Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 44
    1. #1
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,516
      Rep Power : 1712
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1917

      Default Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Ndiyo, si mliamua tu kulea mimba zetu-mngeamua kuzitoa nani angewazuia.

      Eeeeeeee! Hata tukiwaudhi mnatupikia chakula na kukitenga mezani, tukirudi home tunakula, mkiamua kuweka sumu si wote tutakwisha.

      Isitoshe hata, mkisalitiwa bado mnaendelea kutoa 'huduma' baada ya kutusamehe kwa dhati-kama mngeamua kulipa kisasi si wanaume wengi tungekuwa tuna lea watoto wasio wetu.

      Umeona eeee! Mnakaa na wanaume wengi na kuwatunzia siri zao za ujambazi na maovu mengine ya duniani-unadhani mwanaume gani angetamba kama nyinyi mkiamua kutoa hizo siri!

      Bisha sasa! Kwamba kina mwanaume aliyefanikiwa maishani kwa kiasi kikubwa basi ni nyie wanawake ndiyo mmechangia hayo maendeleo yao.

      Ushagundua? Kwamba mwanaume hata awe na mali vipi kwamba kama hajaoa hapati heshima sawa na mwanaume aliyeoa ikimaanisha kwamba mwanamke ndiye anakamilisha heshima ya mwanaume.

      Aiseee! Kumbe wa norway waliwatumia wanawake kuwalaghai wanaume wa kikoloni kufanya nao mapenzi then wakawa wanawawekea sumu mpaka wakamaliza kizazi cha wanaume wabaya wa kikoloni, na ndiyo maana ukimpiga mwanamke kama ni mgeni serikali inakukatia tiketi ya ndege na kuku deport immediately-serikali inawaheshimu sana ladies.

      Kumbeeee! Mwanaume ukitaka alianzishe against you hata kama ni kimbaumbau we mtukanie mamake, ndo utamjua yeye ni nani-kwamba binadamu wote tunawapenda sana mama zetu zaidi kuliko madingi

      Duuuuuuuuuuuu! Aisee mbele ya mwanamke yaani mwanaume hata awe jasiri vipi anaweza kutoa siri zake zote-Kumbukia stori ya Samson na Delilah.

      Mazeeeeeee! Kuna mijanaume imeshawahi kuahirisha safari kisa eti ni kwa sababu ya demu tu-big up sana wanawake!

      Jamani mengine ongezeeni, hayo ni yangu machache kwa leo!
      “If you can not get what you love, then love what you have”


    2. #2
      AMINATA 9's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2011
      Posts : 2,134
      Rep Power : 3604
      Likes Received
      620
      Likes Given
      1150

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      u tell me loh!
      Mtambuzi likes this.
      don't hunt what you can't kill



    3. #3
      Washawasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : jo'burg
      Posts : 4,004
      Rep Power : 1459
      Likes Received
      456
      Likes Given
      891

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      hongereni wanawake kwa kututunzia siri zetu. Nalog off
      Masikini_Jeuri likes this.

    4. #4
      mzabzab's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 4,468
      Rep Power : 1352
      Likes Received
      1512
      Likes Given
      269

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      mhm.....i respect women as life givers and as mothers but very weary of them as life partners!!!!
      Masikini_Jeuri likes this.
      when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!!

      whom the gods seek to destroy first call promising

    5. #5
      mafiakisiwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Location : Kilindoni
      Posts : 363
      Rep Power : 494
      Likes Received
      29
      Likes Given
      84

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      wanawake ni wazuri pia ni wabaya kupita maelezo


    6. #6
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 12,385
      Rep Power : 5159
      Likes Received
      3342
      Likes Given
      2738

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Wasifie tu ujawajua vizuri,tembea uone

    7. #7
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,523
      Rep Power : 37788
      Likes Received
      4939
      Likes Given
      2343

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Ndyoko we ni jinsia gani?
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    8. #8
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,182
      Rep Power : 27036
      Likes Received
      8457
      Likes Given
      17777

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Leo umefikiri nje ya Box........................... !
      Mbu likes this.

    9. #9
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,341
      Rep Power : 13772
      Likes Received
      5164
      Likes Given
      4565

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Kusema ukweli as frm last week, nina perception tofauti sana ya wanawake! Mwanamke ni wa kuogopa. Si bure mlivyoamriwa kuwa muishi nao kwa akili

    10. #10
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,182
      Rep Power : 27036
      Likes Received
      8457
      Likes Given
      17777

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Quote By AMINATA 9 View Post
      u tell me loh!
      Uzi kama huu mlitakiwa muushadadie japo kwa kusema "Hallo hallooo............" lakini mko kimya matokeo yake mnawaacha baadhi ya wanaume wanauvunja vunja, na kumfanya Ndyoko aonekane kama vile anawa-tweza.
      Zinduna likes this.

