Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

    Report Post
    Page 11 of 11 FirstFirst ... 91011
    Results 201 to 213 of 213
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      Hizi mbinu ni muarobaini wa wake/ma-GF korofi na utawashikisha adabu...............nimeifupis ha kutoka kwenye hii makala ya
      Don’ts for husbands



      1) Usifue nguo zako hata siku moja hakikisha anakufulia kwa mikono yake na hakuna mwanya wa kumwachia mtoto wa kazi. Yeye mwenyewe aliapa atakuhudumia na wala siyo kukasimu madaraka tajwa............

      2) Usipike hata siku moja hakikisha ni mikono yake ndiyo inabeba haya majukumu na hakuna fursa ya kukasimu haya majukumu nyeti kabisa..............

      3) Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache soooooooooooooooo.

      4) Asiendeshe gari na wewe ukiwepo.

      5)Akuchagulie nguo za kuvaa.

      6) Lipa bili zote asilipe bili hata moja.......vijisenti vyake atajua nini ya kuvifanyia ili asije kudhani mpo sawa...

      7) Hakikisha una ajira na kamwe usimtegemee kwa lolote lile

      8) Usifilisike hata siku moja vinginevyo atakutawala tena kwa masimango kibao.........

      9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........

      10) Usiwe mtu wa matumizi mabaya ya fedha hasa pati na marafiki na hivyo kumpa picha ya kuwa wewe ni mfujaji

      Haya ni masharti ya kukwepa mwanandni wako kufikiri naye ni kidume ndani ya mahusiano yenu..........ukishindwa haya au kama ukijipima ukaona hupati maksi 80 au maswali nane kati ya kumi basi wewe unatawaliwa na mwanamke na mahusiano yenu yapo hatarini kuvunjika au wewe kuwa huna furaha maisha yako yote na utakufa kwa shinikizo la damu na ugonjwa wa moyo...................

      amka jikomboe kutoka kwenye utumwa wa mwanamke..............
      Baba Mtu, terabojo, Chauro and 2 others like this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    2. Miaka 50

    3. #201
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      8,9,10 GOOOOD. Zilizobaki zimekaa design ya ''mfumo dume''!
      Consultant......usichojua ni kuwa zote ni mfumo dume na ndivyo mapenzi ya Mungu kuwa mwanamke atatawaliwa na mumewe........................ .hiyo ni adhabu aliyopewa mama yao Eva....................na wao wakarithi laana tajwa. Hivyo, kuukataa mfumo dume ni kumkataa Mungu ambaye alisema hivi akihoji upumbavu wa mwanadamu................Isaiah 29:16 "...........for shall the thing formed say of whom formed it you have no understanding?"

      na Mwenyezi Mungu tayari alikwisha kumlaani mwanamke pale aliposema na ninanukuu:-

      Genesis 3:16 ".........your desire shall be for your husband, and he shall rule over you."

      mkeo lazima umtawale na dalili za kufanikiwa ni kuwa stay out of domestic chores and do the real man's work.............. Consultant
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    4. #202
      Sashel's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2012
      Posts : 177
      Rep Power : 399
      Likes Received
      71
      Likes Given
      102

      Default

      Quote By Rutashubanyuma
      Yummy kazinduka usingizini na kaona bora azingatie kazi za nyumbani na swahiba wake asije kutekwa nyara na wengineo wanaomkodolea macho................@
      Kazi za nyumbani? Anafanya kazi za kulipwa hela ili apate hela ya watoto ya shule na chakula..lol

    5. #203
      Paxman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2010
      Location : MIT
      Posts : 1,067
      Rep Power : 1129
      Likes Received
      383
      Likes Given
      598

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      Zero advice.

    6. #204
      Asnam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2012
      Location : Yutong
      Posts : 2,618
      Rep Power : 11180
      Likes Received
      1631
      Likes Given
      1170

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      No.1 na No.2 hizo sheria ni za enzi za mjerumani not now better follow what you deserve from your spouse its the only way to overcome other problems,your wife is not a slave
      "Quality is always better than quantity. That's why the people I call true are few."

    7. #205
      HekimaMoyoni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th December 2010
      Location : Mbeya
      Posts : 55
      Rep Power : 439
      Likes Received
      16
      Likes Given
      66

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      Quote By Rutashubanyuma
      Hizi mbinu ni muarobaini wa wake/ma-GF korofi na utawashikisha adabu...............nimeifupis ha kutoka kwenye hii makala ya
      Don’ts for husbands



      1) Usifue nguo zako hata siku moja hakikisha anakufulia kwa mikono yake na hakuna mwanya wa kumwachia mtoto wa kazi. Yeye mwenyewe aliapa atakuhudumia na wala siyo kukasimu madaraka tajwa............

