Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

    Report Post
    Page 4 of 15 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 281
    1. #1
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Nimejaliwa miguu lakini hips sina, nina mpango wa kununua spandex yenye sponji za kuongeza hips.
      Nimejaliwa macho makubwa na mazuri, shughuli ipo kwenye kope, ka vile hazipo, nina mpango
      wa kupachika. Nina kitambi dizaini kwa mbali, na ukimbao mbao huu kanajitokeza naona tu ninunue
      belt la kuminya tumbo ukivaa nguo.

      Kucha natafuna sana ila haina shinda nitabandika za bandia
      nionekane mrembo. Nywele ni za kipilipili, nikinyoa kama Flaviana naonekana mwanaume,
      nakua sina jinsi zaidi ya kubandika weaving au kuvaa wigi.

      Swali kwa akina dada wote ambao pia
      wanatumia hivi viwezeshaji urembo, inakuaje siku unampango wa kukutana kwa ajili ya sex
      na boyfriend wako. lets say weekend nzima? Unachojoa vyote hivo mbele yake?
      yani wigi, kucha, hip spandex, kope, n.k pembeni na yeye anaona?

      Au akina kaka wenye girlfriends ambao wanatumia viwezesha urembo hivi wapenzi
      wenu wanatoa mbele yenu? Nipeni maujuzi siku ya siku huwa vitu feki hivi vinafanyweje?


      Mwaaaaah.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    2. Miaka 50

    3. #61
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,007
      Rep Power : 1222
      Likes Received
      778
      Likes Given
      680

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Erotica
      hio shida ndio inanipa shida. Shosti tatizo ni pale ambapo mnaenda kuspendi siku mbili tatu.
      Gharama must Preta. awe amekodi gari ama lake yeye ndie inabidi a foot hio bili lasivo siendi.

      Wanaume tuna kazi?
      Women liberation kwenye mahusiano ya mapenzi ni ndoto kabisa!

    4. #62
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By queenkami
      Erotica duuh kwa kweli kwa style hiyo lazima mtu uwe na stress za kuwaza itakuwaje siku ya kukutana na huyo aliyekutamani kwa kujipigilia madude feki.
      Hapo kwenye mahips ya bandia,naombeni mnieleweshe,hivi hayanuki na joto? au usafi wake unakuwaje ,unafua kila siku usiku ukilala au mtu unakua nayo mengi?kwa kweli nywele kucha nitatengeneza ila mahips ya bandia hapana kwa kweli,ili iweje sasa,naona kama sitakua namdanganya mtu bali najidanganya mwenyewe.
      queenkami una akili wewe! Hapo mimi hata sikufikiria. Si umeona nimesema
      nina mpango huo yani bado nakusanya mawazo mbali mbali hapa.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    5. #63
      Preta's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 28th November 2009
      Location : yaeda chini
      Posts : 14,765
      Rep Power : 15109
      Likes Received
      7230
      Likes Given
      6904

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Okada
      Preta mbona avator yako haina vingi vya kichina????
      My dear Okada......humu JF unavyoona avatar.....sio hivyo tupo.....nikikuwekea picha yangu halali utakimbia.....
      Ndahani and Sumba-Wanga like this.
      Life is too short to waste time hating anyone.........

    6. #64
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 942
      Rep Power : 5202
      Likes Received
      353
      Likes Given
      669

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Nyani Ngabu
      Queenkami labda wewe umejaaliwa mahips ya ukweli...
      Nyaningabu ktk wadada walionyimwa mahips nadhani mim naongoza,niko kama namba moja lakini hainisumbui.
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    7. #65
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By BPM
      Duh cjui utasomekaje . . kwan jamaa akiona hips hesabu zitaanzia hapo. ngoma akikuta flat duh nadhan hawa kwa viagra haisimami

      teh teh teh. sasa unanishauri nifanyeje?
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    8. RukaaJuu Final

    9. #66
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Nyani Ngabu
      Swagga

      Kuna lots of swaggaz, wewe unapenda ziwe vipi?
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    10. #67
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,438
      Rep Power : 13324
      Likes Received
      7667
      Likes Given
      6911

      Default

      Quote By Ndahani
      Kumbe ni mjasiriamali? Ohh, hii post yako lakini imetulia
      Mbona hamtupi experiences zenu; za kuchojoa? Sun Wu yeye ni okay tu; what about you?
      sun wu likes this.

    11. #68
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Preta
      My dear Okada......humu JF unavyoona avatar.....sio hivyo tupo.....nikikuwekea picha yangu halali utakimbia.....
      Haaahaaa! Hapo sasa! Watu watabadili mawazo bureee
      Preta likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    12. #69
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By klorokwini
      Leo nilismamia kesi ya mod flani (jina linahifaziwa) , aliingia mitini na hela ya watu ya mchango wa ndoa ya mkeka, kesi ilikuwa ngumu lakini dalili zinaonesha mod wetu atakuwa huru vere soon chini ya usmamizi wangu.

      teh teh teh. hio story nimesikia. asije akawa ni Buchanan?
      klorokwini likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    13. #70
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Eiyer
      Sina sababu ya kukudanganya!Sifaidiki chochote kwa kusema uongo.Huo ndio ukweli!


      aisee basi nakupongeza. keep it up.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    14. #71
      queenkami's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2010
      Posts : 942
      Rep Power : 5202
      Likes Received
      353
      Likes Given
      669

