Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je huu ni uungwana jamani?

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 75
    1. #1
      bacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Posts : 3,928
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      635
      Likes Given
      1288

      Default Je huu ni uungwana jamani?

      Habari zenu wote wapendwa...................... .....

      Rafiki wa dada yangu amekuwa akilalamika hivi majuzi kuwa mume wake,
      amekosa uungwana/upendo na uvumilivu. Huyu dada pamoja na kuwa anaishi mbali na mume wake kutokana na majukumu ya kazi, lakini amekuwa akiisaidia sana familia kwa kugharamia matumizi yote ya nyumbani kuanzia chakula, matibabu, usafiri na mambo yote muhimu ya kimaisha.

      Sasa amekuja kugundua kuwa mume wake anatembea na mwanamke mwingine,na isitoshe huwa anamleta mpaka hapo nyumbani. Mara baada ya huyu dada kugundua hayo aliona ni bora asitishe kupeleka fedha nyumbani, ukichanganya na hasira kidogo aliyokuwa nayo basi ndo hivyo tena. Pamoja na haya yote bado mumewe amekuwa ni mtu wa kumletea dharau sana na maneno yasokuwa na heshma. Lakini kwa jinsi huyu bwana asivyokuwa na haya, anazidi tena kumpigia magoti mkewe ili atume pesa za matumizi hapo nyumbani!

      wanajamii,Je huu ni uungwana kweli?
      MwanajamiiOne likes this.
      NYUKI hapigwi BUSU........................


    2. #2
      Sumba-Wanga's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : Gambushi
      Posts : 4,326
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      873
      Likes Given
      938

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      La hasha sio uungwana!

      It is obvious that the guy values money, more than his wife!
      "A man's or woman's best or worst choice in life is his or her spouse"

    3. #3
      Dena Amsi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Location : Saayo
      Posts : 11,907
      Rep Power : 8744
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      1596

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By bacha View Post
      Habari zenu wote wapendwa...................... .....

      Rafiki wa dada yangu amekuwa akilalamika hivi majuzi kuwa mume wake,
      amekosa uungwana/upendo na uvumilivu. Huyu dada pamoja na kuwa anaishi mbali na mume wake kutokana na majukumu ya kazi, lakini amekuwa akiisaidia sana familia kwa kugharamia matumizi yote ya nyumbani kuanzia chakula, matibabu, usafiri na mambo yote muhimu ya kimaisha.

      Sasa amekuja kugundua kuwa mume wake anatembea na mwanamke mwingine,na isitoshe huwa anamleta mpaka hapo nyumbani. Mara baada ya huyu dada kugundua hayo aliona ni bora asitishe kupeleka fedha nyumbani, ukichanganya na hasira kidogo aliyokuwa nayo basi ndo hivyo tena. Pamoja na haya yote bado mumewe amekuwa ni mtu wa kumletea dharau sana na maneno yasokuwa na heshma. Lakini kwa jinsi huyu bwana asivyokuwa na haya, anazidi tena kumpigia magoti mkewe ili atume pesa za matumizi hapo nyumbani!

      wanajamii,Je huu ni uungwana kweli?
      Jamani jamani ni nini hii yaani wameshindwa kumalizana huko mpaka unamleta nyumbani???

      Kwa kweli huu si uungwana kha!!! Natamani kulia kabisa kha!!!
      The Finest likes this.
      A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"

    4. #4
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,738
      Rep Power : 758
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Nani kaolewa kati ya hao wawili? maana mwanaume kuomba fedha za matumizi na kupiga magoti kabisa huo ni ulimbukeni atafute pesa ya kuhudumia ndoa zake zote

    5. #5
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6128
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Huyu Mwanaume afanyi kazi au ni Marioo tu
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"



    6. #6
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6128
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By bacha View Post
      Habari zenu wote wapendwa...................... .....

