Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Understand that speacial lady you have fallen for....

    Report Post
    Page 1 of 16 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 311
    1. #1
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16762

      Default Understand that speacial lady you have fallen for....


      Tips za kumuelewa that Special Single lady you have fallen for…


      Habari wana JF/GT... Naamini all is well na going on in the same pace...

      Uelewa wangu ni kwamba hata tufanye vipi au tuchukue masomo hadi PHD kusoma ama kuelewa your opposite sex, ni vigumu saana kwa wanawake kuelewa akili na mawazo ya kaka zetu zaidi ya njia ya presumption tu… na vivyo hivyo kwa wanaume dhidi ya wanawake.. Kwa Yule in need na kutapatapa kuweza kuelewana nimetoa tips kwa kina kaka ni jinsi gani ya kuwaelewa hao single ladies; ambazo nafahamu tokana na observation za rafiki, ndugu na jamaa ambao ni wadada… hii yaweza walau kukusaidia kumuelewa kidogo dada ulomwangukia…

      14 – 18 years..

      Hapa maelezo sio marefu kwa ufupi, hii age nawaomba kaka/baba zetu muache kuwavua nguo za ndani hawa watoto… pamoja na kusema isha kua common kweli haipendezi… enways hii sasa topic nyingine…

      19 – 25 years

      Anajiona kua kawa mtu mzima na hutaka saana awe treated kama mdada..She is half wild, minimally exposed, akiamini kua yeye ni yeye.. hujiachia saana, uvumilivu katika mahusiano sio saana after all wanaomtongoza na kum admire ni wengi saana, anajiona na kuamini kwa dhati ni mzuri hata kama sio (ila hukereka na kiungo kimoja wapo mwilini i.e pua, mdomo, boobs, wowowo, miguu, n.k). Katika love kwake kila kitu ni black and white… Hujiamini pia katika mahusiano na huamini sababu tu analala na the guy – hawezi dhubutu kumuacha yeye (the lady) au kumchanganya na wengine… Na la muhimu huamini huwezi ingia katika mahusiano kama hujapenda… Hii ndo period ambayo wadada tunakua most naïve… Stage hii mwanaume akimuangalia anajua kapendwa…

      26 – 32 years

      Fully exposed, fully discovered, fully endowed… almost perfect (in attitude as well as physical make up)… In this stage she is HOT! Yuko more calculated, katika mahusiano, mapenzi si lazima but sex muhimu saana.. she is independent (sometimes just pretending to be..).. anajua ni nini anataka, mpaka kafika hapa kaumizwa mara nyingi hivyo yuko makini na ana prefer kuingia mahusiano na a guy anaeonekana yupo serious in a relation na ni husband material.. hata akipenda sana wengi huogopa kuonesha mapenzi ya dhati kwa mpenzi wake.. tokana na past experiences… Stage hii mwanaume akimuangalia anaamini anaangaliwa as a result of lust/tamaa…

      33 – 38 years

      Bado yupo desirable, yupo more wise, a bit quiet.. bahati mbaya in most cases very depressed hasa kuhusiana na issue ya kupata mume.. she so needs to get married to the extent anaweza angukia pabaya ili mradi tu apate huyo mume.. katika stage hii mahusiano hayaangalii mapenzi wala sex.. it is more about the image kua lazima nae aolewe (image ambayo inakua forced tokana na jamii ilomzunguka) in this age hutambua kua rafiki zake woote wameolewa na wamesha pata first, second or third borne.. Hili group hupenda serious relationships with serious men wa kuwaoa but bahati mbaya saana wanaofaa kumuoa most wanafamilia ama stable girlfriends/fiancee… hio hupelekea wengi kukata tamaa na kuzaa tu na jamaa ambae kwake anaona ana qualify.. hapa usishangae hata ambae hakujui kwa bibi/babu anashawishika kwenda hasa anapopata mume wa mtu ambae very potential husband material… Stage hii mwanaume akimuangalia anahisi kafananishwa…

      39 years and onwards…

      Every man walomzunguka may know she is single but very few want to approach her.. huyu yupo kwa ajili ya maisha yake binafsi, she has given up kupata life partner! Kwa wale wanaopenda /endekeza sex – one night stands ni kwa saaana… Stage hii mwanaume akionesha interest anaelewa deep down in her kua ni pa kupumulia (for the guy…) And this stage ni maarufu saaana kwa Serengeti Boys….

