Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 63
    1. #1
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Pilau ale yeye tena kwa kificho huku akjijua ni mwizi tu.............akiwa kwenye chumba alichokishindilia komeo tena la viro ili asije kubambwa na mwenye mlo wake.............baada ya uporaji wa pilau ya watu aja mtaani na huanza kutubehulia.........na kuacha mafuta ya pilau na vipunjepunje vyake mdomoni.......

      Hivi, hiyo shombo amletea nani?

      Mwingine ametoka kumtafuna kuku wa watu khalafu kwa kasi ya ajabu hurukia kitandani kwa mkewe na kumshulizia manukato yatokanayo na siagi ya samli aliyopikiwa kuku wa watu aliyemtafuna ............kwa kufanya hivyo ni mithali ya kumtambia mkewe ya kuwa amejinoma kuku wa watu..........lakini swali ni

      Hivi, hiyo shombo amletea nani?

      Kwa nini asiende bafuni akaoga na kutakata na abakie akichekwa na dhamira yake badala ya kuwaadhibu waliokuwamo na wasio kuwamo..........kama ile hadithi ya panya aliyekusudiwa kuuawa na mtego lakini mtego ukamnasa nyoka ambaye mwenye nyumba aliposikia umenasa akawahi kummalizia panya gizani na matokeo yake akaumwa na nyoka mwenye hasira na kufa hapohapo.........matangani ng'ombe na kuku walichinjwa kumsindikiza mwendazake............na hivyo kukamilisha maono ya panya ya kuwa mtego ulomlenga yeye wataingia waliomo na wasiokuwamo........

      Hivi walakini...........hiyo shombo amletea nani?
      Last edited by Rutashubanyuma; 26th April 2012 at 11:41.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."


    2. #21
      Kaizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th September 2008
      Posts : 14,444
      Rep Power : 21988
      Likes Received
      7369
      Likes Given
      8221

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Quote By MwanajamiiOne View Post
      Ruta
      Aksante kwa mada hii hivi ni kweli mla nje hujisahau na kuja na shombo kweli??Haogopi kubambwa?
      atakuwa hajui katiba yetu
      Dark City and Rutashubanyuma like this.
      "Bunduki bila risasi yaua namna gani"
      Email: [email protected]

    3. #22
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Rutashubanyuma
      umenikumbusha zamani kidogo (1989) Mara tu baada ya shairi langu kutoka kwenye gazeti la "Uhuru" nilipata barua nyingi sana nyingine za kutaka... Ushairi ni jambo jema sana na watu wengi ambao ni wajuvi wa kutumia Lugha wao pia huwa ni werevu na weledi kwenye mambo mengi sana. Aakh! Bahati mbaya sana siku hizi matumizi ya lugha si jambo la kutiliwa maanani sana!!
      Kigarama mie humkumbuka Shabaani Robert zaidi zaidi tatizo la kizazi cha leo..............wanabwatuka na kimombo hewa.......fasihi simulizi wameipiga kisogo, vile...........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    4. #23
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      atakuwa hajui katiba yetu
      Kaizer......................mm mmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh hhhhh......................nao na kila mahali ni katiba tupu..........
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    5. #24
      zumbemkuu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,423
      Rep Power : 2023
      Likes Received
      2163
      Likes Given
      7946

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      hi hi hi hi! shombo hiyo itakuja kugeuka uvundo mda si mrefu,
      Rutashubanyuma likes this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    6. #25
      ummu kulthum's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th February 2012
      Location : singida
      Posts : 2,596
      Rep Power : 7005
      Likes Received
      1189
      Likes Given
      587

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      ruta vipi mwezetu leo umetedwa nini? pole kwa yaliyokusibu umeandika uzi kwa hisia kali sana.penye penzi hapakosi udhia, na penye udhia penyeza rupia.
      Rutashubanyuma likes this.
      ASIYEUMBA HAUMBUI


