Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pocket money kwa mke

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 43
    1. #1
      Penny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Posts : 563
      Rep Power : 659
      Likes Received
      4
      Likes Given
      11

      Default Pocket money kwa mke

      Leo nimekuja na ombi lingine. Hivi mwanamke (mama wa nyumbani)anastahili au hastahili kupewa pocket money ya kujinunulia vitu vyake vidogo mpaka aviorodheshe kwenye list ya vitu vya mwisho wa mwezi! Kwa kweli hili jambo linanishangaza sana kwa huyu bwana maana kupewa hio pesa ni mpaka uiombe kwa nguvu sana ikibidi na ugomvi juu yake. Sasa mume asimpompa mke pesa ategemee akapate wapi! ukiuliza kwa nini hakupi hiyo pocket money kila mwezi anakaa kimya tuu, ukimuuliza haujui kwamba anatakiwa kufanya hivyo anasema anajua. Sasa jamani mtu kama huyu aelewekeje! naombeni msaada tafadhali.

    2. Miaka 50

    3. #21
      Bonnie1974's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th March 2008
      Posts : 406
      Rep Power : 652
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Penny
      Leo nimekuja na ombi lingine. Hivi mwanamke (mama wa nyumbani)anastahili au hastahili kupewa pocket money ya kujinunulia vitu vyake vidogo mpaka aviorodheshe kwenye list ya vitu vya mwisho wa mwezi! Kwa kweli hili jambo linanishangaza sana kwa huyu bwana maana kupewa hio pesa ni mpaka uiombe kwa nguvu sana ikibidi na ugomvi juu yake. Sasa mume asimpompa mke pesa ategemee akapate wapi! ukiuliza kwa nini hakupi hiyo pocket money kila mwezi anakaa kimya tuu, ukimuuliza haujui kwamba anatakiwa kufanya hivyo anasema anajua. Sasa jamani mtu kama huyu aelewekeje! naombeni msaada tafadhali.
      Hi
      Model ni ileile, haijalishi upo ughaibuni au TZ.Wenzio huku wanaongeza gharama za matumizi ya kila siku kwenye ile hela inayoachwa nyumbani kama matumizi ya siku.
      Sitisha mpango wa kukopa fedha kutoka kwa mama yako.
      Maliza masomo, tafuta kazi ukimshirikisha mwenzangu.
      ‘Pride goes before fall and fools rush where angels fear to tread’.

    4. #22
      Penny's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2008
      Posts : 563
      Rep Power : 659
      Likes Received
      4
      Likes Given
      11

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Bonnie1974
      Hi
      Model ni ileile, haijalishi upo ughaibuni au TZ.Wenzio huku wanaongeza gharama za matumizi ya kila siku kwenye ile hela inayoachwa nyumbani kama matumizi ya siku.
      Sitisha mpango wa kukopa fedha kutoka kwa mama yako.
      Maliza masomo, tafuta kazi ukimshirikisha mwenzangu.
      Thank for your comment but umekuwa tata sana katika ideas zako not reachabled.

    5. Mbu
      #23
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9992
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Leo nimekuja na ombi lingine. Hivi mwanamke (mama wa nyumbani)anastahili au hastahili kupewa pocket money ya kujinunulia vitu vyake vidogo mpaka aviorodheshe kwenye list ya vitu vya mwisho wa mwezi! Kwa kweli hili jambo linanishangaza sana kwa huyu bwana maana kupewa hio pesa ni mpaka uiombe kwa nguvu sana ikibidi na ugomvi juu yake. Sasa mume asimpompa mke pesa ategemee akapate wapi! ukiuliza kwa nini hakupi hiyo pocket money kila mwezi anakaa kimya tuu, ukimuuliza haujui kwamba anatakiwa kufanya hivyo anasema anajua. Sasa jamani mtu kama huyu aelewekeje! naombeni msaada tafadhali.
      ...wanaobisha na wabishe tu, tangu kiumbe mwanaume aanze baleghe, pesa yake ni halali ya mwanamke!

      ...pesa ya kuhonga, pesa ya mahari, pesa ya kumlisha na kumvisha mke, ...mpaka pesa unayoacha ukifa ni halali ya mkeo!