    11. #11
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,516
      Rep Power : 1712
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1917

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Quote By Mtambuzi View Post
      Leo umefikiri nje ya Box........................... !
      Hebu fafanua hapa, vinginevyo Nitake radhi, maana baada ya kusoma hapa nimeanza kuhisi kizunguzungu!
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    12. #12
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,182
      Rep Power : 27036
      Likes Received
      8457
      Likes Given
      17777

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Quote By MwanajamiiOne View Post
      Kusema ukweli as frm last week, nina perception tofauti sana ya wanawake! Mwanamke ni wa kuogopa. Si bure mlivyoamriwa kuwa muishi nao kwa akili
      Na ndio maana Ndyoko kawasemea......mmezidi kukaa kimya mno!

    13. #13
      Mtambuzi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 29th October 2008
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 6,182
      Rep Power : 27036
      Likes Received
      8457
      Likes Given
      17777

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Quote By ndyoko View Post
      Hebu fafanua hapa, vinginevyo Nitake radhi, maana baada ya kusoma hapa nimeanza kuhisi kizunguzungu!
      Wewe pata tu kizunguzungu, wala huntishi, kwani ni mara ngapi nimeona nyuzi zako zimekaa kimazoea!? leo umeacha kufikiri kimazoea na umetoka nje ya box na ndio maana umeweka huu uzi uliosheheni hekima........... lol

    14. #14
      Nwaigwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Posts : 148
      Rep Power : 535
      Likes Received
      17
      Likes Given
      18

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Na ni MAUA kama WARIDI uyaonapo uhai ukujia tena. Bila sisi wanawake wanaume mngeuana ovyo, maana ni kwa kupitia sauti zetu za upole na mioyo yetu ya huruma AMANI inakuwepo duniani. Ni kwasababu ya wanawake , wanaume wanaitafuta hiyo pesa. Nguvu aliyonayo mwanamke ni kubwa kuliko MISULI ya mwanaume imejifumbata huioni kwa macho.Japo wanatuita viumbe dhaifu lakini wanakili moyoni POWER kubwa tuliyo pewa.Nashukuru Mungu kwa kuzaliwa nilivyo
      Masikini_Jeuri and Zinduna like this.

    15. #15
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,241
      Rep Power : 24920
      Likes Received
      4214
      Likes Given
      686

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Post yako imenifariji.
      Mtambuzi likes this.

    16. #16
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,961
      Rep Power : 6904
      Likes Received
      2747
      Likes Given
      36

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Kwani nani amekuambia kulea familia ni hisani?Hilo ni jukumu lake,hata kumhudumia mumewe sio hisani ile ni majukumu yake,huo ndio ukweli wa mambo!

    17. #17
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,516
      Rep Power : 1712
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1917

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Quote By Mtambuzi View Post
      Wewe pata tu kizunguzungu, wala huntishi, kwani ni mara ngapi nimeona nyuzi zako zimekaa kimazoea!? leo umeacha kufikiri kimazoea na umetoka nje ya box na ndio maana umeweka huu uzi uliosheheni hekima........... lol
      I salute you bro.........raha ya 'utoto' ni kwamba yuo are always surrounded by adults from whom you learn alot!...........
      Mtambuzi likes this.
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    18. #18
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,523
      Rep Power : 37788
      Likes Received
      4939
      Likes Given
      2343

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Quote By Husninyo View Post
      Post yako imenifariji.
      Bila shaka ulishafikia hatua ya kuchanganya sumu na pilau!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    19. #19
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,516
      Rep Power : 1712
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1917

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Quote By Husninyo View Post
      Post yako imenifariji.
      Asante madam
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    20. #20
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,516
      Rep Power : 1712
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1917

      Default Re: Wanawake mkiamua, wanaume wote kwisha habari yetu!!!!!!

      Quote By Mungi View Post
      Bila shaka ulishafikia hatua ya kuchanganya sumu na pilau!
      Heee! yamekuwa hayo tena.
      Mtambuzi likes this.
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Wanawake wote wakiwa independent...wanaume tutalia.......
      By The Boss in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 43
      Last Post: 27th March 2012, 16:49
    2. Replies: 66
      Last Post: 27th November 2011, 00:31
    3. Igunga: CCM kwisha habari yake
      By DASA in forum Chaguzi Ndogo
      Replies: 32
      Last Post: 1st October 2011, 19:17
    4. Dunia kwisha: Wanawake wabaka wanaume!!!!!!
      By bhageshi in forum International Forum
      Replies: 9
      Last Post: 14th August 2011, 09:47

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...