Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      Kichwa Ngumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : In the Computer
      Posts : 1,308
      Rep Power : 698
      Likes Received
      189
      Likes Given
      252

      Default Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Hi members!
      nimefanya utafiti kidogo uliojumuisha wasichana na wanawake kumi ninaofanyanao kazi na mke wangu nyumbani nimegundu kuwa mke wako akiwa amekasilika mpaka mkashindwa kuelewana jaribu kum-bembeleza kadri uwezavyo ufanye nae mapenzi na ukibahatika kufanyae liwe penzi la ukweli ukimaliza hapo hasira zake zote zimeisha atabaki kukwambia usirudie tena ulichofanya.

      jana nilihitimisha utafiti wangu baada ya kutoelewana na mke wangu kwa sababu alikuwa na habari ambazo alikuwa na uhakika nazo kwa 70% kuwa nainauhusiano na mwanamke mwingine; kiukweli taarifa hizo ni kweli ingawa sijawahi kufanya mapenzi na huyo mwanamke.

      chumbani kulikuwa hakukaliki mke wangu alikuwa ananipiga na huku akimpigia simu mwanamke huyo ambae nahisiwa nae, mbaya zaidi mwanamke huyo alikuwa anasema habari hizo ni za kweli na kumtajia mida tunayokutana na mahaba tunayo peana ingawa kiukweli havikuwa vitu vya ukweli.
      nilimwacha mke wangu anipige na baadae nikambembeleza na nikamtaka mapenzi akasita sita na baadae akanipa baada ya kale kamchezo katamu tulipiga stori safi, kama siye yeye.

      wana JF give your exp.


    2. #2
      shosti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Location : M'nyamala
      Posts : 4,959
      Rep Power : 1528
      Likes Received
      1425
      Likes Given
      1830

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      hahahhaha na hayo mapenzi yenyewe uwe unayaweza maana badala ya kutuliza unaweza jikuta umetibua

    3. #3
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,678
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      1326
      Likes Given
      1543

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      mh nyie ndo wale wanaume mnahitaji kitchen party nini kuanika mambo ya chumbani na mkeo humu heeeeeeeeeeee na baada ya kamchezo kesho yake ilikuwaje hujamalizia story,
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    4. #4
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,678
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      1326
      Likes Given
      1543

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Quote By shosti View Post
      hahahhaha na hayo mapenzi yenyewe uwe unayaweza maana badala ya kutuliza unaweza jikuta umetibua

      mh bora umesema shosti maana waeza kuta alikuwa anafanya huku mwenziwe anamngonga hapo sasa kazi kweli kweli
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    5. EMT is online now
      EMT
      #5
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 9,175
      Rep Power : 61786
      Likes Received
      7546
      Likes Given
      6671

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Mkuu umesema kuwa katika utafiti wako ulijumuisha wasichana na wanawake kumi unaofanya nao kazi na mke wako nyumbani. So far umetupa results zinazomhusu mke wako tuu. Vipi results za hao wasichana na wanawake unaofanya nao kazi? Na wao walituliza hasira na kukupa tunda baada ya kuwabembeleza? Waiting for Chapter two.


    6. #6
      Kichwa Ngumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : In the Computer
      Posts : 1,308
      Rep Power : 698
      Likes Received
      189
      Likes Given
      252

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Quote By Chauro View Post
      mh nyie ndo wale wanaume mnahitaji kitchen party nini kuanika mambo ya chumbani na mkeo humu heeeeeeeeeeee na baada ya kamchezo kesho yake ilikuwaje hujamalizia story,
      Habari ilikwisha kilichobaki tunataniana tu

    7. #7
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,204
      Rep Power : 12279
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      6928

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Quote By EMT View Post
      Mkuu umesema kuwa katika utafiti wako ulijumuisha wasichana na wanawake kumi unaofanya nao kazi na mke wako nyumbani. So far umetupa results zinazomhusu mke wako tuu. Vipi results za hao wasichana na wanawake unaofanya nao kazi? Na wao walituliza hasira na kukupa tunda baada ya kuwabembeleza? Waiting for Chapter two.
      khe khe kheeheheheeeeeeeeeee... afadhali umegundua kwamba hakuna risechi wala nini, ni kaja kutoa siri za nyumbani tu, na si ajabu hajaoa wala kuolewa huyo.... mwanandoa mkomavu hatoi siri zake hata iweje
      ....Time is the wisest counselor !!!

