Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Enzi zile za wazazi wetu...............

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,803
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      853
      Likes Given
      250

      Default Enzi zile za wazazi wetu...............

      Hapo zamani kabla na baada ya mwalimu na hata wakati wa mwinyi ilikuwa mtoto akizaliwa mvua inanyesha anaitwa "mwamvua" akitanguliza miguu wakati wa kuzaliwa ataitwa "sikitu" akizaliwa ijumaa ataitwa "juma au mwajuma" akizaliwa jumapili ataitwa "pili" akizaliwa jumatatu ataitwa "tatu"

      Kuna kipindi kukazuka watoto kuitwa majina ya watawala wa zama husika, hii ilitawala hasa kipindi cha kuanzia mwinyi ila sina uhakika kama bado kuna watoto wanazaliwa wanapewa majina kama Slaa, Mbowe, Kikwete n.k.


      Ingekuwa enzi zile za mwalimu tungeshuhudia watoto wanaozaliwa katika kipindi hiki wakiwa wanamajina kama Dowans, Mbagala, Gongo la Mboto, Al adawi, Rostam,google, JF, You tube,hi5,IPTL, Songas, Mwakyembe na kadhalika kutokana na wakati wenyewe.

      Jana nimesoma news sehemu nikaona kuwa nchini Misri kuna jamaa amemwita mtoto wake wa kike "facebook" kuapriciate mchango uliofanywa na facebook kwenye maandamano yaliyopelekea HM kuangushwa. Wapashaji habari wanasema mtoto huyo amepokea zawadi kem kem kutoka kwa vijana wengi wa kimisri. Nadhani hapa kwetu katika waliozaliwa kwenye mkesha wa tukio la gongo la mboto angepewa jina la gongo la mboto si ajabu watu wangemiminia mizawadi.
      Last edited by Mohammed Shossi; 24th February 2011 at 11:26.
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    2. Miaka 50

    3. CPU
      #2
      CPU's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : MotherBoard
      Posts : 3,868
      Rep Power : 1206
      Likes Received
      582
      Likes Given
      246

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Kaka, hayo majina ya ajabu ajabu ndi yanaharibu hata future za watoto husika. Mfano unamuita mtoto SIKITU yaani anakuwa sio kitu kweli. Unamuita mtoto GONGO LA MBOTO basi anakuwa anaandamwa na mikosi kila kukicha. Nadhani hiyo fasheni ya kizamani sijui wazazi nao walikuwa wanatoa majina kujifurahisha wao tu bila kuangalia kwa mapana hata maana ya jina lenyewe
      "Want to come see my HARD DRIVE ?"

    4. #3
      Dena Amsi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th August 2010
      Location : Saayo
      Posts : 11,859
      Rep Power : 8730
      Likes Received
      3152
      Likes Given
      1572

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Tabu
      Shida
      Mwamvua
      Sikitiko
      Sikujali
      Sikudhani
      Mwajabu

      Endelea
      A Little Impatience can spoil great plan!!!!!!!!!!!!!!! "Dont Loose your temper nobody need it"

    5. #4
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,608
      Rep Power : 13888
      Likes Received
      3271
      Likes Given
      1777

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Quote By Mohammed Shossi
      Hapo zamani kabla na baada ya mwalimu na hata wakati wa mwinyi ilikuwa mtoto akizaliwa mvua inanyesha anaitwa "mwamvua" akitanguliza miguu wakati wa kuzaliwa ataitwa "sikitu" akizaliwa ijumaa ataitwa "juma au mwajuma" akizaliwa jumapili ataitwa "pili" akizaliwa jumatatu ataitwa "tatu"

      Kuna kipindi kukazuka watoto kuitwa majina ya watawala wa zama husika, hii ilitawala hasa kipindi cha kuanzia mwinyi ila sina uhakika kama bado kuna watoto wanazaliwa wanapewa majina kama Slaa, Mbowe, Kikwete n.k.


      .
      Shosi hebu nipe ufafanuzi hapo kwenye red.kutanguliza miguu na sikitu inauhusiano gani?au inamaanisha nini.
      btw,usharudi jf?maana ulikuwa unaaga na kufunga mizigo..

