TiGo Internet
    Show/Hide This

    Topic: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 30 of 70
    1. #1
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,006
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      643
      Likes Given
      671

      Default Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      Sijui ni nin kilitokea bt akaunt yangu ilifungwa kwa muda wa siku 90 kufuatia moja ya mchango wangu jukwaa la siasa, nakumbuka REJAO ndio chanzo cha yote. Katika kipindi chote hicho sikuwezajua nini kinaendelea humu jukwaani, najutia sana kutokuwepo. Napenda kuwapongeza kwa kuuanza mwaka salama, kwa kuendeleza kijiwe na upendo miongoni mwetu! Nimerudi kwa kasi ya ajabu sana. tupo pamoja sasa. Kwa wale rafiki zangu napenda mnisamehe kwa yaliyojitokeza!!
      Saint Ivuga likes this.


    2. #2
      PakaJimmy's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 11,637
      Rep Power : 3489
      Likes Received
      3166
      Likes Given
      1647

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      Karibu sana Gagurito!
      Mi nilishajua wewe ndio yule member anayejiita Chacharito!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      Pakajimmy@jamiiforums.com

    3. #3
      sweetlady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 8,385
      Rep Power : 4450
      Likes Received
      2537
      Likes Given
      934

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      Karibu sana Gagurito,

      pole kwa yaliyokukuta, yaliyopita si ndwele, tugange yajayo! Usivunje tena sheria za jf....jela sio kuzuri kabisa!


      Happy new year!

    4. #4
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 913
      Rep Power : 621
      Likes Received
      180
      Likes Given
      52

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      Kumbe ulikula ban
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    5. #5
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,006
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      643
      Likes Given
      671

      Default

      Quote By PakaJimmy View Post
      Karibu sana Gagurito!
      Mi nilishajua wewe ndio yule member anayejiita Chacharito!
      Hapana aisee dah! Mimi ni mimi yani Gagurito!

    6. #6
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,006
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      643
      Likes Given
      671

      Default

      Quote By TIQO View Post
      Kumbe ulikula ban
      Yeah! Nilikula BAN aisee, Jukwaa la siasi sirudi tena teh! Yalinikuta!

    7. #7
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,006
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      643
      Likes Given
      671

      Default

      Quote By sweetlady View Post
      Karibu sana Gagurito,

      pole kwa yaliyokukuta, yaliyopita si ndwele, tugange yajayo! Usivunje tena sheria za jf....jela sio kuzuri kabisa!


      Happy new year!
      Nimekoma ndugu yangu duh! Asante sana!

    8. #8
      platozoom's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 430
      Rep Power : 509
      Likes Received
      130
      Likes Given
      230

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      Hivi selo kukoje aisee
      "Education is something that remain in your head after forgeting what you learn at school"

    9. #9
      Blaki Womani's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 2,562
      Rep Power : 20924
      Likes Received
      1243
      Likes Given
      803

      Default

      Quote By sweetlady View Post
      Karibu sana Gagurito,

      pole kwa yaliyokukuta, yaliyopita si ndwele, tugange yajayo! Usivunje tena sheria za jf....jela sio kuzuri kabisa!


      Happy new year!
      Helo wifi habari ya j2 msalimie brada.

      Gagu karibu nimekumiss pia.

    10. #10
      data's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 9th April 2011
      Posts : 1,128
      Rep Power : 0
      Likes Received
      140
      Likes Given
      113

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      Nani anayetoa ban?

    11. BPM is online now
      BPM
      #11
      BPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Location : shamba
      Posts : 1,934
      Rep Power : 810
      Likes Received
      371
      Likes Given
      125

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      pole sana ... karibu tena


    12. #12
      Kipipi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2011
      Location : Sitimbi
      Posts : 4,375
      Rep Power : 1326
      Likes Received
      1177
      Likes Given
      884

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      Sasa we unabishana na Rejao jamani?? Tena jukwaa la siasa? Ulijipunguzia marks aisee! Anyways.......wellcome back kaka!

    13. #13
      Amyner's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Location : Somewhere..
      Posts : 2,071
      Rep Power : 1160
      Likes Received
      604
      Likes Given
      33

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      Tunakupenda pia... Welcome back...

    14. #14
      measkron's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 459
      Rep Power : 450
      Likes Received
      80
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By data View Post
      Nani anayetoa ban?
      Jaribu kubishana sana na kina Rejeo ndo utajua nani anayetoa ban

    15. #15
      senetor07's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2012
      Posts : 173
      Rep Power : 348
      Likes Received
      31
      Likes Given
      0

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      Kwa hyo ile Id yako nyingne utaendelea kuitumia au utaiacha?

    16. #16
      senetor07's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2012
      Posts : 173
      Rep Power : 348
      Likes Received
      31
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By measkron View Post
      Jaribu kubishana sana na kina Rejeo ndo utajua nani anayetoa ban
      huyo rejao mwenyewe nimebishana nae juzi kule forum ya malalamiko,nkajikuta nakula ban.

    17. #17
      Rejao's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 7,576
      Rep Power : 25363
      Likes Received
      2613
      Likes Given
      2409

      Default

      Quote By measkron View Post
      Jaribu kubishana sana na kina Rejeo ndo utajua nani anayetoa ban
      Quote By senetor07 View Post
      huyo rejao mwenyewe nimebishana nae juzi kule forum ya malalamiko,nkajikuta nakula ban.
      Fuateni ushauri wa Sweetlady, kila unachoandika hapa, fuata sheria za JF! Rejao hana ubavu wa kukupa ban. Ban huwa unaitafuta mwenyewe!

