Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

    Report Post
    Page 4 of 20 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 385
    1. #1
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,173
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      484
      Likes Given
      823

      Default Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Nilimpa lift jumatano asubuhi wiki iliyopita. Anasoma chuo cha usimamizi wa hotel. Aliomba namba yangu ili ikiwezekana niwe nampa lifti siku moja moja hasa nyakati za asubuhi na jioni. Siku hiyo Jioni alinipigia simu kuniuliza kama nimetoka kazini ili nimsaidie lift. Bahati nzuri nilikuwa karibu kutoka ofcn, akaopt kunisubiri. On ourway home Aliniuliza ninaishi na nani, nikamjibu na wadogo zangu na nina mchumba yupo hapahapa Bongo ila hatuishi nae. Akasema yeye anaishi na mumewe na wana mototo mmoja wa miaka minne, mumewe ni mtu wa kusafiri sana safari za mikoani. Lakini Kuanzia hiyo j’tano she keep on trying to be close to me, also she asked my weekend plans. I managed to avoid meeting with her this weekend but I’m not sure if my strength to avoid her forever will persist longer coz she is so cute. Sina uhakika kama anataka mahusiano lakini ni ngumu kumkatalia akitaka. The way she talk, the way she look, the way she ask, her figure Uhhhhh! dud Nifanyeje na huyu mtu? Leo nilipanga sinta mpa-lift sikupokea hata simu yake asubuhi lakini nilipofika kituoni ikawa kama mbwa mbele ya chatu.
      "Honesty is very expensive gift. Do not expect it from cheap people".
      -Warren Buffet


    2. Miaka 50

    3. #61
      Mokoyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2010
      Location : KILIMO KWANZA
      Posts : 3,362
      Rep Power : 1144
      Likes Received
      343
      Likes Given
      243

      Default

      Quote By Joss
      Acha kuzunguka sana, ameshakuambia yeye ni mke wa mtu, halafu mume wake ni mtu wa safari, then anakupigia na kutaka kudumisha mawasiliano, anakuuliza wkend plans, kwani wewe ni mgeni katika gemu mpaka usijue kuwa anakutaka? Mbaya zaidi unamsifu kuwa ni mzuri, yaani unatuambia mpaka ongea yake jinsi inavyokuvutia. Moyoni mwako umeshaanza kuwaza ufuska, na hata tukikushauri tayari unajua nini chakufanya. Kabla hujafanya huo ufuska, jiweke katika nafasi ya yule mume wake halafu imagine how would you feel? Imagine mchumba wako akijua itakuwa hasara kwa nani? Mume wake akijua na labda ndoa ikavunjika,mtoto wao ataishi katika mazingira gani? Mbaya zaidi unaweza kuondoka dunia hii siku si zako.Kama hiyo ni tabia ya huyo mwanamke unaweza kuwa msaada kwake, muoneshe kuwa wapo wanaume wanaojali wake za wenzao. Mwekee mazingira ya kuelewa kuwa sisi wanaume hatupendi kuwa mbali na familia zetu, tunafanya hivyo kwa sababu wakati mwingine hatuna jinsi, na tunajua wazi kuwa sisi sote ni dhaifu, lakini tunawaamini kuwaacha nyumbani tukaenda kutafuta riziki, na kwamba tunawapenda sana. Kwa wivu tulionao tungeamua kukaa tu nyumbani kuwalinda, lakini upendo tulionao umezaa imani kwao kuwa watalinda na kuheshimu ndoa zetu kama tunavyo linda na kuheshimu tunapokuwa mbali nao.
      Nimependa sana maelezo yako. Kama asipokuelewa basi tena. Kwa nyongeza amuheshimu na kumuogopa MUNGU
      HorsePower and Elia like this.

    4. #62
      Makfuhi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th August 2008
      Posts : 146
      Rep Power : 577
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Angalia usije ukapanda magugu kwenye shamba lako la ngano. hakika hutaweza kuyang'oa na kuiacha ngano salama. kosa la kwanza ni kukubali kujadiliana na shetani wakati huna ubavu wa kumshinda.
      Elia likes this.