      Note:

      The above mtazamo ni wangu sio Universal na nime observe majority ndo naona na kuamini wako/tuko hivyo… zingatia imelenga kwa wadada ambao hawajawahi olewa kabisa…

      Kina dada/mama nitaomba mchango wenu kama mnakubali au lah! Na kuongezea mtazamo wako/wenu… Kina kaka/baba naomba mchango wenu hasa kwa kuzingatia personal/friends experience wakati wa kututokea akina dada/mama wa rika tofauti…

      NB: Off topic

      Jamani I missed jamvini na wanafamilia wa MMU wooooote! Yaani almost niwe admitted hopitalini... (kidding..lol) Serious note: I really had missed you all in ways I thot not possible… Cku njema dears and want you to know Ashadii loves you all…

      Ashadii (Fellow JF members.. Please notice the name change….)
      Pamoja saana.


      Masaki, Mbu, PainKiller and 26 others like this.
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)


    2. #2
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6127
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Very nice article alias nimeipenda ila one thing kwa wasichana between age ya 18 - 28 kwa msemo wa mjini wanasema ni micharuko ingawa inawezekana sio wote lakini mostly huwa wanakuwa bado na mambo ya kitoto wengi wao hawaangalii maisha all they do care is what you have na akibahatika aka-stick na wewe basi kuna kitu anakuwa kaona unacho lakini that age naweza kusema wengi wao ni pasua vichwa sana (sio wote).

      Unasema labda nikimchukua wa this age (18-28) anakuwa bado young kumbe ndio she will drive you nuts mpaka utachoka.
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    3. #3
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16762

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By The Finest View Post
      Very nice article alias nimeipenda ila one thing kwa wasichana between age ya 18 - 28 kwa msemo wa mjini wanasema ni micharuko ingawa inawezekana sio wote lakini mostly huwa wanakuwa bado na mambo ya kitoto wengi wao hawaangalii maisha all they do care is what you have na akibahatika aka-stick na wewe basi kuna kitu anakuwa kaona unacho lakini that age naweza kusema wengi wao ni pasua vichwa sana (sio wote).

      Unasema labda nikimchukua wa this age (18-28) anakuwa bado young kumbe ndio she will drive you nuts mpaka utachoka.

      ha ha ha.... PA that is definitely spoken from experience...
      nimeongeza ujuzi, na kweli kama ulivyosema (si wote)
      Asante kwa the insight for i bliv will be useful in the long run...
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    4. #4
      Oxlade-Chamberlain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : dodoma
      Posts : 7,624
      Rep Power : 4427
      Likes Received
      794
      Likes Given
      753

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Asante sana Ashadii.

      Mapenzi mchezo wa jabu sana.
      The Finest and AshaDii like this.
      "Nobody has enough talent to live on talent alone. Even when you have talent, a life without work goes nowhere". A. Wenger

    5. #5
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6127
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Ashadii View Post
      ha ha ha.... PA that is definitely spoken from experience...
      nimeongeza ujuzi, na kweli kama ulivyosema (si wote)
      Asante kwa the insight for i bliv will be useful in the long run...
      Unanicheka sawa bwana lol, I would suggest 30 thou kuna watu watapingana na mimi kuwa at that age umri wa mwanamke umeenda sana lakini for me i believe at that age well maturity inakuwa kubwa kidogo thou unaweza kukutana na wachache ambao bado mindset zao hazijatulia.
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"



    6. #6
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16762

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Arsene Wenger View Post
      Asante sana Ashadii.

      Mapenzi mchezo wa jabu sana.

      Arsene Wenger, sijui kwanini hayazoeleki,
      but my hope kua hivyo hivyo mdogo mdogo tutafika....
      Oxlade-Chamberlain likes this.
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    7. #7
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6127
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Arsene Wenger View Post
      Asante sana Ashadii.

