Habar zenu great thinkers wote? Mimi ni kijana mfanya biashara, niliwah kupata rafik wa kike katika biashara zetu na ilitokea tukawa karibu zaidi kitu ambacho kilisababisha niwe na hisia za kimapenzi naye. Nilitokea kupenda awe mchumba wangu ili baadaye tufunge ndoa ila nilipo mueleza mwenzangu akasema yeye hayuko tayar kuwa na mahusiano nami hvyo haitawezekana.. Niliumia sana mwisho wa siku ilinibid niyaheshmu maamuz yake na ndipo nilipochukua ustaarabu wa kutafuta mchumba mwngne ambaye ndo natarajia kufunga naye ndoa.. Tangu nilipopata mchumba huyo yule rafiki yangu wa kike alianza kumchukia na kuanza kuwa na wivu. Na hata kwenye sherehe ya kumvisha pete huyu laaziz wangu mpya ye hakutokea bila sababu ya msingi.. Yani ananiweka kwenye wakat mgumu kwan amekuwa akimchunia na hata kuonesha chuki ya wazi kabisa... Naombeni msaada wenu waungwana. Ninateseka sana.
Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22
Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.
huyo mdada alikuwa anakutaka na anakupenda ila alikuwa anajifanya hataki....na hilo ni tatizo la wengi wanaopendwa na kutojiamini.
ngoja niulize, kwan akimchukia mpenz wako ww unapata tabu ya nn? si umpotezee tu ili muish vema na mpenzio? au bado unampenda huyo mdada?
Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.
Staki nataka..staki nataka..staki nataka!Alidhani utaendelea kumbeleza bila kujua mwenzake ni kati ya wale wanaochukulia hapana kua hapana badala ya kuitafsiri kama ndio!
Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.
mpotezee ushakuwa na mahusiano na mpenz mwingne na isitoshe huyo ndo mke wako hata auchune afanye nn cha msing mweleze ukwel mkeo yasije yakapkwa maneno mkeo akakuona na ww ufai just tel her the truth b4 ulivyokuwa nae sizitaki mbichi hizi zmemponza
Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.
By itnojec
huyo mdada alikuwa anakutaka na anakupenda ila alikuwa anajifanya hataki....na hilo ni tatizo la wengi wanaopendwa na kutojiamini.
ngoja niulize, kwan akimchukia mpenz wako ww unapata tabu ya nn? si umpotezee tu ili muish vema na mpenzio? au bado unampenda huyo mdada?
nampenda as a bussines partner. Sasa anavyokuwa anamchukia huyo mchumba angu huwa inaniletea tabu kwa sabcu mchumba angu hana amani na huwa ananishaur niache kufanya naye.
Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22
Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.
By Lizzy
Staki nataka..staki nataka..staki nataka!Alidhani utaendelea kumbeleza bila kujua mwenzake ni kati ya wale wanaochukulia hapana kua hapana badala ya kuitafsiri kama ndio!
nilshndwa kumwelewa. Ila now ndo nimeelewa kumbe alikuwa analeta poz mtoto.
Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22
mpotezee ushakuwa na mahusiano na mpenz mwingne na isitoshe huyo ndo mke wako hata auchune afanye nn cha msing mweleze ukwel mkeo yasije yakapkwa maneno mkeo akakuona na ww ufai just tel her the truth b4 ulivyokuwa nae sizitaki mbichi hizi zmemponza
kwel man inabidi amwambie huyo mkewe mtarajiwa isije ikawa taabu.
Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.
By Big One
mpotezee ushakuwa na mahusiano na mpenz mwingne na isitoshe huyo ndo mke wako hata auchune afanye nn cha msing mweleze ukwel mkeo yasije yakapkwa maneno mkeo akakuona na ww ufai just tel her the truth b4 ulivyokuwa nae sizitaki mbichi hizi zmemponza
nimesha mweleza mchumba wangu ila c unajua tena mambo ya wanawake yalvyo. Amekuwa akiniuliza mara kwa mara kuhusu huyo rafiki.
Hata ukimtwanga mpumbavu kwa mchi kinuni pamoja na ngano;Upumbavu wake hautamtoka-Mithali 27:22
Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.
By Mkoloni
nampenda as a bussines partner. Sasa anavyokuwa anamchukia huyo mchumba angu huwa inaniletea tabu kwa sabcu mchumba angu hana amani na huwa ananishaur niache kufanya naye.
kazi ipo kubwa sana....wote wanachukiana.....angalia mwenye maana zaidi kwako...fanya uamuzi unaomuweka yeye kwenye amani na kukupunguzia tabu
I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.
Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.
By itnojec
huyo mdada alikuwa anakutaka na anakupenda ila alikuwa anajifanya hataki....na hilo ni tatizo la wengi wanaopendwa na kutojiamini.
ngoja niulize, kwan akimchukia mpenz wako ww unapata tabu ya nn? si umpotezee tu ili muish vema na mpenzio? au bado unampenda huyo mdada?
sitaki, nataka
au alikuwa anatest kiberiti kimejaa au la!
Re: Ni rafiki wa kawaida ila ana wivu wa kimapenzi.
By Lizzy
Staki nataka..staki nataka..staki nataka!Alidhani utaendelea kumbeleza bila kujua mwenzake ni kati ya wale wanaochukulia hapana kua hapana badala ya kuitafsiri kama ndio!
Jamani Lizzy wengine hawajui wanachotaka mpaka pale wanapogundua anakipoteza and its too late. Ndio tatizo la kuchukulia watu for granted.
"Emancipate yourselves from Mental Slavery, NON but Ourselves can Free our Minds" - Bob Marley (Redemption Song)
Follow Us Here