Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Uwezo wa tendo la ndoa

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 31
    1. #1
      Mbava's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th May 2011
      Posts : 30
      Rep Power : 415
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Uwezo wa tendo la ndoa

      Ni katika umri upi Mwanaume huwa kiwango cha uwezo wa kufanya tendo la ndoa hushuka. Msaada jamani? Mpooo!


    2. #2
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16761

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Wanawake wametofautiana na maumbile ya walio wengi wao hua wanapofanya hio shughuli hawabahatiki kufika safari yao.... Au wakifika safari inachukua siku nyiingi mno hivyo kumfanya mwanaume anaemsindikiza hio safari kuchoka na kuishia njiani... au akafika kabisa - lakini kutotaka arudie safari na huyo mdada/mmama. Hiyo inawafanya wanawake wengi akifika utu uzima na akaolewa kwake inatosha hajali hio safari wengine wakiwa na umri hata chini ya miaka 30...

      The most common ni kipindi ambacho mwanamke akifika wakati wa menopause from 45 -60 (hedhi hukatika hapa) ni moja ya sababu kubwa mana humfanya mwanamke ajisikie kama kapitwa na wakati na uzee ndo usha ingia - na kama unavyoelewa kua psychology ina play part kubwa saana katika sex...

      Hata hivyo personaly naamini hakuna umri kamili... ina vary from a woman to woman, conditions and environment pia... Ila sana kuanzia miaka ya late thirties (hasa wanaoishi maisha magumu) to hata early sixties (mara nyingi maisha mazuri) kwa wale wachache wenye bahati yao ya kuweza safiri bado....
      Rutashubanyuma and Excellent like this.
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    3. #3
      Jestina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 3,672
      Rep Power : 1460
      Likes Received
      861
      Likes Given
      382

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      ASHA mtoa mada ametaka kujua wanaume sio wanawake
      wilbald, Rose1980 and AshaDii like this.

    4. #4
      Mbava's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th May 2011
      Posts : 30
      Rep Power : 415
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Nazungumzia wanaume, na sio wanawake please? Go on.

    5. #5
      Ndumbayeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2009
      Posts : 1,105
      Rep Power : 750
      Likes Received
      100
      Likes Given
      839

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      kuanzia miaka 40. kwa wale wanaofanya mchezo mbaya 35
      Excellent likes this.


    6. #6
      Magulumangu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2010
      Posts : 3,004
      Rep Power : 1080
      Likes Received
      378
      Likes Given
      424

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Akifa au kuhasiwa otherwise ngoma mbele
      Excellent likes this.
      The Goal is The Love Of a Lifetime, And a Lifetime Of Love Together.....

    7. #7
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16761

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Quote By saaly View Post
      ASHA mtoa mada ametaka kujua wanaume sio wanawake
      The Following 2 Users Say Thank You to saaly For This Useful Post:

      Asha D (Today), Mbava (Today)
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    8. #8
      rosemarie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,742
      Rep Power : 1372
      Likes Received
      285
      Likes Given
      143

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      mimi ni 42 lakini kaka speed yangu inatisha,lakini life style nayoishi nafikiri inachangia sana tuu

    9. #9
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,722
      Rep Power : 83993
      Likes Received
      16075
      Likes Given
      16761

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Quote By Mbava View Post
      Ni katika umri upi Mwanaume huwa kiwango cha uwezo wa kufanya tendo la ndoa hushuka. Msaada jamani? Mpooo!

      Mbava utanisamehe Dear... naona nimejibu kutumia assumptions badala ya kuelewa kwanza... hop you understand. Sorry...
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    10. #10
      MUREFU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : BUNJU
      Posts : 1,148
      Rep Power : 671
      Likes Received
      66
      Likes Given
      2

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      inatengemea mana huwa haitabilik mana kama nguvu anayo bac mzigo anapiga kama kawa

    11. #11
      Rutashubanyuma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Location : Arusha
      Posts : 38,885
      Rep Power : 12960
      Likes Received
      4569
      Likes Given
      7574

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      hakuna jibu sahihi la muhimu ni furahia chochote ulichonacho na pata lishe na mazoezi ya kutosha hasa madogo madogo ya ktuembea...............angalau kilometa mbili kwa siku.......................
      John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"

      John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."

