TiGo Says
    Show/Hide This

    Topic: Unawasiliana au mnawasiliana?

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      gwankaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th May 2011
      Posts : 154
      Rep Power : 384
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default Unawasiliana au mnawasiliana?

      Baada ya takribani mwezi mmoja wa aliodhani wanawasiliana,
      kumbe alikuwa anawasiliana.
      Ilifika muda wakagombana...na maongezi yalikuwa hivi.

      Me: tena hiyo namba yangu uifute
      ke: ungejua hata hiyo # yako sijaisave hata usingesumbuka.......

      Ninachojiuliza>>hivi inakuwaje unawasiliana na mtu zaidi ya mwezi na hujasave # yake?
      Je ni dharau au unakuwa umeiweka kichwani? ...

      Zifuatazo ni dalili za mtu ambaye hajasave # yako

      1. Hatumi text mpaka umtumie wewe

      2. Hapigi simu kwa kuwa hana namba yako

      3. Hawezi kukutaja jina kwenye text zake, sababu hajui jina lako

      4. Lazima utakutana na maswali ya we nani?

      Kinachofurahisha> mtu kama huyo anapokuja kuona umuhmu wa # yako na kuisave we unakuwa tayari umeshadelete yake.


    2. #2
      SaidAlly's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Posts : 683
      Rep Power : 506
      Likes Received
      180
      Likes Given
      22

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      Sijaelewa hii thread yako. Hebu jipange vizuri tukuelewe

      ''yame kukuta au umetendwa?''

    3. #3
      AshaDii's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 13,872
      Rep Power : 13798
      Likes Received
      11668
      Likes Given
      11738

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      Gwankanja..... Mtu kutosave # yako sio dharau.... Ndio! Dharau yaweza kua ni moja ya main reasons. Sababu kubwa ya most ya wapenzi kuto save number baadhi ni zifuatazo;


      1. Kaoa/Olewa, hivo haitakiwi asevu hio number hasa kama anacheat, ili hata kama ikitokea bahati mbaya imekutwa hio message, muhusika ni rahisi kukataa kua number haitambui na ni wrong number.
      2. Hajaoa/Olewa ila ana wapenzi wengi na hupenda jifanya yupo huru na simu yake. Watu wapo really committed hasa maarufu kwa kucheat. Akijua week hii yupo na Mpenzi Asha bega kwa bega, simu week hio jina litaseviwa kwa Darling Asha. lol Sad but true....
      3. Huna umuhimu kwake... hasa kama msha lalana.


      Alafu IMO naona ni ushamba mno wapenzi wakigomba alafu wasema futa number yangu... What are you trying to prove? Hata kama sijafuta mimi nitasema nimefuta. Na kweli ni wachache ambao hawashiki # za wapenzi wao...
      RussianRoulette and maryne like this.
      "Never get angry. Never make a Threat. Reason with People" -God Father/Mario Puzo

    4. #4
      marida's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th October 2011
      Posts : 154
      Rep Power : 360
      Likes Received
      19
      Likes Given
      5

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      kama umeona always wewe ndiye unayeanzisha mawasiliano kwa mwenzako,kumbuka na hapo mwanzon wakati wa mapenzi yenu nani alikuwa anatuma message na kupig zaidi,na ukute ulikuwa hata simu hupokei na kuboreka,so ukiona changes kama hizo don't be shocked.

    5. #5
      maryne's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th October 2011
      Posts : 15
      Rep Power : 333
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      ASHADII I LIKE ur points..Mwingine anakuambia dont text me love MESSAGES,huku akipiga anakuita mpenzi,but in text no..hahaha..why shuld you save namba ya mtu kama huyo..IS A CHEATER...
      AshaDii likes this.

    6. #6
      AshaDii's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 13,872
      Rep Power : 13798
      Likes Received
      11668
      Likes Given
      11738

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      Quote By maryne View Post
      ASHADII I LIKE ur points..Mwingine anakuambia dont text me love MESSAGES,huku akipiga anakuita mpenzi,but in text no..hahaha..why shuld you save namba ya mtu kama huyo..IS A CHEATER...

      Thanks Dear.... Maryne, nadhani ni makubaliano... Huyo mpenzi wako anapocheat, is s/he cheating on you OR on the other na wewe ndio wachangia amcheat the other? lol

      Hapo asipokusave.... Usilalame, what do you expect kama wajua s/he is committed. Then you will have to adhere to the rules... huwezi the rules of the game then don't play the dangerous game.
      maryne likes this.
      "Never get angry. Never make a Threat. Reason with People" -God Father/Mario Puzo

    7. #7
      Amyner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Location : Somewhere..
      Posts : 2,071
      Rep Power : 1160
      Likes Received
      604
      Likes Given
      33

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      She's simply not into you!

