Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 136
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)


      <font color="#0000cd">

      Hivi denda ni nini kama siyo kunyonyana ndimi kwa wapendanao?
      Kwa nini watu wazima wako tayari kunyonyana ndimi na hata kuhatarisha maisha yao....
      Jibu ni kuwa wanapendana na hawana namna nyingine ya kuonyeshana ya kuwa wanapendana
      Wengineo hupeana denda ili kuwashawishi wenzio wawape watakacho kwa kufanya hivyo ni hila..
      Ni kweli denda lina ujumbe mzito..

      Yupo nguli wa muziki wa zamani kule majuu ya UK
      Yeye (Right Said Fred) alitunga wimbo mwaka 1991 na kuuita
      "Don't talk just kiss........."
      Ujumbe wake ukiwa wewe m'mwagie madenda motomoto na mengineyo yatajipa tu.....
      Usiongee na acha domo kaya kwenye mahaba kwa sababu utakaribisha ubishi usio wa lazima..
      Ni kweli denda lina ujumbe mzito........

      Kama denda limechukua nafasi ya kujibizana sasa ujumbe wa ukweli uko wapi?
      Kama denda linatumika kuficha dhamira ya wahusika sasa mawasiliano ya kweli yako wapi?
      Kama denda pia laweza kuwa ni hadaa sasa penzi la kweli utalijuaje?
      Kama denda ni kiini macho mbona hutiliwa mkazo kuwa kutoa ishara ya mapenzi?
      Ni kweli denda lina ujumbe mzito.........


      Denda ni kizungumkuti hata korosi nenepa kusukumiwa nawe kulimeza bila mawengwe............
      Karaha za kifua kikuu usizione kwa kisingizio nimependa.......
      Tishio la magonjwa ya kinywa kutoweka kisa nimependwa........
      Hamaki za kutapeliwa kufifilishwa na tamaa ya kupendeka na kukubalika..........]
      Ni kweli denda lina ujumbe mzito........

      Machaguo siyaoni kwani jamii imekwisha toa maamuzi..
      Ya kuwa denda ni jeuri ya wapendanao na athari zake lazima kuvumiliwa na kubebeka.......
      Mie sina kauli ila kuwatakia kila la kheri..........
      Kwani tembo wapambanapo ziumiazo ni nyika......
      Ama kwa hakika denda lina ujumbe mzito nami nauogopa.............sijui kwako denda limekaaje?

      Last edited by Rutashubanyuma; 27th April 2012 at 10:07.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    2. Miaka 50

    3. #2
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,188
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Na ujumbe wa kwanza ni bacteria!

      Au ukute mtu kapiga kitu uji wa ulezi, afu mnaanza kufakamiana lol

      Na siku hizi hata denda laanza kushuka thamani, watu wanakutana club tu wanaanza kudendeana.

      Ni ngumu mie kuelewa maana halisi ya denda, sababu ni ustaarabu wa kimagharibi zaidi.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    4. #3
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Na ujumbe wa kwanza ni bacteria!
      Kongosho................Kongos ho acha kunichekesha asubuhi namna hiyo...........niuonavyo mimi ujumbe wa kwanza ni.............. I really love you very much and want to bang you very much and right away..............
      Kaunga likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    5. #4
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,431
      Rep Power : 13323
      Likes Received
      7662
      Likes Given
      6911

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      aah Ruta bwana; kwanini unaharibu raha za watu kwa kumention magonjwa!
      Ujumbe wa juu ulikuwa muafaka kwa weeekend, sasa tutaanza kuwazia sijui kuna kavirus kanatembea nitakacatch, mavitu kama TB

      Umeniudhi!
      Looks like huna company this weekend, ndio maana unatuharibia mood nasi! LOL
      BAK, Sikonge, Henge and 3 others like this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    6. #5
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Kwetu ni kijijini bana,denda ndo nini?
      Rutashubanyuma and Kongosho like this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      aah Ruta bwana; kwanini unaharibu raha za watu kwa kumention magonjwa!
      Ujumbe wa juu ulikuwa muafaka kwa weeekend, sasa tutaanza kuwazia sijui kuna kavirus kanatembea nitakacatch, mavitu kama TB

      Umeniudhi!
      Kaunga kumbe wapenda kuhadahiwa.......shilingi ina pande mbili tamu na chungu zitambue zote .even in this lively weekend.........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    9. #7
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Kwetu ni kijijini bana,denda ndo nini?
      Eiyer wacha uswahilina.................... ....vijijini siku hizi denda ndiy salamu................waishi kijiji kipi?
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    10. #8
      saragossa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Location : Mkunazini
      Posts : 1,411
      Rep Power : 707
      Likes Received
      343
      Likes Given
      74

      Default

      Quote By Kongosho
      Na ujumbe wa kwanza ni bacteria!

      Au ukute mtu kapiga kitu uji wa ulezi, afu mnaanza kufakamiana lol

      Na siku hizi hata denda laanza kushuka thamani, watu wanakutana club tu wanaanza kudendeana.

      Ni ngumu mie kuelewa maana halisi ya denda, sababu ni ustaarabu wa kimagharibi zaidi.
      Kongosho, denda siku hizi linakuwa replaced taratibu na blowjob na pussy licking....
      Rutashubanyuma likes this.

    11. #9
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,188
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Bibi yangu (May her soul Rest in Peace) na shangazi yangu walilipinga hili kupindikia
      Tena wananiusia, usikubali kutemeana au kuumana midomo
      Inaleta magonjwa na ni uchafu.

