Wana jf, nipeni sms za mahaba za kusimua sana ambazo naweza mtumia mpenz wangu usiku huu.
Wana jf, nipeni sms za mahaba za kusimua sana ambazo naweza mtumia mpenz wangu usiku huu.
Ashadii, hiyo mistari ni too much to b useful, cmu yenyewe inapokea characters 160.
,,,,,,,,Jisachi
du demu wa jamaa kichwa ngumu,mpaka jamaa anaomba msaad wa MANENO MATAMU?
"nakupende sana na ndo maana nimeamua kesho twende hospitali tukapime"
"Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)
na kweli yaelekea bado mdogo hajajua vema aanzie wapi! hao ndio wale wa kuimbiana bongo flava kabla ya kulala... ili kuonyesha msisitizo wa penzi changa la dhati wakati nyuma ya pazia ana shazi la wapenzi wa mpito! lakini mwetu sie wakomavu tunajua sms za kuandikiana. maana wakati mwingine mtu una mpenzi ambae ni mume/mke wa mtu, basi jioni kabla giza mshapigiana kutakiana usingizi mwema! na uck ni sms fupi tu ' g9te hun'. nae ajibu same to u! na kama mke/mumewe ni wale wa kuchakura cm za wenzao basi hakuna kutumiana sms maana ni ushahidi ukiweza unatwanga tu cm na mnatakiana uck mwema kiutu uzima mbele ya mwenye mali!
Mpenzi wangu, kuwa na wewe kumenifanya niyaangalie maisha kwa jicho la pili, umenipa reason ya kufanya kazi kwa bidii ili tuje tuishi maisha mazuri badae na familia yetu, nakupenda sana mpenzi only you can make me feel this way, please dont change the plan we had
You Only live Once....But if you do it right, Once is enough
mbona simple 'nikinywa maji nakuona kwenye grasi,usiku sipati usingizi juu yako,in shot una make headlines kwenye moyo wangu..
aaaaaaiiiiiiiiiii!!!!!!!!!! ku dooo unajua?????? teh teh teh
Mtumie Avatar yangu mmmmhhhhh
Ngoja niende kazini!
mhhh AshaDii sis upo wapi..? njiwa nina salamu
Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯
Mmmmh ,, unabahati ww
Fish love water but me ,ilove u,, au haifai hiyo?
kaktika suala hili ni muhimu kumfahamu vizuri huyo menzi wako na kitu gani anachokipenda basi utajua umwambie nini ili nae ajue kuwa unampenda kwa dhati
mwambie mother love father,sister love brother but me i love you!ah enzi zetu bwana!
IT TAKES A MAN TO CONSTRUCT A HOUSE BUT IT NEEDS A WOMAN TO MAKE A HOME!
Follow Us Here