      ...Ooops, hata ukimuacha mkeo kuna fungu unalazimika kumfidia, au kuendelea kutoa child support!

      hiyo ni 'laana' ya milele, haina mbadala
      Mwali likes this.
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    6. #24
      Join Date : 3rd September 2008
      Posts : 563
      Rep Power : 659
      Likes Received
      4
      Likes Given
      11

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Mchongoma
      ...wanaobisha na wabishe tu, tangu kiumbe mwanaume aanze baleghe, pesa yake ni halali ya mwanamke!

      ...pesa ya kuhonga, pesa ya mahari, pesa ya kumlisha na kumvisha mke, ...mpaka pesa unayoacha ukifa ni halali ya mkeo!

      ...Ooops, hata ukimuacha mkeo kuna fungu unalazimika kumfidia, au kuendelea kutoa child support!

      hiyo ni 'laana' ya milele, haina mbadala
      Thanks my dear for your good comments, be blessed for telling the reality.

    7. #25
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,201
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4197
      Likes Given
      638

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Bora uombe hela uuze hata karanga za kuchoma kuliko kila siku unaomba pocket money.

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,194
      Rep Power : 41584
      Likes Received
      6096
      Likes Given
      1065

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Penny
      Leo nimekuja na ombi lingine. Hivi mwanamke (mama wa nyumbani)anastahili au hastahili kupewa pocket money ya kujinunulia vitu vyake vidogo mpaka aviorodheshe kwenye list ya vitu vya mwisho wa mwezi! Kwa kweli hili jambo linanishangaza sana kwa huyu bwana maana kupewa hio pesa ni mpaka uiombe kwa nguvu sana ikibidi na ugomvi juu yake. Sasa mume asimpompa mke pesa ategemee akapate wapi! ukiuliza kwa nini hakupi hiyo pocket money kila mwezi anakaa kimya tuu, ukimuuliza haujui kwamba anatakiwa kufanya hivyo anasema anajua. Sasa jamani mtu kama huyu aelewekeje! naombeni msaada tafadhali.
      Mlivyooana mmepatanaje? Au mmechukuana tu bila kuagana?

      Kwa nini mwanamke apewe hela na mwanamme? Mwanamke huyu ni mtoto wa mwanamme?

      Wanawake wanapinga sana "mfumodume" na ukandamizwaji kutoka kwa wanaume. Kwa msingi wa kuangalia wanawake kama hawa mtu akisema wanawake wanajikandamiza wenyewe kwa kukubali ukiwa na u-ombaomba mtamkatalia?
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    10. #27
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,914
      Rep Power : 26891
      Likes Received
      4401
      Likes Given
      4683

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Kiranga
      Mlivyooana mmepatanaje? Au mmechukuana tu bila kuagana?

      Kwa nini mwanamke apewe hela na mwanamme? Mwanamke huyu ni mtoto wa mwanamme?

      Wanawake wanapinga sana "mfumodume" na ukandamizwaji kutoka kwa wanaume. Kwa msingi wa kuangalia wanawake kama hawa mtu akisema wanawake wanajikandamiza wenyewe kwa kukubali ukiwa na u-ombaomba mtamkatalia?
      Kiranga, ni suala la kujichagulia. Hakuna formula moja kwa wanawake wote. Penny kaamua kumtegemea mumewe kwa kupata hela ya matumizi madogo magogo na makubwa makubwa, na kama mume wake amesema anajua hivo basi ni haki yake, na wala sio masuala ya mfumo dume.
      Ingekua Penny anataka kufanya kazi and earn her own penny, ila amekatazwa na mume wake, hapo ni tofauti.
      Creativity is the sudden cessation of stupidity.
      Edwin H. Land

    11. #28
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,194
      Rep Power : 41584
      Likes Received
      6096
      Likes Given
      1065

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Mwali
      Kiranga, ni suala la kujichagulia. Hakuna formula moja kwa wanawake wote. Penny kaamua kumtegemea mumewe kwa kupata hela ya matumizi madogo magogo na makubwa makubwa, na kama mume wake amesema anajua hivo basi ni haki yake, na wala sio masuala ya mfumo dume.
      Ingekua Penny anataka kufanya kazi and earn her own penny, ila amekatazwa na mume wake, hapo ni tofauti.
      Naelewa ni suala la kujichagulia. Ndiyo maana kitu cha kwanza kabisa nilichoandika nimeuliza makubaliano yao yalikuwaje? Maana inawezekana walikubaliana mama atakaa nyumbani huku akipewa pocket money, baadaye mambo yanageuka. Hapa mama anaweza kuwa na swala.

