Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

    Report Post
    Page 12 of 13 FirstFirst ... 210111213 LastLast
    Results 221 to 240 of 243
    1. #1
      Simba Mkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 375
      Rep Power : 443
      Likes Received
      79
      Likes Given
      118

      Default Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Kuna kitu kinanishangaza sana, siku hizi wanaume wengi wamekuwa wakifurika kwa wataalam wa madawa ya asili kwa ajili ya kuweza kudumisha uwezo wao wa kitandani. Inadaiwa kuwa wanaume hao wakienda raundi moja hawawezi kurudia ile ya pili na hata wenye uwezo wa kurudia huwachukuwa muda mrefu sana, kama raundi ya kwanza iliisha saa tano usiku basi ya pili inaweza kurudiwa saa 12 asubuhi.

      Tatizo kubwa ni kwamba wanaume wengi huwaandaa wake zao kwa muda mchache au hawajui kabisa jinsi ya kuwaandaa wake zao kwa ajili ya tendo la ndoa, wengi wanaparamia kama vile wanavyoparamia baiskeli, pia wanaume hao hawajui kufuata hatua za kujizuia kuweza kuwahi 'kufikisha mzigo melini' na hatimaye kuwafanya wawe wa kwanza kufikisha mzigo na kushindwa kuwaridhisha wake zao.

      Inadaiwa kuwa tatizo hili linatokana na wanaume wengi kuacha kula vyakula vya asili vinavyoweza kuwafanya wawe na nguvu muda wote, pia inadaiwa kuwa wanaume wengi hawafanyi mazoezi ambayo yangeweza kuwafanya wawe vizuri kitandani.

      Wengi wa wanaume wanapokwenda kwa wataalam wa madawa ya asili wanakuwa hawajui tatizo lao hasa, ndio maana wapo wanaume wanaokimbilia kwenda kukuza ukubwa wa maumbile kwa kuamini kuwa majogoo yao yakiwa makubwa wanaweza kuwaridhisha wake zao, kitu ambacho ni uongo mkubwa.

      Hawajui kuwa hata kama siraha zao ni ndogo wanaweza kuwafanya wake zao watosheke kwa kuwafanyia utundu na kujua jinsi ya kujizuia ili wasiwahishe mzigo bandarini kabla ya wake zao, wanashindwa kuwafanya wake zao wawahi kufikisha mzigo kabla yao.

      Tatizo hili limesababisha wanaume wengi kudharauliwa na wake zao hata ndoa nyingi kuvunjika.
      Ndahani, Speaker, bacha and 3 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #221
      Philipo Kidwanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2012
      Location : kusadikika
      Posts : 2,063
      Rep Power : 979
      Likes Received
      573
      Likes Given
      147

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      kama ilivyo tabia nchi kuna tabia mwili pia,kuna mabadiliko ya mfumo wa ulaji kulingana na mazingira,binaadamu wa kipindi chetu ni tofauti kabisa na vizazi vilivyopita,pili kipindi cha nyuma ilikuwa nadra sana kuona maungo hovyo hovyo kama tuonavyo sasa hii inatufanya tuyazoee maana mtu kwenye daladala tu unaweza disa zaidi ya mara moja.filamu za ngono zinazoamsha hisia zipelekeazo wanaume na hasa wavulana kuizoea sana puchu.pili muongezeko wa shughuli nyingi zinazosababisha uchovu wa kiakili na kimwili na wakati mwingine msongo wa mawazo.
      bacha and lerato like this.
      LIMPETA

    4. #222
      snowhite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Location : nyumbani
      Posts : 7,683
      Rep Power : 19928
      Likes Received
      7707
      Likes Given
      7207

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Quote By Smile
      mmmh hv kimoja kinaweza kuwa cha ukweli kweli?
      hujakikuta wewe!kuna watu wanapiga foreplay kama wapo kwenye INTERVIEW my dear!LOL camooooooooooooooooooooooooooo ooooooooooon!

      bacha likes this.
      IT TAKES A MAN TO CONSTRUCT A HOUSE BUT IT NEEDS A WOMAN TO MAKE A HOME!

