Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 67
    1. #1
      Misosi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 84
      Rep Power : 456
      Likes Received
      1
      Likes Given
      26

      Default naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Habarii wana JF. Naombeni wajuzi wa mambo mnijuze ktk hili na nifanye nini hasa niweze kuondokana na hizi ndoto. Ni hivi, mimi ni mwanamume wa miaka 31, toka mwaka 2008 nimekuwa nikiota ninafanya mapenzi na kaka yangu (yaani ananiingilia kinyume na maumb.......l), hali hii ilikuwa inaniudhi sana! na kipindi hicho nilikuwa nikiota nastuka usingizini. hali ikaendelea na sijui ilikuwaje nikaanza kuzizoea hizo ndoto na hata kufurahia hilo tendo. Ajabu ni kuwa kila nikiota namuota ni kaka yangu ndiye ananiingilia (kaka wa tumbo moja na tupo wawili tu ktk uzao). Niandikapo sasa hivi nimetoka kuota ndoto hii na nilikuwa nahisi raha na kufurahia SIJUI NI NINI KINACHOENDELEA KTK MWILI WANGU. Baada ya kustuka toka ndotoni nimejaribu kujiingizia kidole cha kati sehemu zangu za nyuma kimeingia bila shida!!! nikajaribu kujipaka vaceline na kuingiza vidole vyote vinne vimeingia bila shida pia na bila maumivu!!! WANAJAMII HIKI SI KISA CHA KUTUNGA, NAHITAJI MSAADA WENU WA MAWAZO NI NINI HII?? NA NIFANYAJE NITOKANE NA HII HALI??. TAFADHARI KAMA WAONA HUNA MSAADA WA MAWAZO NAOMBA USITOE KASHFA. Afya yangu pia inadhoofu sana. Ahsanteni

    2. Miaka 50

    3. #2
      Rose1980's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 5,693
      Rep Power : 2026
      Likes Received
      1192
      Likes Given
      1426

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      jini mahaba.
      msikitin au kansani is best for u.
      kaombewe yataisha
      uyo jini mahaba anakuja kwa sura ya kakako
      KAOMBEWE KAKA.
      POLE ennh!
      "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU" socrates

    4. #3
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Hilo ni pepo baya sana. Anza kufanya ibada za nguvu.

    5. #4
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,248
      Rep Power : 3039
      Likes Received
      3033
      Likes Given
      4113

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Hakuna cha kanisani wala msikitini
      We ni ******, kujiingiza vidole vinne kwa vaseline maana yake nini?
      **** kweli.

    6. #5
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default

      Rose mbna bwn haruc nmekutana nae huku? Mwambie Kakobe keshafka yeye ndo anasubriwa!
      Quote By Rose1980
      jini mahaba.
      msikitin au kansani is best for u.
      kaombewe yataisha
      uyo jini mahaba anakuja kwa sura ya kakako
      KAOMBEWE KAKA.
      POLE ennh!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Rose1980's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 5,693
      Rep Power : 2026
      Likes Received
      1192
      Likes Given
      1426

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Quote By Bigirita
      Hakuna cha kanisani wala msikitini
      We ni ******, kujiingiza vidole vinne kwa vaseline maana yake nini?
      **** kweli.
      asi alikuwa anajifanyia xpermnt?
      dzain anatangaza biashara manake anavyosisitza ...nilisikia raha kweli kweli....pole lakin


      habari yake bgrta banaaaaaaa achana na mavsilne na maveseline....niaje babu\/
      kesho kuja bas pande i jaman
      utakuja?
      ebu nichek kwa cm kdg tutete nina neno nawe......usiku u kaka...afu NINA SHDA NAWE...dah una bahat...!!!!!!
      "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU" socrates

