Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni siri kubwa....

    Report Post
    Results 1 to 11 of 11
    1. #1
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,687
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Lightbulb Ni siri kubwa....

      NDOA INA SIRI KUBWA

      KWA WALE WALIO KATIKA NDOA WANAWEZA KUSHUHUDIA HAYA:

      Kama umegombana na una hasira kali dhidi ya mwenzio, mara zote inapofikia kwenye hitaji la "ndoa", hasira huwa zinachukua likizo ya muda na pengine kupelekea hitima ya ugomvi....mpaka leo bado sifahamu siri iliyomo kwenye maisha ya ndoa.

      Na pengine hata mkigombana ugimvi mkubwa, mkapishana , wewe sebuleni yeye chumbani, au yeye kwenye meza ya kujipodolea (dressing table) na wewe bafuni, lakini inapofikia kwenye suala la mwenzio anahitaji msaada wako, roho yako inaweza kukuuma sana na kujisikia kumsaidia japo pengine hata ukiwa hujisikii hata kumsemesha.. utafanya tu na kuona kabisa mwenzio hapaswi kuumiza,

      .....Unawaza mwenzio anapokuwa mbali nawe, labda atakuwa ana fanya jambo fulani ambalo wewe hungependa afanye, lakini hata kama hakufanya jambo hilo, akiwa karibu nawe unajaribu kudadisi, na pengine kwa hisia unaweza kujaribu upate nafasi hata ujue kwenye simu yake ya kijanjani nani aliyempigia au kumtumia ujumbe wa maandishi (SMS)...

      '....Hata kama mlikuwa katika makubalinao ya kutogusa simu ya mwenzio, ghafla unapoisikia ikitoa mlio wa kuita au ikiwa pahala, moyo unakusukuma kujua ni nani anamtafuta, na unaweza kuichukua tu kwa kificho ili ujue mawasiliano yake na mtu ambae unahisi anaweza kuwa ana husina nae kama wewe (..) na ukiona ujumbe usiouelewa, utauliza kwa kalui ya kuonyesha makubalinao ya kutogusa simu ya mwenzio hayana maana..ukidai unamlinda ..pengine chokochoko na hisia zinaweza kupelekea ugomvi (ukiwa na maana ya wivu juu ya mwenzio) hili linaweza kusababisha mpaka mahusiano kuvunjika. Lakini ukichiunguza kisa, unabaini kuwa ilikuwa ni kujaribu kuhakikisha mnadumisha mahusiano ila athari ya staili iliyotumika ikapelekea mahusiano hayo kuvunjika bila wenyewe kufahamu.
      Masikini_Jeuri likes this.
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    2. Miaka 50

    3. #2
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,304
      Rep Power : 13760
      Likes Received
      5148
      Likes Given
      4533

      Default Re: Ni siri kubwa....

      Sasa ule usemi wa ........Settle your differences before going to bed...unaapply wapi hapa? Maana ninavyosoma (sijui ni huu ukilaza) ninaona kama vile unasema tendo lifanyike no matter what!? Nyway kila la kheri wenye changamoto
      Masikini_Jeuri likes this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    4. #3
      Luminous black's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th October 2011
      Posts : 25
      Rep Power : 389
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Ni siri kubwa....

      Ni kweli kwamba lau tendo au ngono itahitajika au kutokea ktk kipindi cha ugomvi, nyoyo hulegea na iwavyo vyovyote sharti shahwa zitulizwe. Utafiti wangu binafsi sijui wengine, lau mutamaliza tendo kwa kufika kilele basi munaposhuka nazo hasira hutoweka mkajipata mwachezacheza kitandani.

    5. #4
      Felixonfellix's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2010
      Posts : 1,673
      Rep Power : 804
      Likes Received
      165
      Likes Given
      95

      Default Re: Ni siri kubwa....

      kweli kuna siri kubwa
      Tushirikiane Tutafika Tuendako

    6. #5
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 5,472
      Rep Power : 35628
      Likes Received
      5024
      Likes Given
      5750

      Default Re: Ni siri kubwa....