      Rafiki wa dada yangu amekuwa akilalamika hivi majuzi kuwa mume wake,
      amekosa uungwana/upendo na uvumilivu. Huyu dada pamoja na kuwa anaishi mbali na mume wake kutokana na majukumu ya kazi, lakini amekuwa akiisaidia sana familia kwa kugharamia matumizi yote ya nyumbani kuanzia chakula, matibabu, usafiri na mambo yote muhimu ya kimaisha.

      Sasa amekuja kugundua kuwa mume wake anatembea na mwanamke mwingine,na isitoshe huwa anamleta mpaka hapo nyumbani. Mara baada ya huyu dada kugundua hayo aliona ni bora asitishe kupeleka fedha nyumbani, ukichanganya na hasira kidogo aliyokuwa nayo basi ndo hivyo tena. Pamoja na haya yote bado mumewe amekuwa ni mtu wa kumletea dharau sana na maneno yasokuwa na heshma. Lakini kwa jinsi huyu bwana asivyokuwa na haya, anazidi tena kumpigia magoti mkewe ili atume pesa za matumizi hapo nyumbani!

      wanajamii,Je huu ni uungwana kweli?
      Mwanaume gani unaomba fedha za matumizi hadi unapiga magoti kama sio Marioo ni nini??
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    7. #7
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,342
      Rep Power : 13772
      Likes Received
      5165
      Likes Given
      4566

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By bacha View Post
      Habari zenu wote wapendwa...................... .....

      Rafiki wa dada yangu amekuwa akilalamika hivi majuzi kuwa mume wake,
      amekosa uungwana/upendo na uvumilivu. Huyu dada pamoja na kuwa anaishi mbali na mume wake kutokana na majukumu ya kazi, lakini amekuwa akiisaidia sana familia kwa kugharamia matumizi yote ya nyumbani kuanzia chakula, matibabu, usafiri na mambo yote muhimu ya kimaisha.

      Sasa amekuja kugundua kuwa mume wake anatembea na mwanamke mwingine,na isitoshe huwa anamleta mpaka hapo nyumbani. Mara baada ya huyu dada kugundua hayo aliona ni bora asitishe kupeleka fedha nyumbani, ukichanganya na hasira kidogo aliyokuwa nayo basi ndo hivyo tena. Pamoja na haya yote bado mumewe amekuwa ni mtu wa kumletea dharau sana na maneno yasokuwa na heshma. Lakini kwa jinsi huyu bwana asivyokuwa na haya, anazidi tena kumpigia magoti mkewe ili atume pesa za matumizi hapo nyumbani!

      wanajamii,Je huu ni uungwana kweli?
      bacha naomba nikutanie..................... ..

      Rafiki wa dadako afu we hizi habari unazijua kiundani hivi!!! afu nijuavyo weye ni mkaka ila kwa jinsi ulivyoandika mh............. imekuuma/kukera sana anachokifanya huyu mwanaume mwenzio (which is not normal- wanaume huwa mna tendency ya kuteteana!!

      Ni utani tu my friend.

      BTW
      hapa ninachowezaona ni kuwa mwanaume anaujua udhaifu wa mkewe na ndio maana anayafanya hayo. Lakini je baada ya huyo mdada kugundua kuwa ana mshirika, amejaribu kumconfront mumewe?? Kwa sababu huwenda huyo mume anakosa haya kwa kuwa anajua siri yake bado ni siri na mkewe hajui. Sasa haya ataipata wapi? pengine angejua kuwa mkewe kajua anacheat, angezipata haya na kupunguza dharau na kuomba matumizi!
      Excellent likes this.
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    8. #8
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6128
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Halafu kuna dharau zingine zimevuka mipaka wewe mwanaume gani unaleta nyumba ndogo hadi nyumbani kwako sio tu hauheshimu ndoa yako bali unadhalilisha familia yako nzima. Pambaff kabisa, Shenzi taipu F***&%^
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    9. #9
      Dena Amsi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Location : Saayo
      Posts : 11,907
      Rep Power : 8744
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      1596