    5. #223
      Jots's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 48
      Rep Power : 349
      Likes Received
      8
      Likes Given
      3

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Maisha magumu yanachangia,unaingia tu nyumbani shikamoo baba,hatuna daftari,pesa ya tuition ,umeme umeisha ,bili ya maji na mchele umeisha,baba na mimi sina viatu pia Ada shuleni tumefukuzwa.mzee mzima huna kitu na hata Hiyo moja umejitahidi sana,usingizi wenyewe hupati vizuri lini utawaza issue?
      mayenga, bacha and lerato like this.

    6. #224
      grafani11's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Location : Omnipotent Street
      Posts : 2,737
      Rep Power : 951
      Likes Received
      867
      Likes Given
      1336

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Quote By MadameX
      Kizazi cha waume wa mbegu kiliisha zamani, wasasa mauzauza tu.
      Hao wazamani ndiyo mauzauza kila siku kwa babu kubusti, vijana wa siku hizi ngoma kama kawa.
      Last edited by grafani11; 15th August 2012 at 13:45.
      MadameX likes this.

    7. #225
      Tata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2009
      Posts : 2,340
      Rep Power : 949
      Likes Received
      516
      Likes Given
      332

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Wengi wangapi? Toa takwimu kidogo tutathmini kama una hoja ya msingi?

    8. Miaka 50

    9. #226
      Rohombaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 346
      Rep Power : 468
      Likes Received
      52
      Likes Given
      40

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Nadhani kwanza inabidi tuweke viwango ili tujue hali ipi ndio uchovu au ipi ndio uimara kama kuwahi/kuchelewa au magoli mengi/kidogo au tendo ni kila baada ya muda gani etc. ili tuweze kubaini mpaka (point of reference) kati ya uchovu na uimara. Bila ya hivi tutacheza makidamakida

    10. #227
      NYENJENKURU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Tanganyika Masagati
      Posts : 936
      Rep Power : 606
      Likes Received
      182
      Likes Given
      359

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Quote By Smile
      heri lakini msituzeeshe bure kwa kutubinuabinua usiku kucha.dkk 2 watu tunalala kwa raha hadi mwezi uishe ndo kingine tena
      eeeeeeeeeeeehhhh mwezi kwa mwezi Smile,.....we kiboko
      Jamani CCM hamshibi?Mnataka kula mpaka ukoko jamani?2015 byeeeeeeeeeee.

    11. #228
      TWIZAMALLYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : NG'WAMAGUNGULI
      Posts : 392
      Rep Power : 464
      Likes Received
      69
      Likes Given
      155

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Quote By PakaJimmy
      Umewapimaje jomba?
      twizamallya likes this post

      No man can stand on top because he is put there.
      H.H. Vreeland



    12. #229
      MMDAU's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2012
      Posts : 83
      Rep Power : 356
      Likes Received
      14
      Likes Given
      1

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      labda ni seme kuwa bao moja si mbaya ila inachukua muda gani na ufanisi wake (efficience) ni kiasi gani kwani inaweza ikawa bao moja lakini faida kibao (mfano bao moja la chura mayai 98000567.892)
      vile vile bao moja kwa siku ndio vizuri kwa afya kwani mtu hachoki ovyo hasa wachezaji mpira na baadhi wanaofanya kazi ngumu
      Japo kwa mm viwili vinanitosha cha tatu mpaka ni dundulize dundulize nahisi kwangu kikubwa ni msosi
      bacha likes this.

    13. #230
      Mapambano Yetu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th August 2012
      Posts : 27
      Rep Power : 345
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      mh! kwa hlo cna neno

    14. #231
      MTENDAHAKI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 512
      Rep Power : 518
      Likes Received
      62
      Likes Given
      68

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Quote By smile
      heri lakini msituzeeshe bure kwa kutubinuabinua usiku kucha.dkk 2 watu tunalala kwa raha hadi mwezi uishe ndo kingine tena
      amini au usiamini!ndoa nyingi zimejaa wanawake kama wewe ambao mnatupelekea tuwe na nyumba ndogo!siamini kwa vibinti vya sikunhizi vinaweza kucheza round 3, labda mwanume ufike mara halafu ya 3 ndo ukavizie la sivyo,kakikuanza hakakupi tena imekula kwako!wanaume wengi bado wana nguvu za kutosha ndio maana nyumba ndogo imekuwa kam fasheni!