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    6. #5
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6124
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Unamuita mwanao CHAUSIKU dah sijui hilo jina linakuwa linamaanisha nini
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"



    7. #6
      Kimey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2009
      Location : Counter ya Juu!
      Posts : 4,093
      Rep Power : 1336
      Likes Received
      763
      Likes Given
      673

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Hapa wenye majina ya kiswahili tutasemwa mpaka tuchoke...!!
      Ndo maana mnasema mende wa kizungu..lol
      I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!

    8. #7
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,803
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      853
      Likes Given
      250

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Quote By Zion Daughter
      Shosi hebu nipe ufafanuzi hapo kwenye red.kutanguliza miguu na sikitu inauhusiano gani?au inamaanisha nini.
      btw,usharudi jf?maana ulikuwa unaaga na kufunga mizigo..
      Zion daughter habari yako bibie.......ndio waswahili wenyewe mila zao mtoto akitanguliza miguu wakati wa kuzalia anaitwa sikitu. Nimerudi au hunitaki niwepo?
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    9. #8
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,803
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      853
      Likes Given
      250

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Quote By The Finest
      Unamuita mwanao CHAUSIKU dah sijui hilo jina linakuwa linamaanisha nini
      TF hilo ni jina tu waarabu wanawaita Layla...............
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    10. #9
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,803
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      853
      Likes Given
      250

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Quote By Dena Amsi
      Tabu
      Shida
      Mwamvua
      Sikitiko
      Sikujali
      Sikudhani
      Mwajabu

      Endelea
      Masumbuko
      havintishi
      Shida
      Tabu
      Mwamvita - hawa wengi walizaliwa mwaka 1979 wakati wa vita vya idd amini.
      Mwadawa
      Tabia
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    11. LD
      #10
      LD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Location : Hapa
      Posts : 2,953
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      470
      Likes Given
      867

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Sipati picha unamwita mtoto Rostam. Watamchukia huyo mtoto watanzania wote!!!

    12. #11
      Mohammed Shossi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 3,803
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      853
      Likes Given
      250

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Quote By LD
      Sipati picha unamwita mtoto Rostam. Watamchukia huyo mtoto watanzania wote!!!
      Nadhani ni kasumba tu LD mie nadhani kuna jambo kwenye kumchukia Rostam nina amini hata kama ni fisadi basi hayupo peke yake kwanini basi asakamwe na kuchikiwa peke yake? Mbona wapo wengi?.................
      Siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga - Zitto Z. Kabwe

    13. #12
      Twilumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th December 2010
      Location : Kiseliani
      Posts : 2,033
      Rep Power : 850
      Likes Received
      413
      Likes Given
      65

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Quote By The Finest
      Unamuita mwanao CHAUSIKU dah sijui hilo jina linakuwa linamaanisha nini
      aisee wakware watamrukia sana nite nite fulani!!
      Intellectuals solve problems, geniuses prevent them.
      Albert Einstein.

    14. #13
      Gaga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Clarendon road
      Posts : 4,490
      Rep Power : 1368
      Likes Received
      1825
      Likes Given
      1881

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Quote By Dena Amsi
      Tabu
      Shida
      Mwamvua
      Sikitiko
      Sikujali
      Sikudhani
      Mwajabu

      Endelea
      Hilo la kwanza nimeshuhudia huyo mdada na alipata taabu za maisha mpaka umauti ulipompata hakupata raha hata kidogo ya maisha yake na mwisho wakati karibu anafariki aliwaambia watu wake wa karibu hapendi kabisa mtoto yeyote arithishwe jina lake hilo

    15. #14
      Matarese's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2009
      Posts : 506
      Rep Power : 596
      Likes Received
      8
      Likes Given
      1

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Waafrika tunatawaliwa mno kimawazo.
      Tupo tayari kumwita mtoto Happy lakini ukiita Furaha mm ni tatizo.
      Tupo tayari kumwita mtoto Peace lakini ukiita Amani mm tatizo.
      Tupo tayari kumwita Gift ila kumwita Zawadi ni tatizo.
      Cloud ni jina, ila Mawingu waswahili tutalikataa.
      Hakuna uhusiano wa Jina na matukio. Ni psychological perception ya mtu tu ndio inafanya watu wafikiri namna hiyo. Mbona wazungu wao hawasiti kumwita mtu Swain, Copymore, Bean etc. Kuna hata makanisa ya kikristo ukimwita mtoto say Tabu watakataa kumbatiza ati sio la Kikristu! Yani akili zetu zimekuwa colonized too much! No wonder wajanja wanatuendesha tu jinsi wanavyotaka wao.