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By The Finest View Post
      Huyu Mwanaume afanyi kazi au ni Marioo tu
      Hiyo red namsubiri Maty maanda ndo mtaalamu wa hao
      A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"

    10. #10
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,617
      Rep Power : 26577
      Likes Received
      5850
      Likes Given
      5721

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Dahhh..
      huu si uungwana kabisa na ni aibu sana..

      maskini usikute dada wa watu anateseka huko na kazi anatuma fedha nyumbani mumeo anachukua hizo fedha na kutesa na hawara wake... kuna watu hawana huruma kabisaa

    11. Mbu is offline
      Mbu
      #11
      Mbu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2007
      Location : Stagnant Springs
      Posts : 10,834
      Rep Power : 9995
      Likes Received
      4713
      Likes Given
      6220

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By bacha View Post
      Habari zenu wote wapendwa...................... .....

      Rafiki wa dada yangu amekuwa akilalamika hivi majuzi kuwa mume wake,
      amekosa uungwana/upendo na uvumilivu. Huyu dada pamoja na kuwa anaishi mbali na mume wake kutokana na majukumu ya kazi, lakini amekuwa akiisaidia sana familia kwa kugharamia matumizi yote ya nyumbani kuanzia chakula, matibabu, usafiri na mambo yote muhimu ya kimaisha.

      Sasa amekuja kugundua kuwa mume wake anatembea na mwanamke mwingine,na isitoshe huwa anamleta mpaka hapo nyumbani. Mara baada ya huyu dada kugundua hayo aliona ni bora asitishe kupeleka fedha nyumbani, ukichanganya na hasira kidogo aliyokuwa nayo basi ndo hivyo tena. Pamoja na haya yote bado mumewe amekuwa ni mtu wa kumletea dharau sana na maneno yasokuwa na heshma. Lakini kwa jinsi huyu bwana asivyokuwa na haya, anazidi tena kumpigia magoti mkewe ili atume pesa za matumizi hapo nyumbani!

      wanajamii,Je huu ni uungwana kweli?
      "...kitanda usichokilalia!" ...Kila nyumba ina staarabu zake. Kuna baadhi ya mambo inakubidi 'ufunike kombe mwanaharamu apite.'

      Wote wawili si waungwana (kwa kisa hiki,) Unless umekusudia kusutwa na hao 'waarabu wa Pemba wanaojuana kwa vilemba.'
      MwanajamiiOne likes this.
      #Dunia ni yako :Chaguo ni lako.



    12. #12
      Dena Amsi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Location : Saayo
      Posts : 11,907
      Rep Power : 8744
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      1596

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By The Finest View Post
      Halafu kuna dharau zingine zimevuka mipaka wewe mwanaume gani unaleta nyumba ndogo hadi nyumbani kwako sio tu hauheshimu ndoa yako bali unadhalilisha familia yako nzima. Pambaff kabisa, Shenzi taipu F***&%^
      Leo unamabusara hii nimeipenda sana good boy!!!!
      The Finest likes this.
      A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"

    13. #13
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,857
      Rep Power : 1911
      Likes Received
      1182
      Likes Given
      1010

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Wanawake sijui huwa na shetani gani?

      Kwa nini umtunze mume? Mimi mke wangu akininunulia hata c h u p i huwa naamini amechepuka kidogo siku hiyo!

      Mwanamume yoyote anayetunzwa na mke wake ni LAZIMA atakuwa anao wanawake wengi nje ya ndoa maana anafurahia "kutunzwa"!
      WiseLady and Dena Amsi like this.
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    14. #14
      bacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Posts : 3,928
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      635
      Likes Given
      1288

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By Kifulambute View Post
      Nani kaolewa kati ya hao wawili? maana mwanaume kuomba fedha za matumizi na kupiga magoti kabisa huo ni ulimbukeni atafute pesa ya kuhudumia ndoa zake zote

      Kifulambute, si huwa wanasema kuwa mwanamke akiwezeshwa nae anaweza!!!!!!!!!!!!!!
      NYUKI hapigwi BUSU........................

