Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

    Report Post
    Results 1 to 18 of 18
    1. #1
      Joyceline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : dar es Saalaam
      Posts : 1,017
      Rep Power : 731
      Likes Received
      120
      Likes Given
      92

      Default Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Nimekuwa nikionana wamama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watotot wao wa kiume bila sababu maalumu hii inasababishwa na nini.
      Kuna kijana mmoja (true story0alilelewa kwenye kituo cha watoto yatima tangu mwaka 1978, amekuwa mkubwa akaamua kumtafuta mama yake, mama yake alimpeleka hapo kituoni akiwa na siku tatu baada ya kushidwa kumtunza sasa ametafuta kuulizia hapo kituoni sister aliyempokea miaka hiyo huyo sister amesharudi ulaya akamwelekeza mwanamke alivyo na alisema yeye ni wa wapi. kijana kamtafuta kampata, alivyompata akamtuma mchumba kwa sababu yeye alikuwa mgonjwa binti akaenda kufika akakuta mama ana hali mbaya sana hana hata kanga za kujifunga watoke. msichana kakimbia duka la jirani kaleta pea ya vitenge na kitambaa cha kichwa na viatu, alipofika mama kamwambia unaleta dharau nimekuomba uninunulie nguo unaniona mimi maskini. walipofika kwa mtoto wake akamwambia huyu ni nani aksema ni mchumba wangu akamwambia simtaki akaulizwa kwa nini akasema nimeamua simtaki na hapa kwako siondoki ndo nimeshafika, chagua mimi au yeye, kumbuka hajamuona tangu ana siku tatu. huyo mama ana mume na waotot watatu. nini kilisababisha ni kwamba ana roho mbaya ni tabia yake au? maana anadai waotot wake wengine wamemkimbia hawataki kumsaidia hata 500 hawampi

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,242
      Rep Power : 31389
      Likes Received
      9619
      Likes Given
      684

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      That is because they think whoever their son or daughter is dating is just not good enough. I don't know why that is but it-is-what-it is. At the end of the day your parent ain't the one who is going to be married to your spouse. So he or she can have their opinion but unfortunately they won't be the decider on whom I'm going to be with.
      Joyceline likes this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    4. #3
      Fay2011's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th January 2011
      Posts : 46
      Rep Power : 430
      Likes Received
      9
      Likes Given
      1

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Hapa inaonesha mama ndio mwenye matatizo na hiyo ni tabia yake hadi wanae wakamkimbia. Hawezi kuanza kumchukia binti wa watu hata hajamjua vizuri.

    5. #4
      Joyceline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : dar es Saalaam
      Posts : 1,017
      Rep Power : 731
      Likes Received
      120
      Likes Given
      92

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Quote By Fay2011
      Hapa inaonesha mama ndio mwenye matatizo na hiyo ni tabia yake hadi wanae wakamkimbia. Hawezi kuanza kumchukia binti wa watu hata hajamjua vizuri.
      Huwezi kuamini ndo kamuona ndani ya lisaa anamchukia, anauliza nyumba ya nani? gari la nani? jamaa akamjibu mimi hapa natuzwa na huyu dada sina kitu (amemdanganya) akanyamaza kimya yaani ni mshari sijawahi kuona ameulizwa hicho ndo kilichokuleta hapa? alifikiri mtoto wake ni legelege alivyokuta ana msimamo akanywea, lakini mama mshari najua hapo ameenda kupanga plan B hawezi kushidwa. amasema mimi nataka mtaji sh. kadhaa amepewa ameondoka sijui what next

    6. #5
      Susy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 1,451
      Rep Power : 729
      Likes Received
      202
      Likes Given
      430

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Ana pepo huyo!!
      Don't strew me with roses after I'm dead. When Death claims the light of my brow,
      No flowers of life will cheer me: instead, You may give me my roses now!

    7. Miaka 50

    8. #6
      afrodenzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : sweet home
      Posts : 15,617
      Rep Power : 26573
      Likes Received
      5846
      Likes Given
      5721

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      she is feeling guilty
      life goes on.....