    16. #15
      Gaga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Clarendon road
      Posts : 4,490
      Rep Power : 1368
      Likes Received
      1825
      Likes Given
      1881

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Quote By Mohammed Shossi
      Hapo zamani kabla na baada ya mwalimu na hata wakati wa mwinyi ilikuwa mtoto akizaliwa mvua inanyesha anaitwa "mwamvua" akitanguliza miguu wakati wa kuzaliwa ataitwa "sikitu" akizaliwa ijumaa ataitwa "juma au mwajuma" akizaliwa jumapili ataitwa "pili" akizaliwa jumatatu ataitwa "tatu"

      Kuna kipindi kukazuka watoto kuitwa majina ya watawala wa zama husika, hii ilitawala hasa kipindi cha kuanzia mwinyi ila sina uhakika kama bado kuna watoto wanazaliwa wanapewa majina kama Slaa, Mbowe, Kikwete n.k.


      Ingekuwa enzi zile za mwalimu tungeshuhudia watoto wanaozaliwa katika kipindi hiki wakiwa wanamajina kama Dowans, Mbagala, Gongo la Mboto, Al adawi, Rostam,google, JF, You tube,hi5,IPTL, Songas, Mwakyembe na kadhalika kutokana na wakati wenyewe.

      Jana nimesoma news sehemu nikaona kuwa nchini Misri kuna jamaa amemwita mtoto wake wa kike "facebook" kuapriciate mchango uliofanywa na facebook kwenye maandamano yaliyopelekea HM kuangushwa. Wapashaji habari wanasema mtoto huyo amepokea zawadi kem kem kutoka kwa vijana wengi wa kimisri. Nadhani hapa kwetu katika waliozaliwa kwenye mkesha wa tukio la gongo la mboto angepewa jina la gongo la mboto si ajabu watu wangemiminia mizawadi.
      Sijakuona jana kwenye harambee ya kakudo au ulikuwa tanga

    17. #16
      Son of Alaska's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd June 2008
      Location : london
      Posts : 2,486
      Rep Power : 1057
      Likes Received
      620
      Likes Given
      248

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      na je hilo jina shossi umelipata wapi? definately its got nothing to do with shoes

    18. #17
      Likasu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 512
      Rep Power : 525
      Likes Received
      77
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By The Finest
      Unamuita mwanao CHAUSIKU dah sijui hilo jina linakuwa linamaanisha nini
      Kwa kidhungu Dina ndo chakula cha usiku eeeh

    19. #18
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,201
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4197
      Likes Given
      638

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Kumbe dili eeh!
      Mwanangu nitamuita JF INVISIBLE BAN PM.
      Baba yake sijui atakuwa anaitwa nani.

    20. #19
      The Mockingjay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Location : District 13, Panem
      Posts : 380
      Rep Power : 500
      Likes Received
      105
      Likes Given
      14

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Kuna mdada hivi alijifungua mtoto wa kiume enzi za Mullah Omar, akakaita katoto kake ka kiume Mullah Omar, sikumoja, wakati anijishugulisha na kazi ndogo ndogo, alikalaza mkekani kwenye kivuli cha miti. Kulikuwa na mti wa mpapai amongst other trees by the shde. Upepo mkali ukavuma na kuangusha majani ya mpapai, masikini baby Mullah Omar akaangukiwa na jani la mpapai na kufariki. Hii taarifa iliandikwa hata kwenye magazeti wakati ule, lilitokea Dar.

    21. #20
      Gaga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Clarendon road
      Posts : 4,490
      Rep Power : 1368
      Likes Received
      1825
      Likes Given
      1881

      Default Re: Enzi zile za wazazi wetu...............

      Jani tu la mpapai jamani? pepo litakuwa hilo
      You Only live Once....But if you do it right, Once is enough

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Enzi zetu zile sio kama leo
      By El Toro in forum Jamii Photos
      Replies: 90
      Last Post: 9th March 2013, 19:25
    2. ENZI ZILE (Tukumbushane)
      By funzadume in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 95
      Last Post: 24th July 2011, 22:19
    3. So Many Tears by tupac(enzi zile)
      By papag in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 6
      Last Post: 15th February 2011, 07:00
    4. Enzi zetu zile za kobas na bwaga
      By El Toro in forum Jamii Photos
      Replies: 26
      Last Post: 9th December 2010, 16:46

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...