    15. #232
      ENNIEY's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 16th August 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      mh jaman kubinuana teina? bwn hli n suala la m2 na m2 wake me naamini km mnapendana thn ukamwambia mwenzi wako akufanyie k2 flan ili uenjoy km uwezo huo upo na ni mwelewa lazma atafanya ili akufurahshe.

    16. #233
      Duzente Siqwente's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th August 2012
      Posts : 186
      Rep Power : 541
      Likes Received
      41
      Likes Given
      4

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      hao wanaokimbilia kwenye miti shamba wana matatzo yao binafsi

    17. #234
      bibi.com's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Posts : 244
      Rep Power : 450
      Likes Received
      71
      Likes Given
      74

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Quote By MTENDAHAKI
      amini au usiamini!ndoa nyingi zimejaa wanawake kama wewe ambao mnatupelekea tuwe na nyumba ndogo!siamini kwa vibinti vya sikunhizi vinaweza kucheza round 3, labda mwanume ufike mara halafu ya 3 ndo ukavizie la sivyo,kakikuanza hakakupi tena imekula kwako!wanaume wengi bado wana nguvu za kutosha ndio maana nyumba ndogo imekuwa kam fasheni!
      na ndio maana nyumba ndogo zinakuwa na wanaume wengi maana mmoja hawaridhishi, mwenyewe unajiona mwanaume rijali ukiwa na nyumba ndogo kumbe unadangannywa tu.

    18. #235
      lerato's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th August 2012
      Location : kirimanjaro
      Posts : 41
      Rep Power : 349
      Likes Received
      4
      Likes Given
      51

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Quote By Smile
      heri lakini msituzeeshe bure kwa kutubinuabinua usiku kucha.dkk 2 watu tunalala kwa raha hadi mwezi uishe ndo kingine tena
      hahahahahahahaha hilo neno bt napita 2

    19. #236
      bacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Posts : 3,903
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      624
      Likes Given
      1261

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Mi huwa nasema kuwa , laiti ingetokea hawa wanawake wanawashuhudia waume/mabwana zao

      jinsi wanavyojishughulisha faragha wakiwa na nyumba ndogo,

      yumkini wasingeamini kama kweli hao ni waume/mabwana zao..........

      mechi za ugenini hizi,.....we acha tu

      ''ufundi wote na ujuzi unamwagwa huko''
      NYUKI hapigwi BUSU........................

    20. #237
      GreenCity's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Location : pa tunduma
      Posts : 493
      Rep Power : 522
      Likes Received
      143
      Likes Given
      83

      Default

      Quote By Jots
      Maisha magumu yanachangia,unaingia tu nyumbani shikamoo baba,hatuna daftari,pesa ya tuition ,umeme umeisha ,bili ya maji na mchele umeisha,baba na mimi sina viatu pia Ada shuleni tumefukuzwa.mzee mzima huna kitu na hata Hiyo moja umejitahidi sana,usingizi wenyewe hupati vizuri lini utawaza issue?
      thats makes sense, kaka!

    21. #238
      assuredly4's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 852
      Rep Power : 739
      Likes Received
      135
      Likes Given
      135