      Lakini hata kama wamejichagulia hivyo, sehemu ya pili ya post yangu bado ina apply. Ukishakubali kufadhiliwa na mtu unakubali kuwa chini yake.

      Na mwanamke hawezi kukubali kufadhiliwa halafu hapo hapo akapiga mbiu ya usawa wa wanawake na wanaume.
      Mwali likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    12. #29
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,914
      Rep Power : 26891
      Likes Received
      4401
      Likes Given
      4683

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Kiranga
      Naelewa ni suala la kujichagulia. Ndiyo maana kitu cha kwanza kabisa nilichoandika nimeuliza makubaliano yao yalikuwaje? Maana inawezekana walikubaliana mama atakaa nyumbani huku akipewa pocket money, baadaye mambo yanageuka. Hapa mama anaweza kuwa na swala.

      Lakini hata kama wamejichagulia hivyo, sehemu ya pili ya post yangu bado ina apply. Ukishakubali kufadhiliwa na mtu unakubali kuwa chini yake.

      Na mwanamke hawezi kukubali kufadhiliwa halafu hapo hapo akapiga mbiu ya usawa wa wanawake na wanaume.
      Labda na yeye anamfadhili katika mambo mengine?
      Unajua mwanamke hata akifanya kazi na kujitegemea kifedha bado kuna kazi nyingi za ndani zinamsubiri. na hata wakiamua kugawana kazi za ndani kuna kazi ambazo mother nature alimpa mwanamke na hizo atazifanya tu. Linapo kuja swali la kugawana benefits za ndoa unakuta arrangement zingine zinachukua hiyo contribution in kind na zina balance na financial contribution ya mume. hivo hizo hela anazo pewa hapewi kama zawadi, anapewa sababu asinge weza kujitafutia mwenyewe kwakua alitakiwa kufanya kazi za ndani. so it is fair, it is not charity.
      Creativity is the sudden cessation of stupidity.
      Edwin H. Land

    13. #30
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,194
      Rep Power : 41584
      Likes Received
      6096
      Likes Given
      1065

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Mwali
      Labda na yeye anamfadhili katika mambo mengine?
      Unajua mwanamke hata akifanya kazi na kujitegemea kifedha bado kuna kazi nyingi za ndani zinamsubiri. na hata wakiamua kugawana kazi za ndani kuna kazi ambazo mother nature alimpa mwanamke na hizo atazifanya tu. Linapo kuja swali la kugawana benefits za ndoa unakuta arrangement zingine zinachukua hiyo contribution in kind na zina balance na financial contribution ya mume. hivo hizo hela anazo pewa hapewi kama zawadi, anapewa sababu asinge weza kujitafutia mwenyewe kwakua alitakiwa kufanya kazi za ndani. so it is fair, it is not charity.
      Sasa kama ni hivyo kwa nini anaomba wakati ni biashara?
      Mwali likes this.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    14. #31
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,265
      Rep Power : 36771
      Likes Received
      9633
      Likes Given
      687

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Dah! Shem wangu wa ukwe'ee aka Penny...sijui kapotelea wapi tu!

