Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 94
    1. #1
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,646
      Rep Power : 32145
      Likes Received
      4994
      Likes Given
      5170

      Default Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Habar zenu great thinkers wote? Mimi ni kijana mfanya biashara, niliwah kupata rafik wa kike katika biashara zetu na ilitokea tukawa karibu zaidi kitu ambacho kilisababisha niwe na hisia za kimapenzi naye. Nilitokea kupenda awe mchumba wangu ili baadaye tufunge ndoa ila nilipo mueleza mwenzangu akasema yeye hayuko tayar kuwa na mahusiano nami hvyo haitawezekana.. Niliumia sana mwisho wa siku ilinibid niyaheshmu maamuz yake na ndipo nilipochukua ustaarabu wa kutafuta mchumba mwngne ambaye ndo natarajia kufunga naye ndoa.. Tangu nilipopata mchumba huyo yule rafiki yangu wa kike alianza kumchukia na kuanza kuwa na wivu. Na hata kwenye sherehe ya kumvisha pete huyu laaziz wangu mpya ye hakutokea bila sababu ya msingi.. Yani ananiweka kwenye wakat mgumu kwan amekuwa akimchunia na hata kuonesha chuki ya wazi kabisa... Naombeni msaada wenu waungwana. Ninateseka sana.
      Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22

    2. Study Abroad

    3. #2
      itnojec's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Location : the under world
      Posts : 1,719
      Rep Power : 759
      Likes Received
      250
      Likes Given
      64

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      huyo mdada alikuwa anakutaka na anakupenda ila alikuwa anajifanya hataki....na hilo ni tatizo la wengi wanaopendwa na kutojiamini.
      ngoja niulize, kwan akimchukia mpenz wako ww unapata tabu ya nn? si umpotezee tu ili muish vema na mpenzio? au bado unampenda huyo mdada?

    4. #3
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14596
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Staki nataka..staki nataka..staki nataka!Alidhani utaendelea kumbeleza bila kujua mwenzake ni kati ya wale wanaochukulia hapana kua hapana badala ya kuitafsiri kama ndio!

    5. #4
      Big One's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 741
      Rep Power : 558
      Likes Received
      43
      Likes Given
      0

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      mpotezee ushakuwa na mahusiano na mpenz mwingne na isitoshe huyo ndo mke wako hata auchune afanye nn cha msing mweleze ukwel mkeo yasije yakapkwa maneno mkeo akakuona na ww ufai just tel her the truth b4 ulivyokuwa nae sizitaki mbichi hizi zmemponza

    6. #5
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,646
      Rep Power : 32145
      Likes Received
      4994
      Likes Given
      5170

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Quote By itnojec
      huyo mdada alikuwa anakutaka na anakupenda ila alikuwa anajifanya hataki....na hilo ni tatizo la wengi wanaopendwa na kutojiamini.
      ngoja niulize, kwan akimchukia mpenz wako ww unapata tabu ya nn? si umpotezee tu ili muish vema na mpenzio? au bado unampenda huyo mdada?
      nampenda as a bussines partner. Sasa anavyokuwa anamchukia huyo mchumba angu huwa inaniletea tabu kwa sabcu mchumba angu hana amani na huwa ananishaur niache kufanya naye.
      Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,646
      Rep Power : 32145
      Likes Received
      4994
      Likes Given
      5170

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Quote By Lizzy
      Staki nataka..staki nataka..staki nataka!Alidhani utaendelea kumbeleza bila kujua mwenzake ni kati ya wale wanaochukulia hapana kua hapana badala ya kuitafsiri kama ndio!
      nilshndwa kumwelewa. Ila now ndo nimeelewa kumbe alikuwa analeta poz mtoto.
      Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22

    9. Dio
      #7
      Dio's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 1,215
      Rep Power : 662
      Likes Received
      121
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Big One
      mpotezee ushakuwa na mahusiano na mpenz mwingne na isitoshe huyo ndo mke wako hata auchune afanye nn cha msing mweleze ukwel mkeo yasije yakapkwa maneno mkeo akakuona na ww ufai just tel her the truth b4 ulivyokuwa nae sizitaki mbichi hizi zmemponza
      kwel man inabidi amwambie huyo mkewe mtarajiwa isije ikawa taabu.

    10. #8
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,646
      Rep Power : 32145
      Likes Received
      4994
      Likes Given
      5170

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Quote By Big One
      mpotezee ushakuwa na mahusiano na mpenz mwingne na isitoshe huyo ndo mke wako hata auchune afanye nn cha msing mweleze ukwel mkeo yasije yakapkwa maneno mkeo akakuona na ww ufai just tel her the truth b4 ulivyokuwa nae sizitaki mbichi hizi zmemponza
      nimesha mweleza mchumba wangu ila c unajua tena mambo ya wanawake yalvyo. Amekuwa akiniuliza mara kwa mara kuhusu huyo rafiki.
      Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22

    11. #9
      itnojec's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Location : the under world
      Posts : 1,719
      Rep Power : 759
      Likes Received
      250
      Likes Given
      64

