Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 34
    1. #1
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Nimechoka na vituko vyake,ananijbu dharau,anapokea simu akijsikia,txts hazijibiwi kwa wakati na mambo mengne mengi ya mauzi ambayo nikiyaandka hapa mnaweza kunihurumia,eti sababu ya yote haya ni kwamba nliondoka ghafla bila kumuaga,sa hzi tuko mikoa tofaut na ninahis ana kidume kingne tayar knamzuzua.naomben mnipe maneno yenye busara yatakayo tufanya wote tuachane kwa aman...natanguliza shukrani.
      Mbu likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Kama shida yako ni amani ongea nae umweleze kwamba hujafurahishwa na mabadiliko yake..kwahiyo unaomba mtofautiane njia!!
      Back to reality......

      If it’s a broken part, replace it. If it’s a broken arm then brace it. If it’s a broken heart, then face it.

      Aika Rua!

    4. #3
      mzabzab's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th August 2011
      Posts : 4,301
      Rep Power : 1315
      Likes Received
      1429
      Likes Given
      222

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      hii ni classic case ya " if u want to short circuit ur relationship live in different cities"
      sasa kaka vizuri kuwa umeona kuwa hapa hamna uhusiano tena na ni vyema kujiachia zako
      mwambie tuu kuwa wewe unashindwa kuvumilia hayo anayokutendea hivyo ni bora kila mtu achukuwe hamsini zake.
      when poverty enters through the door love escapes through the window!!!!!

      whom the gods seek to destroy first call promising

    5. #4
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,831
      Rep Power : 11192
      Likes Received
      7021
      Likes Given
      5189

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      mwambie kuwa wewe ni shoga na kesho unatolewa kwny front page ya gazeti la udaku

    6. #5
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,840
      Rep Power : 1398
      Likes Received
      766
      Likes Given
      1463

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      yaani kwa hivo vituko vyote una bado umekuja jf kuomba ushauri...................KUSO MA HUJI YANI HATA PICHA TU.
      when love goes wrong,nothing goes right.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By Lizzy
      Kama shida yako ni amani ongea nae umweleze kwamba hujafurahishwa na mabadiliko yake..kwahiyo unaomba mtofautiane njia!!
      asante mkuu.

    9. #7
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By mzabzab
      hii ni classic case ya " if u want to short circuit ur relationship live in different cities"
      sasa kaka vizuri kuwa umeona kuwa hapa hamna uhusiano tena na ni vyema kujiachia zako
      mwambie tuu kuwa wewe unashindwa kuvumilia hayo anayokutendea hivyo ni bora kila mtu achukuwe hamsini zake.
      nashukuru kwa points zako mkuu.

    10. #8
      arabianfalcon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Nipe tena
      Posts : 2,193
      Rep Power : 874
      Likes Received
      494
      Likes Given
      96

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Sasa na wewe unaondoka bila kumuaga mpenzi wako inakuwaje? kama umechoka na tabia zake mueleze wazi ajue kama kuna uwezo wakijirekebisha au bado ipo nafasi ndani ya moyo wako japo kidogo basi muite muonge yaishe,la umeshatosheka na yeye muite vile vile au mpigie umueleze kua hutoweza kuendelea na yeye sababu 12345 kwahiyo ajipange.......
      The hunger for love is much more difficult to remove than the hunger for bread - Mother Teresa

    11. #9
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 4,626
      Rep Power : 13836
      Likes Received
      2266
      Likes Given
      2202

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Sasa wewe utamuachaje tena wakati yeye ameshakuacha tayari...

      Acha kumsumbua kwenye simu... Usipige tena wala usiandike mesej maana hataki kuziona... Ebo!!!
      kisukari likes this.

    12. #10
      Pitz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2011
      Posts : 4,969
      Rep Power : 1410
      Likes Received
      519
      Likes Given
      48

      Default

      Quote By arabianfalcon
      Sasa na wewe unaondoka bila kumuaga mpenzi wako inakuwaje? kama umechoka na tabia zake mueleze wazi ajue kama kuna uwezo wakijirekebisha au bado ipo nafasi ndani ya moyo wako japo kidogo basi muite muonge yaishe,la umeshatosheka na yeye muite vile vile au mpigie umueleze kua hutoweza kuendelea na yeye sababu 12345 kwahiyo ajipange.......
      nimekuelewa mkuu.