      Mapenzi mchezo wa jabu sana.
      Hahahaa ukiwa unaongoza goli 3 -0 unashangaa watu wamerudisha yote wameongeza na mengine mawili
      Oxlade-Chamberlain likes this.
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    8. #8
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16762

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By The Finest View Post
      Unanicheka sawa bwana lol, I would suggest 30 thou kuna watu watapingana na mimi kuwa at that age umri wa mwanamke umeenda sana lakini for me i believe at that age well maturity inakuwa kubwa kidogo thou unaweza kukutana na wachache ambao bado mindset zao hazijatulia.
      Bana PA, you are juggling the wrong gals, yaani kila dada wa 25 onwards
      unaempata ni mchakachuaji.... i think there is something wrong somewhere...
      alafu hata mimi sikushauri the age you are interested in, labda kama ungekua
      mid 30 na kuendelea... Sikucheki by the way...lol... kufurahi is inevitable....
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    9. #9
      Oxlade-Chamberlain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : dodoma
      Posts : 7,624
      Rep Power : 4427
      Likes Received
      794
      Likes Given
      753

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Ashadii View Post
      Arsene Wenger, sijui kwanini hayazoeleki,
      but my hope kua hivyo hivyo mdogo mdogo tutafika....
      Hayazoeleki kabisa. Mimi nimejifunza mengi sana na sasa na deal nayo siku kwa siku na huwa nimejiandaa kwa lolote; japo huw nimejiandaa kwa lolote, sijuzuii kutoa mchango wangu wote kwenye mahusiano hili kuboresha mapenzi.
      Maty and AshaDii like this.
      "Nobody has enough talent to live on talent alone. Even when you have talent, a life without work goes nowhere". A. Wenger

    10. #10
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16762

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Arsene Wenger View Post
      Hayazoeleki kabisa. Mimi nimejifunza mengi sana na sasa na deal nayo siku kwa siku na huwa nimejiandaa kwa lolote.

      AW mwaga basi ideas tokana na experience zako... (if you don't mind...)
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    11. #11
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6127
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Ashadii View Post
      Bana PA, you are juggling the wrong gals, yaani kila dada wa 25 onwards
      unaempata ni mchakachuaji.... i think there is something wrong somewhere...
      alafu hata mimi sikushauri the age you are interested in, labda kama ungekua
      mid 30 na kuendelea... Sikucheki by the way...lol... kufurahi is inevitable....
      The gud thing ni kwamba i have seen it happening to my friends as well like i said NOT ALL OF THEM but in most cases age hiyo ni maumivu tu, category wise ingekuwa 18 - 28, halafu 29 - 33 halafu 35 - 39
      Maty likes this.
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    12. #12
      Oxlade-Chamberlain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : dodoma
      Posts : 7,624
      Rep Power : 4427
      Likes Received
      794
      Likes Given
      753

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By The Finest View Post
      Hahahaa ukiwa unaongoza goli 3 -0 unashangaa watu wamerudisha yote wameongeza na mengine mawili
      We acha mkuu.
      "Nobody has enough talent to live on talent alone. Even when you have talent, a life without work goes nowhere". A. Wenger

    13. #13
      Mentor's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Location : On my way to Heaven!
      Posts : 6,108
      Rep Power : 5300
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      9805

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Mh...mtazamo wa ki darisalama zaidi...jus saying!!!!!

      Off topic: wat's behind the name change!??
      Aza and AshaDii like this.
      "Be an example.." 1 Timothy 4:12
      Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.
      Mndu Kangikunda naware rero Lyako..John 14:23
      NACHO CHA RUWA
      !

    14. #14
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6127
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Arsene Wenger View Post
      Hayazoeleki kabisa. Mimi nimejifunza mengi sana na sasa na deal nayo siku kwa siku na huwa nimejiandaa kwa lolote; japo huw nimejiandaa kwa lolote, sijuzuii kutoa mchango wangu wote kwenye mahusiano hili kuboresha mapenzi.
      Halafu ukijaribu kuyazoea ndio mwanzo wa kuanza kuona the other side of the coin, ukipigwa shavu la kushoto ukijaribu kulificha na kushoto lisipigwe unashangaa nalo umeishapigwa
      Maty likes this.
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    15. #15
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16762

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By The Finest View Post
      The gud thing ni kwamba i have seen it happening to my friends as well like i said NOT ALL OF THEM but in most cases age hiyo ni maumivu tu, category wise ingekuwa 18 - 28, halafu 29 - 33 halafu 35 - 39

      I am confident birds of the same feather flock together...
      The company of your friends najua.naamini sio tofauti na the way
      ulivyo thus are drawn to the same type of women who hang and do
      the same type of things... representing a certain type of class....

