Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Je kuna ukweli kwenye haya ?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 25
    1. #1
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Je kuna ukweli kwenye haya ?

      ndoa za aina hii

      1. ndoa hii mwanamke anapewa kila kitu mpaka kiberiti,haijalishi kama mke ana pesa au la ...ukija suala la mapenzi anapewa A anajua njia zote za kucheza na akili za wanawake mtundu in short, lakini mwanaume huyu anafanya uchafu wake wa kumtosha mlevi,malaya yote mabaya lakini mke hakoromi kwake na wakati mwingine akiona hata msg kwenye simu ya mume anaogopa aanzie wapi kuuliza maana kama ni kila analohitaji anapata.

      2.hapa ni nusu nusu leta nilete hata kama yeye ndio ana kipato kuliko mama na mahitaji binafsi ya mama ni yako, lakini baba huyu mstaarabu anajitahidi kutunza heshima ya familia hakosi maudhi yake lakini hayafanani na huyo wa kwanza.

      3 ndoa hii ni ile ya kushirikiana kwa pamoja kusaidiana , mume/mke yupo wazi pesa yake ya wote hamna anayefanya chochote bila mwenzie kushirikishwa baba anajali mke,mama vile vile.

      ndoa ipi kati ya hizi ukipewa uchague litakuwa pendekezo lako. naamini wengi wataona ndoa no 3 ndio nzuri ,lakini je ni kwanini kuna stori nyingi zinazoendelea na watu kuamini wadada wanapenda mshiko zaidi.

      ndoa no 1 is more likely kuvumiliwa na wadada wengi kama watu wengi wanavoamini kuliko hizo mbili sababu tu maisha yake yamewekwa level na Mr akiamini atachuja mjini akijaribu kutoa miguu yake

      ANGALIZO:sio wadada wote wako ivo ila inaaminika wengi wapo ivo, nahitaji mchango wa kina baba pia tukiangalia zaidi suala la mapato yetu na maisha ya kisasa yanavoadhiri ndoa zetu. ukiona jirani yako kanunuliwa harrier kesho nawe bishoga wataka bila kujali kipato cha mwezi wako.
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13471
      Likes Given
      17780

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Tatizo umeandikwa kwa ku generalize mno
      watu tupo tofauti mno.....

      Ukisema mwanamke

      mfan o 1.. Anatoka familia tajiri au maskini
      2.ana elimu ya kiwango kipi?
      3.ana uzuri wa kiwango kipi?
      4.anatoka culture ipi,mhindi au mwarabu au mchanganyiko au mswahili...?

      Hayo ni machache tu...
      Chauro likes this.
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    4. #3
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      nafikiri hujanielewa ndio maana nimetoa angalizo sio wote wako ivo ila ....... nisome vizuri,kuhusu elimu haijalishi ni msomi au sio,suala la uzuri lipo kwa mtazamaji siwezi kuliongelea na hapa nawaongelea watanzania weusi kama mimi.


      Quote By The Boss
      Tatizo umeandikwa kwa ku generalize mno
      watu tupo tofauti mno.....

      Ukisema mwanamke

      mfan o 1.. Anatoka familia tajiri au maskini
      2.ana elimu ya kiwango kipi?
      3.ana uzuri wa kiwango kipi?
      4.anatoka culture ipi,mhindi au mwarabu au mchanganyiko au mswahili...?

      Hayo ni machache tu...
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    5. #4
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13471
      Likes Given
      17780

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Quote By chauro
      nafikiri hujanielewa ndio maana nimetoa angalizo sio wote wako ivo ila ....... Nisome vizuri,kuhusu elimu haijalishi ni msomi au sio,suala la uzuri lipo kwa mtazamaji siwezi kuliongelea na hapa nawaongelea watanzania weusi kama mimi.

      chauro ni jina la kihindi..
      Na avatar yako haioneshi kuwa we ni mweusi....funny though...lol
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    6. #5
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      boss acha kuchakachua post yangu ina maana yake ati embu lete mchango wako mi huwa napenda sana kula chauro ndo maana nikachagua hilo jina.


      Quote By The Boss
      chauro ni jina la kihindi..
      Na avatar yako haioneshi kuwa we ni mweusi....funny though...lol
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    7. Miaka 50

    8. #6
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      boss embu lete mchango wako acha kuchakachu hii post , huwa napenda sana chauro ndo maana ya hilo jina


      Quote By The Boss
      chauro ni jina la kihindi..
      Na avatar yako haioneshi kuwa we ni mweusi....funny though...lol
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    9. #7
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13471
      Likes Given
      17780

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Quote By chauro
      boss embu lete mchango wako acha kuchakachu hii post , huwa napenda sana chauro ndo maana ya hilo jina

      chauro chakula cha kihindi...

