Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baba wa mtoto wako ni nani???

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,336
      Rep Power : 3458
      Likes Received
      1340
      Likes Given
      868

      Default Baba wa mtoto wako ni nani???

      Ndoa nyingi zimekuwa na msuguano mbalimbali na hii ni kutokonana na ongezeko la joto duniani
      lakini pamoja na hayo bado watoto wanazidi kuzaliwa kwenye ndoa hizo hizo za mikeke na basharati
      swali linakuja je watoto ulionao baba yao ni huyo wa ndoa ama wakati ukiwa na hasira ukaamua
      kwenda chemba na vingast na sasa baba watoto anageuka kuwa baba mlezi...

      Je wewe ni mmoja wa bbaba walezi !!!


    2. #2
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 13,546
      Rep Power : 35838
      Likes Received
      6922
      Likes Given
      21198

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      baba wa watoto wangu ni bujibuji

    3. #3
      Heri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th August 2007
      Posts : 201
      Rep Power : 644
      Likes Received
      19
      Likes Given
      31

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Ukija jua kuwa wewe siyo Baba wa mtoto wako baada ya miaka kumi utafanya nini?
      Pdidy likes this.

    4. #4
      Bujibuji's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 14,415
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7414
      Likes Given
      5746

      Default

      Quote By Mamndenyi View Post
      baba wa watoto wangu ni bujibuji
      Mimi ndiye baba wa mababa,, napataa watoto kwa bluetooth, ultra waves na infrared
      Pdidy, Bishanga and Kifulambute like this.

    5. #5
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,336
      Rep Power : 3458
      Likes Received
      1340
      Likes Given
      868

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      teeeheee teehhhh
      kama naona watoto wa bujibuji kule ukerewe wakipambana na Mamba lakini Mungu anawalinda kwa uweza wake!!


    6. #6
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,643
      Rep Power : 934
      Likes Received
      568
      Likes Given
      90

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      we kitanda hakizai halamu haswa wale walio ndani ya ndoa kila kinachokuja ni chako tu, unaotakiwa ni umakini tu katika kutafuta mke mwema ili yasije yakakukuta.

    7. #7
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,336
      Rep Power : 3458
      Likes Received
      1340
      Likes Given
      868

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      mkuu Likwanda
      Hilo nalo neno!!!hapo umesem sio utafute uombe kwa Mungu kwelii mke mwema!!

    8. #8
      Bujibuji's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 14,415
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7414
      Likes Given
      5746

      Default

      Quote By Pdidy View Post
      teeeheee teehhhh
      kama naona watoto wa bujibuji kule ukerewe wakipambana na Mamba lakini Mungu anawalinda kwa uweza wake!!
      Kuna dawa nimewapa inaitwa TILANSIFOMA, wakiingia ziwani hawashambuliwi na mamba, kwani na wao hugeuka kuwa mamba wakubwa zaidi
      Pdidy likes this.

    9. #9
      feis buku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2011
      Posts : 2,367
      Rep Power : 868
      Likes Received
      644
      Likes Given
      574

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Quote By Mamndenyi View Post
      baba wa watoto wangu ni bujibuji
      namuita akuskie!

    10. #10
      Pdidy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 12,336
      Rep Power : 3458
      Likes Received
      1340
      Likes Given
      868

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Quote By bujibuji View Post
      kuna dawa nimewapa inaitwa tilansifoma, wakiingia ziwani hawashambuliwi na mamba, kwani na wao hugeuka kuwa mamba wakubwa zaidi
      bujibuji najiuliza zile mbegu zetu tuliokuwa tunamwaaga kwenye plastic tungekuwa tunapa live madadzetu unahisi hata dna ingeitajika maana una uhakika kati ya 7 ,watoto 4 lazima wako

    11. #11
      shalis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Posts : 272
      Rep Power : 457
      Likes Received
      57
      Likes Given
      160

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      hili jambo huwa linawauma sana akina baba hapa utawaona kimyaaa kama hawapo vile maana hata wao hawajui kma watoto ni wao au siyopoleni sana wa kaka ndo tulivyo... wahuni sana sie akina mama lol ila msituudhi sasa maana unaweza lea wote watatu ila si wako ki ukweli
      Bishanga likes this.

    12. #12
      MASELE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Location : KIBAHA/DAR ES SALAAM
      Posts : 240
      Rep Power : 443
      Likes Received
      57
      Likes Given
      30

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Inauma lakini utafanya nini maana mtoto hana hatia mkeo ndo wakudili naye
      Blessed are the peacemakers: for they shall be called the children of God

    13. #13
      Tasia I's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2010
      Posts : 1,139
      Rep Power : 697
      Likes Received
      150
      Likes Given
      129

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Quote By Bujibuji View Post
      Mimi ndiye baba wa mababa,, napataa watoto kwa bluetooth, ultra waves na infrared
      nahisi kama wewe ni faisal hivi!!