      2) Usipike hata siku moja hakikisha ni mikono yake ndiyo inabeba haya majukumu na hakuna fursa ya kukasimu haya majukumu nyeti kabisa..............

      3) Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache soooooooooooooooo.

      4) Asiendeshe gari na wewe ukiwepo.

      5)Akuchagulie nguo za kuvaa.

      6) Lipa bili zote asilipe bili hata moja.......vijisenti vyake atajua nini ya kuvifanyia ili asije kudhani mpo sawa...

      7) Hakikisha una ajira na kamwe usimtegemee kwa lolote lile

      8) Usifilisike hata siku moja vinginevyo atakutawala tena kwa masimango kibao.........

      9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........

      10) Usiwe mtu wa matumizi mabaya ya fedha hasa pati na marafiki na hivyo kumpa picha ya kuwa wewe ni mfujaji

      Haya ni masharti ya kukwepa mwanandni wako kufikiri naye ni kidume ndani ya mahusiano yenu..........ukishindwa haya au kama ukijipima ukaona hupati maksi 80 au maswali nane kati ya kumi basi wewe unatawaliwa na mwanamke na mahusiano yenu yapo hatarini kuvunjika au wewe kuwa huna furaha maisha yako yote na utakufa kwa shinikizo la damu na ugonjwa wa moyo...................

      amka jikomboe kutoka kwenye utumwa wa mwanamke..............
      kweli wanaume wengine wamefilisika Kimawazo/kimtazamo.
      Huyo mkeo mmeoana ili mkomoane? kua na hela kuliko mkeo ndio sababu ya kumfanya mtumwa.

      mbona hujawasaidia wanaume ambao wana kipato kidogo kuliko wake zao? Kama wake zao ndio wanalipa bili ya maji, luku kusomesha na kadhalika, je wanaume ndio wawe wanapika, kufua nk?

      Ishi maisha huru wewe, acha kujitesa. maisha ya ndoa maana yake ni kusaidiana na upendo bila kujali nani ana kipato kikubwa au nani analipa bili.

      Nyie ndio mnaofanya ndoa zenu kuvunjika maana mnakaa na wake zenu bila upendo, na baada ya mda wake zenu wakipata wa kuwapa upendo wa kweli mnaishia kushika pembe.
      muhanga likes this.

    8. FemaTV & Radio

    9. #206
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1895
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      Quote By Rutashubanyuma
      Yummy kazinduka usingizini na kaona bora azingatie kazi za nyumbani na swahiba wake asije kutekwa nyara na wengineo wanaomkodolea macho............... Sashel, Yummy
      Hahahaaaa umejuaje?!saizi namkorogea uji wa muhogo mume wangu kipenzi
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    10. #207
      Yummy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 1,751
      Rep Power : 1895
      Likes Received
      1274
      Likes Given
      983

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      Quote By Sashel
      Yummy upo pande zipi?..hawabebeki kama nungunungu..lol
      Yani bora kujitwisha gunia la mawe
      Sashel likes this.
      God can heal a broken heart but you have to give him all the pieces.

    11. #208
      muhanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Posts : 851
      Rep Power : 684
      Likes Received
      258
      Likes Given
      347

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      [QUOTE=Rutashubanyuma;3830741]

      Hizi mbinu ni muarobaini wa wake/ma-GF korofi na utawashikisha adabu...............nimeifupis ha kutoka kwenye hii makala ya
      Don’ts for husbands



      1) Usifue nguo zako hata siku moja hakikisha anakufulia kwa mikono yake na hakuna mwanya wa kumwachia mtoto wa kazi. Yeye mwenyewe aliapa atakuhudumia na wala siyo kukasimu madaraka tajwa............

      This is ridiculous! Katika ndoa wapi mtu anaapa kumtumikia mwenzie, labda kiapo cha kimila (sijui kabila lako ndugu) lkn kwa sisi wa kanisani tunaapa kupendana, kusaidiaana ktk shida na raha na si kutumikiana kwa maana hii!

      2) Usipike hata siku moja hakikisha ni mikono yake ndiyo inabeba haya majukumu na hakuna fursa ya kukasimu haya majukumu nyeti kabisa..............
      unless uwe umeoa mama wa nyumbani yaani fulllll time housewife, yaani full time hata dukani haendi!

      3) Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache soooooooooooooooo.
      aaahh hii siwezi kucomment kwa kuwa kwangu maji ya bomba full time hakuna kubeba ndoo na heater hakuna kuinjika maji....

      4) Asiendeshe gari na wewe ukiwepo.
      mmh am just speecheless, gari lenyewe langu mwenyewe nimelinunua kwa pesa zangu halafu aniwekee masharti .... mmh I doubt! by the way, whats the big deal kwa mkeo kuendesha gari???
      5)Akuchagulie nguo za kuvaa.
      at least this one I can aford..