    12. #12
      TAITUZA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 94
      Rep Power : 430
      Likes Received
      31
      Likes Given
      0

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Body exercise and meal balance ni vitu muhimu, kuna mdingi anaishi jirani na hapa nilipo ana kama nyundo 60 hv, lkn kuna bar maid mmoja alijirengesha katupa mchapo kwamba yule mzee acha, alimfunga kama goli 5 hv na gemu akataka kuendelea. Binti wa watu akasema baaasi. Huyu mzee kaka kila asubuhi ni jogging tu, nina mwaka wa nne hapa kitaa, sijawahi kumuona akiacha kufanya mazoezi, kaka tuzingatie mazoezi na msosi hasa wanga na mbogamboga,
      uporoto01, rosemarie and Excellent like this.

    13. #13
      mkumbee's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 21st May 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 410
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      hilo liko wazi hasa mbogamboga

    14. #14
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,617
      Rep Power : 26577
      Likes Received
      5850
      Likes Given
      5721

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      he he he namjua mzee miaka 92 lakini cheki damu inavyochemka..mmhhhh
      Excellent likes this.
      life goes on.....

    15. #15
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2309
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Nasikia wanaume wenye vitambi hawawezi kazi sijuhi kama ni kweli. Najitahidi kumpa mzee balanced diet asije pata kitambia akashindwa kazi!

    16. #16
      Washawasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : jo'burg
      Posts : 4,004
      Rep Power : 1459
      Likes Received
      456
      Likes Given
      891

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      akiwa bado mtoto mdogo

    17. #17
      Arafat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2009
      Posts : 2,372
      Rep Power : 966
      Likes Received
      583
      Likes Given
      576

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Labda mtoa maada ana matatizo hayo! sema tukusaidie maana kama ni tatizo lipo hata kwa vijana wadogo.
      Siku tutakapoacha kuwa mashabiki wa wanasiasa ndio siku hatua ya kwanza ya kujikomboa itakapo anza

    18. #18
      Arafat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2009
      Posts : 2,372
      Rep Power : 966
      Likes Received
      583
      Likes Given
      576

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Quote By afrodenzi View Post
      he he he namjua mzee miaka 92 lakini cheki damu inavyochemka..mmhhhh
      Angalia huyo mzee hasije akakufia kifuani
      Siku tutakapoacha kuwa mashabiki wa wanasiasa ndio siku hatua ya kwanza ya kujikomboa itakapo anza

    19. #19
      Arafat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2009
      Posts : 2,372
      Rep Power : 966
      Likes Received
      583
      Likes Given
      576

      Default Re: Uwezo wa tendo la ndoa

      Quote By Rutashubanyuma View Post
      hakuna jibu sahihi la muhimu ni furahia chochote ulichonacho na pata lishe na mazoezi ya kutosha hasa madogo madogo ya ktuembea...............angalau kilometa mbili kwa siku.......................
      Hata ukifanya mazoezi Mkuu kama ukipewa mbaya ni mbaya tu hautofanya lolote
      Siku tutakapoacha kuwa mashabiki wa wanasiasa ndio siku hatua ya kwanza ya kujikomboa itakapo anza

    20. #20
      Safety last's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 2,733
      Rep Power : 963
      Likes Received
      541
      Likes Given
      6

      Default

      Quote By afrodenzi View Post
      he he he namjua mzee miaka 92 lakini cheki damu inavyochemka..mmhhhh
      "unamjua" not unamfahamu so u sex with him its ok. ......ibrahim "akamjua" sara akampata.....

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Mke anakwepa sana tendo la ndoa, nini kifanyike?
      By prosperity93 in forum JF Doctor
      Replies: 169
      Last Post: 20th March 2013, 21:05
    2. Ngono ya wizi inanoga kuliko tendo la ndoa katika Ndoa halali.
      By mmaroroi in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 85
      Last Post: 8th March 2013, 16:04
    3. Tendo la ndoa
      By GABLLE in forum Jukwaa la Lugha
      Replies: 28
      Last Post: 17th May 2011, 11:24
    4. vyakula vinavyoongeza uwezo katika tendo la ndoa!
      By Felixonfellix in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 31
      Last Post: 27th March 2010, 14:06
    5. Tendo la ndoa
      By Shy in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 7
      Last Post: 19th April 2009, 19:32

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...