    14. #14
      DASA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : JF
      Posts : 1,000
      Rep Power : 629
      Likes Received
      260
      Likes Given
      220

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Dah! kazi kweli kweli..
      shalis likes this.

    15. #15
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Quote By Likwanda View Post
      we kitanda hakizai halamu haswa wale walio ndani ya ndoa kila kinachokuja ni chako tu, unaotakiwa ni umakini tu katika kutafuta mke mwema ili yasije yakakukuta.
      Kwenye nyekundu hapo, kwanza ni haram na si "halamu".

      Ni kweli kabisa kitanda hakizai haram, kitanda pia hakizai halali. Sijaonapo kitanda kikizaa. Wanaozaa haram ni wazazi.
      AMINATA 9 likes this.

    16. #16
      Ngalikihinja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2009
      Posts : 4,694
      Rep Power : 1505
      Likes Received
      1113
      Likes Given
      106

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Quote By Pdidy View Post
      bujibuji najiuliza zile mbegu zetu tuliokuwa tunamwaaga kwenye plastic tungekuwa tunapa live madadzetu unahisi hata dna ingeitajika maana una uhakika kati ya 7 ,watoto 4 lazima wako
      Mi sijiulizi hilo bali je............ KAMA KILA NGONO UNAYOFANYA UNGEKUWA UNABADIRISHANA C.H.U.P.I KAMA JEZI KWENYE KANDANDA NA UNAYENGONOKA NAYE UNGEKUWA NA C.H.U.P.I NGAPI ZA JINSIA TOFAUTI NA YAKO..??
      Effectiveness is measured by what happened because of what you did

    17. #17
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,643
      Rep Power : 934
      Likes Received
      568
      Likes Given
      90

      Default

      Quote By FaizaFoxy View Post
      Kwenye nyekundu hapo, kwanza ni haram na si "halamu".

      Ni kweli kabisa kitanda hakizai haram, kitanda pia hakizai halali. Sijaonapo kitanda kikizaa. Wanaozaa haram ni wazazi.
      Thankx Kwakuni Sahihisha, watu walio ktk ndoa kwa vile anakuwa na mkewe kila siku ndio maana waswahili wanasema kitanda hakizai haram na sio kitanda kuzaa kama wewe unavyofikiria.

    18. #18
      shalis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Posts : 272
      Rep Power : 457
      Likes Received
      57
      Likes Given
      160

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      pole dasa......... i cant feel exactly how much is pianfull ukifanyiwa tukio kama hlo cioa am a women but i can sense with tenderheart ...poleni wa baba na muanzishe chama cha kupinga ukatili huu maana duhkuna rafiki yangu kambandika jamaa mimba na jamaa anavyo hudumia hajui kabisa maskini....
      Bishanga and DASA like this.

    19. #19
      Bishanga's Avatar
      JF Tanzanite Member Array
      Join Date : 29th June 2008
      Location : SIRIUS
      Posts : 13,721
      Rep Power : 47351
      Likes Received
      8352
      Likes Given
      7754

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Quote By shalis View Post
      hili jambo huwa linawauma sana akina baba hapa utawaona kimyaaa kama hawapo vile maana hata wao hawajui kma watoto ni wao au siyopoleni sana wa kaka ndo tulivyo... wahuni sana sie akina mama lol ila msituudhi sasa maana unaweza lea wote watatu ila si wako ki ukweli
      hivi mnadhania huwa hatujui kwamba kuna watu huwa tunawashikia pembe?
      THE WEAK NEVER FORGIVES,THE STRONG ALWAYS DO.....Mahatma Ghandi.

    20. #20
      Eiyer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2011
      Posts : 8,983
      Rep Power : 6908
      Likes Received
      2748
      Likes Given
      36

      Default Re: Baba wa mtoto wako ni nani???

      Haya mambo bana,tabu tupu!

    Similar Topics

    1. NItamjuaje baba wa mtoto!!!
      By Sumba-Wanga in forum JF Doctor
      Replies: 43
      Last Post: 28th October 2011, 00:14
    2. Atamjuaje baba wa Mtoto????
      By Sumba-Wanga in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 76
      Last Post: 27th October 2011, 14:46
    3. Mtoto afichua siri ya baba
      By kilimasera in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 17
      Last Post: 19th May 2011, 18:54
    4. Baba,Mama na Mtoto
      By Washawasha in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 19
      Last Post: 21st March 2011, 02:04
    5. Mtoto wa baba, mtoto wa mjomba
      By Babuyao in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 13
      Last Post: 30th June 2009, 05:44

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...