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Erotica
      queenkami una akili wewe! Hapo mimi hata sikufikiria. Si umeona nimesema
      nina mpango huo yani bado nakusanya mawazo mbali mbali hapa.
      nadhani hii ni muhimu kujua zaidi kabla ya yote,hopefully wenye uzoefu watamwaga maujuzi.
      YESU NAKUPENDA NITUMIE UPENDAVYO

    15. #72
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,007
      Rep Power : 1222
      Likes Received
      778
      Likes Given
      680

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Erotica
      Hapo bold kwanza kuyaita Mapenzi unatohoa na kuchujua neno Mapenzi.
      Hapo haina wasi wasi mbona. kama Preta alivosema kwanza mnakua mmelewa,
      sidhani hata kama kuna kuvua nguo zote wakati wa kungonoka. Hayo ya pili ndio
      hasa nataka kujua. Mana wa hivo mnaweza oga wote na mikeke kibao! Imagine
      unaenda kuoga kope inadondoka. aibu!
      NIkwambie kitu?
      Kama biashara yako inalipa, hata hips likianguka jamaa hatajari.
      Cha maana biashara ilipe and not otherwise.
      Si umeshaona/kusikia wanaume wanapanga foleni kwa mwanamke polygon wa nguvu....
      Kama ni uongo, Wanaume watafunguka.....

    16. #73
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Okada
      Si una pochi kubwa? wakati jamaa anajiandaa, na wewe unajifanya kwenda toilet, then unachojolea huko huko, na kuvaa utafanya hivyo hivyo.

      Kama mashine yako inalipa na wewe mwenyewe umo, jamaa atasahau vyote hivyo.
      Nakwambia ukweli wangu.....
      Okada wewe wa ukweli. Hii nitaifanyia kazi. Ila nina swali, mwanamke
      atajua vipi mashine yake inalipa kabla hajakutana kimwili na mwanaume?
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    17. #74
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Kaunga
      Uvivu wa kufanya mapenzi ni birth control, nilikuwa namjibu Tuko!
      Uvivu upi?Kuna ule wa kamoja mtu hoi,ila ni daily,sidhani kama hapa mtapanga uzazi!

    18. #75
      Erotica's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Location : Ecstasy
      Posts : 2,504
      Rep Power : 15465
      Likes Received
      1681
      Likes Given
      2781

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Ndahani
      Kumbe ni mjasiriamali? Ohh, hii post yako lakini imetulia

      teh teh teh. Kugoma kwangu kwenda ndio imekupa picha mie mjasiriamali?
      Ndahani likes this.
      Come this way baby.......... Mwaaaaaaaah!


    19. #76
      sun wu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 1,970
      Rep Power : 7747
      Likes Received
      1087
      Likes Given
      256

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Erotica
      Nakubali. Mimi ni mwanamke I understand better. selfesteem
      as a reason ipo chini ya ile ya kuonekana desirable. I gurantee you.
      That is wat poses the problem, knowing I look amost perfect while knowing
      I have been enhanced by more than 50%. The question remains how do I get
      that 50% off without feeling less of how I looked before?
      DESIRABLE.., !!!, that's a relative term...
      whats more desirable a booty enhanced with some cloth or a flat booty (or normal booty) naked without any cloth..?
      Eyes full of Wanja... or Normal Eyes (no matter how they look) but full of invitation and calling, saying am ready for you?
      Hips hidden by a cloth.., or hips just natural with a skin kama vile ulivyozaliwa..?

      Point yangu ni kwamba kama mtu amekupenda ukiwa umevaa there is more alichokupendea (unless its lust) na ukiwa naked am sure atavutiwa zaidi (and whats every woman has is enough to satisfy any man).. LAKINI tatizo huwa ni kwa muhusika mwenyewe mwenye mwili maybe not feeling confident kwenye her own skin..

      Hivyo basi wigs / nails and the like might be more effective nje na sio inside a room (thats why kuna wanawake wakifika home wanatundika their extras.., because their job is done.., what needed within the four walls of the room comes from within)
      Erotica likes this.
      Opportunities Multiply as they are Seized Sun Tzu

    20. BPM
      #77
      BPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Location : shamba
      Posts : 2,027
      Rep Power : 882
      Likes Received
      387
      Likes Given
      144

      Default

      Quote By Erotica
      teh teh teh. sasa unanishauri nifanyeje?
      ridhika na ulichonacho kwan kuna wengine wanapenda macho na miguu hahaha

    21. #78
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,253
      Rep Power : 31391
      Likes Received
      9620
      Likes Given
      685

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Erotica
      Kuna lots of swaggaz, wewe unapenda ziwe vipi?
      It's kind of inexplicable...

      It's just one of those things that you have to see in order to come up with a judgment...
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    22. #79
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,007
      Rep Power : 1222
      Likes Received
      778
      Likes Given
      680

      Default Re: Kuchojoa wakati wa SEX. Msaada Plz.

      Quote By Preta
      My dear Okada......humu JF unavyoona avatar.....sio hivyo tupo.....nikikuwekea picha yangu halali utakimbia.....
      Mhhh... There must be some resemblance.....
      Even if it is not 100%

    23. #80
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Erotica
      aisee basi nakupongeza. keep it up.
      Hata wewe kama mwanamke unatakiwa ujiamini,tupo wanaume tunaojua thamani ya mwanamke!

    Page 4 of 15 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...