Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

    Report Post
    Page 14 of 15 FirstFirst ... 412131415 LastLast
    Results 261 to 280 of 298
    1. #1
      chichi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2007
      Location : Africa
      Posts : 27
      Rep Power : 622
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Exclamation Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae".

      Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti...

      Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia...

      Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu....

      Nisaidieni wajameni...

      UPDATE ON THE 27th of June, 2012:
      Quote By chichi
      Nilisamehe kwa moyo wote, na tofauti na mwanzo nikajipa muda mwingi wa kukaa nae na kumshauri jinsi ulimwengu ulivyo na namna ya kuvishinda vishawishi, it seemed to have worked! A lot passed, uphills and down the valleys then we were blessed with a child mwaka jana na tukaanza maandalizi ya ndoa, literally ilibidi iwe October mwaka huu, lakini kilichotokea najuuuuta kumfahamu! all along she was playing at the background the very same old game. Na from nowhere akanipiga kibuti cha fukuza mwizi bila kosa lolote na bila kujali kuwa mimi ni baba wa mtoto wake and the little empire that we have created! it broke me to dust aisee, only knowing later kuwa she is pregnant with a man she was cheating with na njia pekee ilikuwa ni kutoka nduki, Maumivu niliyonayo can only be experienced not expressed, Inauma sana aisee, Inauma kuliko ilivyotokea mwanzo. I am done with Believing in Love. I AM DONE! THE GAME IS OVER.
      Last edited by Roulette; 28th June 2012 at 04:42. Reason: Update

    2. Miaka 50

    3. #261
      Triple G's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 1180
      Likes Received
      65
      Likes Given
      6

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      ebwaneeh,,,,...ningekua mimi siku hiyo hiyo namwacha,mana ina uma kiukweli..lakini kwa kua umemsamehe kuwa mgumu kama star wa live free or die hard 4(Bruce wills)...ila una moyo

    4. #262
      NyaniMzee's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Posts : 48
      Rep Power : 439
      Likes Received
      11
      Likes Given
      1

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      angekuwa mke kwa confession kuwa amemegwa ni warrant ya kwao sembuse huyo mchumba tu. hutakuwa na amani kabisa ukiingia naye katika ndoa na kuacha itakuwa vigumu kwa hiyo tupa mziko machakani songa mble kiume. wakati mwingine katika maisha lazima tujikusuru vitu tuvipendavyo kwa ajili ya afya za mioyo yetu. just do away with that ..hore

    5. #263
      Capitol Hill's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2007
      Location : U.S.A
      Posts : 747
      Rep Power : 741
      Likes Received
      34
      Likes Given
      119

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Ningekuwa niko kwenye nafasi yako japo ni ngumu ningejitahidi sana kumpa second chance....
      FAIL EARLY, FAIL FAST, FAIL FORWARD

    6. #264
      maishapopote's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Location : njoro
      Posts : 808
      Rep Power : 2313
      Likes Received
      157
      Likes Given
      1476

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      huyu lazima ningemtafuna tig.......yaani najiexpress kwa kwenda mbele.......
      "JF ni zaidi ya Google"-Mentor Jamiiforums

    7. #265
      Mwanaweja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1109
      Likes Received
      457
      Likes Given
      925

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      nakuomba na kukushauri huyo siyo mwanamke hata kama sio leo utakuja ujute katika maisha yako ya mbele achananye huyo

    8. FemaTV & Radio

    9. #266
      Elba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : Ubungo
      Posts : 303
      Rep Power : 501
      Likes Received
      86
      Likes Given
      60

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Achana nae kaka, najua utaumia sana lakini utatulia tu. Hapa najaribu kukuepushia maumivu endelevu... Hujui hao waliokuwa wanammega walimfanyia nn mpaka asiwasahau!!! C unajua hawa bweha wanavyojitumaga kwa vyakuiba....