      Ni bahati sana kuna hiyo kitu hapo for instant reconciliations. hata kama ugomvi utaendelea baadae, at least najua bado ananipenda, ni hasira tu ya muda. kwanza baada ya mambo ndio mnaanza kuongea sasa na kutatua matatizo... lol
      Information is not knowledge

      Albert Einstein

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,626
      Rep Power : 10157
      Likes Received
      5644
      Likes Given
      12664

      Default Re: Ni siri kubwa....

      Quote By Felixonfellix
      kweli kuna siri kubwa
      Siri gani?
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    9. #7
      MADAM T's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 1,045
      Rep Power : 644
      Likes Received
      103
      Likes Given
      132

      Default Re: Ni siri kubwa....

      We acha tu...

    10. #8
      ngoshwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Location : everywhere
      Posts : 3,687
      Rep Power : 1355
      Likes Received
      570
      Likes Given
      769

      Default Re: Ni siri kubwa....

      Quote By Saint Ivuga
      Siri gani?
      Ni siri kubwa:

      Upo wakati unaweza kukimbiwa na wote ambao waliwahi kudhani na kujigamba wanakupenda sana kwa damu (nduguzo, mama, dada, kaka, baba, nk) lakini ijapo siku au saa unapofikwa na shida nzito ya kukufanya ushindwe kujimudu ikiwemo maradhi ya kufisha, mwenzio katika ndoa yenye uaminifu, kamwe hataweza kukuacha...haya huwezi kuyategemea uwapo na kimada au hawara. Ni siri kubwa, hata kama unamatatizo ya kimaumbile, una sumbuliwa na jambo la aibu kuliweka wazi katika jamii, na hata kama mwenzio huwa wanaonekana ni mtu asiejua kutunza siri katika mambo mengi kwenye jamii, lakini katika ndoa timilifu, ni nadra sanaaa kusikia mume au mke akimuumbua mwenzio kwa kumwaga taarifa za siri ya mwenzie...

      .....Hujarejea nyumbani, hata kama mwenzio mtakuwa hamzungumzi, lakini moyoni ataumia na kutaka kujua ulipo, pengine anaweza kukutafuta hata kwa kumtumia mtu mwingine akuulizie ulipo...atafurahi moyoni akikuona japo machoni atakuwa akuonyeshi furaha hiyo.

      ataumia wakati wakisikia unatetwa au umefanyiwa jambo baya, anaweza kutafuta hata mbinu ya kulipisa kisasi ..hii hata kwa kujitoa maisha yake kwa ajili yako. (hili ni nadra sana hata kwa mzazi kumfanyia mwanae).
      "Mnataka kujua nini? Sikuzaliwa ili nipate nishani... "Please don't make it an issue, acheni suala hilo ni uchonganishi, acheni," - Malecela.

    11. fxb
      #9
      fxb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd June 2011
      Posts : 124
      Rep Power : 424
      Likes Received
      23
      Likes Given
      1

      Default Re: Ni siri kubwa....

      Siri ya nini...... nani aliimba vile

    12. #10
      Shantel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2011
      Location : Blue Lagoon
      Posts : 2,020
      Rep Power : 852
      Likes Received
      1051
      Likes Given
      1196

      Default Re: Ni siri kubwa....

      raha sana ukifikiria
      AMINATA 9 likes this.
      Maisha ni Safari Ishi Upendavyo

    13. #11
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1705
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Ni siri kubwa....

      Matatizo ya kamba za usiku ndio haya. Yaani mtu anaapply live yale yalomsibu mchana kutwa na kuyatupilia humu!
      ngoshwe likes this.

    14. Study Abroad

    Similar Topics

    1. Siri kubwa Umeme Tanzania
      By Logo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 17
      Last Post: 24th August 2011, 22:24
    2. Siri kubwa CCM!!!
      By Mvaa Tai in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 58
      Last Post: 1st March 2011, 15:52
    3. Replies: 4
      Last Post: 24th January 2011, 09:12
    4. Liverpool defeat - Siri Kubwa Yafichuka
      By Saikosisi in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 10
      Last Post: 12th April 2009, 16:59
    5. Mdogo wake BALALI afichua siri kubwa
      By Pdidy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 25th May 2008, 11:27

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...