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Alete data ndipo tutajadili kwenye hizo data kwa kulinganisha na idadi ya watu waliowahoji. Kwanza nipende kukanusha kuwa sio kweli wanaume ni wachovu kitandani bali ni wanaume hodari na wenye uwezo wote wa kuwafikisha kileleni wake zao. Tatizo la wanaume sio kutojiamini, mwanaume kwa asili ameumbwa kuwa mtu wa kujiamini na kufanya mambo bila ya kutaka msaada wa mtu. lakn tatizo ninaloliona wakati mwingine liko upande wa mwanamke au wakati mwingine liko upande wa mwanaume au pande zote mbili. nitaelezea kwa ujumla kwa faida ya wote-
      1. matumizi ya dawa za majira/kuzuia mimba kwa wanawake hubadili hali ya miili ya wanawake hata kuwafanya kutojisikia kushiriki tendo hilo. matokeo yake kila mwanaume anapoomba hapewi na wakati mwingine anapewa kwa taabu sana baada ya ugomvi. hii huweza kujenga hisia tofauti na za mwanzo hata upendo kuanza kupungua kwa mke wake. upendo ukikosekana ni vigumu kufanya tendo la ndoa kwa mda mrefu na mtu huyo ndiyo maana wengine unakuta wanafika ndani ya dk 5. kama unabisha mchukue mwanaume unayemuita ni mchovu kitandani mpatie mwanamke anayempenda na kuwa na hisia naye toka moyoni, uone kazi itakayofanyika, itakuwa tofauti nanile ya kwa mke wake. Laki ni pia kama tungekuwa wachovu, mbona hadi leo watu wameoa wananwake wengi na pamoja na ndoa zao wana wanawake kibao nje ya ndoa ambao wanafanya nao tendo la ndoa na kuwaridhisha. tatizo ni namna gani anakuwa treated na mke wake. vilevile kama mwananume anafanya matendo yanayofanana na haya ni vigumu mke wake kuridhika kwani anapokuwa anafanya naye tendo la ndoa anakuwa kama vile anambaka. sio kweli mwananmke anakuwa hajaandaliwa tatizo linakuwa ni la kisaikolojia, ampeta athari ambazo ni lazima ziondolewe kabla ya kufurahia tendo hilo.

      2. wanawake kutokuwa tayari kutoa ushirikiano katika tendo la ndoa kwa wanaume zao, hili linashusha morari ya wanaume kulifanya. wengine unakuta wanajisifu kuwa aah mm nimechoka na kwa kuwa jamaa anadai tendo hili kila mara huwa namwaambia kama anataka afunue, afanye akimaliza afunike. je hapo kama ni mwanaume utajikiaje, je unadhani hata siku nyingine akikubali ufanye naye tendo hilo, utalifurahia? wanawake epukeni kuwa kama magogo wasiyoweza kugeuka hadi yageuzwe na mtu anayetaka kuyatumia

      3.ugomvi na migogoro ya mara kwa mara- kama wahusika wana ndoa ya aina hii ni vigumu kwao kulifurahia tendo hili na kwa wanaume akishamchukia mkewe, hata hamu ya kutenda na mkewe hutoweka, hivyo wanawake wasiwe wepesi kulaumu, waangalie je ni watii kwa waume zao kama Biblia inavyoelekeza au ni wajeuri.

      mm nawashauri wanandoa wajenge tabia ya kukaa na kululuhisho mambo yao kisha wapate amani mioyoni mwao, hicho kitarejesha nguvu za kiume wanazotaka kutoka kwa waume zao. Je GT ni humu humu wako wanawake wengi walikuja na maada za kulalamikia waume zao kuwa tangu walipoowaoa wanatoa dozi kubwa ya kima cha chini 4 hadi 7 kwa siku, wajiulize je hizo nguvu kwanini zimeondoka?

      tuepuke kuwalaumu wenzetu wanapokosea bali tujenge tabia ya kuwasaidia ili wasikosee- Aserne Wenger

    22. #239
      Uncle Jei Jei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 446
      Rep Power : 513
      Likes Received
      70
      Likes Given
      3

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Low performance ni moja ya mpango mkakati uliobuniwa long time ago wa KUPUNGUZA UWEZO WA KUZALIANA NA KULETA FAMILY CONFLICTS ili sera kama za "kuwepo ndoa za mikataba, wanawake kuoana(usagaji), ukahaba( uhuru wa kufanya ngono na anayefikisha), n.k...ziweze kukubalika! Hii imetekelezwa kupitia; vyakula vingi vilivyopo sokoni, vinywaji vya kuvutia, mashine mbalimbali hasa computa, shughuli nyingi zinazotuweka busy, baadhi ya nguo za ndani hutengenezwa kwa material yasiyofaa mf. Boxer,n.k! "Sikulazimishi uamini, kama hutaki fanya utafiti ukiwa na "open mind"

