Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

    Report Post
    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 136
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,860
      Rep Power : 12955
      Likes Received
      4565
      Likes Given
      7574

      Default Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)


      <font color="#0000cd">

      Hivi denda ni nini kama siyo kunyonyana ndimi kwa wapendanao?
      Kwa nini watu wazima wako tayari kunyonyana ndimi na hata kuhatarisha maisha yao....
      Jibu ni kuwa wanapendana na hawana namna nyingine ya kuonyeshana ya kuwa wanapendana
      Wengineo hupeana denda ili kuwashawishi wenzio wawape watakacho kwa kufanya hivyo ni hila..
      Ni kweli denda lina ujumbe mzito..

      Yupo nguli wa muziki wa zamani kule majuu ya UK
      Yeye (Right Said Fred) alitunga wimbo mwaka 1991 na kuuita
      "Don't talk just kiss........."
      Ujumbe wake ukiwa wewe m'mwagie madenda motomoto na mengineyo yatajipa tu.....
      Usiongee na acha domo kaya kwenye mahaba kwa sababu utakaribisha ubishi usio wa lazima..
      Ni kweli denda lina ujumbe mzito........

      Kama denda limechukua nafasi ya kujibizana sasa ujumbe wa ukweli uko wapi?
      Kama denda linatumika kuficha dhamira ya wahusika sasa mawasiliano ya kweli yako wapi?
      Kama denda pia laweza kuwa ni hadaa sasa penzi la kweli utalijuaje?
      Kama denda ni kiini macho mbona hutiliwa mkazo kuwa kutoa ishara ya mapenzi?
      Ni kweli denda lina ujumbe mzito.........


      Denda ni kizungumkuti hata korosi nenepa kusukumiwa nawe kulimeza bila mawengwe............
      Karaha za kifua kikuu usizione kwa kisingizio nimependa.......
      Tishio la magonjwa ya kinywa kutoweka kisa nimependwa........
      Hamaki za kutapeliwa kufifilishwa na tamaa ya kupendeka na kukubalika..........]
      Ni kweli denda lina ujumbe mzito........

      Machaguo siyaoni kwani jamii imekwisha toa maamuzi..
      Ya kuwa denda ni jeuri ya wapendanao na athari zake lazima kuvumiliwa na kubebeka.......
      Mie sina kauli ila kuwatakia kila la kheri..........
      Kwani tembo wapambanapo ziumiazo ni nyika......
      Ama kwa hakika denda lina ujumbe mzito nami nauogopa.............sijui kwako denda limekaaje?

      Last edited by Rutashubanyuma; 27th April 2012 at 10:07.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."


    2. #61
      BlackBerry's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Location : Down Town
      Posts : 1,840
      Rep Power : 785
      Likes Received
      919
      Likes Given
      701

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By Manyanza
      Mh! hata kama nimeokota Chang denda litakua na umuhimu gani?
      Nimesema kwenye mapenzi sweetheart, changudoa hufanyi nae mapenzi
      ile ni ngono tu,tena huria,na anayempa denda changu anatakiwa afanyiwe uchunguzi
      wa akili yake
      zumbemkuu and Rutashubanyuma like this.
      Simple Look But Tough in Wallet

    3. #62
      GEMBESON's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Location : Tanganyika
      Posts : 209
      Rep Power : 403
      Likes Received
      25
      Likes Given
      41

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Naona mnanipigia gitaa tu, sitaacha denda na wife wangu. Ndivyo anavyonipokea nikirudi home
      Rutashubanyuma likes this.

    4. #63
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,515
      Rep Power : 1711
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1917

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By Kongosho
      Na ujumbe wa kwanza ni bacteria!

      Au ukute mtu kapiga kitu uji wa ulezi, afu mnaanza kufakamiana lol

      Na siku hizi hata denda laanza kushuka thamani, watu wanakutana club tu wanaanza kudendeana.

      Ni ngumu mie kuelewa maana halisi ya denda, sababu ni ustaarabu wa kimagharibi zaidi.
      Aisee we Kongosho vp tena! Usije ukafika ukadai hata chuma mboga ni western style, kwamba missionary style ndiyo pure African, lol!
      Kaunga likes this.
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    5. #64
      wahida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Posts : 384
      Rep Power : 482
      Likes Received
      122
      Likes Given
      158

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      mmh,,aa haya tu watu hupeana denda bila ya brush t teeth ,, haha ,, bcz wazungu wanafanya na ,,,,
      Rutashubanyuma likes this.