    9. #7
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default

      Pole ndg yng! Umenfanya npatwe na majonz! Bt Y uanze kujitia tn vdole? Jitahd uende either kanisan or mckikitin ukaombewe cz hiyo hal co nzr! Fanya harka kaka!
      Quote By Misosi
      Habarii wana JF. Naombeni wajuzi wa mambo mnijuze ktk hili na nifanye nini hasa niweze kuondokana na hizi ndoto. Ni hivi, mimi ni mwanamume wa miaka 31, toka mwaka 2008 nimekuwa nikiota ninafanya mapenzi na kaka yangu (yaani ananiingilia kinyume na maumb.......l), hali hii ilikuwa inaniudhi sana! na kipindi hicho nilikuwa nikiota nastuka usingizini. hali ikaendelea na sijui ilikuwaje nikaanza kuzizoea hizo ndoto na hata kufurahia hilo tendo. Ajabu ni kuwa kila nikiota namuota ni kaka yangu ndiye ananiingilia (kaka wa tumbo moja na tupo wawili tu ktk uzao). Niandikapo sasa hivi nimetoka kuota ndoto hii na nilikuwa nahisi raha na kufurahia SIJUI NI NINI KINACHOENDELEA KTK MWILI WANGU. Baada ya kustuka toka ndotoni nimejaribu kujiingizia kidole cha kati sehemu zangu za nyuma kimeingia bila shida!!! nikajaribu kujipaka vaceline na kuingiza vidole vyote vinne vimeingia bila shida pia na bila maumivu!!! WANAJAMII HIKI SI KISA CHA KUTUNGA, NAHITAJI MSAADA WENU WA MAWAZO NI NINI HII?? NA NIFANYAJE NITOKANE NA HII HALI??. TAFADHARI KAMA WAONA HUNA MSAADA WA MAWAZO NAOMBA USITOE KASHFA. Afya yangu pia inadhoofu sana. Ahsanteni

    10. #8
      Rose1980's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 5,693
      Rep Power : 2026
      Likes Received
      1192
      Likes Given
      1426

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Quote By sweetlady
      Rose mbna bwn haruc nmekutana nae huku? Mwambie Kakobe keshafka yeye ndo anasubriwa!
      hahah hahha umenichekesha
      bwna harusi mwenyewe uyo mmhh nina wasi wasi km atumii vaseline na yeye!!!!!!!
      "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU" socrates

    11. #9
      Misosi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 84
      Rep Power : 456
      Likes Received
      1
      Likes Given
      26

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Quote By Rose1980
      jini mahaba.
      msikitin au kansani is best for u.
      kaombewe yataisha
      uyo jini mahaba anakuja kwa sura ya kakako
      KAOMBEWE KAKA.
      POLE ennh!
      Nashukuru dada kwa ushauri. Lakini huyu jini mahaba ni nani hasa?? na anakujaje kwa mtu? mimi ni Mkristo na sijawahi na sina ushabiki wowote na mambo ya majini!!! kwa nini aje kwangu?

    12. #10
      mzeewaloliondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2011
      Location : dar city
      Posts : 655
      Rep Power : 544
      Likes Received
      70
      Likes Given
      58

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Njoo loliondo unywe kikombe!

    13. #11
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default

      Mbona kaz nnayo? Ngas2ka mwambie acje tn! Mambo gn ya vaseln? Wenzao twapaka mwiln wnyewe wanaichakachua kvngne?? Daaah huyu mkaka ameniacha na Question Mark kibao! Y ajipake vaseline then ajitie mavidole??? Co kamchezo kwel haka??? Icjekuwa jamaa anafnya Promo kimtndo ati!!
      Quote By Rose1980
      hahah hahha umenichekesha
      bwna harusi mwenyewe uyo mmhh nina wasi wasi km atumii vaseline na yeye!!!!!!!