    10. #267
      chichi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th August 2007
      Location : Africa
      Posts : 27
      Rep Power : 622
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Nilisamehe kwa moyo wote, na tofauti na mwanzo nikajipa muda mwingi wa kukaa nae na kumshauri jinsi ulimwengu ulivyo na namna ya kuvishinda vishawishi, it seemed to have worked! A lot passed, uphills and down the valleys then we were blessed with a child mwaka jana na tukaanza maandalizi ya ndoa, literally ilibidi iwe October mwaka huu, lakini kilichotokea najuuuuta kumfahamu! all along she was playing at the background the very same old game. Na from nowhere akanipiga kibuti cha fukuza mwizi bila kosa lolote na bila kujali kuwa mimi ni baba wa mtoto wake and the little empire that we have created! it broke me to dust aisee, only knowing later kuwa she is pregnant with a man she was cheating with na njia pekee ilikuwa ni kutoka nduki, Maumivu niliyonayo can only be experienced not expressed, Inauma sana aisee, Inauma kuliko ilivyotokea mwanzo. I am done with Believing in Love. I AM DONE! THE GAME IS OVER.

    11. #268
      charminglady's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 16th April 2012
      Posts : 8,825
      Rep Power : 17524
      Likes Received
      4864
      Likes Given
      5183

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      pole mkuu,but imebaki kama somo kwetu sisi. "KISICHO RIZIKI HAKILIKI"

    12. #269
      zurizuri's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 349
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      ..kaka chapa lapa faster matezo ya moyo ya nini, life expectancy ya m-tz male ni 40 years chukua maamuzi magumu

    13. #270
      Konakali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Posts : 1,274
      Rep Power : 749
      Likes Received
      119
      Likes Given
      90

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Quote By chichi
      Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae".

      Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti...

      Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia...

      Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu....

      Nisaidieni wajameni...
      Binafsi sijakuelewa unachohitaji...! Umekwishapata uamuzi wa kumsamehe, na ukamsamehe...! Sasa tukushaurije tena? Tafadhali nisaidie...!
      "The person's true character is what s/he do when s/he think nobody is looking".

    14. #271
      Ndechumia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 772
      Rep Power : 551
      Likes Received
      136
      Likes Given
      304

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      mkuu pole sana, omba mungu atakupa mwongozo ni nn cha kufanya.
      Mkuu naomba ufafanuzi, hao watu 2 walimega maramoja moja?
      au walijipigia mi-mechi kibaoooooooooooooooooo?
      coz anaweza kuwa mtu mmja, ila kilasiku analisukuma gozi

    15. #272
      Pwito's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 176
      Rep Power : 395
      Likes Received
      32
      Likes Given
      70

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Tumia line nyingine ndo hasira yako itaisha. TIGo express yourself

    16. #273
      Purple's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Location : mjini
      Posts : 1,795
      Rep Power : 726
      Likes Received
      607
      Likes Given
      415

      Default

      Quote By chichi
      Nilisamehe kwa moyo wote, na tofauti na mwanzo nikajipa muda mwingi wa kukaa nae na kumshauri jinsi ulimwengu ulivyo na namna ya kuvishinda vishawishi, it seemed to have worked! A lot passed, uphills and down the valleys then we were blessed with a child mwaka jana na tukaanza maandalizi ya ndoa, literally ilibidi iwe October mwaka huu, lakini kilichotokea najuuuuta kumfahamu! all along she was playing at the background the very same old game. Na from nowhere akanipiga kibuti cha fukuza mwizi bila kosa lolote na bila kujali kuwa mimi ni baba wa mtoto wake and the little empire that we have created! it broke me to dust aisee, only knowing later kuwa she is pregnant with a man she was cheating with na njia pekee ilikuwa ni kutoka nduki, Maumivu niliyonayo can only be experienced not expressed, Inauma sana aisee, Inauma kuliko ilivyotokea mwanzo. I am done with Believing in Love. I AM DONE! THE GAME IS OVER.
      aisee! Pole sana ndugu!

    17. #274
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,937
      Rep Power : 1431
      Likes Received
      1507
      Likes Given
      1615

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Kama hajakupa magonjwa...ni kushukuru tu, just go ahead!! Achana nae!!
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    18. #275
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,767
      Rep Power : 30194
      Likes Received
      4629
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Pwito
      Tumia line nyingine ndo hasira yako itaisha. TIGo express yourself
      Duh! shetani wako mkubwa sana wewe!