      We had a blast way back when!
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    15. #32
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,265
      Rep Power : 36771
      Likes Received
      9633
      Likes Given
      687

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Mwali
      Kiranga, ni suala la kujichagulia. Hakuna formula moja kwa wanawake wote. Penny kaamua kumtegemea mumewe kwa kupata hela ya matumizi madogo magogo na makubwa makubwa, na kama mume wake amesema anajua hivo basi ni haki yake, na wala sio masuala ya mfumo dume.
      Ingekua Penny anataka kufanya kazi and earn her own penny, ila amekatazwa na mume wake, hapo ni tofauti.
      Mngejua kipindi kile shem wangu alikuwa wapi ndo mngeelewa where she was coming from.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    16. #33
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,914
      Rep Power : 26891
      Likes Received
      4401
      Likes Given
      4683

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Kiranga
      Sasa kama ni hivyo kwa nini anaomba wakati ni biashara?
      Sio biashara, ni revenue and task distribution within the household
      Creativity is the sudden cessation of stupidity.
      Edwin H. Land

    17. #34
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,914
      Rep Power : 26891
      Likes Received
      4401
      Likes Given
      4683

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Nyani Ngabu
      Mngejua kipindi kile shem wangu alikuwa wapi ndo mngeelewa where she was coming from.
      Kumbe kuna elements zingine hatuna?
      Creativity is the sudden cessation of stupidity.
      Edwin H. Land

    18. #35
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,265
      Rep Power : 36771
      Likes Received
      9633
      Likes Given
      687

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Mwali
      Kumbe kuna elements zingine hatuna?
      Oh yeah...kuna mengi nyuma ya pazia. My shem was going through a lot back then...far away from home.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    19. #36
      MADAM T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 1,061
      Rep Power : 648
      Likes Received
      108
      Likes Given
      132

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Tunastahili kupewa bwana...huyo naye kwanini yuko hivyo, haogopi unaweza kupewa hiyo pocket money na mtu mwingine...huyo hafikirii mbali kabisaaa...yaani anazo halafu anakubania!

    20. #37
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,909
      Rep Power : 6889
      Likes Received
      2734
      Likes Given
      34

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Mwanamke anastahili sana kupewa hela ya matumizi bila yeye mwenyewe kuomba.Mume yoyote anaejitambua anajua jukumu hili!

    21. #38
      fazaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2009
      Posts : 2,985
      Rep Power : 1107
      Likes Received
      971
      Likes Given
      770

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Kabisa kabisa lazima apewe pocket money sio pocket money tu alipwe mshahara.

      Mwanaume anapo owa lazima ajuwe kuoa sio kusex na kuzaaisha tu peke yake, ni kumhudumia mke wake pia...na akimpa mshahara mke wake 1/4 anazo pata sio mbaya kabisa.

    22. #39
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,194
      Rep Power : 41584
      Likes Received
      6096
      Likes Given
      1065

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Mwali
      Sio biashara, ni revenue and task distribution within the household
      Hata ukienda dukani kuna revenue na task distribution vile vile.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    23. #40
      Mwali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2011
      Location : Ushongo Mabaoni
      Posts : 5,914
      Rep Power : 26891
      Likes Received
      4401
      Likes Given
      4683

      Default Re: Pocket money kwa mke

      Quote By Kiranga
      Hata ukienda dukani kuna revenue na task distribution vile vile.
      Any relationship is a contract, na inakuja na distribution of inputs, outputs, and outcomes. It doesn't mean kua ni biashara. Makubaliano kkati ya wahusika (acknowledged or tacit) ni part of the contract pia. Sasa kama Penny na mume wake walikubali wote kua pocket money ni muhimu (and I am assuming that it i not a salary but a distribution of income within the household) basi kosa la jamaa ni kosa la kutowajibika, na all this has nothing to do with mfumo dume.
      Nyani Ngabu likes this.
      Creativity is the sudden cessation of stupidity.
      Edwin H. Land

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    Similar Topics

    1. More money,more......
      By NEW NOEL in forum Business & Economic Forum
      Replies: 0
      Last Post: 6th October 2011, 01:11
    2. Merlin Pocket Projector Pro for sale
      By OGOPASANA in forum Business & Economic Forum
      Replies: 0
      Last Post: 18th August 2011, 11:22
    3. Because of money.
      By Bubu Msemaovyo in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 3
      Last Post: 19th May 2008, 16:36
    4. I wonder if she is into him or his money???
      By Game Theory in forum Entertainment
      Replies: 1
      Last Post: 28th April 2008, 21:31
    5. Replies: 1
      Last Post: 18th February 2008, 13:27

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...