    14. #12
      X-PASTER's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Firdaws (Paradise)
      Posts : 11,859
      Rep Power : 7686
      Likes Received
      1467
      Likes Given
      0

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Quote By Misosi
      Habarii wana JF. Naombeni wajuzi wa mambo mnijuze ktk hili na nifanye nini hasa niweze kuondokana na hizi ndoto. Ni hivi, mimi ni mwanamume wa miaka 31, toka mwaka 2008 nimekuwa nikiota ninafanya mapenzi na kaka yangu (yaani ananiingilia kinyume na maumb.......l), hali hii ilikuwa inaniudhi sana! na kipindi hicho nilikuwa nikiota nastuka usingizini. hali ikaendelea na sijui ilikuwaje nikaanza kuzizoea hizo ndoto na hata kufurahia hilo tendo. Ajabu ni kuwa kila nikiota namuota ni kaka yangu ndiye ananiingilia (kaka wa tumbo moja na tupo wawili tu ktk uzao). Niandikapo sasa hivi nimetoka kuota ndoto hii na nilikuwa nahisi raha na kufurahia SIJUI NI NINI KINACHOENDELEA KTK MWILI WANGU. Baada ya kustuka toka ndotoni nimejaribu kujiingizia kidole cha kati sehemu zangu za nyuma kimeingia bila shida!!! nikajaribu kujipaka vaceline na kuingiza vidole vyote vinne vimeingia bila shida pia na bila maumivu!!! WANAJAMII HIKI SI KISA CHA KUTUNGA, NAHITAJI MSAADA WENU WA MAWAZO NI NINI HII?? NA NIFANYAJE NITOKANE NA HII HALI??. TAFADHARI KAMA WAONA HUNA MSAADA WA MAWAZO NAOMBA USITOE KASHFA. Afya yangu pia inadhoofu sana. Ahsanteni
      Misosi! Pole sana kwa maswahibu yanayo kukuta...! Nakuuliza jambo moja, je unalala na kaka yako chumba au kitanda kimoja? Kama jibu ni ndio Basi nakushauri jambo moja, ukienda kulala na ukaota tena basi jiangalie uko nyuma kama hakuna manii ulio achiwa kama ukikuta kumeharibika basi hakuna mwingine ila ni huyo unaye lala naye kitanda au chumba kimoja... Nachelea kuwa anaweza kuwa anatumia dawa za kukufanya ulale na usiamke mpaka anapomaliza haja zake.

      Basi fanya hivyo kwanza kabla sijaja na ushauri mwingine.
      “I am the punishment of God... If you had not committed great sins, God would not have sent a punishment like me upon you.”

      'O Allah! Keep me alive as long as life is better for me, and let me die if death is better for me.

      (¯`·._.•X-Paster™•._.·´¯)


    15. #13
      Misosi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 84
      Rep Power : 456
      Likes Received
      1
      Likes Given
      26

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Quote By Bigirita
      Hakuna cha kanisani wala msikitini
      We ni ******, kujiingiza vidole vinne kwa vaseline maana yake nini?
      **** kweli.
      Nashukuru mkuu! samahani kama nimekukwaza kwa hilo. Ki ukweli siko hivyo ni sbb ya hizi ndoto nilitaka kujua ni nini hasa. lakini hebu jaribu kufikiria ungekuwa ni wewe katika hali hii ya hizi ndoto ungefanyaje? bado nahitaji msaada wako wa mawazo.

    16. #14
      Rose1980's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 5,693
      Rep Power : 2026
      Likes Received
      1192
      Likes Given
      1426

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Quote By Misosi
      Nashukuru dada kwa ushauri. Lakini huyu jini mahaba ni nani hasa?? na anakujaje kwa mtu? mimi ni Mkristo na sijawahi na sina ushabiki wowote na mambo ya majini!!! kwa nini aje kwangu?
      nenda kansani kamwambie mchungaji au padr atakusaidia

      lakin unatia mashaka apo pa KUJIIINGIZA VDOLE MWENYEWE ET KABSA UMECHUKUA MAFUTA......DZAIN UNAPENDA AKA KAMCHEZO

      nenda hosptali
      nenda maombi
      na si kila kitu cha kuxperment iv kweli km ungekuwa hauna swaga za kisenge ungejiwekea mafuta na kujiingza madole ma4?km kweli ungekua unachukia?

      sjui lakijn
      ukweli we unaowewe
      "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU" socrates

    17. #15
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,308
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default

      Yan we hata uctake kujua yote hayo cz hayatakusaidia k2! Fanya 2 uwahi kwnye maombi! Kw nn kaja kwko ni story nyngne! 2kuulze ww kw nn ufwatwe na majin?
      Quote By Misosi
      Nashukuru dada kwa ushauri. Lakini huyu jini mahaba ni nani hasa?? na anakujaje kwa mtu? mimi ni Mkristo na sijawahi na sina ushabiki wowote na mambo ya majini!!! kwa nini aje kwangu?

