Mkuu wa Wabeba na Wakimbiza Box, leo ningependa Uutaarifu umma wa wabeba Box sheria na procidure za kudili na mademu wa Kinugu,kwa upande wa wanaume wabeba box, na ma men wa kinugu kwa upande wa mademu wabeba box
Hii ni kutokana na visa tofauti tofauti wanavyokutana navyo wakimbiza box hasa wanapokuwa wanafanya nao dili za karatasi.
Kuwa na msimamo katika kile unachoamini ndio utu wako na kwa hivyo utakumbukwa
Kwahiyo nikikosa wa kuni'import' ndio basi tena nisahau gamba bila mzee wa kizungu? Kwanini unadhani sio rahisi wanaokutana huko huko kuona? Mi nilidhani wanaokuja wenyewe ndio wanafurahiwa zaidi maana hamna gharama za kumvuta huko.
wabeba maboksi wanaogopana - na gharama za kuoa/kuwa na mbeba maboksi mwenzako ni kubwa maana wote mnakuwa mmejanjaruka !
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon
Hii haina formula. Mnaweza mkawa mnafahamiana kabla au mmefahamiana huko huko majuu au mnaweza mkawa mmefahamiana hapa hapa JF.
That is only if you can handle it...if you can't handle it then I guess there will be some problems. But I've met some people who are able to handle it so I guess it is doable.
Ya kiJF JF nimeipenda zaidi . . Sasa sijui rais utanisaidia list ya wabeba box wako walioko hapa niangalie uwezekano. . . ?
Hhhm. . Kweli hiyo inahitaji moyo. Kama wewe ungekua bado hujaukwaa urais, na mtaani hupiti kwa amani alafu ukapata msichana ambae ana kazee kake ungeweza kuvumilia?
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon
wabeba maboksi wanaogopana - na gharama za kuoa/kuwa na mbeba maboksi mwenzako ni kubwa maana wote mnakuwa mmejanjaruka !
Sasa sindio fresh wote mkiwa mmenjaruka mnachangamka na mabox mpate nauli ya kuja bongo na doleri za kuosha mtaani badala ya mmoja kumtegemea mwenzake?
anyone can be a model, size doesn't matter ndio maana wapo mamodeli wa xxl
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon
Sasa sindio fresh wote mkiwa mmenjaruka mnachangamka na mabox mpate nauli ya kuja bongo na doleri za kuosha mtaani badala ya mmoja kumtegemea mwenzake?
unadhani mfumo dume, kama uchawi, hauvuki bahari ?
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon
Ya kiJF JF nimeipenda zaidi . . Sasa sijui rais utanisaidia list ya wabeba box wako walioko hapa niangalie uwezekano. . . ?
Ngoja ntacheki kwene database nione nani ni eligible bachelors.
Hhhm. . Kweli hiyo inahitaji moyo. Kama wewe ungekua bado hujaukwaa urais, na mtaani hupiti kwa amani alafu ukapata msichana ambae ana kazee kake ungeweza kuvumilia?
Hapana aisee. Unajua kuna kitu kinaitwa 'male ego'. My ego won't be able to handle that.
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon
wanaotumiwa ni wanawake kwenye mfumo dume - mchuchu mbeba boksi aliyejanjaruka ni balaa, waume zao wanalia na kusaga meno ndio maana wanaona ni afadhali waagize kabinti nyumbano ila si unajua tena mambo ya Professor Jay ft. Ferooz - Nikusaidiaje? - YouTube !
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon
Ntashukuru sana Mh. . .
Siku nikikwapua gamba mshahara wangu wa kwanza baada ya hapo nakugea.
tungo tata hiyo ati !
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon
wanaotumiwa ni wanawake kwenye mfumo dume - mchuchu mbeba boksi aliyejanjaruka ni balaa, waume zao wanalia na kusaga meno ndio maana wanaona ni afadhali waagize kabinti nyumbano ila si unajua tena mambo ya Professor Jay ft. Ferooz - Nikusaidiaje? - YouTube !
Hahahaha wanalia kwanini?
Alafu asante kwa kunikumbusha 'nikusaidiaje'. . . Hii inaonyesha kabisa kwamba mtu anaweza akalia either way!!
hahaa, hivi kwa nini lakini nn sr na uzalendo wake wote ule hakutani usome nasi pale kwa mujuhwahuzi/mndolwa?
"Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon
Follow Us Here