Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

    Report Post
    Page 1 of 15 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 298
    1. #1
      chichi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2007
      Location : Africa
      Posts : 27
      Rep Power : 623
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Exclamation Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae".

      Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti...

      Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia...

      Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu....

      Nisaidieni wajameni...

      UPDATE ON THE 27th of June, 2012:
      Quote By chichi
      Nilisamehe kwa moyo wote, na tofauti na mwanzo nikajipa muda mwingi wa kukaa nae na kumshauri jinsi ulimwengu ulivyo na namna ya kuvishinda vishawishi, it seemed to have worked! A lot passed, uphills and down the valleys then we were blessed with a child mwaka jana na tukaanza maandalizi ya ndoa, literally ilibidi iwe October mwaka huu, lakini kilichotokea najuuuuta kumfahamu! all along she was playing at the background the very same old game. Na from nowhere akanipiga kibuti cha fukuza mwizi bila kosa lolote na bila kujali kuwa mimi ni baba wa mtoto wake and the little empire that we have created! it broke me to dust aisee, only knowing later kuwa she is pregnant with a man she was cheating with na njia pekee ilikuwa ni kutoka nduki, Maumivu niliyonayo can only be experienced not expressed, Inauma sana aisee, Inauma kuliko ilivyotokea mwanzo. I am done with Believing in Love. I AM DONE! THE GAME IS OVER.
      Last edited by Roulette; 28th June 2012 at 04:42. Reason: Update

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Pundit's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2007
      Posts : 3,941
      Rep Power : 2640
      Likes Received
      25
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Wahenga walisema fimbo ya mbali haiuwi nyoka. Amua kusuka au kunyoa, lakini consider this a blesing in disguise, umefichuliwa mtu alivyo, kama unaamua kuendelea au kutua ngoma ni juu yako.
      Pundit is sitting out Christmas

    4. #3
      LazyDog's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2008
      Posts : 2,186
      Rep Power : 21022
      Likes Received
      16
      Likes Given
      33

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Quote By chichi
      Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae". Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti... Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia... Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu.... Nisaidieni wajameni...


      Toka umegundua hilo ni muda gani mpaka ulipofikia uamuzi wa kumsamehe?
      Jipe muda na uzitafakari zaidi sababu zilizopelekea wewe kumsamehe.




      .
      super thinker likes this.
      A person who won't read has no advantage over one who can't read. -Mark Twain

    5. #4
      Misitu's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 23rd February 2008
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Ndugu yangu kumbuka huyo ni mchumba si mke na hata kama umempenda mno na kuhisi huwezi kuishi bila yeye, kitendo cha kuingia kwenye ndoa huku tayari humuamini bado ita ku-cost sana kwenye ndoa yako na hutamuamini kamwe ingawa unampenda.

      Ni busara kuachana na mchumba lakini si mke, kama ameweza kumegwa na hao jamaa sasa hivi wakati wa mapenzi ya uchumba je, mkiingia kwenye ndoa na kuishi miaka 5 ambapo penzi hushuka na kupanda?

      Mimi nakushauri chukua kikombe cha chai au kahawa then kaa sehemu tumia akili yako yote, uwezo wako wote kupiga hesabu je bila yeye unaweza kuishi na kupata mwingine? kwani mchumba si mke. Historia hujirudia na wakati mwingine unaweza kujikuta umechelewa. Ila mwamuzi ni wewe.
      Lunemhya, Kalolo Junior and kabye like this.

    6. #5
      CottonEyeJoe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2008
      Posts : 321
      Rep Power : 649
      Likes Received
      50
      Likes Given
      135

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Chakufanya nikukaa chini nakujiuliza mwenyewe maswali bila kujidanganya; Je, Bado unamwamini?? Kama umemsamehe lakini haumwamini achana naye utajitesa bure na utamtesa na yeye bure, utakaa bila amani kwakuwaza kuwa hiko kitendo kitajirudia, kama umemsamhehe na bado unamwamini basi sio mbaya uendelee naye lakini vile vile kua makini....