      Sasa wewe una fall kundi gani hapo?
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    10. #8
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      yote ndio maana natafuta majibu

      Quote By The Boss
      chauro chakula cha kihindi...

      Sasa wewe una fall kundi gani hapo?
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    11. #9
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13471
      Likes Given
      17780

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Huwezi fall yote..
      Kuwa specific...
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    12. #10
      bacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th August 2010
      Posts : 3,901
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      623
      Likes Given
      1258

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Quote By Chauro
      ndoa za aina hii

      1. ndoa hii mwanamke anapewa kila kitu mpaka kiberiti,haijalishi kama mke ana pesa au la ...ukija suala la mapenzi anapewa A anajua njia zote za kucheza na akili za wanawake mtundu in short, lakini mwanaume huyu anafanya uchafu wake wa kumtosha mlevi,malaya yote mabaya lakini mke hakoromi kwake na wakati mwingine akiona hata msg kwenye simu ya mume anaogopa aanzie wapi kuuliza maana kama ni kila analohitaji anapata.

      2.hapa ni nusu nusu leta nilete hata kama yeye ndio ana kipato kuliko mama na mahitaji binafsi ya mama ni yako, lakini baba huyu mstaarabu anajitahidi kutunza heshima ya familia hakosi maudhi yake lakini hayafanani na huyo wa kwanza.

      3 ndoa hii ni ile ya kushirikiana kwa pamoja kusaidiana , mume/mke yupo wazi pesa yake ya wote hamna anayefanya chochote bila mwenzie kushirikishwa baba anajali mke,mama vile vile.

      ndoa ipi kati ya hizi ukipewa uchague litakuwa pendekezo lako. naamini wengi wataona ndoa no 3 ndio nzuri ,lakini je ni kwanini kuna stori nyingi zinazoendelea na watu kuamini wadada wanapenda mshiko zaidi.

      ndoa no 1 is more likely kuvumiliwa na wadada wengi kama watu wengi wanavoamini kuliko hizo mbili sababu tu maisha yake yamewekwa level na Mr akiamini atachuja mjini akijaribu kutoa miguu yake

      ANGALIZO:sio wadada wote wako ivo ila inaaminika wengi wapo ivo, nahitaji mchango wa kina baba pia tukiangalia zaidi suala la mapato yetu na maisha ya kisasa yanavoadhiri ndoa zetu. ukiona jirani yako kanunuliwa harrier kesho nawe bishoga wataka bila kujali kipato cha mwezi wako.


      du, kazi kwelikweli,
      haya,hiyo namba 1, si utani ni nzuri sana kwa upande wngu mimi mwanaume,
      kwani nidhamu ipo juu sana kwa upande wa mwanamke!maisha yanasonga , heshima ndani ya nyumba ipo mahali pake!

      Tatizo ya hizo nyingine bana, mkishaanza kushea tu, ndo matatizo yanapoanzia hapo,
      sijui wewe leta chakula, hebu nisaidie kwenye ada za watoto, mimi ntafanya hiki!
      lazima baadae kuna vidharau fulani tu vitaanza!
      Ni mtizamo tu!
      NYUKI hapigwi BUSU........................

    13. #11
      s.fm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2009
      Posts : 660
      Rep Power : 634
      Likes Received
      101
      Likes Given
      31

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Hiyo ya kwanza imekaa ki-mila zaidi..na hiyo ya pili ina ka-dalili flani ka ubinafsi kidogo na kutompa mzee uhuru flani hivi!
      Hiyo ya tatu ndio ndoa halisi kwa maana ya kuishi vizuri ktk nyumba..lakini hizi smtimz hazidumu coz watu wengi wana-pretend kuwa hivi..wanoana wakiwa na zile element za hiyo ya kwanza na ya pili.
      Mwisho wa siku ni kusumbuana kwa sababu zile dalili zinaanza kujitokeza..

    14. #12
      mikatabafeki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1396
      Likes Received
      765
      Likes Given
      1463

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      mmengewaacha CHAURO na THE BOSS waendelee kubishana wakimaliza na nyie ndo muingilie kati

    15. #13
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13471
      Likes Given
      17780

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Chauro where r you?
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    16. #14
      Babu Lao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : Korokocho
      Posts : 2,019
      Rep Power : 836
      Likes Received
      133
      Likes Given
      69

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Mbona wachangia mada hii wanakwepa kuwa specific au ina mtego, Chauro tunaomba wewe uwe wa kwanza ku-specify unapenda aina ipi 1,2 au 3!!!!
      Tanzania inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno, tuwang'oe meno walaji ili wenye moyo wasijekata tamaa ya kuijenga!!!!

