa bali ni waliooa wanawake wenye sifa nilizotanguliza hapo juu.
Kuoa/kuolewa sio bahati hivyo usibahatishe" Lizzy
Hii nimeichukua kwny uzi wa Lizzy na ni kwa faida ya wale wooote ambao hawajaisoma na we Bishanga hebu rejea hapo!
Wewe Bishanga umeoa? Je una uhakika mai waifu wako ana bahati kuolewa na wewe na kwa vipi? Ukijibu hili utakuwa umeelewa kama kuolewa ni bahati au la.
TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA
Bishanga mpango mzima kwenye dunia ya leo ni pesa,hayo mengine yanarekebishika studio,mume wa kazi gani zaidi ya kukusababishia mtikisiko wa ubongo?mara leo karudi na ndom yenye mchuzi,kesho kanishushia kipondo,kesho kutwa anarudi asubuhi tena akiwa kaibiwa everything na amelewa chakali! Sasa waume wa dizaini hii ndo wamejaa tele huko kwenye ndoa bahati itatoka wapi??
No thank you!
Lizy, nadhan bahati aisemeayo bishanga ni hata wewe uliempata anaekufaa na yule ambaye amempata asiemfaa. Sasa bas bahati yenyewe inakuja vipi? 1.nzi "Dungadunga sepa" wamekuwa wengi. Wanatua kwenye msosi wakishachafua wanakimbia 2. Maisha utata hvo kla mmoja kuogopa kuingia ktk majukumu ya ziada. 3. Beijing imewaharbu wengi wanawake hvyo wanaume wanaogopa vita. 4. Wanaume wamekuwa wachache na uchache ukzdishwa na wanaume mashababi wamepungua...naruhusu kukosolewa
Follow Us Here