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      nipe nikupe, raha tupate

    12. #10
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,646
      Rep Power : 32145
      Likes Received
      4994
      Likes Given
      5170

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Quote By itnojec
      nipe nikupe, raha tupate
      nini sasa mkuu?
      Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22

    13. #11
      Michelle's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Empire State of Mind
      Posts : 6,926
      Rep Power : 8702
      Likes Received
      1867
      Likes Given
      2691

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Quote By Mkoloni
      nampenda as a bussines partner. Sasa anavyokuwa anamchukia huyo mchumba angu huwa inaniletea tabu kwa sabcu mchumba angu hana amani na huwa ananishaur niache kufanya naye.
      kazi ipo kubwa sana....wote wanachukiana.....angalia mwenye maana zaidi kwako...fanya uamuzi unaomuweka yeye kwenye amani na kukupunguzia tabu
      I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.

    14. #12
      Gaga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Clarendon road
      Posts : 4,490
      Rep Power : 1367
      Likes Received
      1822
      Likes Given
      1881

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Maskini naona anajuta saa hizi, ningejua ninge... kibao, inanikumbusha movie ya My bestfriend wedding
      Mkoloni likes this.
      You Only live Once....But if you do it right, Once is enough

    15. #13
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,149
      Rep Power : 24897
      Likes Received
      4164
      Likes Given
      584

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Mpotezee tu tena haina haja ya kuzoeana nae tena.

    16. #14
      bacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Posts : 3,901
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      623
      Likes Given
      1258

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Quote By itnojec
      huyo mdada alikuwa anakutaka na anakupenda ila alikuwa anajifanya hataki....na hilo ni tatizo la wengi wanaopendwa na kutojiamini.
      ngoja niulize, kwan akimchukia mpenz wako ww unapata tabu ya nn? si umpotezee tu ili muish vema na mpenzio? au bado unampenda huyo mdada?
      sitaki, nataka
      au alikuwa anatest kiberiti kimejaa au la!
      NYUKI hapigwi BUSU........................

    17. #15
      sinafungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2010
      Posts : 469
      Rep Power : 564
      Likes Received
      63
      Likes Given
      8

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      nguruwe pita leo sina mkuki. huyo alikuwa na kisebusebu na kiroho papo, ENDELEA NA HUYO WA PILI HUYO WA KWANZA NI MSUMBUFU.

    18. #16
      Nicas Mtei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : Shamba
      Posts : 8,646
      Rep Power : 32145
      Likes Received
      4994
      Likes Given
      5170

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Quote By Michelle
      kazi ipo kubwa sana....wote wanachukiana.....angalia mwenye maana zaidi kwako...fanya uamuzi unaomuweka yeye kwenye amani na kukupunguzia tabu
      ahsante kwa ushauri. Ntaufanyia kaz.. Ubarikiwe sana
      Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22

    19. #17
      Mike 1234's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2009
      Location : Mikocheni
      Posts : 1,341
      Rep Power : 789
      Likes Received
      89
      Likes Given
      35

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      kwa nini awe na wivu?au kipindi cha kufukuziana ulipita hapo siku moja?maana sioni sababu ya msingi kwa yeye kuwa na wivu
      i m too good at what i do

    20. #18
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6123
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Its too late amechelewa aliyekuwa na nia tayari ameishatokea you can't turn back the hands of time.

    21. #19
      AshaDii's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Changeable
      Posts : 15,641
      Rep Power : 71470
      Likes Received
      15796
      Likes Given
      16256

      Default Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.

      Quote By Lizzy
      Staki nataka..staki nataka..staki nataka!Alidhani utaendelea kumbeleza bila kujua mwenzake ni kati ya wale wanaochukulia hapana kua hapana badala ya kuitafsiri kama ndio!



      Jamani Lizzy wengine hawajui wanachotaka mpaka pale wanapogundua anakipoteza and its too late. Ndio tatizo la kuchukulia watu for granted.
      "Emancipate yourselves from Mental Slavery,
      NON but Ourselves can Free our Minds"
      - Bob Marley (Redemption Song)

    22. #20
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6123
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default

      Quote By Asha D
      Jamani Lizzy wengine hawajui wanachotaka mpaka pale wanapogundua anakipoteza and its too late. Ndio tatizo la kuchukulia watu for granted.
      Asha hivi inawezekana kweli wewe haujui unachotakap?

    23. Miaka 50
    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Ajinusurisha polisi kwa kujeruhi mke kwa wivu wa kimapenzi
      By Saint Ivuga in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 1
      Last Post: 21st March 2011, 21:47
    2. Tetesi: Moto Ulioua 43 Kwenye Harusi Kuwait Ulitokana na Wivu wa Kimapenzi
      By MziziMkavu in forum International Forum
      Replies: 0
      Last Post: 19th August 2009, 04:36
    3. Ajeruhiwa na Mumewe kwa Wivu wa Kimapenzi
      By MziziMkavu in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 0
      Last Post: 21st July 2009, 18:48

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...