Ni katika umri upi Mwanaume huwa kiwango cha uwezo wa kufanya tendo la ndoa hushuka. Msaada jamani? Mpooo!
Ni katika umri upi Mwanaume huwa kiwango cha uwezo wa kufanya tendo la ndoa hushuka. Msaada jamani? Mpooo!
Wanawake wametofautiana na maumbile ya walio wengi wao hua wanapofanya hio shughuli hawabahatiki kufika safari yao.... Au wakifika safari inachukua siku nyiingi mno hivyo kumfanya mwanaume anaemsindikiza hio safari kuchoka na kuishia njiani... au akafika kabisa - lakini kutotaka arudie safari na huyo mdada/mmama. Hiyo inawafanya wanawake wengi akifika utu uzima na akaolewa kwake inatosha hajali hio safari wengine wakiwa na umri hata chini ya miaka 30...
The most common ni kipindi ambacho mwanamke akifika wakati wa menopause from 45 -60 (hedhi hukatika hapa) ni moja ya sababu kubwa mana humfanya mwanamke ajisikie kama kapitwa na wakati na uzee ndo usha ingia - na kama unavyoelewa kua psychology ina play part kubwa saana katika sex...
Hata hivyo personaly naamini hakuna umri kamili... ina vary from a woman to woman, conditions and environment pia... Ila sana kuanzia miaka ya late thirties (hasa wanaoishi maisha magumu) to hata early sixties (mara nyingi maisha mazuri) kwa wale wachache wenye bahati yao ya kuweza safiri bado....
"Emancipate yourselves from Mental Slavery,
NON but Ourselves can Free our Minds"
- Bob Marley (Redemption Song)
ASHA mtoa mada ametaka kujua wanaume sio wanawake
Nazungumzia wanaume, na sio wanawake please? Go on.
kuanzia miaka 40. kwa wale wanaofanya mchezo mbaya 35
Akifa au kuhasiwa otherwise ngoma mbele
The Goal is The Love Of a Lifetime, And a Lifetime Of Love Together.....
mimi ni 42 lakini kaka speed yangu inatisha,lakini life style nayoishi nafikiri inachangia sana tuu
inatengemea mana huwa haitabilik mana kama nguvu anayo bac mzigo anapiga kama kawa
hakuna jibu sahihi la muhimu ni furahia chochote ulichonacho na pata lishe na mazoezi ya kutosha hasa madogo madogo ya ktuembea...............angalau kilometa mbili kwa siku.......................
John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"
John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."
Body exercise and meal balance ni vitu muhimu, kuna mdingi anaishi jirani na hapa nilipo ana kama nyundo 60 hv, lkn kuna bar maid mmoja alijirengesha katupa mchapo kwamba yule mzee acha, alimfunga kama goli 5 hv na gemu akataka kuendelea. Binti wa watu akasema baaasi. Huyu mzee kaka kila asubuhi ni jogging tu, nina mwaka wa nne hapa kitaa, sijawahi kumuona akiacha kufanya mazoezi, kaka tuzingatie mazoezi na msosi hasa wanga na mbogamboga,
hilo liko wazi hasa mbogamboga
he he he namjua mzee miaka 92 lakini cheki damu inavyochemka..mmhhhh
life goes on.....
Nasikia wanaume wenye vitambi hawawezi kazi sijuhi kama ni kweli. Najitahidi kumpa mzee balanced diet asije pata kitambia akashindwa kazi!
akiwa bado mtoto mdogo
Labda mtoa maada ana matatizo hayo! sema tukusaidie maana kama ni tatizo lipo hata kwa vijana wadogo.
Siku tutakapoacha kuwa mashabiki wa wanasiasa ndio siku hatua ya kwanza ya kujikomboa itakapo anza
Follow Us Here