    6. #65
      cheusimangala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2010
      Posts : 2,597
      Rep Power : 1000
      Likes Received
      442
      Likes Given
      608

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      nice topic na nina mipwenti mingi ya kuchangia juu ya hili sema nashindwa kutoa hapa hadharani sbb enzi mim na shogangu bi kidude tuko unyagoni tuliambiwa mambo haya hayazungumzwi hadharani.
      Rutashubanyuma and Kaunga like this.
      A baby is something you carry inside you for nine months, in your arms for three years and in your heart till the day you die


    7. #66
      flovans's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 168
      Rep Power : 439
      Likes Received
      29
      Likes Given
      121

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      I love it
      Rutashubanyuma likes this.

    8. #67
      NCHI YANGU's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Kila kukicha denda linashuka thamani na heshima yake inapotea..........leo unakutana na m2 kwene lifti gorofa ya sita mkifika chini mnapeana denda,,,,,,,,,,Kama denda ni real love hapo real love iko wapi?real love inajengwa ndani ya dakika 5?
      Rutashubanyuma and Kongosho like this.

    9. #68
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 26,142
      Rep Power : 25444
      Likes Received
      14847
      Likes Given
      15795

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Wee unaielewa maana yake?
      Inaonesha nini?

      Tumeiga vitu vingi kiasi kwamba vingine tumebeba bila hata kuvitafakari.

      Quote By ndyoko
      Aisee we Kongosho vp tena! Usije ukafika ukadai hata chuma mboga ni western style, kwamba missionary style ndiyo pure African, lol!
      Rutashubanyuma likes this.
      No matter how hot your anger is, it can not cook yams-Nigeria

    10. #69
      Tata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2009
      Posts : 2,369
      Rep Power : 958
      Likes Received
      521
      Likes Given
      333

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Haya mambo ya denda wengine yalishatupita kando na sidhani kama ni busara kuyaanza uzeeni. Ukweli ni kuwa hata ningekuwa kijana bado nisingeshabikia huu utamaduni wa kimagharibi ambao sioni matiki yoyote ndani yake.
      Rutashubanyuma and Kaunga like this.

    11. BAK
      #70
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,827
      Rep Power : 45014
      Likes Received
      8681
      Likes Given
      8666

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By Eiyer
      Kwetu ni kijijini bana,denda ndo nini?

      LOL!....Kijiji gani hicho Eiyer!? Hata vile vijiji katika Wilaya ya Namtumbo wanajua kula denda


      Vaislay
      Rutashubanyuma and Vaislay like this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    12. #71
      Kaunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Location : Wild wild west
      Posts : 8,725
      Rep Power : 13386
      Likes Received
      8056
      Likes Given
      7426

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By Tata
      Haya mambo ya denda wengine yalishatupita kando na sidhani kama ni busara kuyaanza uzeeni. Ukweli ni kuwa hata ningekuwa kijana bado nisingeshabikia huu utamaduni wa kimagharibi ambao sioni matiki yoyote ndani yake.
      duh... so huwa inakuwaje kuwaje ukiwa na Mama Tata!
      ..........When you run out of rope; grab onto faith.......... T.B Joshua

    13. #72
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 730
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Denda lina maana kubwa sana likifanyika kwa watu maalumu namaanisha wapenzi au wanandoa..i can't imagine mapenzi bila denda it must be boring kwa kweli..hii kitu hua inanoga bana especialy ukiwa na hisia za kweli kwa muhusika na usafi ukizingatiwa..
      Chauro and Rutashubanyuma like this.

    14. BAK
      #73
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,827
      Rep Power : 45014
      Likes Received
      8681
      Likes Given
      8666

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By Tata
      Haya mambo ya denda wengine yalishatupita kando na sidhani kama ni busara kuyaanza uzeeni. Ukweli ni kuwa hata ningekuwa kijana bado nisingeshabikia huu utamaduni wa kimagharibi ambao sioni matiki yoyote ndani yake.
      dah! raha yote ile ya kule denda we hushabikii!? Pole zako.