    5. bht
      #63
      bht's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 9,949
      Rep Power : 2499
      Likes Received
      1434
      Likes Given
      909

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      sina hakika kama kuna jipya saana uloshauriwa hapa na hukulijua kabla...kuna ukimwi, kuna hatari ya kuvunja uchumba wenu nk. Yote hayo ni dhahiri shahiri...unayafahamu.Acha kutafuta vijisababu vya kujustfy huo upuuzi. Mtapeanaje namaba ya simu kwa ajili ya lifti eti asbh na jioni?Wee mwenyewe unam intertain, ndo maana anakuganda.
      Last edited by bht; 18th July 2011 at 13:59.
      Elia likes this.

    6. #64
      TECHMAN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Location : TRIPOL
      Posts : 813
      Rep Power : 567
      Likes Received
      192
      Likes Given
      430

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      My boy, my boy, simple change your way home, don pickup her call, (bora lawama kuliko fedheha), as per what you wrote, i think yo life is little bite good, just enjoy yo life with yo bros and sis and yo wife to be, try to accomplish yo dreams to be someone, do not mix up things.
      MKE WA MTU HATARI DONT TRY. UTAKUJA JUTA.

      (ZINAA, its only sin which has different approach in bible, you can not overcome it by Jesus name, its writen IKIMBIENI ZINAA.)
      Elia likes this.

    7. #65
      First Born's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : Tanzania Vijiweni
      Posts : 2,723
      Rep Power : 947
      Likes Received
      432
      Likes Given
      198

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Ukimwi huoooo!!

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      Fidel80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 19,024
      Rep Power : 9492
      Likes Received
      3145
      Likes Given
      1224

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Quote By Elia
      Nilimpa lift jumatano asubuhi wiki iliyopita. Anasoma chuo cha usimamizi wa hotel. Aliomba namba yangu ili ikiwezekana niwe nampa lifti siku moja moja hasa nyakati za asubuhi na jioni. Siku hiyo Jioni alinipigia simu kuniuliza kama nimetoka kazini ili nimsaidie lift. Bahati nzuri nilikuwa karibu kutoka ofcn, akaopt kunisubiri. On ourway home Aliniuliza ninaishi na nani, nikamjibu na wadogo zangu na nina mchumba yupo hapahapa Bongo ila hatuishi nae. Akasema yeye anaishi na mumewe na wana mototo mmoja wa miaka minne, mumewe ni mtu wa kusafiri sana safari za mikoani. Lakini Kuanzia hiyo j’tano she keep on trying to be close to me, also she asked my weekend plans. I managed to avoid meeting with her this weekend but I’m not sure if my strength to avoid her forever will persist longer coz she is so cute. Sina uhakika kama anataka mahusiano lakini ni ngumu kumkatalia akitaka. The way she talk, the way she look, the way she ask, her figure Uhhhhh! dud Nifanyeje na huyu mtu? Leo nilipanga sinta mpa-lift sikupokea hata simu yake asubuhi lakini nilipofika kituoni ikawa kama mbwa mbele ya chatu.
      Unataka kushikishwa ukuta wewe usione vyaelea kuna jamaa anajinyima kumpendezesha huyo mwanamke
      Deodat and Elia like this.
      **^^+..Ukiuza Utumbo usiogope nzi..+^^**
      Chuda Raha
      Email: [email protected]

    10. #67
      Makoye Matale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Location : Uwandani, Kondeni
      Posts : 1,147
      Rep Power : 637
      Likes Received
      233
      Likes Given
      43

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Tayari ame declare interest kwamba ni Mke wa Mtu, sio halali kwako kuendelea na mawazo ya kufanya nae mapenzi. Umedai kwamba ni mzuri mno, nakuhakikishia huo ni msukumo wa tamaa zako tu.

      'Mungu hamjaribu mtu, lakini kila mmoja hujaribiwa na tamaa zake mwenyewe'.