    8. #8
      gwankaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th May 2011
      Posts : 154
      Rep Power : 384
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By SaidAlly View Post
      Sijaelewa hii thread yako. Hebu jipange vizuri tukuelewe

      ''yame kukuta au umetendwa?''
      inawezekana kweli hujaelewa, unapodai "jipange vizuri ili tukuelewe", mnielewe wewe na nani?

    9. #9
      Ndechumia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 540
      Rep Power : 453
      Likes Received
      81
      Likes Given
      147

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      mkuu ukiona hivyo jua ww upo kwenye folen karibia na mkiani,
      Nikimaanisha kama mpo 14 basi ww ni 13 au 14.
      Pima faida na hasara za kuwa na mtu kama huyu then changanya za zako.......................... .............

    10. #10
      cartura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 2,197
      Rep Power : 2502
      Likes Received
      442
      Likes Given
      1

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      looks like matatizo mengi ya mapenzi yana-revolve around mawasiliano ya simu these days
      RussianRoulette likes this.
      If You Can't Fight Them, Join Them!

    11. #11
      gwankaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th May 2011
      Posts : 154
      Rep Power : 384
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By cartura View Post
      looks like matatizo mengi ya mapenzi yana-revolve around mawasiliano ya simu these days
      naamini matatizo karibia yote huwa yanasababishwa na haka kakifaa


    12. #12
      MadameX's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2009
      Location : Timbaktu
      Posts : 1,875
      Rep Power : 801
      Likes Received
      579
      Likes Given
      142

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      Wewe nani I changed my mobile and I lost some contacts.
      RussianRoulette likes this.
      Mimi kama mimi....

    13. #13
      cartura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 2,197
      Rep Power : 2502
      Likes Received
      442
      Likes Given
      1

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      usikute hata operational cost za hako kasimu ni zako teh teh teh

    14. #14
      Mirhea's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 324
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      Ukiona hivyo you just take it easy bana although I know its kind of hard bt that's the least u can do, maanake haina maana kusononeka wakati mwenzio wala hata hana habari, life is too short,enjoy it.

    15. #15
      cartura's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2009
      Location : Bongo
      Posts : 2,197
      Rep Power : 2502
      Likes Received
      442
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Mirhea View Post
      haina maana kusononeka wakati mwenzio wala hata hana habari, life is too short,enjoy it.
      mmh, utaenjoy vipi sasa kama unayempenda hana habari na wewe? hebu dadavua kidogo hapo mirhea...

    16. #16
      gwankaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th May 2011
      Posts : 154
      Rep Power : 384
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By MadameX View Post
      Wewe nani I changed my mobile and I lost some contacts.
      jibu common sana hilo...kuna watu wanapoteza simu kila siku

    17. #17
      gwankaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th May 2011
      Posts : 154
      Rep Power : 384
      Likes Received
      24
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By cartura View Post
      usikute hata operational cost za hako kasimu ni zako teh teh teh
      umejuaje mkuu

    18. Taz is offline
      Taz
      #18
      Taz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th February 2012
      Location : cyber next door
      Posts : 199
      Rep Power : 354
      Likes Received
      96
      Likes Given
      124

      Default Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      Mambo ya sim ni usanii mtupu! Kwenye sim ni kupanga tu tuonane wapi, na kuambiana good night au good morning.
      Mapenzi ni live. Ukiona mtu anashindwa kua nawe live kila mara basi achana nae tafuta ambae yuko ready to spend sometime with you. Katika huo mwezi mmoja umetaja hapo juu, mlionana mara ngapi?
      Kuna watu wanatuma up to 150msg per day, ila mnaonana mara moja kwa wiki. Sasa hapo si unajidanganya mwenyewe kua kuna mawasiliano ya kimapenzi???
      chriss brown likes this.
      You have succeeded in life when all you really want is only what you really need. ~Vernon Howard

    19. #19
      Mirhea's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 324
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By cartura View Post
      mmh, utaenjoy vipi sasa kama unayempenda hana habari na wewe? hebu dadavua kidogo hapo mirhea...
      Kama unayempanda hana time na wewe ina maana gani sasa kumuwaza tht much jamani, si bora utafute ustaarabu mwingine. Au wewe waonaje??

    20. #20
      chriss brown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 287
      Rep Power : 386
      Likes Received
      60
      Likes Given
      28

      Thumbs down Re: Unawasiliana au mnawasiliana?

      love needs communications and to see each other,,maybe kama its a long distance relationship...

      some people stays in the same region but they even not see each other,they just talk in the fone and its done.That kind of love is kids love lol.

      Couples nids to spend time together and communicate..thats love is..

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...