    9. #7
      Binti Lawrence's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Posts : 22
      Rep Power : 431
      Likes Received
      0
      Likes Given
      6

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Mama zetu wengi huingiwa na hofu ya aina ya wakwe zao kwa sababu ya ubinafsi na wakati mwingine ni kweli huwa sahihi ktk jitihada za kuwaokoa vijana wao wasiingie mlango wa kutokea......kwani wengi wao huwaza maisha ya baadae (wanapozeeka) na ikumbukwe kuwa kwa familia za kibantu mtoto wa kiume ndio huwa mwenye jukumu la kutunza wazazi.

      tatizo letu vijana nao siku hizi tumekua civilized kiasi cha kwamba hatuangalii ht nn cha kufanya na kwa mazingira yapi. Mf binti unapelekwa ukweni kwa mara ya kwanza na ni kijijini sn na ht wakwe zako wenyewe hawako civilized km ww, ukiwa umejibana kwenye sin jeans wategemea nn hapo km si kukatawaliwa hapo hapo???

      Tuwaeleweshe tu vizuri nanyi wakaka muwe mnawashauri wachumba wenu kufanya yale yatakayoendana na family yako coz u know ur background!

    10. #8
      nnunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Posts : 647
      Rep Power : 569
      Likes Received
      216
      Likes Given
      275

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Kwa kufuata maelezo yako hapo juu ,
      inaonesha huyo mama hana upendo wa dhati kwa wanaye wa kuwazaa, ndiyo maana pia imekuwa rahisi sana kwake kumchukia huyo mchumba wa mwanaye wa kiume,japo huyo dada ameonesha upendo kwa mama mkwe wake.
      Kutokana na kutokuwa na upendo moyoni mwake kwa watoto wake ndiyo maana hata watoto wake wa kuwazaa hawako karibu naye,pia
      ndiyo maana hata yeye ilikuwa rahisi kwake kumpeleka mwanaye kwenye kituo cha kulelea watoto yatima pasipo kuwa na mawasiliano na hicho kituo mpaka mwanaye binafsi amefanya jitihada za kumtafuta mwanaye,lakin siyo mama kumfuata mwanaye japo alikuwa anafahamu yupo wapi.

      Wamama / wababa wengi (siyo wote) wana sifa ya kuzaa tu, lakin wamepungukiwa na sifa ya ulezi, ambayo inahitaji sana kujitoa,kujituma ,upendo,uvumilivu. Huyu mama anasifa ya kuzaa tu,(ni mama mzazi tu).

      Huyu mtoto wa kiume awe makini sana na tabia ya mzazi (mama)wake la sivyo atakuwa anamharibia mahusiano yake na kila atayetaka awe mpenzi/mchumba au mke. Afahamu na kutambua nafasi ya mpenzi/mke/mchumba wake ipo wapi na ya Mama yake ipo wapi. Mama atabaki kuwa mama hawezi kuwa mke hata siku moja ,vilevile Mke atabaki kuwa Mke hawezi kuwa Mama, japo anaweza kufanya majukumu kama ya mama.

      JAPO NI KWELI KUWA WAZAZI WETU NI MUNGU WETU WA HAPA DUNIANI ,YATUPASA KUWAHESHIMU LAKIN PIA TUWE MAKIN SANA TABIA ZAO KATIKA MAHUSIANO YETU. WAZAZI WETU SIYO MALAIKA WANA MAPUNGUFU NA UDHAIFU WAO YATUPASA KUOMBA,KUPOKEA HEKIMA NA BUSARA KATIKA MAAMUZI YETU DHIDI YA WAZAZI WETU KATIKA MAISHA YETU YA KILA SIKU.
      Joyceline likes this.

    11. #9
      nnunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Posts : 647
      Rep Power : 569
      Likes Received
      216
      Likes Given
      275

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Mama wa aina hiyo mara nyingi wanasababisha watoto wao wa kiume wasiwe na furaha katika maisha ya kimapenzi,
      manake muda mwingi atapenda kufanya yanayompendeza mama yake na siyo mke/mpenzi wake.
      Huyo mwanaye awe makini sana na mama yake, siyo mama mwenye tabia nzuri. ila kwa vile ni mama yake aendelee kumheshimu lakin siyo kumkubalia kila kitu/jambo atakalo kwa 100%.

    12. #10
      Joyceline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2009
      Location : dar es Saalaam
      Posts : 1,017
      Rep Power : 731
      Likes Received
      120
      Likes Given
      92

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Kwa mama mwenye mapenzi angetakiwa amuulize maisha yake, tangu mdogo aliishije? ikiwezekana amwambie baba yake ni nani? mara ya kwanza kauliza huyu msichana ni nani akaambiwa ni mchumba wangu eti ahaha nilifikiri ni mke, kumbe bado hujamuona

    13. #11
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,164
      Rep Power : 21615
      Likes Received
      13492
      Likes Given
      17791

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      mhhhhhhhhhhhh
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    14. #12
      Babu Lao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : Korokocho
      Posts : 2,019
      Rep Power : 837
      Likes Received
      133
      Likes Given
      69

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Quote By Susy
      Ana pepo huyo!!
      Lazima atakuwa mchawi vilevile, tena alikuwa ni wa kufukuza bila hata kumuamkia!!!
      Tanzania inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno, tuwang'oe meno walaji ili wenye moyo wasijekata tamaa ya kuijenga!!!!

