Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      uporoto01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2009
      Posts : 4,160
      Rep Power : 1349
      Likes Received
      1250
      Likes Given
      4144

      Default Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Kuna muhindi rafiki yangu juzi katika kufahamiana zaidi nikamuuliza kuhusu watoto wake akaniambia anaye mmoja wa miaka mitano,nikauliza mbona umechelewa hivyo si uliniambia ndoa ina miaka 16 akasema tulikuwa na mwingine mke wangu alichanganyikiwa na kumtupa toka ghorofani akiwa na miaka 2.Mke akawekwa ndani lakini baada ya muda madaktari wakathibitisha alichanganyikiwa kwa muda hakujuwa alilofanya ikabidi aachiwe.Nikamuuliza sasa una uhakika gani hawezi tena kuchanganyikiwa na kumtupa huyu akadai anampenda sana na amehamia nyumba ya chini na kuna wafanyakazi wawili anaowaamini hapo nyumbani asipokuwepo.

      Nauliza hivi wewe unaweza kuendelea kuishi na mtu wa hivi ?
      Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?

    2. Miaka 50

    3. #2
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6124
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Well inategemea mapenzi baina yenu wawili, ila kwa nchi za wenzetu kwa tendo ulilolifanya unanyang'anywa haki za kumlea huyo mtoto sababu unakuwa not capable enough lakini vilevile kuendelea kushi naye inawezekana ikawa njia mojawapo ya kumuonyesha upendo na kuwa unamjali sema tu ndio hivyo you never know when he/she will change na akafanya kituko kingine kwa kweli hapao uporoto ni ngumu sana.
      uporoto01, kasopa and AshaDii like this.

    4. #3
      kinyoba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2011
      Posts : 511
      Rep Power : 506
      Likes Received
      199
      Likes Given
      39

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      kuchanganyikiwa ni sawa na ugonjwa mwingine, tofauti tu ni ugonjwa unaohusisha akili. Mtu yoyote aweza kuchanganyikiwa inategemea na hali iliyomkuta. Kwanini amuache mkewe na aliapa kushi nae kwa shida na raha? Ni sawa tu akiendelea nae.

    5. #4
      uporoto01's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2009
      Posts : 4,160
      Rep Power : 1349
      Likes Received
      1250
      Likes Given
      4144

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Quote By kinyoba
      kuchanganyikiwa ni sawa na ugonjwa mwingine, tofauti tu ni ugonjwa unaohusisha akili. Mtu yoyote aweza kuchanganyikiwa inategemea na hali iliyomkuta. Kwanini amuache mkewe na aliapa kushi nae kwa shida na raha? Ni sawa tu akiendelea nae.
      naongolea usalama wa huyu mtoto.
      Wengi tuna wazo la Tanzania tunayoitaka/hitaji,tutafikaje huko ?

    6. #5
      kasopa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 276
      Rep Power : 498
      Likes Received
      39
      Likes Given
      99

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Mkuu kumuacha mweziwako kwakuwa amechanganyikiwa ni kuonyesha ni kiasi gani humjali na kumsamini wazim ni ugonjwa kwahiyo inategemea na haliyake ikovip na uzuri kumuacha
      uporoto01 likes this.
      A POSITIVE THINKER SEES OPPORTUNITIES IN EVERY DIFFICULTY BUT
      A NEGATIV THINKER SEES DIFFICULTIES IN EVERY OPPORTUNITY"

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      First Born's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th July 2011
      Location : Tanzania Vijiweni
      Posts : 2,724
      Rep Power : 947
      Likes Received
      432
      Likes Given
      199

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Kuna kuwa na matatizo na huwa yanaisha, sio suala la busara kumwacha mwenzio kisa ugonjwa, fananisha huko kuchanganyikiwa sawa na kupata malaria inayotibika kwa Dawa ya mseto, alichanganyikiwa kutokana na stress lakin alitibiwa akapona. Hakuna tatizo.
      uporoto01 likes this.

    9. #7
      Chris_Mambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2010
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 593
      Rep Power : 564
      Likes Received
      114
      Likes Given
      41

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Unajua ikoje? Inapotokea kuna mapenzi ya dhati, matatizo huo hayaonekani kabisa. Hata ikitokea jambo baya limetokea miongoni mwa wapendanao, huwa wanasameheana kiukweli. Umesahau ule usemi wa 'Akipenda chongo huita kengeza?'

    10. #8
      charger's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 1,193
      Rep Power : 669
      Likes Received
      513
      Likes Given
      267

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Inabidi awe makini but "for better for worse" ndio hapo inadhihirika
      The trouble with the rat race is that even if you win you are still a rat!!!!!