    8. #8
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      kichwangumu umeuwasha moto,wabeijing watakuandama hapa,hujamtendea haki my wyf wako

    9. #9
      Kichwa Ngumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : In the Computer
      Posts : 1,308
      Rep Power : 698
      Likes Received
      189
      Likes Given
      252

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Quote By EMT View Post
      Mkuu umesema kuwa katika utafiti wako ulijumuisha wasichana na wanawake kumi unaofanya nao kazi na mke wako nyumbani. So far umetupa results zinazomhusu mke wako tuu. Vipi results za hao wasichana na wanawake unaofanya nao kazi? Na wao walituliza hasira na kukupa tunda baada ya kuwabembeleza? Waiting for Chapter two.
      Saba kati yao walikubali na watatu kati yao hawakukubali wala hawakukataa ila walisema hawaja wahi kubwa na hali kama hiyo pia walikuwa na wasiwasi kama unahasira unawezaje kukubali kufanya mapenzi.
      hii mada niliipata baada ya kumsikia msichana mmoja ofisini akiwaambia wenzake wawili kuwa yeye akiuziwa na mumewe wakifanya mapenzi tuu mauzi yote huisha ndipo nami nikaichukua nakuanza kuifanyia kazi

    10. #10
      Likasu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 518
      Rep Power : 530
      Likes Received
      79
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By Chauro View Post
      mh nyie ndo wale wanaume mnahitaji kitchen party nini kuanika mambo ya chumbani na mkeo humu heeeeeeeeeeee na baada ya kamchezo kesho yake ilikuwaje hujamalizia story,
      Hajakosea tena nimeipenda hii. Unapopata solution jitahidi uwaambie wenzako ili nao watumie hiyo njia kutatua shida zao usiwe mchoyo.

    11. #11
      Kichwa Ngumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : In the Computer
      Posts : 1,308
      Rep Power : 698
      Likes Received
      189
      Likes Given
      252

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Quote By Bajabiri View Post
      kichwangumu umeuwasha moto,wabeijing watakuandama hapa,hujamtendea haki my wyf wako
      nafikili kwa kutotambulika kwa jina langu la ukweli bado nimemweka mke wangu hali iliyo sahihi

    12. #12
      Kichwa Ngumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : In the Computer
      Posts : 1,308
      Rep Power : 698
      Likes Received
      189
      Likes Given
      252

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Quote By likasu View Post
      Hajakosea tena nimeipenda hii. Unapopata solution jitahidi uwaambie wenzako ili nao watumie hiyo njia kutatua shida zao usiwe mchoyo.
      nipe thanks basi

    13. EMT is online now
      EMT
      #13
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 9,175
      Rep Power : 61786
      Likes Received
      7546
      Likes Given
      6671

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Quote By Kichwa Ngumu View Post
      Saba kati yao walikubali na watatu kati yao hawakukubali wala hawakukataa ila walisema hawaja wahi kubwa na hali kama hiyo pia walikuwa na wasiwasi kama unahasira unawezaje kukubali kufanya mapenzi.
      hii mada niliipata baada ya kumsikia msichana mmoja ofisini akiwaambia wenzake wawili kuwa yeye akiuziwa na mumewe wakifanya mapenzi tuu mauzi yote huisha ndipo nami nikaichukua nakuanza kuifanyia kazi
      Kwa hiyo utafiti uliofanya kwao hakuwa practical kama ule uliomfanyia mkeo. Huoni kama hili linaaffect validity ya utafiti wako. Umetumia methods tofauti kwenye sample moja, then unataka kuevaluate as applicable to all.

