Anauza duka la vifaa vya Kompyuta maeneo ya posta, nilienda kununua External Hard-disk. Wakati ananipatia akaniminya kidogo kiganja cha mkono wangu
Nilisisimka si mchezo, Halafu yule mh... maana umbo lake si flat kama wahindi wengi tunaowaona Bongo. Sijui nianzie wapi maana zoezi la kwanza lilikuwa kumuondoa mawazoni imeshindikana........
Yule akicheka kuna vishimo vile kwenye mashavu sijui vinaitwaje............ Ni mpole hana dharau. Yaani haki ya Mungu nampenda yule dada. Nakosa raha maana naona ni kina kirefu sijui kama nitaweza kupiga mbizi
Jamani mwenye mistari ya kuingilia kwa Muhindi niko tayari hata kumlipa.
Kumbe nia yako pia ni kujua kihindi. Zama mwanamgu halafu mpe hizi: Kura suche Gazeti! (Huku unatingisha kishwa kama Dr. Patel) = mimi naitwa Gazeti
Para naum suche? = unaitwa nani?
Anaweza jibu: Suche Krishna = naitwa Krishna
Kisha mwambie: Barabara, kayne gud suchian = Safi, jina zuri sana
Mwongeze (huku unatabasamu): gamu che suchian satra galu gamuache' = nimependa jina lako kama navyokupenda wewe mwenyewe
Sasa usije ukabugi ukaongea kwa nguvu babaake akakusikia, manake jambo la kwanza ataona ulishawahi kuwa mfanyakazi wa ndani kwa wahindi (Juma) kwa hiyo atapata sbb zaidi za kuhakikisha hufanikiwi
10. Marrying a blond is a sin. Making love to a blond is a partial sin.
9. Pre-marital sex is a sin. Marital sex is a partial sin.
8. Taking dowry is a sin. Giving dowry is a partial sin.
7. Bullying one's wife is a sin. Having to submit is a partial sin.
6. Gambling is a sin. Playing cards is a partial sin.
5. Drinking is a sin. Smoking is a partial sin.
4. Eating beef is a sin. Eating pork is a partial sin.
3. Hurting a cow is a sin. Hurting insects is a partial sin.
2. Not phoning home is a sin. Running up a huge bill is a partial sin.
1. Forgetting first language is a sin. Speaking with an accent is a partial sin.
You may succeed in silencing me but that silence comes at a price-Alex litvinenko
gazeti kwanza hebu tuambie una miaka mingapi na unamvuto na je una uwezo
Nina miaka ya lawama, yaani haijaenda sana lakini ni ile ambayo
watu wanakulaumu kwanini mpaka leo hujaoa. Dah lawama za kunitaka
nioe zimezidi na niliyemuona ni huyo. OVER
mimi tatizo langu ni sisi wanaume wa kiafrika
ukimpata mwanamke wa kihindi au kiarabu....uko tayari kufanya lolote
kumfurahisha......kuliko mwanamke mswahili mwenzio.....
uko tayari kutumia pesa nyiingi na kumdekeza kila aina
lakini mwanamke wa kiswahili utashindana nae hata matunzo ya watoto.....
tunathamini rangi zingine kuliko tunavyojithamini sisi wenyewe....upumbavu saana huu
Kwanini mtu akimpenda mwanamke wa rangi tofauti basi andharau weusi?
It's just love bro!!
Gazeti, kamwambie jinsi unavyofeel ukimwona, just be open kama yeye hakufeel mpe uhuru wa kukwambia.
We ain't getting no younger!!..... we mpe laiv tu.
mkuu sitaki kutoa hitimisho kama wewe ni mgonjwa au la,ninachotaka kusema ni vyema ukamuona daktari.hata wenye ugonjwa huu huwa hawakubali kama wanaumwa.
mimi tatizo langu ni sisi wanaume wa kiafrika
ukimpata mwanamke wa kihindi au kiarabu....uko tayari kufanya lolote
kumfurahisha......kuliko mwanamke mswahili mwenzio.....
uko tayari kutumia pesa nyiingi na kumdekeza kila aina
lakini mwanamke wa kiswahili utashindana nae hata matunzo ya watoto.....
tunathamini rangi zingine kuliko tunavyojithamini sisi wenyewe....upumbavu saana huu
Ni upumbavu saaana! Tena saana. Ubaya unakuja ni upumbavu amba huja bila hata mhusika kujua kua ni Upumbavu anafanya. Ipo kama involuntary vile... Mie naamini pamoja na kusema wanaume woooote wanataka mwanamke alo bora katika kila sector hasa tabia kinachofunika kuliko choote ni uzuri/urembo wa huyo mwanamke. Me ni mweusi but I acknowledge the fact kua wadada walo weupe mara nyingi wanakua na mvuto flani wa zaidi, na mara nyingi huonekana kama wazuri zaidi. (hapa nikiweka propaganda pembeni za kusema beauty in the eyes of beholder)
Hio in one way or another inakua fueld saana na hio tabia yenu wanaume wa kusifiana fulani ana demu mkali! Na tukifuata reality (hasa kwa watu wa mtoko) guys wakikutana na guys wenzao na kila mmoja alete galfriend wake - kuna ile silent actions za kupima nani ana mwanamke mkali zaidi/nani mwanamke wake viwango/Mwanamke wa nani anafanya washikaji wamwangalie kwa kuibia kila mara walau kula kwa macho? Hio inapelekea mwanaume anapokua na mwanamke wa rangi ashoboke na by all means kummaintain ili hata wakiachana na the woman in question isiwe kwa vigezo vya kuonekana kashindwa mhandle... Hua mara nyingi ni involuntary....
Gazeti napenda nikuambie kua kajaribu bahati yako.... But wahindi bana ni moja ya race kujichanganya kazi ipo. Saana saana waweza jitahidi utoke nae (in case kakupenda) But mtaishia hapo tu - thou nishakusoma maybe it's the only thing you want, basing on the kusisimka part....
Kwa upande mwingine mpaka kagugusa (which i bliv was not neccesssary) ukute nae kakuzimia bana kashindwa tu kusema....
Follow Us Here