    13. #11
      kisukari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Posts : 2,583
      Rep Power : 3875
      Likes Received
      1385
      Likes Given
      647

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Quote By Bujibuji
      mwambie kuwa wewe ni shoga na kesho unatolewa kwny front page ya gazeti la udaku
      hii kali.tena ya mwaka

    14. #12
      kisukari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Posts : 2,583
      Rep Power : 3875
      Likes Received
      1385
      Likes Given
      647

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      be honest with her.

    15. #13
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7635
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Quote By Bujibuji
      mwambie kuwa wewe ni shoga na kesho unatolewa kwny front page ya gazeti la udaku
      Anaweza pia akamwambia kwamba kanasa kale kaugonjwa ketu.
      Lizzy and Excellent like this.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    16. #14
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14597
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Quote By Bujibuji
      mwambie kuwa wewe ni shoga na kesho unatolewa kwny front page ya gazeti la udaku
      Quote By klorokwini
      Anaweza pia akamwambia kwamba kanasa kale kaugonjwa ketu.
      Nyie watu nyie....
      Njia nzuri lakini maana haina cha niambie kosa langu wala sikubali uniache mi nakupenda.
      klorokwini likes this.
      Back to reality......

      If it’s a broken part, replace it. If it’s a broken arm then brace it. If it’s a broken heart, then face it.

      Aika Rua!

    17. #15
      klorokwini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Pharmacy
      Posts : 8,720
      Rep Power : 7635
      Likes Received
      4926
      Likes Given
      7318

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Quote By Lizzy
      Nyie watu nyie....
      Njia nzuri lakini maana haina cha niambie kosa langu wala sikubali uniache mi nakupenda.
      Kasema anataka njia ya kuachana kwa amani, sasa nadhani kwa njia hizi mdada wa watu atamshukuru jamaa sana na amani itapatikana.
      WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.


    18. #16
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1746
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default

      Quote By Bujibuji
      mwambie kuwa wewe ni shoga na kesho unatolewa kwny front page ya gazeti la udaku
      huu ushauri hata mwendawazimu anaukataa.

    19. #17
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,589
      Rep Power : 1746
      Likes Received
      698
      Likes Given
      386

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Mbona kama tayari umeshaachika. Kaa kimya, usitume sms wala usipige. Ukiona hiyo namba inakugasi ifute kabisa.

    20. #18
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default Re: Ushauri wa dharura:naombeni ushauri wa jinsi ya kumuacha my galfrd kistaarabu.

      Kaka unaposema unataka muachane kwa amani sijui amani gani labda ya CCM..

      Sema nimeachwa kwa dharau kama simu hapokei hajibu sms unadhani kuna nini?

      Basi ngoja nikuliwaze mwambie nimepata mwanamke mwingine

    21. #19
      Jeff's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2009
      Posts : 920
      Rep Power : 675
      Likes Received
      59
      Likes Given
      122

      Default

      Quote By Senetor
      Nimechoka na vituko vyake,ananijbu dharau,anapokea simu akijsikia,txts hazijibiwi kwa wakati na mambo mengne mengi ya mauzi ambayo nikiyaandka hapa mnaweza kunihurumia,eti sababu ya yote haya ni kwamba nliondoka ghafla bila kumuaga,sa hzi tuko mikoa tofaut na ninahis ana kidume kingne tayar knamzuzua.naomben mnipe maneno yenye busara yatakayo tufanya wote tuachane kwa aman...natanguliza shukrani.
      Senator mkuu,kabla cjakupa ushauri,kwanza niambie huyu ni shemeji yetu yule wa mwanza? Lol!

    22. #20
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,572
      Rep Power : 5617
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2283

      Default

      Quote By Bujibuji
      mwambie kuwa wewe ni shoga na kesho unatolewa kwny front page ya gazeti la udaku
      hahahaaa hii kubwa kuliko!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Ushauri wa dharura
      By Guns and Roses in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 29
      Last Post: 7th January 2012, 09:04
    2. Ushauri wa dharura:Girlfriend wa rafiki yangu ananitaka..
      By Pitz in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 51
      Last Post: 19th September 2011, 17:03
    3. Naombeni ushauri
      By Godfrey Mwaja in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 37
      Last Post: 4th January 2011, 14:58
    4. Naombeni ushauri
      By Penny in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 82
      Last Post: 24th November 2009, 09:12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...