    7. Miaka 50

    8. #6
      Malila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2007
      Posts : 2,605
      Rep Power : 10971
      Likes Received
      830
      Likes Given
      447

      Exclamation Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Nyota njema huonekana asubuhi

    9. Mbu
      #7
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,830
      Rep Power : 9992
      Likes Received
      4709
      Likes Given
      6218

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      ...tatizo ni kwamba, katika hiki kizazi kipya, 'wachumba' wengi wa sasa hasa mijini ndivyo walivyo!
      Kamkuki likes this.
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    10. #8
      TzPride's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Location : Downhole
      Posts : 1,650
      Rep Power : 973
      Likes Received
      174
      Likes Given
      70

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Inategemea una "kifua' kiasi gani...maana utakutana nayo sana hapo mbeleni. Ingekuwa mimi ningemshukuru Mungu kwa ufunuo huo.....halafu mitini.....
      Kamkuki and Gajungi like this.

    11. #9
      Mwawado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Location : Tulsa, Oklahoma/MFA-TZ
      Posts : 1,263
      Rep Power : 899
      Likes Received
      113
      Likes Given
      219

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Kaka anza......Hiyo ni tabia yake ndugu yangu,Wenzio tumeona hayo,na kama utamsamehe anaweza kujenga tabia ya kuondoa "uwezo wako wa kujiamini",na kila wakati ukajikuta mnyonge na hata lile utakaloona kwa macho ukadhani ni ndoto....Mapenzi ya sasa inabidi uwe muangalifu mno.Katika ktk hali hiyo,Zungumza nae na kila mtu ashike lake,Vinginevyo kila siku maisha yako yatakuwa ya wasiwasi.
      Kamkuki likes this.
      Its not enough to do good if you can do better.

    12. #10
      Steve Dii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2007
      Location : Kihesa - Iringa
      Posts : 6,795
      Rep Power : 3279
      Likes Received
      924
      Likes Given
      2800

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      ...Kulingana na jinsi ulivyo elezea, anza moja Chichi.
      ...By the way, pole sana.

      SteveD.



      Jamii ijuayo uwiano thabiti kati ya dharau, ubinafsi, chuki na ustaarab dhidi ya jamii nyingine na baina ya watu wake ni jamii yenye maendeleo. Isiyojua ni dumazi. SD1-09.

      Fikra ni nyenzo endelezi au potofu. Changamoto tuliyonayo ni kuchanganua na kutenganisha kati ya fikra endelevu na fikra potofu, kwani mwisho wa fikra ni matendo pale fikra hazibakii kuwa fikra. SD6-07Rev.2-09.



    13. #11
      Kana-Ka-Nsungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : 10 Dawning Street
      Posts : 2,224
      Rep Power : 1043
      Likes Received
      175
      Likes Given
      105

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Unampenda na umeshaamua kumsamehe sasa sijui msaada unaoutaka ni upi hapa. Nahisi bado unaumia sana moyoni mwako kwa yaliyojiri kisogoni mwako na unatamani ungekuwa na courage ya kumuacha, zigo la maumivu limekuelemea ndio ukaamua kuja kulitua hapa barazani.

      Nikuambie ndugu yangu, dawa ya hili suala ni ndogo sana- Na wewe nenda ukageme, tena ikiwezeka wewe kageme mara mbili ya idadi yake, you will be so suprised the difference it makes, you will regain urijali wako back and it will make you feel good about yourself na utajikuta umemsamehe jumla na kuzidi kumpenda mwandani wako zaidi, ila tu usisahau daluga mwanangu kwenye revenge mission yako, goodluck!

      KKN
      Senior Sexpert.
      If someone knocks you down- its their faulty, but if you stay down its your faulty.

