Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 48
    1. #1
      Mcheza Karate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Location : Brintire, Malawi
      Posts : 414
      Rep Power : 481
      Likes Received
      111
      Likes Given
      25

      Default Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Wadau, wakati nipo chuo nilikutana na mrembo mmoja tukiwa mwaka mmoja lakini vitivo tofauti, tukaanzisha uhusiano wa kimapenzi, tulipomaliza chuo mwaka jana tukawa tumepangwa vituo vya kazi ktk mikoa tofauti, lakini tukawa tunawasiliana huku kila mmoja wetu akimpa hope mwenziwe kuwa ndio wake wa maisha, lakini juzi nilimtaarifu kuwa naenda kwake(Iringa) ambako ndo kituo chake cha kazi kilipo, akanijibu kuwa ana safari hivyo nisije. Nikawa kichwa nazi nikaja jana, nikampigia simu akaja hapa hotelini nilipofikia, nikaanza kukagua simu yake ya mkononi ili nijiridhishe lakini nilikuta message za mapenzi kama za wanaume 6 tofauti huku message yangu hata moja hamna, zote kafuta. Nilipomuuliza kuhusu safari kajibu kuwa "pole sana kwa yote". Nimeshangaa zaidi jana alivyokuwa anarudi kwake jioni ile hakuthubutu hata kunikaribisha kwake, leo asubuhi kaja hapa chumbani(hotelini) asubuhi tangu saa 4 analia tu hadi muda huu huku hatoi hata neno moja kila nikimuuliza sababu ya kulia huku hata mimi akinitia woga, kajibu tu "sistahili kuwa hata mbwa wako, mi sikufai, pole kwa ukatili niliokufanyia". Je wadau huyu binti nimfanyeje? Na mimi nimependa?
      mpayukaji likes this.

    2. Miaka 50

    3. #21
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,558
      Rep Power : 943
      Likes Received
      677
      Likes Given
      131

      Default

      Quote By Judgement
      Sampuli ya wanawake wa hivyo husababisha ikufike siku ukawasha torch ya simu yako umulikie kuitafuta simu hiyohiyo uliyonayo mkononi ! Hafai msikitini ! Hafai kanisani.

      Hafai hata kwa ibilisi.

    4. #22
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Walimu mna matatzo.

    5. #23
      Doyi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th December 2011
      Posts : 238
      Rep Power : 505
      Likes Received
      38
      Likes Given
      14

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Mh mwana mbona hujui kuconnect scenes za movie?? Mkoa wenyewe huo IRINGA(ful baridi)+Mesej zako kufutwa kwenye simu yake+kukuta mesej za midume 6+hatak uwende anapoish+kujiliza na kusema hafai kwako+penz la mbali= ???.Hebu fanyafanya editing hzo scenes mie natayarisha mabango tuirushe.Hyo itakuwa bonge 1 la muvi kaka 2takoka kimaisha.Kuwa editor mzur co lazma usomee ni kujaribu kuwa m2ndu na kujua kupangilia hzo scenes mwisho wa cku muvi itasomeka.kama bdo hujaelewa utakuwa una matatzo kwny brain yako na unastahili kwenda dodoma kwenye ukumbi mdogo wa bunge a.k.a milem**

    6. #24
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1745
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Mapenzi kizungumkuti.
      Doyi likes this.

    7. #25
      Salanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Location : La Perla del Sur
      Posts : 374
      Rep Power : 505
      Likes Received
      39
      Likes Given
      4

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Wewe umeelewa kabisa kinachoendedelea lakini kwa sababu unampenda huamini kuwa si wako tena.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Msarendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2011
      Location : Rich Forever.
      Posts : 2,526
      Rep Power : 926
      Likes Received
      322
      Likes Given
      7

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Kama umeshindwa kumsoma, basi jaribu kumchora.

    10. #27
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Sijui hata niseme nini!Ah kumbe nimeshasema!Haya mambo ya wanawake bana aaaargghhhh!!

    11. #28
      Optimistic Soul's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 205
      Rep Power : 475
      Likes Received
      14
      Likes Given
      75

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      If u walk with a gun just pull that trigger!

    12. #29
      ejogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2009
      Posts : 974
      Rep Power : 677
      Likes Received
      58
      Likes Given
      50

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Iringa kumekucha siku hizi! Wadau watakuwa wameshaweka zygote tayari! Pole sana!