    7. #26
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      ruta vipi mwezetu leo umetedwa nini? pole kwa yaliyokusibu umeandika uzi kwa hisia kali sana.penye penzi hapakosi udhia, na penye udhia penyeza rupia.
      hisia zangu a kiuandishi hazina uhusiano na maisha yangu............hicho ni kipaji cha kufikisha ujumbe mahali pake..............na ni mbinu ya usanifu nguli tu.............usisome zaidi ya hapo.......
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    8. #27
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      hi hi hi hi! shombo hiyo itakuja kugeuka uvundo mda si mrefu,
      Zumbemkuu mbona wanitia kichefuchefu mie?
      zumbemkuu likes this.
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    9. #28
      arabianfalcon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Nipe tena
      Posts : 2,198
      Rep Power : 879
      Likes Received
      494
      Likes Given
      96

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Ruta,Hilo nalo neno...unanifanya nishtuke ukirejea home nianze kunusa nusa isjekua unanitupia vijembe bibi jinga mali yako inaliwa mie nimelala tuu.
      Rutashubanyuma likes this.
      The hunger for love is much more difficult to remove than the hunger for bread - Mother Teresa

    10. #29
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,691
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      784

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      ni kiitafsiri kwa kimombo cha level yangu.............hapakaliki hata chembe......pambana na hiki kiswahili.......
      Ama kweli kuna Waswahili JF!
      Rutashubanyuma likes this.

    11. #30
      zumbemkuu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,423
      Rep Power : 2023
      Likes Received
      2163
      Likes Given
      7946

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Zumbemkuu mbona wanitia kichefuchefu mie?
      mkuu ruta, ukiwa mwaminifu kwenye ndoa yako wala hutapata kichefuchefu, mafisadi wa ngono ndo yata/yana watokea puani mapilau wanayofakamia kwa wizi, teh teh teh!
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    12. #31
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,326
      Rep Power : 1289
      Likes Received
      872
      Likes Given
      938

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Kweli kabisa, mwenye kisu, anakula nyma taratibu, na akirudi home.. kimya...??
      maisha yanakwenda kama kawaida,
      ndio maana siku hizi married couples ni kama ndege; wanapokula na wanapolala ni tofauti kabisa.
      Rutashubanyuma likes this.

    13. #32
      Kayla's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th April 2011
      Location : Near You
      Posts : 145
      Rep Power : 443
      Likes Received
      37
      Likes Given
      65

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      wanaojisahau na kurudi na shombo majumbani wafunguke tusikia miziki yao kwa wale wanaowaringishi hizo shombo!
      Rutashubanyuma likes this.
      I'm not always right but i never be wrong!

    14. #33
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,203
      Rep Power : 12279
      Likes Received
      6062
      Likes Given
      6927

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      Pilau ale yeye tena kwa kificho huku akjijua ni mwizi tu.............akiwa kwenye chumba alichokishindilia komeo tena la viro ili asije kubambwa na mwenye mlo wake.............baada ya uporaji wa pilau ya watu aja mtaani na huanza kutubehulia.........na kuacha mafuta ya pilau na vipunjepunje vyake mdomoni.......

      Hivi, hiyo shombo amletea nani?

      Mwingine ametoka kumtafuna kuku wa watu khalafu kwa kasi ya ajabu hurukia kitandani kwa mkewe na kumshulizia manukato yatokanayo na siagi ya samli aliyopikiwa kuku wa watu aliyemtafuna ............kwa kufanya hivyo ni mithali ya kumtambia mkewe ya kuwa amejinoma kuku wa watu..........lakini swali ni

      Hivi, hiyo shombo amletea nani?