    19. #276
      Sambuka's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th October 2011
      Posts : 200
      Rep Power : 422
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Pole, ckuiz abiria chunga mzigo wako, kosa 1 cross 10, wanasema wakikutana leo wanamalizana leoleo.. Hakuna kugandana gandana

    20. #277
      ludende's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 12
      Rep Power : 350
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Vunga vunga,ukiona karibu linakupasukia kaa pembeni uwe mtazamaji kaka wanao kupenda wengi kuliko kwanini ujipe homa ya moyo kwa mtu ambaye hakupi furaha unayo stahili kwenye ndoa

    21. #278
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,448
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4284
      Likes Given
      1187

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      We ata ukimkuta na wanaume kumi wanamla tigo utamsamehe tu.

      Hivi mbona moyo wako mgumu kama vyuma vya reli?

      Nimekumbuka kitu,huyo ni mwanamke pekee yake duniani.

    22. #279
      The Infamous's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2009
      Posts : 653
      Rep Power : 640
      Likes Received
      80
      Likes Given
      112

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      Quote By chichi
      Sijui hata nianzie wapi..... Ni takribani mwaka wa pili sasa nipo nae, na ni mwezi wa pili mwaka huu nilimtambulisha kwa wazazi wangu na ndugu kadhaa kuwa huyu ni "mchumba wangu mpendwa niliyependezwa nae".

      Baada ya hapo maisha yakatuweka mbali takribani miezi mitano, lakini tulikuwa tukiwasiliana mara kwa mara... Chako ni chako tu, nilianza kuhisi mabadiliko kwenye mawaasiliano yetu na hiyo iliniumiza kichwa sana, Mungu si athumani siku isiyokuwa na jina nikapata kalikizo, nikaamua ku pay a suprise visit huko kwao...mengi yakatokea lakini la muhimu niligundua kuwa mwenzangu alianzisha mahusiano yasiyo rasmi kama mawili, akakiri kuwa ni kweli amemegwa na hao washkaji kwa muda tofauti...

      Iliniuma sana zaidi aliponiambia kuwa mmoja kati ya hao jamaa alikuwa anafahamu kuwa yeye ni mchumba wa mtu na wakala njama kuwa mimi nisijue, kumbe hata nilivyokuwa napiga simu au kutuma msg alikuwa na jamaa yake tena anaipumulia...

      Amejuta sana na anadai haelewi kwa nini ali kwenda astray, nimepima moyo wangu nimeamua kumsamehe kwani bado nampenda lakini nashidwa kuishi na fact kwamba jamaa kadhaa baada yangu wamepita... Na nikifikilia zile promises alizokuwa ananipa kuwa ananipenda na kamwe hawezi kuni hurt, zinanifanya nimuone Muongo kwa kila kitu....

      Nisaidieni wajameni...

      UPDATE ON THE 27th of June, 2012:

      dah kaka mkubwa pole sana, hope utarecover soon, maana maumivu yake unajua mwenyewe

    23. #280
      Edison's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th December 2010
      Posts : 39
      Rep Power : 435
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Mchumba 'angu amemegwa halafu ka confess

      nakuonea sna huruma sijui umerogwa au umepewa limbwata? kama kakiri mwenyewe upumbumbavu alioufanya ww unataka nn yena kaaingiziwa mipiriti miwili da aibu iliyoje? achana naye hana maana!

    24. Study Abroad
    Page 14 of 15 FirstFirst ... 412131415 LastLast

    LinkBacks (?)


    Similar Topics

    1. Replies: 50
      Last Post: 7th November 2011, 17:14
    2. Be careful with who u confess to
      By Gamaha in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 10
      Last Post: 21st August 2011, 12:08
    3. Mke ka-'confess' jamaangu kachanganyikiwa...
      By pumbatupu in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 81
      Last Post: 26th July 2011, 12:49
    4. I must confess
      By popiexo in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 3
      Last Post: 7th June 2011, 12:40

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...