      Unanipata hapa??... Na hope that file is closer.. you need filing leo..
      Masikini_Jeuri likes this.
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    16. #16
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16762

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Mentor View Post
      Mh...mtazamo wa ki darisalama zaidi...jus saying!!!!!

      Off topic: wat's behind the name change!??

      Penye red, ndo nilio lenga thus Kabisa!!
      Off topic: Very speacial reasons/i really had to do it.
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    17. #17
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6127
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Ashadii View Post
      I am confident birds of the same feather flock together...
      The company of your friends najua.naamini sio tofauti na the way
      ulivyo thus are drawn to the same type of women who hang and do
      the same type of things... representing a certain type of class....

      Unanipata hapa??... Na hope that file is closer.. you need filing leo..
      Halafu nilichogundua ni kwamba why is not only me ambaye ninasema age hiyo wanakuwa na issues sana i mean out of ten lazima seven of them watakwambia hivyo trust me, by the way that file sijui limeibiwa jana usiku mbona silioni
      Masikini_Jeuri likes this.
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    18. #18
      Mentor's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 14th October 2008
      Location : On my way to Heaven!
      Posts : 6,108
      Rep Power : 5300
      Likes Received
      3572
      Likes Given
      9805

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Ashadii View Post
      Penye red, ndo nilio lenga thus Kabisa!!
      Off topic: Very speacial reasons/i really had to do it.
      oooo..thank God I won't have to deal with those!!! Yani sasa hivi niko kikazi huku for a while lakini i dont want kuzoeana hovyohovyo!!!
      as long as umespend at least three yrs in Dar..u r off my list!!! seriously!
      EMT, Aza, katelero and 1 others like this.
      "Be an example.." 1 Timothy 4:12
      Irere lya Isembo ni ndeu - Benki ya mjinga ni tumbo lake.
      Mndu Kangikunda naware rero Lyako..John 14:23
      NACHO CHA RUWA
      !

    19. #19
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16762

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By Mentor View Post
      oooo..thank God I won't have to deal with those!!! Yani sasa hivi niko kikazi huku for a while lakini i dont want kuzoeana hovyohovyo!!!
      as long as umespend at least three yrs in Dar..u r off my list!!! seriously!

      ha ha ha.... mie sina mbavu, kumbe dawa mdada akionana nawe aseme mimi mgeni hapa Dar??lol
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    20. #20
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16762

      Default Re: Understand that speacial lady you have fallen for....

      Quote By The Finest View Post
      Halafu nilichogundua ni kwamba why is not only me ambaye ninasema age hiyo wanakuwa na issues sana i mean out of ten lazima seven of them watakwambia hivyo trust me, by the way that file sijui limeibiwa jana usiku mbona silioni
      Itabidi PA tuhamishie kijijini.... ha ha ha... umeona Mentor alivyosema....
      Toka jana naona una hints za blackmailing umekataa... haya bana nimbanie tu!
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    Page 1 of 16 12311 ... LastLast

    Similar Topics

    1. The Speacial One Not!
      By Ameir in forum Sports
      Replies: 0
      Last Post: 24th June 2011, 16:42
    2. Why we Oppose Them: In Memory of Fallen Heroes of Democracy
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 78
      Last Post: 14th January 2011, 18:28
    3. Replies: 0
      Last Post: 11th January 2011, 21:42
    4. my wife has fallen out of love with me, now what??
      By Felixonfellix in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 32
      Last Post: 5th May 2010, 15:43
    5. Fallen Soldier Thought Afghan Mission 'Useless'
      By X-PASTER in forum International Forum
      Replies: 2
      Last Post: 23rd September 2009, 21:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...