Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

    Report Post
    Results 1 to 15 of 15
    1. #1
      MPAMBANAJI.COM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2011
      Location : IN THE PLANNET
      Posts : 385
      Rep Power : 494
      Likes Received
      118
      Likes Given
      107

      Default Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      Namshukuru Mungu kwa kuwa ni rijali.Lakini pia wakati wa kula tunda huwa inanichukua muda mrefu sana bila kamanda kusinzia.Niseme 1,2,3 ndio jamaa walau anasinzia.sasa sijui niseme ni 3 times 1 au 1 time 3.Hii inampa shida sana Hawa wangu ila mie huwa napenda kushuka baada ya 3 na baadaye ndo naendelea.Kwa sasa anaonekana kutokupenda kuniandalia chakula changu ikionekana wazi kuwa anaogopa kuchoka wakati mie nataka kula.Hii inaanza kunisumbua sana kimawazo.Naombeni ushauri nifanyeje?
      Am not sure if all Leaders knows everything and therefore am a Leader of Myself.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Smile's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Location : paradise
      Posts : 11,273
      Rep Power : 23396
      Likes Received
      8214
      Likes Given
      5854

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      ngono majogoo haya
      tujenge nchi jamani
      It’s good to test a guy first before you believe him. But don’t let him wait that long

    4. #3
      Mtalingolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2011
      Location : Mbeya
      Posts : 1,924
      Rep Power : 972
      Likes Received
      324
      Likes Given
      43

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      Jitahidi usiwe unamchosha mwenzio...

    5. #4
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,222
      Rep Power : 5105
      Likes Received
      2784
      Likes Given
      231

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      inaonekana una muda mrefu sana huu duu endelea hivyo hivyo mpaka utaizoea tu uone ya kawaida halafu chengine punguza hasira nayo utalost mkuu..

    6. #5
      happiness win's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,187
      Rep Power : 628
      Likes Received
      442
      Likes Given
      141

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      Ulitakiwa upate wa aina yako. Unajua kila mtu kwa aina yake! Kuna wa moja, mbili, tatu na kuendelea. Sasa inapotokea wa 7 akampata wa 2 inakuwa michosho. Ungempata wa tatu mwenzio we, mbona ungefurahi! Huna jinsi kubali yaishe!
      nkawa likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Pokola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 485
      Rep Power : 546
      Likes Received
      51
      Likes Given
      76

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      Watanzania ikimbieni Rushwa!!

    9. #7
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,989
      Rep Power : 24152
      Likes Received
      4705
      Likes Given
      2647

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      Hilo ni tatizo la kisaikolojia....waone wataalamu

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    10. #8
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,585
      Rep Power : 5620
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2288

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      ongeza muda wa maandalizi
      "Behind every great fortune there is a crime."
      - Honore de Balzac (1799-1850)

    11. #9
      MADAM T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 1,055
      Rep Power : 647
      Likes Received
      107
      Likes Given
      132

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      Kila kitu kwa kiasi, sasa hicho wewe ndio kiasi chako lakini sio cha mwenzio, so tafuta mwenye kiasi kama chako...jamani kuduiwa huku hujifeel ni kero sidhani kama kuna tofauti na kubakwa.....

    12. #10
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,650
      Rep Power : 32147
      Likes Received
      5004
      Likes Given
      5174

      Default

      Quote By Smile
      ngono majogoo haya
      tujenge nchi jamani

      mpe ushauri halafu twende wote tukaijenge hyo inji

    13. #11
      BAGAH's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2012
      Posts : 4,363
      Rep Power : 8786
      Likes Received
      954
      Likes Given
      1418

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      muulize mkeo atakupa jibu zuri...
      unaweza kuta hata anaelalamika hujamwomba ushauri...
      sa ukija jf moja kwa moja inakua sio sawa...

    14. #12
      Kennedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 2,907
      Rep Power : 955
      Likes Received
      367
      Likes Given
      180

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      Sasa kama unajua matatu mwenzio anakuwa amechoka unataka ushauri gani?Punguza mpe adoado si kukandamiza kama unalima,nadhani huyo mwenzio anakazi zaidi ya hiyo unayompa.Sioni kama ni vema wewe kufanya hivyo,fanya kwa kiasi pia hurumianeni.Mkuu ni mtazamo wangu tu.

    15. #13
      cartura's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 3,053
      Rep Power : 2726
      Likes Received
      747
      Likes Given
      6

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      huyo mwanamke akiamka asubuhi anafeel 'k' yote inawaka moto... usikute mara hizo saba zote anaburuzwa tu, wala hafiki kileleni

    16. #14
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 490
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: Wadada, je Hili nalo ni tatizo kwene mahusiano?

      Unaweza ukampa 1 yakituo akafika kilele,kuliko 3 zakumsulubu, tatu zote hizo wala tamu hazing tena zaidi ya msuguo nakummiminia mwenzio mijasho Kama unalima.pole pole kwa raha zenu mtafurahi kuliko kumfanya mwenzio Kama shamba unamlima...

    17. #15
      Kabakabana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1759
      Likes Received
      1119
      Likes Given
      126

      Default

      Quote By MADAM T
      Kila kitu kwa kiasi, sasa hicho wewe ndio kiasi chako lakini sio cha mwenzio, so tafuta mwenye kiasi kama chako...jamani kuduiwa huku hujifeel ni kero sidhani kama kuna tofauti na kubakwa.....
      hakuna hata utofauti,unatamani ajitoe halafu ndo kwaanza yuko busy aaargghh

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...