Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 32 of 32
    1. #1
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Nimejiuliza kwa muda mrefu bila kupata majibu.
      Wacha leo nitapike hadharani na naomba leo mnipe jibu.

      Utasikia tu, ana watoto kadhaa lakini katu sijawahi kumuona
      mwanasiasa mwanamke akiwa mjamzito. Hebu hata
      wewe chunguza halafu niambie kati ya hawa waliopo
      madarakani ambao wana watoto, lini walionekana wajawazito
      zaidi ya kuambiwa tu kuwa wana watoto.
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    2. Miaka 50

    3. #21
      grace kombe's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      aisee guys mnanipa raha

    4. #22
      Asprin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 8th March 2008
      Location : Psychiatric Ward
      Posts : 25,459
      Rep Power : 32080
      Likes Received
      14551
      Likes Given
      22033

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Dakika ya 40..... Matola 1, ndyoko 1. Mechi bado inaendelea....

    5. #23
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,579
      Rep Power : 2537
      Likes Received
      606
      Likes Given
      763

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Quote By Asprin
      Dakika ya 40..... Matola 1, ndyoko 1. Mechi bado inaendelea....
      Mkuu nami ningependa kujua ubao wa matokeo utasomekaje baada ya dk. 90!!!
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    6. #24
      SI unit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 565
      Likes Received
      180
      Likes Given
      22

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Wanapata mimba wakati wakifanya mapenzi..

    7. #25
      Amyner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Location : Somewhere..
      Posts : 2,329
      Rep Power : 7402
      Likes Received
      769
      Likes Given
      53

      Default

      Quote By ndyoko
      Naogopa ban..........una bahati sana mkuu! Ila chunguza utagundua u do not possess the genes of the man u call him your daddy! it is most likely u belong to them because of the adoption law. Rejected individuals recovered from garbages and brought up in orphanage centers know nothing about respect for others and for them all other individuals are as cruel as their mothers!
      Oops..


    8. #26
      Eugeniafaith's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 52
      Rep Power : 370
      Likes Received
      19
      Likes Given
      12

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Quote By Matola
      Kama wewe ni mtoto wa mwisho kwenu je ulishawahi kumuona Mama yako akiwa na mimba? maana kwa swali hili linaonesha hata umri wako ni wa miaka mingapi!!......
      Kifupi huna tofautu na wapuuzi wengine wanaouliza kama ulishawahi kuudhulia mazishi ya zeruzeru.
      Niliwahi kufikiri wanaouliza juu ya mazishi ya zeruzeru ni wapuuzi......fikra zangu zilibadilika baada ya kushuhudia mauaji na ukatili wanaofanyiwa zeruzeru hapa nchini kwa imani za ajabu....may be kweli wengi hawakuzikwa/waliuawa na jamii husika ikiamini wamepotea....

    9. #27
      marwacha's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Wengi wa wanasiasa wa Tz wanaingia kwenye siasa wakiwa na miaka 35-40 so wengi unakuta wameishastop kazaa. kasoro hawa wabunge vijana wa chadema ndio bado wengi wako single.

    10. #28
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,067
      Rep Power : 9502
      Likes Received
      3186
      Likes Given
      1237

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Unataka uwaone mbele ya hadhara na mimba ndo ujue wanazaa?
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    11. #29
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Quote By Asprin
      Dakika ya 40..... Matola 1, ndyoko 1. Mechi bado inaendelea....
      mjinga sana huyu kiumbe! anapayuka as if katoka kufumaniwa vile!
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    12. #30
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Quote By Fidel80
      Unataka uwaone mbele ya hadhara na mimba ndo ujue wanazaa?
      sawia kabisa!
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    13. #31
      Mwanyasi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Karibu na wewe
      Posts : 1,055
      Rep Power : 841
      Likes Received
      504
      Likes Given
      986

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Quote By Matola
      Kama wewe ni mtoto wa mwisho kwenu je ulishawahi kumuona Mama yako akiwa na mimba? maana kwa swali hili linaonesha hata umri wako ni wa miaka mingapi!!......Kifupi huna tofautu na wapuuzi wengine wanaouliza kama ulishawahi kuudhulia mazishi ya zeruzeru.
      Quote By ndyoko
      Naogopa ban..........una bahati sana mkuu! Ila chunguza utagundua u do not possess the genes of the man u call him your daddy! it is most likely u belong to them because of the adoption law. Rejected individuals recovered from garbages and brought up in orphanage centers know nothing about respect for others and for them all other individuals are as cruel as their mothers!
      Eheee.......! Washa moto kuzima moto!
      "Hata siku moja mkaa hauuzwi supermarket" - Mpoki

    14. #32
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 561
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default Re: Hivi wanasiasa wanawake huwa wanashika mimba wakati gani?

      Mimba wanapata lakini ni planned mimba na wakiwa na mimba wanajua kujistiri.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...