    14. #12
      green29's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Location : Oldonyo Lengai
      Posts : 315
      Rep Power : 671
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Mkuu Chichi pole sana... naona mafisadi wameingia mpaka kwenye 18 ya ndoa yako. If the best is possible good is not enough! Unayo nafasi ya ku-msend off mchumba wako kwa amani. Hiyo meli sidhani kama itafika salama ukiilazimisha kukatiza maji. .

      Kwani Chichi ni kitu gani kinakufanya uhisi AMEJUTA SANA wakati ma-best wako TOFAUTI (sijui wangapi) wamekuwakilisha kumkoboa mara kadhaa... Hayo machozi ya demu yasikuchanganyanye wala nini.. hiyo ni sanaa na ni kipaji tu, what if usingegundua kuwa ana hako kamchezo!?.

      Mtoe out, pateni dinner fresh, candle light na kamziki.. buy her a good gift na likadi likubwa la GOOD BYE, na wewe ukiweza hiyo fani hapo jitahidi TOA MATONE KADHAA ya machozi (au mguno wa huzuni) kuonyesha kuwa inakulazimu kuchukua hatua ya kuachana nae japo inakuumiza. Then mwache aende zake. Utafute mwingine.
      Konakali likes this.

    15. #13
      green29's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Location : Oldonyo Lengai
      Posts : 315
      Rep Power : 671
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Quote By Kana-Ka-Nsungu
      Unampenda na umeshaamua kumsamehe sasa sijui msaada unaoutaka ni upi hapa. Nahisi bado unaumia sana moyoni mwako kwa yaliyojiri kisogoni mwako na unatamani ungekuwa na courage ya kumuacha, zigo la maumivu limekuelemea ndio ukaamua kuja kulitua hapa barazani.
      Nikuambie ndugu yangu, dawa ya hili suala ni ndogo sana- Na wewe nenda ukageme, tena ikiwezeka wewe kageme mara mbili ya idadi yake, you will be so suprised the difference it makes, you will regain urijali wako back and it will make you feel good about yourself na utajikuta umemsamehe jumla na kuzidi kumpenda mwandani wako zaidi, ila tu usisahau daluga mwanangu kwenye revenge mission yako, goodluck!

      KKN
      Senior Sexpert.


      Beh... hii ni jino kwa jino au dawa ya moto ni moto.... ! Kazi kwako Chichi, nakutakia mission accomplished salama.

    16. #14
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,604
      Rep Power : 21341
      Likes Received
      981
      Likes Given
      988

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Tafuta wawili ambao ni wazuri kuliko yeye na wewe wamege, halafu confess. Akikusamehe nawe msamehe ila ujue muendako ukimwi unaweza kuwa source ya kukatisha hayo maisha yenu ya ndoa.

      Pole sana chichi.....
      magdarena likes this.

    17. #15
      mohammedzahor's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 68
      Rep Power : 570
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      aliye msafi na akatize.
      sina hoja juu ya malipo ya madhambi ni mauti na akutendae mtende, ila mwisho wa safari hiyo ni wapi. na jee Mungu tumemuweka wapi na kwa nini iliumbwa kusameheana.
      kama ametenda kosa na ameomba msamaha ni jambo kubwa kusamehe, wewe utakuwa imara sana na mtawala mzuri wa familia yak o kamautasamehe, walioshauri naweutamtende dhambi ,jihadhari mana jino kwa jino angalia vyema kama alikugonga jino la kulia nawe ugonge hilo hilo na kwa mgongo ule ule nikiwa na maana ya impact.
      bro langu nakuomba uwe msamehevu, hakuna mkamilifu na kama huo ni mtindo wake hata acha, usiharakife kufunga ndoa lakini usitende dhambi kwa kuwa yeye katenda. mpe muda na angalia mwenendo wake. maamuzi utafanya baadae mana wanasema kila muonja asali.

    18. #16
      Sunshine OLD's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2008
      Posts : 50
      Rep Power : 564
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Jamani! miezi 5!
      Sio mwaminifu.
      That is what i see.