      Na mengine meeeengi, ila ndo hivyo, nakosa basis za kusapoti ujumbe unaotolewa na denda.

      Maana kama ni mapenzi ya kweli, siku hizi watu wanakiss hata machangu clubs, are they real in love?

      Quote By Rutashubanyuma
      Kongosho................Kongos ho acha kunichekesha asubuhi namna hiyo...........niuonavyo mimi ujumbe wa kwanza ni.............. I really love you very much and want to bang you very much and right away..............
      Last edited by Kongosho; 27th April 2012 at 10:21.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    12. #10
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      aah Ruta bwana; kwanini unaharibu raha za watu kwa kumention magonjwa!
      Ujumbe wa juu ulikuwa muafaka kwa weeekend, sasa tutaanza kuwazia sijui kuna kavirus kanatembea nitakacatch, mavitu kama TB

      Umeniudhi!
      Bila ya ubishi Kaunga wewe ni teja wa denda na ndiyo maana umeudhika hivyo............lol, pole sana.....
      Kaunga likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    13. #11
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,431
      Rep Power : 13323
      Likes Received
      7662
      Likes Given
      6911

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By Rutashubanyuma
      Kaunga kumbe wapenda kuhadahiwa.......shilingi ina pande mbili tamu na chungu zitambue zote .even in this lively weekend.........
      So what do u do na mpenzi wako, mnaenda for a check up kila mnapotaka kukiss; na akiwa na mafua no kissing?
      Rutashubanyuma likes this.
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    14. #12
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Bibi yangu (May her soul Rest in Peace) na shangazi yangu walilipinga hili kupindikia
      Tena wananiusia, usikubali kutemeana au kuumana midogo
      Inaleta magonjwa na ni uchafu.

      Na mengine meeeengi, ila ndo hivyo, nakosa basis za kusapoti ujumbe unaotolewa na denda.

      Maana kama ni mapenzi ya kweli, siku hizi watu wanakiss hata machangu clubs, are they real in love?
      Kaunga yuko wapi atupatie majibu ya maswali nyeti kama haya..........
      Kaunga and Kongosho like this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    15. #13
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,733
      Rep Power : 12925
      Likes Received
      4432
      Likes Given
      7462

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      So what do u do na mpenzi wako, mnaenda for a check up kila mnapotaka kukiss; na akiwa na mafua no kissing?
      we just kiss and don't talk.......................uki sha kuwa teja what do you do?
      Kaunga likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    16. #14
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,324
      Rep Power : 1999
      Likes Received
      2115
      Likes Given
      7800

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      mimi na my waifu wangu kama kawa.
      Henge, Rutashubanyuma and Kaunga like this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    17. #15
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,188
      Rep Power : 13070
      Likes Received
      14112
      Likes Given
      14957

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Uwiiii, hivi watoto wangu ntawaficha wapi wasijifunze haya?

      Dah . . .

      Quote By saragossa
      Kongosho, denda siku hizi linakuwa replaced taratibu na blowjob na pussy licking....
      Rutashubanyuma and Kaunga like this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    18. #16
      M'Jr's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Location : Still cracking....................
      Posts : 2,843
      Rep Power : 3151
      Likes Received
      807
      Likes Given
      653

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Mkuu kwa nionavyo mimi,

      Denda is one of the wazunguz fantansies ambazo sisi kama waswahili tumeziiga bila hata kujua maana yake. Kwa mfano kuna watu wanakuwa turned on wakiona sehemu fulani ya mwili wa mtu wa jinsia tofauti au wakiigusa au kuguswa na sehemu hiyo so hizo zinaitwa fantasy tu ambazo naamini na sisi waswahili tuna za kwetu pia.

      Sasa ilipokuja huku kwetu na sisi tukaibeba tu kama ilivyo na naamini watu wengi ambao wamekuwa wanaipractice wamekuwa wanafake hisia zake (Nasema wengi na sio wote) Hii ndio maana siku hizi imekuwa kitu cha kawaida sana kisicho na impact yoyote na ndio maana kongosho anasema watu wanakutana club wanapeana maulimi coz it means nothing to them.

      Mimi sijawahi kuona namna yoyote ambayo denda linanifanya nihisi zaidi ya kuanza kufikiria usalama wa kinywa cha mtu husika na kadhalika.................naju a kwa wazungu it does something to their hisia lakini kwa sisi waswahili dah sidhani asee!
      Rutashubanyuma and Kongosho like this.
      A hen is only an egg's way of making another egg

    19. #17
      BlackBerry's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Location : Down Town
      Posts : 1,840
      Rep Power : 782
      Likes Received
      919
      Likes Given
      701

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Duuu denda muhimu sanasana kwenye mapenzi
      Rutashubanyuma and Kaunga like this.
      Simple Look But Tough in Wallet

    20. #18
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,195
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1232
      Likes Given
      313

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      eeeh mama gaude wangu weeeeee
      Rutashubanyuma likes this.

    21. #19
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Mh!
      Kongosho bana unanichekesha, yaani mtu anakula denda na changu, halafu hajui huyo Changu katoka wapi na alikua anafanya nini ( au ukute jchangu alikua ananyonya ndude ya jamaa halafu baada ya dakika kadhaa unakuta mtu mwingine unakula denda na changu, hahaa lol unajikuta mpaka unakula mbegu za jamaa yaani full Uchafu...
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    22. #20
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By BlackBerry
      Duuu denda muhimu sanasana kwenye mapenzi
      Mh! hata kama nimeokota Chang denda litakua na umuhimu gani?
      Rutashubanyuma and Kongosho like this.
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...