      Ni ushauri wangu kuwa msaidie lift kama dada yako na usiwe na mawazo ya kimapenzi. Siku moja mualike mwende kwa mchumba wako wakafahamiane na hizo tamaa zako zote zitatoweka kabisa.
      Elia likes this.
      'Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa' Hos. 4:6

    11. RR
      #68
      RR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2007
      Location : Close
      Posts : 5,602
      Rep Power : 1743
      Likes Received
      1018
      Likes Given
      481

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Quote By bht
      sina hakika kama kuna jipya saana uloshauriwa hapa na hukulijua kabla...kuna ukimwi, kuna hatari ya kuvunja uchumba wenu nk. Yote hayo ni dhahiri shahiri...unayafahamu.Acha kutafuta vijisababu vya kujustfy huo upuuzi. Mtapeanaje namaba ya simu kwa ajili ya lifti eti asbh na jioni?Wee mwenyewe unam intertain, ndo maana anakuganda.
      Come on BHT....a man can be a little bit kind...........and he said she is cute.
      Elia likes this.
      Bunge: Upuuzi unaolindwa na sheria...kwa kutumia hela za Watz!

    12. bht
      #69
      bht's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 9,949
      Rep Power : 2499
      Likes Received
      1434
      Likes Given
      909

      Default

      Quote By RR
      Come on BHT....a man can be a little bit kind...........and he said she is cute.
      Ooh that is being kind huh!?She is cute yeah....so what?

    13. #70
      Eliphaz the Temanite's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Posts : 1,171
      Rep Power : 712
      Likes Received
      151
      Likes Given
      29

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      No matter how cute she is dont try that at home! Mke wa mtu ni mwiba mchungu! Don't live with that guilty in your life
      Elia likes this.
      Be Proactive controlling a situation by causing something to happen rather than waiting to respond to it after it happens

    14. #71
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,555
      Rep Power : 5614
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      tell your girlfriend about that woman, believe me she will take care of her.........................
      Elia and Ballerina like this.

    15. #72
      Safety last's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 2,677
      Rep Power : 948
      Likes Received
      516
      Likes Given
      6

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Very simple mpe atakacho then its done hainahaja ya kuendeleza drama !

    16. #73
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,194
      Rep Power : 31379
      Likes Received
      9590
      Likes Given
      683

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Quote By Eliphaz the Temanite
      No matter how cute she is dont try that at home! Mke wa mtu ni mwiba mchungu! Don't live with that guilty in your life
      Huyo mke naye ni hasara tu. Kwanza hastahili hiyo 'title' ya mke. Ni kinguchiro tu. 'Mke' mwenye staha hawezi kuchekea chekea wanaume kiholela.

      In this day and age of the information super-highway, finding a decent partner who has an unimpeachable moral rectitude is like trying to find a needle in a haystack.
      Elia likes this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    17. #74
      rutebukasabas's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 18th April 2011
      Posts : 9
      Rep Power : 411
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Unasikitisha sana! Huyo mchumba wako siku ukimuoa nawenzako wapenda kuwa na uhusiano naye,wewe utafurahi?
      Acha uhuni kwa wake wa wenzio kwa sababu ya lift.
      Mke wa mtu ni sumu!!!!! Fikiria angekuwa mke wako!!!
      Lift isiwe sababu! Mwambie upo bussy na mchumba wako! Kwani mchumba wako ni KIMEO?
      KIMSINGI,mwanamke huyo ni Malaya asiye mpenda mme wake, amekuingiza mjini nawe sasa unaingia!!! Ni hatari sana,mbona mademu bomba wapo wengi sana??
      Elia likes this.

    18. #75
      rutebukasabas's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 18th April 2011
      Posts : 9
      Rep Power : 411
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Kama angekudanganya kuwa hajaolewa,hapo tunge kusamehe! Kama unajua tayari kuwa ni mke wa mtu,mwepuke kama ukoma!!

      Atakuletea matatizo.
      Elia likes this.

    19. #76
      Deodat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2008
      Location : xxxxxxxxxxxxxx.
      Posts : 1,159
      Rep Power : 859
      Likes Received
      133
      Likes Given
      310

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Quote By Nyani Ngabu
      Huyo mke naye ni hasara tu. Kwanza hastahili hiyo 'title' ya mke. Ni kinguchiro tu. 'Mke' mwenye staha hawezi kuchekea chekea wanaume kiholela.