    19. #17
      Mzozo wa Mizozo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2008
      Posts : 428
      Rep Power : 646
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Chichi,

      katika miezi mitano kamegwa na jamaa wawili tofauti kisha anaomba msamaha. Yaani alikosa ya kwanza, kisha akajumuisha na kosa la pili ndipo akaamua omba msamaha baada ya wewe kurudi kwa mda..!

      si kwamba inasikitisha bali inauma...jaribu kumuuliza ni nini haswa alichofata kwa hao jamaa wengine, yaani mpaka kufikia hatua ya kuwaambia wewe upo lakini usijue... hakufai huyo!

      mtapokuwa pamoja tena utawa na uhakika gani kwamba hayatatokea tena na yeye atakuwa anajua wazi kwamba anaweza samehewa.?

      pima mazuri na mabaya, mapungufu yenu na kama unaweza ishi nayo kaza buti...ila dah wawili miezi mitano, ndoa itawaje? angalia usije ishia kujinyonga!
      Change will not come if we wait for some other person or some other time. We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek.

    20. #18
      Mzozo wa Mizozo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2008
      Posts : 428
      Rep Power : 646
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Quote By hofstede
      Tafuta wawili ambao ni wazuri kuliko yeye na wewe wamege, halafu confess. Akikusamehe nawe msamehe ila ujue muendako ukimwi unaweza kuwa source ya kukatisha hayo maisha yenu ya ndoa.

      Pole sana chichi.....
      Chichi,

      hapa hata ukatafuta wanawake mia, wazuri kama malaika ukawamega haitapunguza maumivu ulionayo juu yake...labda kama mngekuwa mlikosana wewe ukatoka na hasira nae akaenda kumegwa!

      I have been in that situation, maumivu zaidi ni pale mnapokuwa pamoja na unawaza mtu mengine alikuwa anapewa kama hivi...pengine zaidi! huchelewi kuta mwenzako kafikia hata Kutifua!!!

      if you have a big heart brother stay but kama moyo mwepesi fanya mbio...imekata kwako sana tu!
      Change will not come if we wait for some other person or some other time. We are the ones we've been waiting for. We are the change that we seek.

    21. GM
      #19
      GM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 548
      Rep Power : 682
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Chichi,

      Wewe katika hii miezi mitano umekuwa mwaminifu kiasi gani? kwa sababu wakati mwingine tunakuwa rahisi kunyoosha kidole wakati sisi pia tunapaswa kunyooshewa kidole. Just be honest with yourself na kama hujafanya lolote la ku-betray mapenzi yako kwake, then follow your heart. Kama ulitembea na mtu na yeye hajui unafikiri akijua utataka akuache au akusamehe? I think what you need to do no matter what the circumstance, follow your heart! Jinsi moyo wako utakavyokwambia ili wewe uwe na furaha then itabidi uufuate huo moyo unavyotaka. Ila kumbuka, Do unto others what you would have them do to you!!!!!
      "We are what we repeatedly do. Excellence, therefore is not an act but a habit" - Aristotle

    22. #20
      chichi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2007
      Location : Africa
      Posts : 27
      Rep Power : 623
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba "angu amemegwa halafu ka confess

      Ni kiasi gani cha muda mtu anahitaji kusahau... Tatizo lipo hapo natamani ningeweza kuchukua uamuzi tofauti, kwani tangu nilipojua nimekosa amani, the Body is willing but the Spirit is too weak, kifupi nampenda sana huyu binti, itz just i cant live with the fact kuwa kuna wageni walimtembelea.

    Page 1 of 15 12311 ... LastLast

    LinkBacks (?)


    Similar Topics

    1. Replies: 50
      Last Post: 7th November 2011, 17:14
    2. Be careful with who u confess to
      By Gamaha in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 10
      Last Post: 21st August 2011, 12:08
    3. Mke ka-'confess' jamaangu kachanganyikiwa...
      By pumbatupu in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 81
      Last Post: 26th July 2011, 12:49
    4. I must confess
      By popiexo in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 3
      Last Post: 7th June 2011, 12:40

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...