    11. #9
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,739
      Rep Power : 10180
      Likes Received
      5676
      Likes Given
      12666

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      huyo rafiki yako ni mtu makini na ana roho ya uanaume......
      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.

    12. #10
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,658
      Rep Power : 71473
      Likes Received
      15886
      Likes Given
      16554

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Quote By uporoto01
      Kuna muhindi rafiki yangu juzi katika kufahamiana zaidi nikamuuliza kuhusu watoto wake akaniambia anaye mmoja wa miaka mitano,nikauliza mbona umechelewa hivyo si uliniambia ndoa ina miaka 16 akasema tulikuwa na mwingine mke wangu alichanganyikiwa na kumtupa toka ghorofani akiwa na miaka 2.Mke akawekwa ndani lakini baada ya muda madaktari wakathibitisha alichanganyikiwa kwa muda hakujuwa alilofanya ikabidi aachiwe.Nikamuuliza sasa una uhakika gani hawezi tena kuchanganyikiwa na kumtupa huyu akadai anampenda sana na amehamia nyumba ya chini na kuna wafanyakazi wawili anaowaamini hapo nyumbani asipokuwepo.

      Nauliza hivi wewe unaweza kuendelea kuishi na mtu wa hivi ?


      CW... hii ni moja ya ile situation likikukuta ndio unajua nini utafanya....

      Huyo baba anastahili pongezi... hayo Mapenzi hakuna mfano....
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    13. BAK
      #11
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,632
      Rep Power : 44971
      Likes Received
      8385
      Likes Given
      8363

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Quote By uporoto01
      Kuna muhindi rafiki yangu juzi katika kufahamiana zaidi nikamuuliza kuhusu watoto wake akaniambia anaye mmoja wa miaka mitano,nikauliza mbona umechelewa hivyo si uliniambia ndoa ina miaka 16 akasema tulikuwa na mwingine mke wangu alichanganyikiwa na kumtupa toka ghorofani akiwa na miaka 2.Mke akawekwa ndani lakini baada ya muda madaktari wakathibitisha alichanganyikiwa kwa muda hakujuwa alilofanya ikabidi aachiwe.Nikamuuliza sasa una uhakika gani hawezi tena kuchanganyikiwa na kumtupa huyu akadai anampenda sana na amehamia nyumba ya chini na kuna wafanyakazi wawili anaowaamini hapo nyumbani asipokuwepo.

      Nauliza hivi wewe unaweza kuendelea kuishi na mtu wa hivi ?
      Duh! inahitaji moyo wa hali ya juu maana hata kufiwa na mtoto kwa hali ya kawaida kunaweza kabisa kusambaratisha ndoa kama wanandoa hawatakuwa makini katika kipindi hicho kigumu kwao.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    14. #12
      GAZETI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Location : ILALA
      Posts : 1,625
      Rep Power : 1304
      Likes Received
      647
      Likes Given
      1174

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Mimi naweza kuwa nae lakini nitakuwa mwangalifu kwa afya yake na mtoto; kwa upande mwingine ilitokea kwa jirani yangu ambaye ana watoto watatu, mkewe alipatwa na wazimu. Kakaa nae kwa miaka miwili katika hali hiyo mpaka alipopona, kamuacha kutokana na ndugu wa mwanamke ambao waliingiza imani za kishirikina kwa kudai kuwa ni yeye mwenyewe ndio kamfanyia hivyo kwa manufaa yake binafsi ya kibiashara ndio maana kadiriki kukaa nae muda wote huo.

    15. #13
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Quote By uporoto01
      naongolea usalama wa huyu mtoto.
      usalama upo kwani umesema amehamia nyumba ya chini na kuna wafanyakazi wawili nyumbani.
      Simulated Automated Breakthroughs....

    16. #14
      Magulumangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Posts : 2,987
      Rep Power : 1074
      Likes Received
      370
      Likes Given
      419

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Quote By uporoto01
      Kuna muhindi rafiki yangu juzi katika kufahamiana zaidi nikamuuliza kuhusu watoto wake akaniambia anaye mmoja wa miaka mitano,nikauliza mbona umechelewa hivyo si uliniambia ndoa ina miaka 16 akasema tulikuwa na mwingine mke wangu alichanganyikiwa na kumtupa toka ghorofani akiwa na miaka 2.Mke akawekwa ndani lakini baada ya muda madaktari wakathibitisha alichanganyikiwa kwa muda hakujuwa alilofanya ikabidi aachiwe.Nikamuuliza sasa una uhakika gani hawezi tena kuchanganyikiwa na kumtupa huyu akadai anampenda sana na amehamia nyumba ya chini na kuna wafanyakazi wawili anaowaamini hapo nyumbani asipokuwepo.