    14. #14
      Jaluo_Nyeupe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Posts : 1,628
      Rep Power : 756
      Likes Received
      218
      Likes Given
      100

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Shosti kasema kweli, hii dawa ni nzuri kama mchezo unauweza. Vinginevyo ndo utaharibu kabisaaaaa

    15. #15
      Lokissa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : Goba
      Posts : 4,120
      Rep Power : 5817
      Likes Received
      1035
      Likes Given
      2884

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      kweli we kichwa ngumu,kama una small house iweje umpe no yake mkeo au umemsave kama nani? kuwa mjanja wa kusave kiburudisho kwa jian la kiume na umualert mapema mida ya kupigiana simu iwe mchana akiona simu ya usiku asipokee na pia asiwe anajibizana na mkeo huyo atakuvunjai ndoa sasa hivi.Lingine asiwe anakutumia message za mapenzi kwani hajui umeoa??? kwani hajui kuwa wewe ni wa kuburudishana tu?? hakuna kitu kibaya kama mkeo akuhisi una nyumba ndogo wanapoteza imani kabisa na ww hata kama hujamla tundi huyo dada....sijaelewa na hao wengine unaofanya nazo kazi kama hujawachakachua wote manake umesema umefanya utafiti hivo lazima uwe umetembelea maenneo ya matukio hahahahahhaaaaaaaaaa/
      You may know me but you have no Idea who I am !

    16. #16
      Lizzy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Location : UngaLTD!
      Posts : 21,403
      Rep Power : 14601
      Likes Received
      7869
      Likes Given
      1969

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Naogopa kutoa mchango wangu!Nwy hongera kwakupata jinsi ya kutuliza hasira za mkeo...ila kwa mtu anaehisi amecheat na bado akakubali?Hongera sana!

    17. #17
      muhosni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Right here
      Posts : 1,112
      Rep Power : 654
      Likes Received
      140
      Likes Given
      81

      Default

      Quote By EMT View Post
      Kwa hiyo utafiti uliofanya kwao hakuwa practical kama ule uliomfanyia mkeo. Huoni kama hili linaaffect validity ya utafiti wako. Umetumia methods tofauti kwenye sample moja, then unataka kuevaluate as applicable to all.
      Yaani ili methodology iwe objective and systematic, alilazimika kuwakorofisha subjects hao (wadada) kwa namna inayofanana na kiwango sawa katika mazingira sawa.

      Kisha baada ya kuwakorofisha akitakiwa a-test hiyo tiba yake kwa wote, katika mazingira sawa, kwa kiwango sawa, na kwa utamu sawa. Akitakiwa arekodi matokeo kwa namna inayofanana.

      Ethical clearence ya utafiti kama huu inatolewa na WHO makao makuu.

    18. #18
      charger's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 1,263
      Rep Power : 687
      Likes Received
      555
      Likes Given
      270

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Kweli we ni kichwa ngumu mpaka unakula kichapo??
      The trouble with the rat race is that even if you win you are still a rat!!!!!

    19. #19
      Likasu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 518
      Rep Power : 530
      Likes Received
      79
      Likes Given
      10

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Dawa nzuri tatizo akiwa kwenye siku zake (bleeding) sijui utafanyaje kumuondoa hasira !!!

    20. LD is offline
      LD
      #20
      LD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Location : Hapa
      Posts : 2,954
      Rep Power : 1054
      Likes Received
      471
      Likes Given
      867

      Default Re: Dawa ya mke wako akiwa na hasira

      Kumbe ndo hivyo?

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Demu wako akiwa kwenye kioo we piga simu utafute dili
      By Saint Ivuga in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 3
      Last Post: 16th March 2011, 06:07
    2. ccm wako kwenye dawa za usingizi
      By mmzalendo in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 14th March 2011, 15:13
    3. Dawa ya Kupunguza Hasira
      By Mhafidhina in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 38
      Last Post: 1st February 2011, 12:18
    4. Replies: 35
      Last Post: 26th August 2009, 13:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...