    15. #13
      chomete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 1,056
      Rep Power : 637
      Likes Received
      107
      Likes Given
      0

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      huyo mama hana maadili kwa watoto wake afai na uenda alikuwa waluwalu kimtindo ni kumchukulia powa ila ni kuwa naye mbali kimtindo

    16. #14
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2305
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Mimi nadahni kitu cha kuzingatia ni kwamba unaolewa kwa sababu umependwa na mtu mmoja; Mumeo. Usiwe na expectations kuubwa kuwa utapendwa na kila mtu wa familia ya mumeo. Kikubwa ni KUHESHIMIANA. Mimi siwezi sema mama mkwe ananipenda au ananichukia kwa sababu I dont care, ila simdharau namchukulia kama mama yangu na namshukuru saaana kunizalia kipenzi cha roho yangu. Ukianza kupeleleza sana kama unapendwa au unachukiwa ndo ugomvi unapoanza. Na kingine ni vema kumpa nafasi mama mkwe kuwa karibu na mwanae kwani wamama wengine wanahisi mke anawa replace na ndio hapo wanaanza kukufanya kama mke mwenza. SIoni wivu mume wangu akiwa karibu na mama yake kwani yeye ana nafasi yake na mimi nina nafasi yangu kwa jamaa na hawezi ni replace na mimi sina uwezo wa kum-replace.

    17. #15
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,818
      Rep Power : 1900
      Likes Received
      1162
      Likes Given
      977

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Wazazi huwaonea WIVU sana watoto wao!

      Baba umwonea WIVU mtoto wa KIKE & Mama umwonea WIVU mtoto wa KIUME! Ni maumbile tu . . .
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    18. #16
      nyumba kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 4,047
      Rep Power : 2305
      Likes Received
      2874
      Likes Given
      3980

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Very true. Mimi nina mfano hai, baba yetu alikuwa hapendi kabisa tuolewe na alikuwa akilia siku ya harusi.
      Ahamini kama tunakokwenda tutakuwa handled with care! Mother on the other hand huwa yuko critical kwa wakwe zake wa kike kuliko kwa wame zetu. Utasikia wale kwao sijuhi wana tabia hii ile. Ooh mama yake alikuwa anamcontrol baba yao na huyu mkwe atamcontrol mwanangu. Ni kweli wivu upo.

      Quote By Baba_Enock
      Wazazi huwaonea WIVU sana watoto wao!

      Baba umwonea WIVU mtoto wa KIKE & Mama umwonea WIVU mtoto wa KIUME! Ni maumbile tu . . .

    19. #17
      chetuntu's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 10th January 2011
      Location : Paediatrique ward
      Posts : 956
      Rep Power : 615
      Likes Received
      100
      Likes Given
      90

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      Hata me siwaelewagi kabisa.

    20. #18
      Jaguar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : IRINGA
      Posts : 3,000
      Rep Power : 1085
      Likes Received
      677
      Likes Given
      256

      Default Re: Kwa nini kina mama wengi hawawapendi wake au wachumba wa watoto wao

      A lot of mothers are so jealousy against their sons's wives,they are just afraid that their sons are going to pay a lot of unnecessary attention to their wives and forget ev'thing about their mothers,they are trying to turn back the hand of time,the way they suffered while taking care of their lovely sons but the fortune falls to somebody else(the outsider) to enjoy the fruits that their sons toiled for.

    Similar Topics

    1. Hivi kwa nini siku hizi nyumba nyingi kina mama ndio wenye sauti kuzidi kina baba?
      By Galileo Galilei in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 67
      Last Post: 26th October 2011, 19:04
    2. Fathers'day -kina baba wanaowakataa watoto wao kisa nini?
      By Tausi Mzalendo in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 7
      Last Post: 20th June 2011, 07:38
    3. Kwa nn wanawake wengi wao hawawapendi watoto wa kambo?
      By Garmii in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 4th June 2011, 17:11
    4. Replies: 7
      Last Post: 6th February 2009, 01:26

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...