    17. #15
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      nilienda mapumzimko kidoko boss mchango wako

      Quote By The Boss
      Chauro where r you?
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    18. #16
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13471
      Likes Given
      17780

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Quote By chauro
      nilienda mapumzimko kidoko boss mchango wako
      sisi tnachangia we hatukuoni...
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    19. #17
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      ntatoa mawzo yangu mwisho nimeleta tu kama changamoto zinzoendelea ndani ya familia zetu na watu waume/wake huwa wanazichukuliaje


      Quote By Babu Lao
      Mbona wachangia mada hii wanakwepa kuwa specific au ina mtego, Chauro tunaomba wewe uwe wa kwanza ku-specify unapenda aina ipi 1,2 au 3!!!!
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    20. #18
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      ni kweli watu huwa wanapretend au ndo walivo vipi iyo ya pili baba amenyimwa uhuru gani hapo hujafafanua vizuri


      Quote By s.fm
      Hiyo ya kwanza imekaa ki-mila zaidi..na hiyo ya pili ina ka-dalili flani ka ubinafsi kidogo na kutompa mzee uhuru flani hivi!
      Hiyo ya tatu ndio ndoa halisi kwa maana ya kuishi vizuri ktk nyumba..lakini hizi smtimz hazidumu coz watu wengi wana-pretend kuwa hivi..wanoana wakiwa na zile element za hiyo ya kwanza na ya pili.
      Mwisho wa siku ni kusumbuana kwa sababu zile dalili zinaanza kujitokeza..
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    21. #19
      Chauro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Location : kidunguche
      Posts : 2,656
      Rep Power : 995
      Likes Received
      1310
      Likes Given
      1520

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      naona umefurahia heshima na unyenyekevu wa no 1 vipi kuhusu heshima yako kwa mkeo,tukitazama hali halisi ya maisha je kuna ka ukweli heshima huwa kubwa kama pesa ipo na huduma ni nzuri .............

      iyo ya pili vipi kuhusu kuogopa kushare na mama watoto kama kipato chako ni kidogo sababu ya kuogopa dharau huoni kama utakuwa unajiumiza na wakati mwingine kujiweka kwenye madeni makubwa sababu tu ya kuonyesha unaweza kumbe unakufa na tai shingon.

      Quote By bacha
      du, kazi kwelikweli,
      haya,hiyo namba 1, si utani ni nzuri sana kwa upande wngu mimi mwanaume,
      kwani nidhamu ipo juu sana kwa upande wa mwanamke!maisha yanasonga , heshima ndani ya nyumba ipo mahali pake!

      Tatizo ya hizo nyingine bana, mkishaanza kushea tu, ndo matatizo yanapoanzia hapo,
      sijui wewe leta chakula, hebu nisaidie kwenye ada za watoto, mimi ntafanya hiki!
      lazima baadae kuna vidharau fulani tu vitaanza!
      Ni mtizamo tu!
      Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).

    22. #20
      The Boss's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th August 2009
      Location : DARESALAAM
      Posts : 18,144
      Rep Power : 21610
      Likes Received
      13471
      Likes Given
      17780

      Default Re: Je kuna ukweli kwenye haya ?

      Chauro nikuulize swali....
      Why do women cheats?
      Especially kama kila kitu unampa?
      Watch your thoughts,They become words, Watch your words, They become deeds, Watch your deeds, They become habits, Watch your habits, They become character, Watch your character, It becomes your destiny!

    23. Study Abroad
    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Tetesi: Kuna ukweli wowote kwenye hili?
      By Possibles in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 33
      Last Post: 15th December 2011, 10:21
    2. Je kuna ukweli ukweli
      By actus in forum Jokes/Utani + Udaku/Gossips
      Replies: 15
      Last Post: 26th October 2011, 07:53
    3. Kuna ukweli kwenye hili....
      By mtoto wa mfugaj in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 5th October 2011, 17:44
    4. Kuna ukweli kwamba ukiwa unatumia laptop si vema kuegemeza kwenye miguu..
      By MBISHI WA KITAA in forum Tech, Gadgets & Science Forum
      Replies: 11
      Last Post: 23rd April 2011, 03:33
    5. Ni vigezo gani ------ katumia kuainisha haya! Kuna ukweli hapa?
      By The Hunter in forum Business & Economic Forum
      Replies: 5
      Last Post: 2nd January 2011, 15:49

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...