    23. #240
      assuredly4's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th November 2011
      Posts : 852
      Rep Power : 739
      Likes Received
      135
      Likes Given
      135

      Default Re: Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

      Alete data ndipo tutajadili kwenye hizo data kwa kulinganisha na idadi ya watu waliowahoji. Kwanza nipende kukanusha kuwa sio kweli wanaume ni wachovu kitandani bali ni wanaume hodari na wenye uwezo wote wa kuwafikisha kileleni wake zao. Tatizo la wanaume sio kutojiamini, mwanaume kwa asili ameumbwa kuwa mtu wa kujiamini na kufanya mambo bila ya kutaka msaada wa mtu. lakn tatizo ninaloliona wakati mwingine liko upande wa mwanamke au wakati mwingine liko upande wa mwanaume au pande zote mbili. nitaelezea kwa ujumla kwa faida ya wote-
      1. matumizi ya dawa za majira/kuzuia mimba kwa wanawake hubadili hali ya miili ya wanawake hata kuwafanya kutojisikia kushiriki tendo hilo. matokeo yake kila mwanaume anapoomba hapewi na wakati mwingine anapewa kwa taabu sana baada ya ugomvi. hii huweza kujenga hisia tofauti na za mwanzo hata upendo kuanza kupungua kwa mke wake. upendo ukikosekana ni vigumu kufanya tendo la ndoa kwa mda mrefu na mtu huyo ndiyo maana wengine unakuta wanafika ndani ya dk 5. kama unabisha mchukue mwanaume unayemuita ni mchovu kitandani mpatie mwanamke anayempenda na kuwa na hisia naye toka moyoni, uone kazi itakayofanyika, itakuwa tofauti nanile ya kwa mke wake. Laki ni pia kama tungekuwa wachovu, mbona hadi leo watu wameoa wananwake wengi na pamoja na ndoa zao wana wanawake kibao nje ya ndoa ambao wanafanya nao tendo la ndoa na kuwaridhisha. tatizo ni namna gani anakuwa treated na mke wake. vilevile kama mwananume anafanya matendo yanayofanana na haya ni vigumu mke wake kuridhika kwani anapokuwa anafanya naye tendo la ndoa anakuwa kama vile anambaka. sio kweli mwananmke anakuwa hajaandaliwa tatizo linakuwa ni la kisaikolojia, ampeta athari ambazo ni lazima ziondolewe kabla ya kufurahia tendo hilo.

      2. wanawake kutokuwa tayari kutoa ushirikiano katika tendo la ndoa kwa wanaume zao, hili linashusha morari ya wanaume kulifanya. wengine unakuta wanajisifu kuwa aah mm nimechoka na kwa kuwa jamaa anadai tendo hili kila mara huwa namwaambia kama anataka afunue, afanye akimaliza afunike. je hapo kama ni mwanaume utajikiaje, je unadhani hata siku nyingine akikubali ufanye naye tendo hilo, utalifurahia? wanawake epukeni kuwa kama magogo wasiyoweza kugeuka hadi yageuzwe na mtu anayetaka kuyatumia

      3.ugomvi na migogoro ya mara kwa mara- kama wahusika wana ndoa ya aina hii ni vigumu kwao kulifurahia tendo hili na kwa wanaume akishamchukia mkewe, hata hamu ya kutenda na mkewe hutoweka, hivyo wanawake wasiwe wepesi kulaumu, waangalie je ni watii kwa waume zao kama Biblia inavyoelekeza au ni wajeuri.

      mm nawashauri wanandoa wajenge tabia ya kukaa na kululuhisho mambo yao kisha wapate amani mioyoni mwao, hicho kitarejesha nguvu za kiume wanazotaka kutoka kwa waume zao. Je GT ni humu humu wako wanawake wengi walikuja na maada za kulalamikia waume zao kuwa tangu walipoowaoa wanatoa dozi kubwa ya kima cha chini 4 hadi 7 kwa siku, wajiulize je hizo nguvu kwanini zimeondoka?

      tuepuke kuwalaumu wenzetu wanapokosea bali tujenge tabia ya kuwasaidia ili wasikosee- Aserne Wenger

    Page 12 of 13 FirstFirst ... 210111213 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...