      Kwa nini asiende bafuni akaoga na kutakata na abakie akichekwa na dhamira yake badala ya kuwaadhibu waliokuwamo na wasio kuwamo..........kama ile hadithi ya panya aliyekusudiwa kuuawa na mtego lakini mtego ukamnasa nyoka ambaye mwenye nyumba aliposikia umenasa akawahi kummalizia panya gizani na matokeo yake akaumwa na nyoka mwenye hasira na kufa hapohapo.........matangani ng'ombe na kuku walichinjwa kumsindikiza mwendazake............na hivyo kukamilisha maono ya panya ya kuwa mtego ulomlenga yeye wataingia waliomo na wasiokuwamo........

      Hivi walakini...........hiyo shombo amletea nani?
      Ujumbe mzito sana huu
      Rutashubanyuma likes this.
      ....Time is the wisest counselor !!!

    15. #34
      gambachovu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2011
      Posts : 1,865
      Rep Power : 2196
      Likes Received
      256
      Likes Given
      379

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Na wale wanaovaa vya kuazima,halafu wanajitapa kwenye mashughuli..
      Rutashubanyuma likes this.

    16. #35
      N-handsome's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd January 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,870
      Rep Power : 956
      Likes Received
      94
      Likes Given
      508

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Napita kimya kimya
      Rutashubanyuma likes this.

    17. #36
      Questt's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2009
      Location : Nowhere
      Posts : 2,936
      Rep Power : 1080
      Likes Received
      352
      Likes Given
      268

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?



      Shombo ni hili.... na wanaonusishwa ni hawa

      Rutashubanyuma likes this.
      Get Rich or Die Tryn......

    18. #37
      Typhoid's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th February 2012
      Location : uk
      Posts : 209
      Rep Power : 413
      Likes Received
      38
      Likes Given
      19

      Default

      Mkuu salute! Nimeipenda sana post yako,nimekugongea ka like ila natumia tochi
      Quote By ngoshwe View Post
      Eti mwingine kalishwa mijichips kuku huko na kidume cha jirani...anakuja kitandani na kuanza kuachia hewa zisizovutika sawia puani kwa mwenzie..hilo shombo amleteee nani??

      Ana lambwa lambwa mdomo kama paka akiwa na kijike au kidume pori, anarudi nyumbani hataki hata kunawa mdomo anataka akugushishe mdomo wake..hilo shombo amletee nani??

      Kaachia, kanyonywa nyonyo weeeee hata kuliko anavyoweza kuwamchia mwanae, eti baadae anarejea nyumbani anataka kumnyonyesha mtoto wake mchanga pasipo hata kujishwafi uzuri....eti hilo shombo anamletea nani??

      Karuhusu kidume shume kimguse sehemu ambazo hata wewe mumewe/boy friend hujawahi kugusa, kanogewa huko, anarejea nyumbani, anakugezia nawe uguse huko asijue wewe sie yule aliyezoea mambo hayo..sasa hilo shombo la mtandao huo wenye wateja kidogo amleteee nani??
      Rutashubanyuma likes this.

    19. #38
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,833
      Rep Power : 5673
      Likes Received
      6319
      Likes Given
      2417

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      loh hii shombo unamletea nani?

      Mmmmmmh ngereja akirudisha umeme nitarudi.....
      Rutashubanyuma likes this.

    20. #39
      BelindaJacob's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2008
      Location : Санкт-Петербург
      Posts : 5,261
      Rep Power : 4152
      Likes Received
      1831
      Likes Given
      1291

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      Shombo zingine zina harufu kali acha tu.
      Rutashubanyuma likes this.
      Bésame Mucho...!!!

    21. #40
      wahida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th June 2011
      Posts : 384
      Rep Power : 482
      Likes Received
      122
      Likes Given
      158

      Default Re: LAKINI, hiyo shombo amletea nani?

      RUTA ,wewe mswahili safi ,labda alifanya kwa dhamira ,kwan nan asiye jua kuwa shombo n MAKRUKH, akaona nataka nijuilikane kama leo nimechoea maneno ya huku kwetu kisiwani
      Rutashubanyuma likes this.

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...