    18. #16
      Rose1980's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Posts : 5,693
      Rep Power : 2026
      Likes Received
      1192
      Likes Given
      1426

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Quote By sweetlady
      Mbona kaz nnayo? Ngas2ka mwambie acje tn! Mambo gn ya vaseln? Wenzao twapaka mwiln wnyewe wanaichakachua kvngne?? Daaah huyu mkaka ameniacha na Question Mark kibao! Y ajipake vaseline then ajitie mavidole??? Co kamchezo kwel haka??? Icjekuwa jamaa anafnya Promo kimtndo ati!!
      ata mi kdg niwaze kama ivo

      io nguvu ya kujipaka mafuta km angekuwa nachukia kwel angejipaka?
      sjui lakin bt he z sound like.........
      "NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU" socrates

    19. #17
      Misosi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 84
      Rep Power : 456
      Likes Received
      1
      Likes Given
      26

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Quote By X-PASTER
      Misosi! Pole sana kwa maswahibu yanayo kukuta...! Nakuuliza jambo moja, je unalala na kaka yako chumba au kitanda kimoja? Kama jibu ni ndio Basi nakushauri jambo moja, ukienda kulala na ukaota tena basi jiangalie uko nyuma kama hakuna manii ulio achiwa kama ukikuta kumeharibika basi hakuna mwingine ila ni huyo unaye lala naye kitanda au chumba kimoja... Nachelea kuwa anaweza kuwa anatumia dawa za kukufanya ulale na usiamke mpaka anapomaliza haja zake.

      Basi fanya hivyo kwanza kabla sijaja na ushauri mwingine.
      Mkuu nashukuru kwa ushauri ila kwa kweli toka nianzeota ndoto hizi huwa nakuwa nimelala pekeyangu. kiufupi ni kwamba silali naye kitanda kimoja na tupo mikoa tofauti!

    20. #18
      Misosi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th September 2010
      Posts : 84
      Rep Power : 456
      Likes Received
      1
      Likes Given
      26

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Quote By Rose1980
      ata mi kdg niwaze kama ivo

      io nguvu ya kujipaka mafuta km angekuwa nachukia kwel angejipaka?
      sjui lakin bt he z sound like.........
      Si hivyo ndugu zanguni! naomba mjaribu kunielewa. HAKIKA SI HIVYO MNAVYOFIKIRIA.

    21. #19
      kisukari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th July 2010
      Posts : 2,579
      Rep Power : 3874
      Likes Received
      1381
      Likes Given
      646

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      mmh,kwa kweli inashangaza,kama alivyosema x paster,isije ikawa sio ndoto,bali ni matukio ya kweli ila unalazwa kwa madawa.maana na vidole unaingiza vinaingia vyote

    22. #20
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,149
      Rep Power : 24897
      Likes Received
      4165
      Likes Given
      584

      Default Re: naombeni kuuliza, hii ni nini hasa???

      Dah! Comment yangu imekaa kikashfakashfa. Ngoja ninyamaze.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. DIT inaongoza kwa kufelisha wanafunzi? Tatizo ni nini hasa? Nini kifanyike?
      By Asked for a BAN in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 28
      Last Post: 6th February 2013, 20:38
    2. kuuliza sio ujinga naombeni msaada
      By libent in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 24th November 2011, 07:13
    3. naombeni kuuliza juu ya wanawake wa kilimanjaro
      By libent in forum JF Chit-Chat
      Replies: 12
      Last Post: 23rd November 2011, 00:08
    4. Naombeni kuuliza.......................
      By Mohammed Shossi in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 9
      Last Post: 18th February 2011, 22:03
    5. Replies: 3
      Last Post: 3rd July 2010, 16:03

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...