      Vaislay

      Last edited by BAK; 27th April 2012 at 14:13.
      Rutashubanyuma likes this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    15. #74
      zumbemkuu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,422
      Rep Power : 2023
      Likes Received
      2163
      Likes Given
      7942

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By Kaunga
      duh... so huwa inakuwaje kuwaje ukiwa na Mama Tata!
      hao ndo wanaoporwa wake/waume zao,
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    16. #75
      LEARNED BROTHER's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th March 2012
      Posts : 110
      Rep Power : 389
      Likes Received
      22
      Likes Given
      6

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Kuna jamaa alitoka kazini, alipofika kwake akamkuta mke wake jikoni wakapigana denda. Jamaa akabaki na punje ya mchele mdomoni.
      Jamaa akamuuliza mkewe "ulikuwa unatafuna mchele?
      Mkewe akajibu; hapana natoka kutapika.
      Rutashubanyuma likes this.

    17. #76
      WiseLady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2010
      Location : church
      Posts : 3,221
      Rep Power : 1122
      Likes Received
      418
      Likes Given
      744

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By LEARNED BROTHER
      Kuna jamaa alitoka kazini, alipofika kwake akamkuta mke wake jikoni wakapigana denda. Jamaa akabaki na punje ya mchele mdomoni.
      Jamaa akamuuliza mkewe "ulikuwa unatafuna mchele?
      Mkewe akajibu; hapana natoka kutapika.

      hahaha umenichekesha sana...kimsingi denda ni very sweet na haijalishi uko jikoni,bafuni au wapi ila inahitaji usafi jamani for the couples!
      Rutashubanyuma likes this.
      The beauty of GOD is beyond description


    18. #77
      The dirt paka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 366
      Rep Power : 488
      Likes Received
      57
      Likes Given
      59

      Default

      Na ujumbe wa kwanza ni bacteria!

      Au ukute mtu kapiga kitu uji wa ulezi, afu mnaanza kufakamiana lol

      Na siku hizi hata denda laanza kushuka thamani, watu wanakutana club tu wanaanza kudendeana.

      Ni ngumu mie kuelewa maana halisi ya denda, sababu ni ustaarabu wa kimagharibi zaidi.
      Oooh no..! Okey...yes...! yes...! Kongosho.... your right about always being perfect...! And I love you.
      Kongosho likes this.

    19. #78
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,555
      Rep Power : 5176
      Likes Received
      2871
      Likes Given
      237

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By Kaunga
      aah Ruta bwana; kwanini unaharibu raha za watu kwa kumention magonjwa!
      Ujumbe wa juu ulikuwa muafaka kwa weeekend, sasa tutaanza kuwazia sijui kuna kavirus kanatembea nitakacatch, mavitu kama TB

      Umeniudhi!
      Looks like huna company this weekend, ndio maana unatuharibia mood nasi! LOL
      kuna kaukweli ndani yake enhee ngoja tuone itakuwaje.. na sie tulioaddicted na hiyo mambo mbona ipo kazi..
      Rutashubanyuma likes this.
      " kuendelea kwa tanzania ni mara baada ya sisi kuacha ubinafsi!.. ''
      **Maisha kama ndala yatakatika anytime. Mpoki**

    20. #79
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,555
      Rep Power : 5176
      Likes Received
      2871
      Likes Given
      237

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Quote By flovans
      I love it
      what you luv gal?
      Rutashubanyuma likes this.
      " kuendelea kwa tanzania ni mara baada ya sisi kuacha ubinafsi!.. ''
      **Maisha kama ndala yatakatika anytime. Mpoki**

    21. #80
      Blaki Womani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 4,394
      Rep Power : 26659
      Likes Received
      2681
      Likes Given
      1563

      Default Re: Ndani ya denda kuna ujumbe mzito? (Don't talk just kiss!)

      Rutashubanyuma
      denda lapendaza/zuri kwa mtu ambaye unampenda/mwamini mpenzi na sio kila kipitacho
      Rutashubanyuma likes this.
      Be who you are and say what you feel because those who mind don't matter and those who matter don't mind - "Dr. Sues"

    Page 4 of 7 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...