      6) Lipa bili zote asilipe bili hata moja.......vijisenti vyake atajua nini ya kuvifanyia ili asije kudhani mpo sawa...
      I though u pay bills 'cause your responsible husband, kumbe ni ili ujikweze mke asione mko sawa???!!!! duh 'cant imagine!

      7) Hakikisha una ajira na kamwe usimtegemee kwa lolote lile
      uko very negative kwa wanawake! any reason..
      8) Usifilisike hata siku moja vinginevyo atakutawala tena kwa masimango kibao.........
      nani anataka kufilisika??? kufilisika kunakuja na mambo mengi na huwa hakuna anaepanga ni mambo ya maisha kubadilisha upepo tu
      9) Usimpige au kumnyanyasa au kumdhalilisha mkeo mbele ya kadamnasi ya watu............mpende kama kiapo chako kilivyokuwa.........
      kwa hiyo ukiwa pembeni ya kadamnasi unaruhusiwa kumnyanyasa!??

      10) Usiwe mtu wa matumizi mabaya ya fedha hasa pati na marafiki na hivyo kumpa picha ya kuwa wewe ni mfujaji
      eh sikujua kama party na marafiki ni matumizi mabaya ya fedha! kweli watu hutafsiri mambo kwa njia tofauti sana!
      Haya ni masharti ya kukwepa mwanandni wako kufikiri naye ni kidume ndani ya mahusiano yenu..........ukishindwa haya au kama ukijipima ukaona hupati maksi 80 au maswali nane kati ya kumi basi wewe unatawaliwa na mwanamke na mahusiano yenu yapo hatarini kuvunjika au wewe kuwa huna furaha maisha yako yote na utakufa kwa shinikizo la damu na ugonjwa wa moyo...................

      mh kweli bado elimu ya mfumo dume inahitajika sana maana eeehhh kaazi kweli kwelii!
      amka jikomboe kutoka kwenye utumwa wa mwanamke..............

    12. #209
      Belo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2007
      Location : Nakahuga
      Posts : 4,182
      Rep Power : 1508
      Likes Received
      445
      Likes Given
      440

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      Ruta Nakubaliana nawe kwenye 6,7,9 na 10 na sikubaliana kabisa na 1,2 5 na 6
      Kitu ambacho mwanasiasa anasema ukweli ni jina lake tu

    13. #210
      Kayla's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th April 2011
      Location : Near You
      Posts : 145
      Rep Power : 439
      Likes Received
      37
      Likes Given
      65

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      nimembamba ba watto anasoma hii thread...ngoja nisubirie actions xake ntajua kadesa humu!
      I'm not always right but i never be wrong!

    14. #211
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,109
      Rep Power : 631
      Likes Received
      260
      Likes Given
      279

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      Je kama si mjeuri?

    15. #212
      Baba Mtu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2008
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 848
      Rep Power : 716
      Likes Received
      93
      Likes Given
      634

      Default Re: Mbinu 10 za kumdhibiti mke/GF jeuri.......(FOR REAL MEN ONLY)

      Quote By Rutashubanyuma
      Maji ya kuoga nalo ni jukumu lake kuyainjika na kukupelekea bafuni kwa mikono yake aache sooooooooooooooooo
      Vipi kama tunaishi katika nyumba ambayo ni self contained, yaani kila kitu ndani. Bafuni kuna bomba la mvua linalotoa maji ya baridi na maji ya moto.
      MIMI SIMO! MIMI SIMO! IKO SIKU NA WEWE UTAKUWEMO!
      (I'M NOT CONCERNED! I'M NOT CONCERNED! ONE DAY YOU WILL BE CONCERNED!)

    16. #213
      bibi.com's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Posts : 244
      Rep Power : 450
      Likes Received
      71
      Likes Given
      74

      Default

      Quote By Mulama
      Ndugu yangu Ruta hapa umenena vyema, manake Dunia ya leo inaangamia kwa binadamu kukosa maharifa na kukiuka maandiko, kwa mfano imeandikwa kwamba alaaniwe yule avaaye nguo zisizo za jinsia yake, lakini je hili linazingatiwa? si ndio mwanzo wa kila jinsia kukiuka majukumu yake kama vile mume kutaka kulishwa na mkewe na mke ktaka kupikiwa na mumewe?
      cha ajabu mwanamke ndio anaambiwa afuate majukumu yake mbona nyie hamjui majukumu yenu! kuwa provider wanaume sku hizi hawajui mke na watoto wanakula wala kuvaa nini halafu unataka mkeo afanye majukumu yake, mkiombwa hela za matumizi mna nuna! halafu mnataka mwanamke ajue majukumu yake wakti wanawake wengi ndio provider siku hizi kwa familia shame on u! be a man first ndio uongee

    Page 11 of 11 FirstFirst ... 91011

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...