Mwandani wako kaifumania soksi kwenye mfuko wako wa suruali au kwenye kibeti chako. Hivi utajieleleza vipi?.......au utajitetea vipi? Nyie mambo yenu ni pekupeku maana mnaaminiana sana tu sasa hii soksi kulikoni ni ya kazi ipi tena? Au unachemsha zako huko za pembeni.....
![]()

Reply With Quote
SIYO WOTE WANAOTANGATANGA WAMEPOTEA

Follow Us Here