    18. #18
      data's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 9th April 2011
      Posts : 1,128
      Rep Power : 0
      Likes Received
      140
      Likes Given
      113

      Default

      Quote By Rejao View Post
      Fuateni ushauri wa Sweetlady, kila unachoandika hapa, fuata sheria za JF! Rejao hana ubavu wa kukupa ban. Ban huwa unaitafuta mwenyewe!


      aaahaahhaaaa... The dude is right here.... Skamoo.

    19. #19
      Rejao's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 7,576
      Rep Power : 25363
      Likes Received
      2613
      Likes Given
      2409

      Default

      Quote By data View Post
      aaahaahhaaaa... The dude is right here.... Skamoo.
      Marhaba data!
      Hop your w.end is gud

    20. #20
      Rejao's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 7,576
      Rep Power : 25363
      Likes Received
      2613
      Likes Given
      2409

      Default

      Quote By Gagurito View Post
      Sijui ni nin kilitokea bt akaunt yangu ilifungwa kwa muda wa siku 90 kufuatia moja ya mchango wangu jukwaa la siasa, nakumbuka REJAO ndio chanzo cha yote. Katika kipindi chote hicho sikuwezajua nini kinaendelea humu jukwaani, najutia sana kutokuwepo. Napenda kuwapongeza kwa kuuanza mwaka salama, kwa kuendeleza kijiwe na upendo miongoni mwetu! Nimerudi kwa kasi ya ajabu sana. tupo pamoja sasa. Kwa wale rafiki zangu napenda mnisamehe kwa yaliyojitokeza!!
      Karibu tena. Pole sana kwa yaliyokusibu. Hav a nice w.end!

    21. #21
      Kapalampya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2010
      Location : IPOGORO
      Posts : 1,183
      Rep Power : 684
      Likes Received
      91
      Likes Given
      36

      Default Re: Nimerudi,Niliwamiss, Nawapenda sana!

      ban zimetawaliwa na gubu.

      Usirudie tena karibu tena!

    22. #22
      King'asti's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 7,240
      Rep Power : 6648
      Likes Received
      3803
      Likes Given
      1374

      Default

      Blaki Womani, hivi kaka yako ni Kloro, cookie, bishanga, rejao ama nani? Manake huyu wifi yako siku hizi,mhh!
      Quote By Blaki Womani View Post
      Helo wifi habari ya j2 msalimie brada.

      Gagu karibu nimekumiss pia.

    23. #23
      nitonye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2011
      Posts : 2,964
      Rep Power : 915
      Likes Received
      703
      Likes Given
      24

      Default

      Quote By King'asti View Post
      Blaki Womani, hivi kaka yako ni Kloro, cookie, bishanga, rejao ama nani? Manake huyu wifi yako siku hizi,mhh!
      Mimi ndie kaka yake halisi SL ni wifi yake, hujambo lakini. Mkuu G karibu tena ila sidhani kama unanifahamu mimi

    24. #24
      sweetlady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 8,385
      Rep Power : 4450
      Likes Received
      2537
      Likes Given
      934

      Default

      Quote By King'asti View Post
      Blaki Womani, hivi kaka yako ni Kloro, cookie, bishanga, rejao ama nani? Manake huyu wifi yako siku hizi,mhh!
      Uwiiiii mbavu zangu....lol. Mke mwenza ntake radhi kabla sijareport abuse!.

    25. #25
      sweetlady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 8,385
      Rep Power : 4450
      Likes Received
      2537
      Likes Given
      934

      Default

      Quote By Blaki Womani View Post
      Helo wifi habari ya j2 msalimie brada.

      Gagu karibu nimekumiss pia.
      J2 njema sana wifi angu... Mwaya usiwe unamsikiliza King'asti manake nimeona ana dalili za kutuchonganisha...

    26. #26
      Blaki Womani's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 2,562
      Rep Power : 20924
      Likes Received
      1243
      Likes Given
      803

      Default

      Quote By King'asti View Post
      Blaki Womani, hivi kaka yako ni Kloro, cookie, bishanga, rejao ama nani? Manake huyu wifi yako siku hizi,mhh!
      Wote kaka zangu ila wa tumbo ni Big Nitonye wa ukwee!!! Brada usisikilize maneno wachonganishi hao. Wifi mpendwa love u

    27. #27
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,006
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      643
      Likes Given
      671

      Default

      Quote By Rejao View Post
      Karibu tena. Pole sana kwa yaliyokusibu. Hav a nice w.end!
      I am back with a BANG! This tym n jino kwa jino, tunaanzia ARUMERU MASHARIKI lazima utoe mimacho!

    28. #28
      Blaki Womani's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Location : migombani
      Posts : 2,562
      Rep Power : 20924
      Likes Received
      1243
      Likes Given
      803

      Default

      Quote By sweetlady View Post
      J2 njema sana wifi angu... Mwaya usiwe unamsikiliza King'asti manake nimeona ana dalili za kutuchonganisha...
      Umeona!!!? Kuwataja wote hao anamaana gani uonekane. .........

    29. #29
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,006
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      643
      Likes Given
      671

      Default

      Quote By Blaki Womani View Post
      Wote kaka zangu ila wa tumbo ni Big Nitonye wa ukwee!!! Brada usisikilize maneno wachonganishi hao. Wifi mpendwa love u
      Kama Rejao n wifi yako hesabu KEKUNDU!

    30. #30
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,006
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      643
      Likes Given
      671

      Default

      Quote By nitonye View Post
      Mimi ndie kaka yake halisi SL ni wifi yake, hujambo lakini. Mkuu G karibu tena ila sidhani kama unanifahamu mimi
      Asante sana jembe, kwakua tayari ushampata dada yangu ujue ushanipata shemeji.

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...