Nakofo mae/mbe
heri ya moka mpya
Nakofo mae/mbe
heri ya moka mpya
Last edited by Pdidy; 29th December 2011 at 10:14.
ulitaka wapende nini. hakuna mtu asiye penda pesa, ndio maana mtu anasoma kwa miaka mingi awe na elimu nzuri apate kazi nzuri, sababu haswa ni pesa. watu wanafanya biashara kwa bidii, wengine wanashindwa hata kulala, sababu haswa ni pesa. LAZIMA WAMACHAME WAPENDE PESA, WANAJUA KUITAFUTA. jamani HONGERENI SANA WANAWAKE WA KIMACHAME, siku nzote huwa nampongeza BABA YANGU KWA KUOA MMACHAME mimi ni mkibosho lakini nachukia sana kuitwa mkibosho, nawapenda sana wanawake wa kimachame wana bidii sana ya maisha, napenda kuitwa mmachame kuliko mkibosho. JAMANI NAWAPENDA SANA WANAWAKE WA KIMACHAME popote pale mlipo pokeeni HONGERA YANGU.
Ni asili yao! Mtu hawezi kubadili asili yake.
Sent from my BlackBerry 9300 using Jambo Adverts Tanzania Networks.
nimesoma hii post naghairisha ndoa jamani..
Fanya mchezo na wamachame wewe chezea wengine eboo.Wale kukukanumba sio ishu
hilo kutafuta fedha sawa,vipi kuhusi nyie kuua waume zenu ili mpate mali nao ni uchapakazi,alafu nasikia mnafundishwa kuua waume,ili ni lhlo wazi kwani wamachame wachache mliochangia hapa mnaoneka mna roho mbaya sana! Mtawafundisha hata watoto wenu kuua waume mkidai huo ndio utafutaji na uchapakazi mnaojisifia nao.wauaji nyie hamna lolote!
Sasa sie wenye watoto wa kiume tufanyeje wakileta wakwe wa kimachame??? Au tuanze kuwataharifu mapema makabila ya kuoa?
Kakangu alikuwa na girlfriend mmachame ukimcheki utasema nusu point. Mama alikuwa hampendi sikujua kwa nini maana nlikuwa mdogo. Si tulikuwa tunamwona poa tu tuliona kaka anatuletea mbegu yenye mvuto kwenye ukoo. Lakini walikuja achana kaka akajichukulia Binti wa Kikurya. Sasa nimeelewa kwa nini mama alikuwa hamtaki yule binti.
Proudly to be mmachame! Ninaenjoy kuona people zinamwaga mapovu hapa...machame, machame! I thnk tunaongoza kwa uzuri, hardworking, education na mengneyo! Huwezi linganisha mtoto aliezaliwa hospitali, akaishi nyumba ina umeme, kasoma amekalia dawati, anatembea kwenye lami toka mdogo...umfananishe na vyasaka...amezaliwa porini, hajawai ona umeme tangu azaliwe hajawai panda gari toka azaliwe! Kha! Machame wako na confidence sana, na they run Tanganyika na E.A kwa ujumla! Endeleeni ku2paisha tu jameni!
Follow Us Here