      Nauliza hivi wewe unaweza kuendelea kuishi na mtu wa hivi ?
      Veve kumbe haina siri...mimi dokeza tatizo zangu veve sema kwa forum....mitanzania iko haina fikiria mbaga rahisi yenu...mimi itamtafuta rafiki angu rostam shughulikia veve....
      The Goal is The Love Of a Lifetime, And a Lifetime Of Love Together.....

    17. #15
      Magulumangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Posts : 2,987
      Rep Power : 1074
      Likes Received
      370
      Likes Given
      419

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Mkuu Uporoto kuna jamaa mmoja kama ulishawahi sikia Kenji wa huko mwanza ana ferries(RIP), aliulizwa na jamaa ake kama veve file uliza hindi..mbona una mtoto mmoja na una mali kibao hivi akifa je? Jamaa akamjibu na kwa nini afe? siku mbili muuliza swali akafariki kwa kugongwa na gari...Lkn khs veve mkuu, huyo mhindi anapenda...huangaliagi picha za KIHINDI wewe? au tu misemo ya kiswahili? "anajifanya kupenda kihindi au kichina" sasa hapo mkuu huna la kuuliza tena...
      The Goal is The Love Of a Lifetime, And a Lifetime Of Love Together.....

    18. #16
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,201
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4197
      Likes Given
      638

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Duh! Siku akinitupa mwenyewe je! Aah!
      Kama bado twapendana tutaendelea tu na nitachukua tahadhari. Uporoto usichanganyikiwe ukakatupa kale katoto ketu karembo.

    19. #17
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1458
      Likes Received
      694
      Likes Given
      696

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Mi ntaendelea kuishi nae coz hata madaktari wamethibitisha kua ulikua uchizi wa muda, kwa sasa atakua ni mzima kabisa, isingekua hivyo madaktari wangenipa angalizo natumai!

    20. #18
      Ennie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2011
      Location : DAR ES SALAAAM
      Posts : 1,594
      Rep Power : 817
      Likes Received
      498
      Likes Given
      539

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Hakuna sababu ya kumuacha maana anaweza akachanganyikiwa zaidi,cha muhimu na kuchukua tahadhari tu kama jamaa alipoamua kuhamia nyumba ya chini na kuweka wafanyakazi wawili anaowaamini.

    21. #19
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,091
      Rep Power : 12253
      Likes Received
      6015
      Likes Given
      6854

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Quote By uporoto01
      Kuna muhindi rafiki yangu juzi katika kufahamiana zaidi nikamuuliza kuhusu watoto wake akaniambia anaye mmoja wa miaka mitano,nikauliza mbona umechelewa hivyo si uliniambia ndoa ina miaka 16 akasema tulikuwa na mwingine mke wangu alichanganyikiwa na kumtupa toka ghorofani akiwa na miaka 2.Mke akawekwa ndani lakini baada ya muda madaktari wakathibitisha alichanganyikiwa kwa muda hakujuwa alilofanya ikabidi aachiwe.Nikamuuliza sasa una uhakika gani hawezi tena kuchanganyikiwa na kumtupa huyu akadai anampenda sana na amehamia nyumba ya chini na kuna wafanyakazi wawili anaowaamini hapo nyumbani asipokuwepo.

      Nauliza hivi wewe unaweza kuendelea kuishi na mtu wa hivi ?
      kama imethibitika ni mgonjwa tatizo liko wapi?? au ndio unyanyapaa?
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    22. #20
      Magulumangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Posts : 2,987
      Rep Power : 1074
      Likes Received
      370
      Likes Given
      419

      Default Re: Unaweza kuendelea kuishi naye ?

      Sijui Mhindi kasikia Uporoto1 kamwaga hapa kamtupa mwenyewe? maana haonekani tena...mwenye kujua alipo atoe taarifa jamni...
      uporoto01 likes this.
      The Goal is The Love Of a Lifetime, And a Lifetime Of Love Together.....

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Mawaziri kuendelea kuishi hotelini
      By Mahesabu in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 7
      Last Post: 8th June 2011, 11:18
    2. Nilizaa na kuishi naye.....
      By Bishanga in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 29
      Last Post: 22nd March 2011, 23:05
    3. Replies: 60
      Last Post: 17th March 2011, 19:16
    4. Unaweza kuishi na yupi kati ya hawa?
      By Mkwaruzo in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 16
      Last Post: 26th February 2011, 21:50
    5. Huyu mwanamke unaweza kuishi nae kweli?
      By fundiaminy in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 30
      Last Post: 26th February 2011, 01:36

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...