      In this day and age of the information super-highway, finding a decent partner who has an unimpeachable moral rectitude is like trying to find a needle in a haystack.
      Napendaga kusoma post zako hasa kwasababu ya kujifunza ki-inglishi......Ngabu we ni noma!
      Following the herd is a sure way to mediocrity - Patti Wilson

    20. #77
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,194
      Rep Power : 31379
      Likes Received
      9590
      Likes Given
      683

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Quote By Deodat
      Napendaga kusoma post zako hasa kwasababu ya kujifunza ki-inglishi......Ngabu we ni noma!
      Oh yeah? Thanx a million buddy!
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    21. mja
      #78
      mja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 307
      Rep Power : 494
      Likes Received
      54
      Likes Given
      138

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Quote By Elia
      Nilimpa lift jumatano asubuhi wiki iliyopita. Anasoma chuo cha usimamizi wa hotel. Aliomba namba yangu ili ikiwezekana niwe nampa lifti siku moja moja hasa nyakati za asubuhi na jioni. Siku hiyo Jioni alinipigia simu kuniuliza kama nimetoka kazini ili nimsaidie lift. Bahati nzuri nilikuwa karibu kutoka ofcn, akaopt kunisubiri. On ourway home Aliniuliza ninaishi na nani, nikamjibu na wadogo zangu na nina mchumba yupo hapahapa Bongo ila hatuishi nae. Akasema yeye anaishi na mumewe na wana mototo mmoja wa miaka minne, mumewe ni mtu wa kusafiri sana safari za mikoani. Lakini Kuanzia hiyo j’tano she keep on trying to be close to me, also she asked my weekend plans. I managed to avoid meeting with her this weekend but I’m not sure if my strength to avoid her forever will persist longer coz she is so cute. Sina uhakika kama anataka mahusiano lakini ni ngumu kumkatalia akitaka. The way she talk, the way she look, the way she ask, her figure Uhhhhh! dud Nifanyeje na huyu mtu? Leo nilipanga sinta mpa-lift sikupokea hata simu yake asubuhi lakini nilipofika kituoni ikawa kama mbwa mbele ya chatu.
      what goes around comes around, leo ukichukua wa mwenzako kesho watachukua wa kwako utajisikiaje, hata kama yule mume hakuoni acha. just think like this.. mpo wewe na yeye wa tatu ambaye atamwambia mume wake ni Mungu wenu, so do no think mko wawili tu, na zimkufikia mume wakeee... wafaaa ... sumu hiyo wadau wengine wameshasema.. acha , na vile vile mchumba wako akisikiaaaa, utakosa yote wewe..

      shinda majaribu kijana,usipokee simu yake , uki-ignore mara kadhaa basi ata-lose interest
      Elia likes this.

    22. #79
      X-PASTER's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Firdaws (Paradise)
      Posts : 11,859
      Rep Power : 7687
      Likes Received
      1467
      Likes Given
      0

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Better an ugly face than an ugly mind.
      “I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”

      'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.

      (¯`·._.•X-Paster™•._.·´¯)


    23. #80
      Elia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2009
      Location : magogoni
      Posts : 3,173
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      484
      Likes Given
      823

      Default re: Ni mke wa mtu, ni mzuri, ANANITAKA nifanyeje?

      Quote By Lizzy
      Well then weka akili yako kwa mpenzi wako...hiyo mitego unayoongelea hata sijaiona...we unachotaka ni huruma ili ukiamua kufanya kweli urudi hapa kupokea huruma zaidi.Naamini kila mtu anaweza kua na msimamo akitaka....na wewe kua na msimamo.Kam kumpa lift ni tatizo sana mjulishe kwamba hutoweza tena na unaomba msitishe mawasiliano pia.Sidhani kama kuna anachokudai kinachokufanya usiwe na maamuzi juu ya kutaka au kukataa mawasiliano/ukaribu nae.
      Thanks, nimekuelewa
      "Honesty is very expensive gift. Do not expect it from cheap people".
      -Warren Buffet


    Page 4 of 20 FirstFirst ... 2345614 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Huu ni mwanzo mzuri
      By Raia Fulani in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 17
      Last Post: 12th March 2013, 21:05
    2. Mwanamke mzuri...
      By Lizzy in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 248
      Last Post: 8th January 2012, 23:02
    3. Mwanzo mzuri!
      By TzPride in forum Jamii Photos
      Replies: 1
      Last Post: 28th January 2011, 21:46
    4. TID na Abubakari Mzuri
      By Ikena in forum Celebrities Forum
      Replies: 0
      Last Post: 23rd March 2009, 08:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...