    15. #15
      Dena Amsi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Location : Saayo
      Posts : 11,907
      Rep Power : 8744
      Likes Received
      3197
      Likes Given
      1596

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By afrodenzi View Post
      Dahhh..
      huu si uungwana kabisa na ni aibu sana..

      maskini usikute dada wa watu anateseka huko na kazi anatuma fedha nyumbani mumeo anachukua hizo fedha na kutesa na hawara wake... kuna watu hawana huruma kabisaa
      Good Girl
      A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"

    16. #16
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,617
      Rep Power : 26577
      Likes Received
      5850
      Likes Given
      5721

      Default

      Quote By Dena Amsi View Post
      Good Girl
      Sis saita...

      hivi tumfanyeje mwanaume kama huyu???

    17. #17
      bacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Posts : 3,928
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      635
      Likes Given
      1288

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By Baba_Enock View Post
      Wanawake sijui huwa na shetani gani?

      Kwa nini umtunze mume? Mimi mke wangu akininunulia hata c h u p i huwa naamini amechepuka kidogo siku hiyo!

      Mwanamume yoyote anayetunzwa na mke wake ni LAZIMA atakuwa anao wanawake wengi nje ya ndoa maana anafurahia "kutunzwa"!


      nimekupata mkubwa........“To be great is to be misunderstood.”
      NYUKI hapigwi BUSU........................

    18. #18
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6128
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By Dena Amsi View Post
      Hiyo red namsubiri Maty maanda ndo mtaalamu wa hao
      Quote By Dena Amsi View Post
      Leo unamabusara hii nimeipenda sana good boy!!!!
      Dada yangu kuna mambo mengine ni kutiana aibu tu halafu mwanaume mzima unaenda kumpigia magoti mwanamke kumuomba hela ya matumizi halafu anaenda kuzitumia na nyumba ndogo ambayo hiyo hiyo anaileta nyumbani, mimi kwa upande mwingine namlaumu huyu mwanamke analiona kosa halafu bado anaendelea kulifumbia macho maana baadae akija kusimulia mwanamke ndio ataonekana mwenye makosa kwa kuacha upuuzi na ushenzi huu uendelee hata kama ni ndoa, ndoa gani ya kudhalilishana kiasi hicho si ajabu huyu mwanaume anatumia kitanda hicho hicho wanacholala na mkewe kulala na hiyo nyumba ndogo yake.Pumbavu zake kabisa huyu.
      Dena Amsi likes this.
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    19. #19
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6128
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4948

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By afrodenzi View Post
      Sis saita...

      hivi tumfanyeje mwanaume kama huyu???
      You chop off his thing
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    20. #20
      bacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Posts : 3,928
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      635
      Likes Given
      1288

      Default Re: Je huu ni uungwana jamani?

      Quote By The Finest View Post
      Halafu kuna dharau zingine zimevuka mipaka wewe mwanaume gani unaleta nyumba ndogo hadi nyumbani kwako sio tu hauheshimu ndoa yako bali unadhalilisha familia yako nzima. Pambaff kabisa, Shenzi taipu F***&%^
      kazi kweli kweli!
      huyu jamaa hata kwenye kile chama hafai kuwa hata mfagia ofisi......lol....
      NYUKI hapigwi BUSU........................

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. JE huu ni uungwana????????
      By matumbo in forum JF Chit-Chat
      Replies: 19
      Last Post: 30th September 2011, 23:20
    2. Je huu ni uungwana?
      By shoshte in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 19
      Last Post: 21st June 2011, 17:23
    3. Je huu ni uungwana?
      By Bishanga in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 120
      Last Post: 19th May 2011, 22:38
    4. uungwana ni vitendo
      By Hemed Suya in forum Utambulisho (Member Intro Forum)
      Replies: 14
      Last Post: 24th March 2011, 23:21
    5. Ahsante JK kwa Uungwana
      By QUALITY in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 20
      Last Post: 16th March 2011, 20:48

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...