    13. Kbd
      #30
      Kbd's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2009
      Posts : 942
      Rep Power : 677
      Likes Received
      294
      Likes Given
      135

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Jamani mi nimepita tu kuwasalimu na kuwatakia sikukuu njema.

    14. #31
      Dr.Chichi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Location : Arusha
      Posts : 1,624
      Rep Power : 888
      Likes Received
      279
      Likes Given
      6

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      aisee hapa hata kipofu anaona

    15. #32
      Bob Lee Swagger's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 707
      Rep Power : 524
      Likes Received
      242
      Likes Given
      321

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Quote By Senetor
      Walimu mna matatzo.
      hahahah, mi mwenyewe nlikuwa nawaza kuwa lazima atakuwa ni mwalimu huyo! kumbe tuliowaza hilo tuko wengi! ahahahah!

    16. #33
      denim kagaika's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 229
      Rep Power : 637
      Likes Received
      27
      Likes Given
      11

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Huyo Mwalimu anawafundisha wanaume wengine twisheni bila wewe kujua..

    17. #34
      Mcheza Karate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Location : Brintire, Malawi
      Posts : 414
      Rep Power : 481
      Likes Received
      111
      Likes Given
      25

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Nashukuru kwa mchango wen japo wengine wamekejeli taaluma za wahusika sio mbaya sana, ni mawazo na mtazamo wao. Ahsanteni sana wadau! Sikukuu njema! Bwana awatie nguvu!!

    18. #35
      fabinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th August 2011
      Posts : 1,814
      Rep Power : 817
      Likes Received
      353
      Likes Given
      278

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      kama amekuambia hafai hata kuwa mbwa wako,kwanini unataka kulzaimisha kuwa mfaga mbwa wake?tafuta mbwa mwingine,huyo hafai usikute anangoma.ohh

    19. #36
      Davis julius's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Posts : 9
      Rep Power : 377
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By THK DJAYZZ
      Kama umeshindwa kumsoma jaribu kumuandika.
      dats t kjana kama kashndwa kumsoma z btr amuandike'

    20. #37
      DOOKY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2011
      Posts : 305
      Rep Power : 740
      Likes Received
      33
      Likes Given
      3

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      Quote By Mcheza karate
      Wadau, wakati nipo chuo nilikutana na mrembo mmoja tukiwa mwaka mmoja lakini vitivo tofauti, tukaanzisha uhusiano wa kimapenzi, tulipomaliza chuo mwaka jana tukawa tumepangwa vituo vya kazi ktk mikoa tofauti, lakini tukawa tunawasiliana huku kila mmoja wetu akimpa hope mwenziwe kuwa ndio wake wa maisha, lakini juzi nilimtaarifu kuwa naenda kwake(Iringa) ambako ndo kituo chake cha kazi kilipo, akanijibu kuwa ana safari hivyo nisije. Nikawa kichwa nazi nikaja jana, nikampigia simu akaja hapa hotelini nilipofikia, nikaanza kukagua simu yake ya mkononi ili nijiridhishe lakini nilikuta message za mapenzi kama za wanaume 6 tofauti huku message yangu hata moja hamna, zote kafuta. Nilipomuuliza kuhusu safari kajibu kuwa "pole sana kwa yote". Nimeshangaa zaidi jana alivyokuwa anarudi kwake jioni ile hakuthubutu hata kunikaribisha kwake, leo asubuhi kaja hapa chumbani(hotelini) asubuhi tangu saa 4 analia tu hadi muda huu huku hatoi hata neno moja kila nikimuuliza sababu ya kulia huku hata mimi akinitia woga, kajibu tu "sistahili kuwa hata mbwa wako, mi sikufai, pole kwa ukatili niliokufanyia". Je wadau huyu binti nimfanyeje? Na mimi nimependa?
      Achana naye unauliza nini tena?

    21. #38
      Miss High's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd September 2011
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      luv her back...mara ngapi Mzunguu amekusamehe

    22. #39
      AMINATA 9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2011
      Posts : 2,134
      Rep Power : 3600
      Likes Received
      619
      Likes Given
      1150

      Default Re: Nimeshindwa kumsoma!!!!!

      mwache aende zake asije kukuletea maradhi ndani ya house bure
      don't hunt what you can't kill



    23. #40
      Mcheza Karate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Location : Brintire, Malawi
      Posts : 414
      Rep Power : 481
      Likes Received
      111
      Likes Given
      25

      Default

      Quote By AMINATA 9
      mwache aende zake asije kukuletea maradhi ndani ya house bure
      hakika! I did that.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...